Week Hot newz

'Kura ya Ballon d'Or ngumu ngumu zaidi'

Michel Platini


Rais wa Uefa Michel Platini amesema shughuli ya kuchagua nani kati ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Franck Ribery atatunukiwa Ballon d'Or "ndiyo ngumu zaidi katika historia ya tuzo hiyo."

Katika mahojianio na gazeti la michezo la kila siku Uhispania la AS, mshindi huyo mara tatu wa Ballon d'Or winner kutoka Ufaransa alifanyia mzaha uamuzi wa Fifa wa kusongesha siku ya mwisho ya kupiga kura kwa wiki mbili hadi Novemba 29

Alisema “hili lilifanyika ili kuingiana na Ureno kufika fainali za Kombe la Dunia kupitia mabao matatu ya Ronaldo."
Platini anasema Andres Iniesta au Xavi Hernandez wangemshinda Messi kwa tuzo hiyo ya 2010 baada ya kusaidia Uhispania kushinda Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza kabisa nchini Afrika Kusini.
Mshindi wa Ballon d'Or will atatangazwa Januari 13.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni