Week Hot newz
-
Tafakari ya Neno la Mungu Jumapili ya IV ya Mwaka C wa Kanisa. - OSS_ROM 28/01/2016 14:25 Mitandao ya kijamii: “...
-
Rubani msaidizi, Andreas Lubitz, aliangusha makusudi ndege hiyo kwenye milima ya Alps. Wachunguz...
-
Baba Mtakatifu mstaafu Benedikto XVI, Ijumaa, tarehe 27 Desemba 2013 amemtembelea Papa Francisko na kupata chakula cha pamoja...
-
Watawa wa Mama Theresa wa Calcutta waliouwawa huko Yemen ni mashuhuda wa upendo na wahanga wa utandawazi usiojali wala kuguswa na maha...
-
Yesu amekuja ulimwenguni ili kuufunua, kuutangaza na kuus...
-
Daily Reading for Tuesday, March 22nd, 2016 Reading 1, Isaiah 49:1-6 1 Coasts and islands, listen ...
-
Watu 6 wamejeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika uwanja wa ndege ulioko mjini Beledweyne nchini Somalia.
-
By Paskal Linda (Batarokota Network ) Feast Day October 22 With St. John Paul II feast day just around the corner, T...
-
Baba Mtakatifu Francisko mara baada ya maadhimisho ya Ib...
St. Joseph yakumbuka watoto yatima
na Paskal Linda-Dar es salaam
SHULE ya Msingi St. Joseph iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi wa shule hiyo, imetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandalwa kilichopo Mbweni Vijibweni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Msaada huo wenye thamani ya sh milioni tatu uliotolewa kwa watoto 92 wanaolelewa na kituo hicho, ni chakula, sabuni, sukari, vinywaji baridi, mafuta ya kupikia na nguo.
Akizungumza wakati wa hafla ya utoaji wa msaada huo juzi, Mkurugenzi wa shule hiyo, Christa Rweyemamu, alisema uamuzi wa kusaidia kituo hicho ulifikiwa kupitia kitengo cha klabu ya huduma ya jamii ya shule hiyo na kuwashirikisha wazazi.
“Tulishirikisha wazazi ambao waliitikia kwa moyo mmoja na tukafikia mchango wa vifaa hivi na fedha taslimu sh 600,000 ambazo zitasaidia kulipia ada za watoto,” alisema.
Akitoa shukrani, mmiliki wa kituo hicho, Halima Mpeta, alisema wamefarijika na msaada kwa watoto hao ambao umetokana na ushawishi wa watoto wenzao
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni