Msanii wa ngw`anza fleva toka jijini Mwanza Batarokota mkali wa kurap kwa lugha ya kishahili na kisukuma, msanii huyu ndani ya wiki hii ameibuka na audio ya songi mpya 'irombo lise`, nyimbo hii imerekodiwa ndani ya studio ya Sun light Record iliyo mji kasoro bahari mjini Morogoro maeneo ya Kihonda (Mazimbu Road) . Songi hiyo 'irombo lise' imerekodiwa na kutengenezwa midundo na watayarishaji Batarokota akishirikiana na King Malo. Akizungumnza kwa njia ya simu toka mjini Morogoro msanii Batarokota alisema `nashukuru Mungu mwaka umeanza na nimemaliza kurekodi nyimbo yangu ya kisukuma iitwayo `irombo lise` yaaani Dada yetu na sasa niko katika maandalizi ya video ` alesema msanii Batarokota .Pia baada ya kumaliza na audio Batarokota na sasa video ya song hili 'irombo lise' na kufanyiwa shootingi chini ya usimamizi wa kampuni ya Batarokota iitwayo Paskal Linda Blog kwa udhamini wa Zachalia Linda Entertinment.
Week Hot newz
-
Tafakari ya Neno la Mungu Jumapili ya IV ya Mwaka C wa Kanisa. - OSS_ROM 28/01/2016 14:25 Mitandao ya kijamii: “...
-
Rubani msaidizi, Andreas Lubitz, aliangusha makusudi ndege hiyo kwenye milima ya Alps. Wachunguz...
-
Baba Mtakatifu mstaafu Benedikto XVI, Ijumaa, tarehe 27 Desemba 2013 amemtembelea Papa Francisko na kupata chakula cha pamoja...
-
Watawa wa Mama Theresa wa Calcutta waliouwawa huko Yemen ni mashuhuda wa upendo na wahanga wa utandawazi usiojali wala kuguswa na maha...
-
Daily Reading for Tuesday, March 22nd, 2016 Reading 1, Isaiah 49:1-6 1 Coasts and islands, listen ...
-
Watu 6 wamejeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika uwanja wa ndege ulioko mjini Beledweyne nchini Somalia.
-
By Paskal Linda (Batarokota Network ) Feast Day October 22 With St. John Paul II feast day just around the corner, T...
-
Baba Mtakatifu Francisko mara baada ya maadhimisho ya Ib...
-
Viongozi wa Jumuiya ya Kimataifa pamoja na wananchi wa Afrika ya Kusini wameanza kutoa heshima zao za mwisho kwa Tata Madiba kwa sala kut...
Upatu unadhalilisha utu na heshima ya binadamu!
Baba Mtakatifu Francisko wakati wa Katekesi yake Siku ya Jumatano, tarehe 29 Januari 2013 alikemea vikali tabia ya michezo ya upatu inayodhalilisha utu na heshima ya binadamu na kwa kusema kwamba, huu si Ukristo wala si ubinadamu; ni tabia ambayo inapaswa kukomeshwa ndani ya Jamii kwani inawasababishia watu majanga ya maisha!
Baba Mtakatifu ameyasema hayo wakati alipokuwa anawasalimia wawakilishi wa Mfuko wa Yohane Paulo II wa washauri dhidi ya upatu kitaifa, ambao baadaye jioni waliadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye
AZAM YAPANDA KILELENI, KIPRE AMKAMATA TAMBWE KWA MAGOLi
Azam FC imeonyesha kama wakizubaa, basi inabeba ubingwa baada ya
kuichapa Rhino ya Tabora kwa bao 1-0 na kupaa kileleni mwa ligi.
Kwa ushindi huo, Azam FC imesikisha pointi 33 na kuiteremsha Yanga yenye pointi 32 ambayo ilikuwa inaongoza hadi mwishoni mwa mzunguko wa kwanza.
Kabla ya kushuka uwanjani leo mjini Tanga, Yanga ilikuwa na pointi 31, pointi moja zaidi ya Azam FC, lakini sare dhidi ya Coastal imeifanya ishike nafasi ya pili.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Mbagala jijini Dar, bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kipre Herman Tchetche raia wa Ivory Coast.
Azam inayofundishwa na Kocha Omog raia wa Cameroon ilionyesha soka la taratibu lakini pasi za taratibu na uhakika na mwisho ikafanikiwa kushinda.
Azam FC imeonyesha kama wakizubaa, basi inabeba ubingwa baada ya kuichapa Rhino ya Tabora kwa bao 1-0 na kupaa kileleni mwa ligi.
Kwa ushindi huo, Azam FC imesikisha pointi 33 na kuiteremsha Yanga yenye pointi 32 ambayo ilikuwa inaongoza hadi mwishoni mwa mzunguko wa kwanza.
Kabla ya kushuka uwanjani leo mjini Tanga, Yanga ilikuwa na pointi 31, pointi moja zaidi ya Azam FC, lakini sare dhidi ya Coastal imeifanya ishike nafasi ya pili.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Mbagala jijini Dar, bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kipre Herman Tchetche raia wa Ivory Coast.
Azam inayofundishwa na Kocha Omog raia wa Cameroon ilionyesha soka la taratibu lakini pasi za taratibu na uhakika na mwisho ikafanikiwa kushinda.
Kwa ushindi huo, Azam FC imesikisha pointi 33 na kuiteremsha Yanga yenye pointi 32 ambayo ilikuwa inaongoza hadi mwishoni mwa mzunguko wa kwanza.
Kabla ya kushuka uwanjani leo mjini Tanga, Yanga ilikuwa na pointi 31, pointi moja zaidi ya Azam FC, lakini sare dhidi ya Coastal imeifanya ishike nafasi ya pili.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Mbagala jijini Dar, bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kipre Herman Tchetche raia wa Ivory Coast.
Azam inayofundishwa na Kocha Omog raia wa Cameroon ilionyesha soka la taratibu lakini pasi za taratibu na uhakika na mwisho ikafanikiwa kushinda.
Azam FC imeonyesha kama wakizubaa, basi inabeba ubingwa baada ya kuichapa Rhino ya Tabora kwa bao 1-0 na kupaa kileleni mwa ligi.
Kwa ushindi huo, Azam FC imesikisha pointi 33 na kuiteremsha Yanga yenye pointi 32 ambayo ilikuwa inaongoza hadi mwishoni mwa mzunguko wa kwanza.
Kabla ya kushuka uwanjani leo mjini Tanga, Yanga ilikuwa na pointi 31, pointi moja zaidi ya Azam FC, lakini sare dhidi ya Coastal imeifanya ishike nafasi ya pili.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Mbagala jijini Dar, bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kipre Herman Tchetche raia wa Ivory Coast.
Azam inayofundishwa na Kocha Omog raia wa Cameroon ilionyesha soka la taratibu lakini pasi za taratibu na uhakika na mwisho ikafanikiwa kushinda.
Yanga yashikwa, Azam kileleni
Mabingwa Yanga walishikwa kwa sare ya 0-0 ugenini mkoani Tanga dhidi ya Coastal Union na kushuhudia wakitema uongozi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya Azam FC kushinda 1-0 dhidi ya Rhino Rangers na kushika usukani wa ligi.
Mbeya City ambao waliianza siku ya jana wakiwa na pointi 30 sawa na Azam, nao walidondosha pointui mbili jana kufuatia sare ya 1-1 ugenini Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini.
Matokeo hayo yalimaanisha kwamba Azam sasa wako kileleni mwa msimam
Ni uchawi wa Uturuki, Oman Mkwakwani
WAKATI
mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), Yanga, wakitarajiwa kushuka
kwenye dimba la Mkwakwani jijini Tanga kuwavaa wenyeji Coastal Union ‘Wagosi wa
Kaya’ leo, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limewataka mashabiki
watakaosafiri kwenda huko kuhakikisha wanakamilisha kununua tiketi za
elektroniki.
Yanga iliyotoka kusaka makali
Makumbusho ya Vatican ni kati ya vivutio vikuu mjini Vatican!
Zaidi ya watu millioni 5. 5
walitembelea Makumbusho ya Vatican katika kipindi cha Mwaka 2013. Hii ni habari
njema kwa kuona kwamba, kuna mamillioni ya watu wanaovutwa kutembelea hazina
kubwa ya binadamu inayohifadhiwa kwenye Makumbusho ya Vatican. Watu zaidi ya
millioni mbili kila mwaka hutembelea kitengo
Papa kuadhimisha Siku ya Watawa Duniani!
Baba Mtakatifu Francisko katika Maadhimisho ya Siku kuu ya Kutolewa Bwana Hekaluni sanjari na Siku ya Watawa Duniani, Jumapili ijayo tarehe 2 Februari 2014, kuanzia saa 4:00 asubuhi kwa saa za Ulaya anatarajiwa kuadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican.
Tiketi za kuingilia kwenye Ibada hii zinapatikana kwenye Ofisi za Baraza la Kipapa la Mashirika ya Kitawa na Kazi za Kitume iliyoko mjini Roma kuanzia Alhamisi tarehe 30 hadi Ijumaa tarehe 31 Januari 2014, kuanzia saa 2:30 hadi saa 7: 00 Mchana
Imported mosquitoes caused Gauteng Malaria
Two cases of malaria reported in southern Johannesburg were likely caused by mosquitoes that were accidentally imported from malaria areas, the Gauteng health department said on Sunday.
"Although the Gauteng province is not a malaria endemic area, there have been cases where the malaria ...infected mosquitoes were imported into the province by people travelling from Malaria endemic areas...," spokesman Simon Zwane said in a statement.
These imported
Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa

Pichani Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (70) ni mgonjwa, imetangazwa.
Taarifa ya kuugua kwa Kardinali Pengo, kiongozi wa kiroho anayeaminika kwa kukosoa uovu unaofanywa kwenye jamii, imetangazwa na Askofu Msaidizi wa kanisa hilo jimboni humo, Mhashamu Titus Mdoe.
Mdoe, alitoa taarif
Jengeni na kudumisha utamaduni wa kukutana na watu bila woga, ili kuwaonjesha Injili ya Furaha!
Church Leaders Meet Ukraine's President As Protests Spread

The office of Ukraine's President
Waraka kuhusu Elimu Katoliki wazinduliwa mjini Vatican
Ni hati ambayo imepitishwa na Baba Mtakatifu Francisko hapo tarehe 28 Oktoba 2013,
Pope Francis and French President discuss shared concerns

A statement from the
Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya Tatu ya Kipindi cha Mwaka A wa Kanisa
Masomo tunayoyatafakari tunayapata katika kitabu cha Isaya 9:1-4, 1Kor. 1:10-13,17 na Injili Mt. 4:12-23. Masomo haya yanatupa mwaliko wa kuona na kuupokea mwanga wa Kristu unaoanza
Pope Francis: appeal for peace in Syria

Speaking at the end of his weekly General Audience, Pope Francis said, “I ask the Lord to touch the hearts of all [parties and participants], that, looking only to the greater good of the so sorely tried Syrian people, they might spare no effort to reach as quickly as possible the cessation of violence and the end of the conflict, which has already caused too much suffering.”
The Holy Father went on to say, “I hope for dear nation of Syria [that it undertake] with conviction the path of reconciliation, concord and reconstruction with the participation of all citizens, in which everyone can find in the other, not an enemy, not a rival, but a brother to welcome and embrace.”
The “Geneva 2” international conference for peace in Syria opens Today, Wednesday, January 22nd, in Montreaux, Switzerland, with negotiations to continue in Geneva starting on Friday, January 24th.
Text from page http://en.radiovaticana.va/news/2014/01/22/pope_francis:_appeal_for_peace_in_syria/en1-766183
of the Vatican Radio website
Jifunueni wazi kwa Injili na maajabu ya Mungu – Papa
Alisisitiza kwamba,
Wakristu toeni cheche za imani yenu kila siku.

Kanisa hilo, ambalo pia lina hadhi ya Basilika, lililoko karibu na Kituo cha Kikuu Treni cha Kati, jijini Roma , huendeshwa na Wamisionari WaSalesians ya Don
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)