Mzee
wa miaka 80 alirudi nyumbani kutoka msikitini, akabisha mlango wa
nyumba yake lakini hakufunguliwa, akasimama kwa mda mpaka akazirai na
kuanguka chini, Mke wake akaona mume wake amechelewa, akafunguwa mlango
kwenda kumtafuta, akampata amezirai mbele ya mlango, akamwagia maji
mpaka akapata fahamu, mke akamuomba msamaha mume wake kwa kuchelewa
kumfungulia mlango kwa kuwa hakusikia mlango ukibishwa na akaona yeye ndie sababu ya mumewe kuzirai..
Mume akamwambia mke wake sikuzirai kwa sababu hiyo bali niliposimama
mbele ya mlango wangu na nikaona umefungwa, nikawa nafikiria jee kama
ningekuwa nimesimama mbele ya Mlango wa Allah subhanahu wata'ala na
Allah subhanahu wata'ala hakunifungulia ningekuwaje?
Katika ile hali ya kufikiria hivyo nikajipata sina fahamu;);););)
Week Hot newz
-
Tunaendelea kama kawaida katika kipindi chetu, tafakari masomo Dominika, na leo tunatafakari masomo Dominika ya 33 ya mwaka C wa Kanisa...
-
Teach me, Lord Jesus, to be generous: to serve You as You deserve; to give, not counting the cost; to fight, not heeding the wound...
-
Uchunguzi wa mwili wa Askofu Józef Wesolowski, umekamilika na matokeo kwamba amekufa kifo cha kawaida. Kuf...
-
Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki limezindua tovuti yake inayotoa habari muhimu kuhusu mchango wa Kanisa Katoliki katika sekta ya elimu ...
-
Reading 1, Romans 6:19-23 19 I am putting it in human terms because...
-
NA OSCAR ASSENGA, TANGA-Tanzania.Gazeti Mtanzania. KATIBU wa Chama cha Watu Wenye Albino Mkoa wa Tanga (TAS), Mah...
-
Mpendwa mwana wa Mungu, tuko tena pamoja katika ile habari ya furaha ndiyo kushirikishana mapendo ya Mungu kwa njia ya meza y...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni