
Walcot amekuwa akiigua kwa kwaribu miezi miwili
Theo Walcott huenda akaichezea
Arsenal siku ya jumamosi ikiwa kwa mara ya kwanza katika kipindi cha
zaidi ya miezi miwili baada ya kupona kutokana na majeruhi ya tumbo.
Walcott yumo katika kikosi cha kupambana na klabu yake ya zamani Southampton siku ya Jumamosi.
Walcott mwenye umri wa miaka
24-aliumia katika pambano la ligi dhidi ya Stoke September 22 baada ya
kutegua maumivu aliyopata katika pambano la siku nne zilizotangulia
dhidi ya Marseille.
"hajachezea hata kikosi cha akiba lakini nitamjumuisha katika kikos ikamili cha Jumamosi '' alisema kocha Arsene Wenger.
"yuko mzima kabisa."
Awali Wenger alimtumia Serge Gnabry kuchezea nafasi iliyoachwa na Walcott, lakini tangu wakati huo safu yake ya kiungo ilimaarishwa na kurejea kwa Mikel Arteta naJack Wilshere.
"Theo ana sifa tofauti na wachezaji wengine na nimefurahi sana kwamba amerejea" alisema Wenger
"hajachezea hata kikosi cha akiba lakini nitamjumuisha katika kikos ikamili cha Jumamosi '' alisema kocha Arsene Wenger.
"yuko mzima kabisa."
Awali Wenger alimtumia Serge Gnabry kuchezea nafasi iliyoachwa na Walcott, lakini tangu wakati huo safu yake ya kiungo ilimaarishwa na kurejea kwa Mikel Arteta naJack Wilshere.
"Theo ana sifa tofauti na wachezaji wengine na nimefurahi sana kwamba amerejea" alisema Wenger
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni