Week Hot newz

Neyo, Diamondi, Batarokota kutumbuiza Jembeka Festival 2016!

Siku ya kumbukumbu ya kukumbuka ajali ya MV Bukoba tareehe 21/05/2016 katika jijini la mawe Mwanza (Rocky City)  kutakuwa na burudani kabambe sana itakayo wakutanisha wasanii wengi wa ndani na nje ya Tanzania kama Neyo, Diamond, Batarokota na wasanii wengine kibao katika show inayotambulika kama Jembeka Festival 2016 chini ya udhamini wa JEMBEKA na VODACOM show ihi iliyopangwa kufanyika katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni