Week Hot newz

Mbwana Samatta Mchezaji Bora Wa Mwaka

samattaMshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka na mashabiki wa klabu yake ya TP Mazembe katika ya mchezaji bora wa mwaka wa klabu hiyo iliyopewa jina la “Corbeau d’Or”. Samatta ambaye amepewa jina la utani la “Samagoal” na mashabiki wa TP Mazembe aliwabwaga wachezaji wengine watano waliokuwa wakishindana.
Baada ya zoezi zima la upigaji kura matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:
1. Mbwana Samatta – Kura 248
2. Asante Solomon – Kura 219
3. Robert Kidiaba – Kura 200
4. Nathan Sinkala – Kura 97
5. Rainford Kadaba – Kura 67

BATAROKOTA AJA NA SONGI `IROMBO LISE`

Msanii wa ngw`anza  fleva toka jijini Mwanza Batarokota mkali wa kurap kwa lugha ya kishahili na kisukuma, msanii huyu ndani ya wiki hii ameibuka na audio ya songi mpya 'irombo lise`, nyimbo hii imerekodiwa ndani ya studio ya Sun light Record iliyo mji kasoro bahari mjini Morogoro maeneo ya Kihonda (Mazimbu Road) . Songi hiyo 'irombo lise' imerekodiwa na kutengenezwa midundo na watayarishaji Batarokota akishirikiana na King Malo. Akizungumnza kwa njia ya simu toka mjini Morogoro msanii Batarokota alisema `nashukuru Mungu mwaka umeanza na nimemaliza kurekodi nyimbo yangu ya kisukuma iitwayo `irombo lise` yaaani Dada yetu na sasa niko katika maandalizi ya video ` alesema msanii Batarokota .Pia baada ya kumaliza na audio Batarokota na sasa video ya song hili 'irombo lise' na kufanyiwa shootingi chini ya usimamizi wa kampuni ya Batarokota iitwayo Paskal Linda Blog kwa udhamini wa Zachalia Linda Entertinment.

Upatu unadhalilisha utu na heshima ya binadamu!



Baba Mtakatifu Francisko wakati wa Katekesi yake Siku ya Jumatano, tarehe 29 Januari 2013 alikemea vikali tabia ya michezo ya upatu inayodhalilisha utu na heshima ya binadamu na kwa kusema kwamba, huu si Ukristo wala si ubinadamu; ni tabia ambayo inapaswa kukomeshwa ndani ya Jamii kwani inawasababishia watu majanga ya maisha! 


Baba Mtakatifu ameyasema hayo wakati alipokuwa anawasalimia wawakilishi wa Mfuko wa Yohane Paulo II wa washauri dhidi ya upatu kitaifa, ambao baadaye jioni waliadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye

AZAM YAPANDA KILELENI, KIPRE AMKAMATA TAMBWE KWA MAGOLi

Azam FC imeonyesha kama wakizubaa, basi inabeba ubingwa baada ya kuichapa Rhino ya Tabora kwa bao 1-0 na kupaa kileleni mwa ligi.

Kwa ushindi huo, Azam FC imesikisha pointi 33 na kuiteremsha Yanga yenye pointi 32 ambayo ilikuwa inaongoza hadi mwishoni mwa mzunguko wa kwanza.

Kabla ya kushuka uwanjani leo mjini Tanga, Yanga ilikuwa na pointi 31, pointi moja zaidi ya Azam FC, lakini sare dhidi ya Coastal imeifanya ishike nafasi ya pili.

Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Mbagala jijini Dar, bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kipre Herman Tchetche raia wa Ivory Coast.



Azam inayofundishwa na Kocha Omog raia wa Cameroon ilionyesha soka la taratibu lakini pasi za taratibu na uhakika na mwisho ikafanikiwa kushinda.

Azam FC imeonyesha kama wakizubaa, basi inabeba ubingwa baada ya kuichapa Rhino ya Tabora kwa bao 1-0 na kupaa kileleni mwa ligi.

Kwa ushindi huo, Azam FC imesikisha pointi 33 na kuiteremsha Yanga yenye pointi 32 ambayo ilikuwa inaongoza hadi mwishoni mwa mzunguko wa kwanza.

Kabla ya kushuka uwanjani leo mjini Tanga, Yanga ilikuwa na pointi 31, pointi moja zaidi ya Azam FC, lakini sare dhidi ya Coastal imeifanya ishike nafasi ya pili.

Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Mbagala jijini Dar, bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Kipre Herman Tchetche raia wa Ivory Coast.

Azam inayofundishwa na Kocha Omog raia wa Cameroon ilionyesha soka la taratibu lakini pasi za taratibu na uhakika na mwisho ikafanikiwa kushinda.

Wajawazito 1,500 wakutwa na VVU


Wajawazito 1,500 wakutwa na VVU 
JUMLA ya wanawake wajawazito 1,576 kati ya 42,712 waliopima

Yanga yashikwa, Azam kileleni


Mabingwa Yanga walishikwa kwa sare ya 0-0 ugenini mkoani Tanga dhidi ya Coastal Union na kushuhudia wakitema uongozi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya Azam FC kushinda 1-0 dhidi ya Rhino Rangers na kushika usukani wa ligi.

Mbeya City ambao waliianza siku ya jana wakiwa na pointi 30 sawa na Azam, nao walidondosha pointui mbili jana kufuatia sare ya 1-1 ugenini Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mabatini.

Matokeo hayo yalimaanisha kwamba Azam sasa wako kileleni mwa msimam

Ni uchawi wa Uturuki, Oman Mkwakwani

WAKATI mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), Yanga, wakitarajiwa kushuka kwenye dimba la Mkwakwani jijini Tanga kuwavaa wenyeji Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ leo, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limewataka mashabiki watakaosafiri kwenda huko kuhakikisha wanakamilisha kununua tiketi za elektroniki.
Yanga iliyotoka kusaka makali

Jitahidini kuangalia ukweli katika jicho la Kristo!

Katika Maadhimisho ya Kumbu kumbu ya Mtakatifu Thoma wa Akwino, Mwalimu wa Kanisa na msimamizi wa Taasisi za Kipapa, Jumanne tarehe 28 Januari 2014, Taasisi za Kipapa zilifanya kikao cha hadhara kilichohudhuriwa na viongozi wa Kanisa, Serikali,

Makumbusho ya Vatican ni kati ya vivutio vikuu mjini Vatican!

Zaidi ya watu millioni 5. 5 walitembelea Makumbusho ya Vatican katika kipindi cha Mwaka 2013. Hii ni habari njema kwa kuona kwamba, kuna mamillioni ya watu wanaovutwa kutembelea hazina kubwa ya binadamu inayohifadhiwa kwenye Makumbusho ya Vatican. Watu zaidi ya millioni mbili kila mwaka hutembelea kitengo

Papa kuadhimisha Siku ya Watawa Duniani!



Baba Mtakatifu Francisko katika Maadhimisho ya Siku kuu ya Kutolewa Bwana Hekaluni sanjari na Siku ya Watawa Duniani, Jumapili ijayo tarehe 2 Februari 2014, kuanzia saa 4:00 asubuhi kwa saa za Ulaya anatarajiwa kuadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican.


Tiketi za kuingilia kwenye Ibada hii zinapatikana kwenye Ofisi za Baraza la Kipapa la Mashirika ya Kitawa na Kazi za Kitume iliyoko mjini Roma kuanzia Alhamisi tarehe 30 hadi Ijumaa tarehe 31 Januari 2014, kuanzia saa 2:30 hadi saa 7: 00 Mchana

Masalia ya Mwenyeheri Yohane Paulo II yaibwa mjini Aquila!



Askofu mkuu Giuseppe Petrocchi wa Jimbo kuu la Aquila, Italia amewaandikia waamini wake barua kuonesha masikitiko makubwa baada ya watu wasiojulikana kuvunja Madhabau ya Mtakatifu Petro della Jenca na kuiba masalio ya damu ya Mwenyeheri Yohane Paulo II na kufanya kufuru ndani ya Kanisa,

Imported mosquitoes caused Gauteng Malaria


Two cases of malaria reported in southern Johannesburg were likely caused by mosquitoes that were accidentally imported from malaria areas, the Gauteng health department said on Sunday.
"Although the Gauteng province is not a malaria endemic area, there have been cases where the malaria ...infected mosquitoes were imported into the province by people travelling from Malaria endemic areas...," spokesman Simon Zwane said in a statement.
These imported

Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa


Pichani Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (70) ni mgonjwa, imetangazwa.

Taarifa ya kuugua kwa Kardinali Pengo, kiongozi wa kiroho anayeaminika kwa kukosoa uovu unaofanywa kwenye jamii, imetangazwa na Askofu Msaidizi wa kanisa hilo jimboni humo, Mhashamu Titus Mdoe.

Mdoe, alitoa taarif

Jengeni na kudumisha utamaduni wa kukutana na watu bila woga, ili kuwaonjesha Injili ya Furaha!

Liturujia ya Neno la Mungu, Jumapili ya tatu ya Kipindi cha Mwaka wa Kanisa, inamwonesha Yesu akianza utume na maisha yake ya hadhara nje ya Mji wa Yerusalem, uliokuwa ni kitovu cha maisha ya kidini, kijamii na kisiasa. Yesu anaamua kuanza utume huu mjini Galilaya ya watu wa Mataifa, mji ambao ulikuwa na watu kutoka katika mataifa, tamaduni na dini mbali mbali, kielelezo cha

Church Leaders Meet Ukraine's President As Protests Spread



(Vatican Radio)-- Ukraine's embattled President Viktor Yanukovich has been meeting with church leaders as anti-government protests are spreading throughout the country. The talks came after the president met the European Union's enlargement commissioner who is in the country to mediate following battles that killed at least three demonstrators.

The office of Ukraine's President

Waraka kuhusu Elimu Katoliki wazinduliwa mjini Vatican

Majiundo ya majadiliano ya kitamaduni katika shule za Kikatoliki: ili kuishi kwa pamoja utamaduni wa upendo. Ni hati iliyowasilishwa kwa waandishi wa habari mjini Vatican na Viongozi wakuu wa Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki, chini ya uongozi wa Kardinali Zenon Grocholewski

Ni hati ambayo imepitishwa na Baba Mtakatifu Francisko hapo tarehe 28 Oktoba 2013,

Pope Francis and French President discuss shared concerns



(Vatican Radio) Pope Francis met with French President Frannçois Hollande on Friday morning to discuss shared concerns and the good relations that exist between France and the Holy See. Following the papal audience, the President also held talks with Secretary of State, Archbishop Pietro Parolin and with the Vatican’s ‘foreign minister’ or Secretary for Relations with States, Archbishop Dominique Mamberti.

A statement from the

Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya Tatu ya Kipindi cha Mwaka A wa Kanisa

Tupo pamoja tena nawe katika jiji la upendo wa Mungu, yaani Neno lake ambalo daima latupatia uzima na pia latufanya tuwe huru katika maisha yetu kama kweli tunaliishi na kulifuata kwa unyenyekevu. Ni Dominika ya III ya kipindi cha kawaida cha mwaka A, kipindi cha matumaini kama ambavyo chajionesha katika mavazi ya Misa Takatifu, yaani rangi ya kijani.

Masomo tunayoyatafakari tunayapata katika kitabu cha Isaya 9:1-4, 1Kor. 1:10-13,17 na Injili Mt. 4:12-23. Masomo haya yanatupa mwaliko wa kuona na kuupokea mwanga wa Kristu unaoanza

Pope Francis: appeal for peace in Syria



(Vatican Radio) Pope Francis appealed for peace in Syria on Wednesday, offering prayers for leaders and policy experts gathering in Switzerland for a conference aimed at working toward a resolution of the Syrian civil war that has claimed more than 100 thousand lives and driven millions of people from their homes. Listen:

Speaking at the end of his weekly General Audience, Pope Francis said, “I ask the Lord to touch the hearts of all [parties and participants], that, looking only to the greater good of the so sorely tried Syrian people, they might spare no effort to reach as quickly as possible the cessation of violence and the end of the conflict, which has already caused too much suffering.”

The Holy Father went on to say, “I hope for dear nation of Syria [that it undertake] with conviction the path of reconciliation, concord and reconstruction with the participation of all citizens, in which everyone can find in the other, not an enemy, not a rival, but a brother to welcome and embrace.”

The “Geneva 2” international conference for peace in Syria opens Today, Wednesday, January 22nd, in Montreaux, Switzerland, with negotiations to continue in Geneva starting on Friday, January 24th.



Text from page http://en.radiovaticana.va/news/2014/01/22/pope_francis:_appeal_for_peace_in_syria/en1-766183
of the Vatican Radio website

Jifunueni wazi kwa Injili na maajabu ya Mungu – Papa

Jumatatu , Baba Mtakatifu Francisko, alisema uhuru wa Mkristo hupatikana katika utulivu wa kulisikiliza Neno la Mungu na kuliishi. Papa alieleza wakati akihubiri katika Ibada ya Misa, asubuhi, katika Kanisa dogo la Mtakatifu Marta, ndani ya Vatican. Papa alisema daima ni lazima kuwa tayari kuupokea ujumbe wa injili na miujiza ya Mungu aliyo ihifadhi kwa ajili yetu sisi.

Alisisitiza kwamba,