Week Hot newz

Masalia ya Mwenyeheri Yohane Paulo II yaibwa mjini Aquila!



Askofu mkuu Giuseppe Petrocchi wa Jimbo kuu la Aquila, Italia amewaandikia waamini wake barua kuonesha masikitiko makubwa baada ya watu wasiojulikana kuvunja Madhabau ya Mtakatifu Petro della Jenca na kuiba masalio ya damu ya Mwenyeheri Yohane Paulo II na kufanya kufuru ndani ya Kanisa,

Imported mosquitoes caused Gauteng Malaria


Two cases of malaria reported in southern Johannesburg were likely caused by mosquitoes that were accidentally imported from malaria areas, the Gauteng health department said on Sunday.
"Although the Gauteng province is not a malaria endemic area, there have been cases where the malaria ...infected mosquitoes were imported into the province by people travelling from Malaria endemic areas...," spokesman Simon Zwane said in a statement.
These imported

Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa


Pichani Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (70) ni mgonjwa, imetangazwa.

Taarifa ya kuugua kwa Kardinali Pengo, kiongozi wa kiroho anayeaminika kwa kukosoa uovu unaofanywa kwenye jamii, imetangazwa na Askofu Msaidizi wa kanisa hilo jimboni humo, Mhashamu Titus Mdoe.

Mdoe, alitoa taarif

Jengeni na kudumisha utamaduni wa kukutana na watu bila woga, ili kuwaonjesha Injili ya Furaha!

Liturujia ya Neno la Mungu, Jumapili ya tatu ya Kipindi cha Mwaka wa Kanisa, inamwonesha Yesu akianza utume na maisha yake ya hadhara nje ya Mji wa Yerusalem, uliokuwa ni kitovu cha maisha ya kidini, kijamii na kisiasa. Yesu anaamua kuanza utume huu mjini Galilaya ya watu wa Mataifa, mji ambao ulikuwa na watu kutoka katika mataifa, tamaduni na dini mbali mbali, kielelezo cha

Church Leaders Meet Ukraine's President As Protests Spread



(Vatican Radio)-- Ukraine's embattled President Viktor Yanukovich has been meeting with church leaders as anti-government protests are spreading throughout the country. The talks came after the president met the European Union's enlargement commissioner who is in the country to mediate following battles that killed at least three demonstrators.

The office of Ukraine's President

Waraka kuhusu Elimu Katoliki wazinduliwa mjini Vatican

Majiundo ya majadiliano ya kitamaduni katika shule za Kikatoliki: ili kuishi kwa pamoja utamaduni wa upendo. Ni hati iliyowasilishwa kwa waandishi wa habari mjini Vatican na Viongozi wakuu wa Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki, chini ya uongozi wa Kardinali Zenon Grocholewski

Ni hati ambayo imepitishwa na Baba Mtakatifu Francisko hapo tarehe 28 Oktoba 2013,

Pope Francis and French President discuss shared concerns



(Vatican Radio) Pope Francis met with French President Frannçois Hollande on Friday morning to discuss shared concerns and the good relations that exist between France and the Holy See. Following the papal audience, the President also held talks with Secretary of State, Archbishop Pietro Parolin and with the Vatican’s ‘foreign minister’ or Secretary for Relations with States, Archbishop Dominique Mamberti.

A statement from the

Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya Tatu ya Kipindi cha Mwaka A wa Kanisa

Tupo pamoja tena nawe katika jiji la upendo wa Mungu, yaani Neno lake ambalo daima latupatia uzima na pia latufanya tuwe huru katika maisha yetu kama kweli tunaliishi na kulifuata kwa unyenyekevu. Ni Dominika ya III ya kipindi cha kawaida cha mwaka A, kipindi cha matumaini kama ambavyo chajionesha katika mavazi ya Misa Takatifu, yaani rangi ya kijani.

Masomo tunayoyatafakari tunayapata katika kitabu cha Isaya 9:1-4, 1Kor. 1:10-13,17 na Injili Mt. 4:12-23. Masomo haya yanatupa mwaliko wa kuona na kuupokea mwanga wa Kristu unaoanza

Pope Francis: appeal for peace in Syria



(Vatican Radio) Pope Francis appealed for peace in Syria on Wednesday, offering prayers for leaders and policy experts gathering in Switzerland for a conference aimed at working toward a resolution of the Syrian civil war that has claimed more than 100 thousand lives and driven millions of people from their homes. Listen:

Speaking at the end of his weekly General Audience, Pope Francis said, “I ask the Lord to touch the hearts of all [parties and participants], that, looking only to the greater good of the so sorely tried Syrian people, they might spare no effort to reach as quickly as possible the cessation of violence and the end of the conflict, which has already caused too much suffering.”

The Holy Father went on to say, “I hope for dear nation of Syria [that it undertake] with conviction the path of reconciliation, concord and reconstruction with the participation of all citizens, in which everyone can find in the other, not an enemy, not a rival, but a brother to welcome and embrace.”

The “Geneva 2” international conference for peace in Syria opens Today, Wednesday, January 22nd, in Montreaux, Switzerland, with negotiations to continue in Geneva starting on Friday, January 24th.



Text from page http://en.radiovaticana.va/news/2014/01/22/pope_francis:_appeal_for_peace_in_syria/en1-766183
of the Vatican Radio website

Jifunueni wazi kwa Injili na maajabu ya Mungu – Papa

Jumatatu , Baba Mtakatifu Francisko, alisema uhuru wa Mkristo hupatikana katika utulivu wa kulisikiliza Neno la Mungu na kuliishi. Papa alieleza wakati akihubiri katika Ibada ya Misa, asubuhi, katika Kanisa dogo la Mtakatifu Marta, ndani ya Vatican. Papa alisema daima ni lazima kuwa tayari kuupokea ujumbe wa injili na miujiza ya Mungu aliyo ihifadhi kwa ajili yetu sisi.

Alisisitiza kwamba,

Wakristu toeni cheche za imani yenu kila siku.



Jumapili, Papa Francisko alifanya ziara ya Kichungaji , katika Kanisa la Moyo Mtakatifu wa Yesu la Roma , katika mtazamo wa adhimisho la 100 tangu Kanisa kuanzisha Siku ya Kimataifa kwa ajili ya kujali hali ya Wahamiaji na Wakimbizi.
Kanisa hilo, ambalo pia lina hadhi ya Basilika, lililoko karibu na Kituo cha Kikuu Treni cha Kati, jijini Roma , huendeshwa na Wamisionari WaSalesians ya Don

Taharuki ya Mtakatifu Yosefu! Mtu wa haki!



“Kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa hivi. Maria mama yake, alipokuwa mchumba wa Yosefu, kabla hawajakaa pamoja alionekana na mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Mumewe Yosefu akiwa mtu mwadilifu, hakupenda kumwaibisha hadharani. Basi akanuia kumwacha kwa siri.”
(Mt 1:18-19)

Moja ya kifungu cha maneno

Nyumba ya Papa ni mali ya Wakatoliki wote!

Baba Mtakatifu Francisko, Alhamisi, tarehe 16 Januari 2014 amekutana na kuzungumza na wafanyakazi wanaotekeleza dhamana na utume wao kwenye Makazi ya Papa mjini Vatican. Baba Mtakatifu amewashukuru kwa huduma na ukarimu wanaowashirikisha wageni mbali mbali wanaofika mjini Vatican kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na Khalifa wa Mtakatifu Petro.

Baba Mtakatifu anasema kwamba, Nyumba ya Papa ni mali ya Waamini wote wa Kanisa Katoliki; mahali ambapo wanaonja tone la upendo na moyo wa ukarimu wa kifamilia pamoja na msaada wa kulinda na kudumisha imani ambayo ni zawadi kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Mmiliki mkuu wa Nyumba ya Kipapa ni Yesu mwenyewe na wengine wote ni wafuasi na wahudumu wa Injili.

Baba Mtakatifu anasema kutokana uelewa huu, kuna haja kwa wafanyakazi hao kukuza na kudumisha majadiliano ya kina kwa njia ya sala, ili kuimarisha urafiki na uhusiano wa ndani kabisa, tayari kutolea ushuhuda wa upendo na huruma ya Mungu kwa watu wake. Wafanyakazi hawa anasema Baba Mtakatifu wanapotekeleza utume wao, kazi inaweza kuwa ni fursa ya kuwashirikisha wengine furaha ya kuwa ni sehemu ya Fumbo la Mwili wa Kristo, yaani Kanisa.

Baba Mtakatifu anawaalika kuwa makini katika kuisikiliza sauti ya Mwenyezi Mungu inayowaita kila siku, kumtumikia kwa ukomavu na moyo wa ukarimu. Baba Mtakatifu amewatakia wafanyakazi hawa pamoja na familia zao, kheri na baraka kwa Mwaka Mpya 2014.

Ujumbe wa Papa Francisko kwa ajili ya Siku ya Wakimbizi na Wahamiaji Duniani kwa Mwaka 2014



Hali ya wakimbizi, wahamiaji na watu wasiokuwa na makazi maalum inahitaji kuangaliwa kwa usawa na ukamilifu zaidi, kwa njia ya ushirikiano wa kimataifa unaosimikwa katika mshikamano na huruma.

Hiki ndicho kiini cha ujumbe wa Siku ya 100 ya Wakimbizi na Wahamiaji inayoadhimishwa na Mama Kanisa kila mwaka ifikapo tarehe 19 Januari. Ujumbe wa Baba Mtakatifu Francisko kwa Mwaka 2014 unaongozwa na kauli mbiu “Wahamiaji na wakimbizi: kuelekea ulimwengu bora zaidi”.

Tafakari ya Neno la Mungu, Sherehe za Ubatizo wa Bwana



Mpendwa mwana wa Mungu, tuko tena pamoja katika ile habari ya furaha ndiyo kushirikishana mapendo ya Mungu kwa njia ya meza ya Neno lake.

Leo ndipo tunahitimisha kipindi cha Noeli kwa Sikukuu ya Ubatizo wa Bwana na tunaanza kipindi cha kawaida cha mwaka wa Kanisa. Kumbe leo pia ni Dominika ya kwanza ya kipindi cha kawaida cha mwaka wa Kanisa.

Katika somo la kwanza Nabii Isaya anatupeni habari juu ya mtumishi wa Mungu ambaye anapokea Roho wa Mungu na kazi

Vatican kujieleza kuhusu kashfa za ngono


Papa Francis
Maafisa katika Vatican makao makuu ya kanisa katoliki, wanatarajariwa kuhojiwa na maafisa wa Umoja wa Mataifa kuhusu dhuluma za kingono ambazo makasisi wa kanisa hilo waliwatendea maelfu ya watoto.
Maafisa hao walikataa ombi la awali ambapo Umoja wa Mataifa ulikuwa unataka taarifa za kina kuhusu dhuluma za kingono wakisema kuwa visa hivyo vinapaswa kushughulikiwa na idara ya mahakama katika mataifa ambako visa hivyo vilitokea

Idadi ya waamini na mahujaji waliokutana na Papa Francisko kwa Mwaka 2013 imeongezeka!

Takwimu zinaonesha kwamba, tangu Baba Mtakatifu Francisko alipochaguliwa kuliongoza Kanisa Katoliki hapo tarehe 13 Machi 2013, zaidi ya watu millioni sita wamekutana na kushiriki katika matukio mbali mbali yaliyoendeshwa na Baba Mtakatifu katika kipindi hiki hadi kufikia mwanzo mwa Januari 2014. Waamini, mahujaji na wageni walioshiriki katika katekesi zake zinazotolewa kila Jumatano walikuwa ni1, 548, 500.


Baba Mtakatifu alifanikiwa kukutana na kuzungumza na watu 87, 400 kwa faragha. Waamini na mahujaji wapatao 2, 282, 000 walishiriki katika Ibada mbali mbali zilizoongozwa na Baba Mtakatifu Francisko kwenye Uwanja wa Kanisa kuu la Mtakatifu Petro na ndani ya Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican. Waamini zaidi ya 2, 706, 000 wameshiriki katika Sala ya Mchana na Baba Mtakatifu Francisko.

Takwimu hizi ni zile tu zilizokusanywa mjini Vatican na wala hazihusishi matuko kama: Maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani kwa Mwaka 2013yaliyofanyika nchini Brazil, kule Rio de Janeiro; wala safari zake za kichungaji ndani ya Italia, Lampedusa, Cagliari na Assisi hata katika baadhi ya Parokia zilizoko katika Jimbo kuu la Roma.

Kwa ujumla waamini na watu wenye mapenzi mema wapatao 6, 623, 000 wamekutana na kushiriki katika Ibada, Katekesi na Sala zilizokuwa zinaongozwa na Baba Mtakatifu Francisko. Itakumbukwa kwamba, idadi hii ya watu ni ile tu ambayo ni rasmi kwa wale watu walioomba tiketi kutoka Vatican. Kumekuwepo na umati mkubwa wa watu wanaomiminika kwenye matukio mbali mbali anayoshiriki Baba Mtakatifu Francisko, hii inatokana na mvuto alionao kwa watu!


Uraibu wa sigara wawavutia wengi


Athari za uvutaji sigara
Idadi ya wavutaji wa sigara duniani imeongezeka kwa karibu bilioni moja kwa mujibu wa takwimu mpya.
Watafiti walioandika katika jarida la Shirika la madaktari la Marekani wanasema hata hivyo kuwa idadi hiyo ni ndogo ikilinganishwa na ongezeko la watu kwa ujumla duniani na kuelezea haja ya juhudi zaidi kufanyika kuwazuia watu kuwa na tabia hiyo.
Idadi ya watu wanaovuta sigara kila siku duniani imepanda kwa kiwango cha watu takriban milioni 250 million kati ya mwaka 1980 na 2012, kwa mujibu wa ripoti .

Matumaini ya kupata chanjo dhidi ya Malaria kwa Mwaka 2014?



Kuna matumaini makubwa kwa Bara la Afrika katika kipindi cha Mwaka 2014 kuweza kupata kinga dhidi ya ugonjwa wa Malaria ambao umekuwa ni tishio kwa maisha na maendeleo ya wananchi wengi Barani Afrika. Majaribio ya chanjo yaliyofanywa kwa watoto 15, 500 yanaonesha kwamba, ugonjwa wa Malaria ulipingua kwa kipindi cha miezi 18 ya majaribio ya chanjo hii mpya. 


Kampuni ya GlaxosmithKline inatarajiwa

مجلة لا شيفيلتا كاتوليكا تنشر نص الحوار بين البابا فرنسيس واتحاد الرؤساء العامين





نشرت مجلة لا شيفيلتا كاتوليكا يوم أمس الجمعة نص الحوار الذي أقامه البابا فرنسيس مع اتحاد الرؤساء العامين في التاسع والعشرين من تشرين الثاني نوفمبر الماضي، وأعلن الحبر الأعظم في ختام هذا اللقاء أن العام 2015 سيكون عام الحياة المكرسة. استغرق هذا الحوار قرابة الثلاث ساعات وتمحور حول أبرز التحديات المطروحة اليوم أمام الحياة الرهبانية والكنيسة بصورة عامة. قال البابا إن الرهبان والراهبات يتبعون الرب بطريقة خاصة ونبوية، وينبغي بالتالي أن يكونوا رجالا ونساء قادرين على إيقاظ العالم. وحض على تفادي التطرف الأصولي والنظر إلى الواقع