Week Hot newz

PiCHA:mji wa Nazareti,Jangwa la Yudea, Megido, kabuli la Yesu na mti aliopanda Zakayo


Mji wa Nazareti ukionekana hapo juu,Mat 2:23, watu wengi walikuwa wakulima, Yesu na Josefu walikuwa maseremala, hivyo ilikuwa rahisi kufahamika. Jangwa la Yudea, linatukumbusha safari ya waisrael, Kujaribiwa kwa Yesu na maisha ya Yohana kuna wakati alikaa Jangwani.
MEGIDO,Armageddoni mahali ambapo vita ya mwisho itapiganwa, this is real, bible haijaficha kitu.
Hili kaburi la Yesu hata sasa yapo
mti aliopanda Zakayo wakati anataka kumwona Yesu ''live'' Yesu lipoingia nyumbani mwa Zakayo akasema ''wokovu umeingia nyumbani mwa Zakayo''

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni