Rafiki wa karibu wa familia ya
marehemu Grace, Pasta Chris Suya, akiongea na blogu hii kwa njia ya simu juzi la
nchini humo kwamba, mwanamuziki huyo alikimbizwa hospitalini baada ya
kulalamikia maumivu makali ya kichwa.
“Tulipokea simu kwamba alikuwa anasumbuliwa na maumivu makali ya kichwa na tukakimbia hadi kwake kwa mwendo wa saa moja, baada ya kufika tulimpeleka hospitali ya Queens Elizabeth lakini alifariki dunia,” alisema Suya.
Katika akaunti ya facebook ya marehemu Grace, siku chache zilizopita alitangaza kwamba anatarajia kuachia albamu yake mpya hivi karibuni lakini ndoto hizo zimezimika.
“Tulipokea simu kwamba alikuwa anasumbuliwa na maumivu makali ya kichwa na tukakimbia hadi kwake kwa mwendo wa saa moja, baada ya kufika tulimpeleka hospitali ya Queens Elizabeth lakini alifariki dunia,” alisema Suya.
Katika akaunti ya facebook ya marehemu Grace, siku chache zilizopita alitangaza kwamba anatarajia kuachia albamu yake mpya hivi karibuni lakini ndoto hizo zimezimika.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni