- Kila mmoja wetu anafahamu kwamba Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Rolihlahla Mandela amefariki dunia jana December 6, 2013. Rais JM Kikwete pia akatangaza siku 3 za maombolezo kuanzia leo Dec 6 mpaka Dec 8 na bendera ya Tanzania itapepea nusu mlingoti siku zote hizo.
Lakini kesho jumamosi Dec 7, 2013 ile timu yetu ya Wadada iliyowabugiza Msumbiji bao KUMI BILA uwanja wa Taifa inatakiwa kucheza na wadada wenzao wa Afrika Kusini (Basetsana) kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia kwa wasichana wenye umri chini ya miaka 20 katika Uwanja wa Taifa.
Week Hot newz
-
Prayer in Time of Anger Lord Jesus, there is anger in my heart and I cannot root it out. I know that I should calm down and offer the hu...
-
Dear Lord! Fill our parents with Thy choicest blessings; enrich their souls with Thy holy grace; grant that they may faithfully and cons...
-
na Paskal Linda-Dar es salaam SHULE ya Msingi St. Joseph iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi wa...
-
Baba Mtakatifu Francisko anawataka wadau mbali mbali wa s...
-
The Prayer Thank You God! Dear Loving and Compassionate God, Giver of all gifts, we pray especially today for the mercy and love You give...
-
A Prayer for Grandparents. Jesus our Savior As your grandson. I know that every period Of our lives Has its responsibiliti...
-
Guardian Angel Prayer #2 (This is an old Guardian Angel Prayer) O Holy Angel, attendant of my wretched soul and of mine afflicted li...
-
Canticle of Brother Sun and Sister Moon of St. Francis of Assisi Most High, all-powerful, all-good Lord, All praise is Yours, all glory,...
-
Family Blessing at a Gathering Father in Heaven, We praise You for giving us Your Son To be our Saviour and Lord. Bless us all as we g...
Kesho ni Basetsana na Tanzanite
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni