WAKATI
mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), Yanga, wakitarajiwa kushuka
kwenye dimba la Mkwakwani jijini Tanga kuwavaa wenyeji Coastal Union ‘Wagosi wa
Kaya’ leo, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limewataka mashabiki
watakaosafiri kwenda huko kuhakikisha wanakamilisha kununua tiketi za
elektroniki.
Yanga iliyotoka kusaka makali