Week Hot newz

Tuungane hapa Nairobi kesho kushuhudia Kombe la Dunia


HApa Nairobi katika ukumbi wa KICC kutakuwa na kupiga picha na kombe la Dunia kuanzia asubuhi ya Tarehe  28/11/2013 wote mnakaribiswa hapa viwanja vya KICC.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni