Week Hot newz

Papa Francisko Mwezi Novemba kutembelea Africa

Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki (KCCB), Askofu  Philip Anyolo, ametangaza rasmi juu ya ujio wa Papa nchini Kenya kwamba itakuwa mwezi Novemba 2015.  Hilo limo katika barua yake kwa Waamini Wakristo aliyoitoa kwa niaba ya Maaskofu,tarehe 27, Agosti, 2015.  Askofu Anyolo kasema, "Baba Mtakatifu amekubali mwaliko wa Maaskofu wa kuitembelea  Kenya mwezi Novemba 2015.

Anyolo Askofu, wa Jimbo la  Homabay, pia anasema , ziara ya Papa ni ziara ya kichungaji, na hivyo Kanisa litashirikiana na Serikali ya Kenya, katika maandalizi na ufanikishaji.Askofu Anyolo ameeleza na kuomba sala za waamini na msaada wa kihali kwa ajili ya kufanikisha ziara ya Papa nchini Kenya.

Maaskofu wa Kenya katika ziara yao akitume ya kila baada ya miaka mitano katika  Ofisi za Idara ya Curia ya Roma na Kiti Kitakatifu , waliyoifanya hapo  13-17th, Aprili, 2015, walitoa mwaliko kwa  Baba Mtakatifu alitembelee taifa la Kenya.
Katika ziara hii ya kwanza kwa Papa Francisco kuzuru bara la  Afrika, pia atatembelea Uganda na Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Papa Francisko asema Wakristo wanaendelea kuteseka kimyakimya


Jumatatu hii 7 Septemba katika Kanisa dogo la Mtakatifu Marta ndani ya Vatican, wakati wa Ibada ya Misa ya mapema asubuhi, Baba Mtakatifu Francisco, aliongoza Ibada ya Misa akishirikiana na  Patriaki wa Cilicia ya Armenia, aliyechaguliwa hivi karibuni, Mwenye Heri Gregory Petro XX. Katika Ibada hiyo, wakiwepo pia Maaskofu wa Sinodi ya Kitume ya Armenia ya Kanisa Katoliki, na Kardinali Leonardo Sandri, Mkuu wa Usharika kwa ajili ya Makanisa Katoliki ya Mashariki.
Papa katika homilia yake baada ya masomo ya siku alivyozungumzia jinsi leo hii Wakristo wengi, wanavyoendelea kuteseka katika maeneo mengi, na huku viongozi wenye mamlaka duniani, wakikalia kimya uhalifu huo. Amesema hata leo hii pengine hata zaidi ya siku za nyuma , Wakristo wanateseka kuuawa au kufukuzwa katika nchi zao kwa sababu tu ya imani yao kwa Kristo.
Papa kwa uchungu, amewatia moyo Wakristo akisema, ndugu zangu wapendwa kwa hakika hakuna Ukristo usioandamana na mateso. Na alieleza na kukumbusha juu ya Heri” Heri yenu ninyi watu wakiwatukana , wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu juu yangu ,furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni”. Leo hii hilo linatokea mbele ya dunia na viongozi wameshindwa kusitisha uovu huo.  Wakristo wanapita katika kipindi kigumu cha njia ya mateso , kama ilivyokuwa kwa Kristo mwenyewe.  
Papa alieleza na kukumbuka Madhulumu haya kwa Wakristo, Taifa la Armenia likiwa moja ya Mataifa ambako Wakristo wengi waliipita njia hii ya mateso.  Taifa la kwanza kuongokea Ukristo. Papa alieleza na kuwakumbuka pia Wakristo wa Libya, Misri, Iraki  wanaochinjwa kama kuku kwa kuitangaza Injili ya Kristo.
Papa amesali ili Bwana leo hii aweze kutufanya sisi sote kusikia ndani ya mwili wake Kanisa, upendo mkuu kwa ajili ya wafia dini wa wakati wetu na pia katika kuwa tayari kufa kifo dini. Na kwamba , hakuna Mkristo mwenye kujua hatima ya maisha yake mbele ya uso huu wa madhulumu. Na hivyo ni vyema kuiomba neema ya Bwana ili kama hili litatokea siku moja , tuwe na ushupavu wa kutoa ushahidi wetu  kama wafia dini wengine walivyotuonyesha. Na hasa Wakristo wa Armenia.
Papa Francisko  awali alitoa  barua  kwa Patriaki mpya wa  Cicilia ya Armenia, ambayo ni tahafifu mpya kwa ajili ya  ushirikiano na Makanisa ya  Mashariki, barua ya tarehe  25 Julai 2015. Aidha taarifa za awali zinaeleza, kabla ya Ibada ya Misa , viongozi hawa wawili, walipata nafasi ya kubadilishana zawadi, tukio linalotajwa kuwa ni ishara ya wazi ya umoja wa kikanisa unaoridhiwa na  Baba Mtakatifu Francisko   na Mwenye Heri Gregorio Pietro Ghabroyan , Patriaki wa Cecilia ya Armenia.  Imetajwa hizi ni hisia wazi na ukweli hai wenye kuhamasishwa na Upendo wa Kikristo.

Sin

The Seven Deadly Sins We should not be satisfied merely to keep the commandments of God, but should always be ready to do good deeds, even when they are not commanded. The commandments of God state the minimum requirements for salvation. They should be kept not merely according to the letter, but also according to the spirit, which obliges us to strive for greater perfection.
Actual sin is any willful thought, desire, word, action or ommission forbidden by the law of God.

PRIDE

Unrestrained appreciation of our own worth.

GREED

Immoderate desire for earthly goods.

LUST

Hankering for impure pleasures.

ANGER

Inordinate desire for revenge.

GLUTTONY

Unrestrained use of food and drink.

ENVY

Sorrow over another's good fortune.

SLOTH

Laxity in keeping the Faith and the practice of virtue, due to the effort involved.

THE FOUR SINS CRYING TO HEAVEN FOR VENGEANCE

  1. Willful murder (including abortion)
  2. The sin of Sodom.
  3. Oppression of the poor.
  4. Defrauding laborers of their wages.

THE SIX SINS AGAINST THE HOLY SPIRIT

  1. Presumption of God's mercy.
  2. Despair.
  3. Impugning the known truth.
  4. Envy at another's spiritual good.
  5. Obstinacy in sin.
  6. Final impenitence.

NINE WAYS OF BEING ACCESSORY TO ANOTHER'S SIN

  1. By counsel.
  2. By command.
  3. By consent.
  4. By provocation.
  5. By praise or flattery.
  6. By concealment.
  7. By partaking.
  8. By silence.
  9. By defense of the ill done

Parent's Prayer

All praise to You, Lord Jesus,
Lover of children:
Bless our family,
And help us to lead our children to You.

Give us light and strength,
And courage when our task is difficult.
Let Your Spirit fill us with love and peace,
So that we may help our children to love You.

All glory and praise are Yours, Lord Jesus,
For ever and ever.

Amen.

Daily Reading for Wednesday, September 9th, 2015


Reading 1, Colossians 3:1-11

1 Since you have been raised up to be with Christ, you must look for the things that are above, where Christ is, sitting at God's right hand.
2 Let your thoughts be on things above, not on the things that are on the earth,
3 because you have died, and now the life you have is hidden with Christ in God.
4 But when Christ is revealed -- and he is your life-you, too, will be revealed with him in glory.
5 That is why you must kill everything in you that is earthly: sexual vice, impurity, uncontrolled passion, evil desires and especially greed, which is the same thing as worshipping a false god;
6 it is precisely these things which draw God's retribution upon those who resist.
7 And these things made up your way of life when you were living among such people,
8 but now you also must give up all these things: human anger, hot temper, malice, abusive language and dirty talk;
9 and do not lie to each other. You have stripped off your old behaviour with your old self,
10 and you have put on a new self which will progress towards true knowledge the more it is renewed in the image of its Creator;
11 and in that image there is no room for distinction between Greek and Jew, between the circumcised and uncircumcised, or between barbarian and Scythian, slave and free. There is only Christ: he is everything and he is in everything.

Responsorial Psalm, Psalms 145:2-3, 10-11, 12-13

2 Day after day I shall bless you, I shall praise your name for ever and ever.
3 Great is Yahweh and worthy of all praise, his greatness beyond all reckoning.
10 All your creatures shall thank you, Yahweh, and your faithful shall bless you.
11 They shall speak of the glory of your kingship and tell of your might,
12 making known your mighty deeds to the children of Adam, the glory and majesty of your kingship.
13 Your kingship is a kingship for ever, your reign lasts from age to age. Yahweh is trustworthy in all his words, and upright in all his deeds.

Gospel, Luke 6:20-26

20 Then fixing his eyes on his disciples he said: How blessed are you who are poor: the kingdom of God is yours.
21 Blessed are you who are hungry now: you shall have your fill. Blessed are you who are weeping now: you shall laugh.
22 'Blessed are you when people hate you, drive you out, abuse you, denounce your name as criminal, on account of the Son of man.
23 Rejoice when that day comes and dance for joy, look!-your reward will be great in heaven. This was the way their ancestors treated the prophets.
24 But alas for you who are rich: you are having your consolation now.
25 Alas for you who have plenty to eat now: you shall go hungry. Alas for you who are laughing now: you shall mourn and weep.
26 'Alas for you when everyone speaks well of you! This was the way their ancestors treated the false prophets.

St. Peter Claver

Short Cuts
Image of St. Peter Claver

Facts

Feastday: September 9
Patron Saint of Negro Missions
Birth: 1580
Death: 1654


St. Peter Claver was born at Verdu, Catalonia, Spain, in 1580, of impoverished parents descended from ancient and distinguished families. He studied at the Jesuit college of Barcelona, entered the Jesuit novitiate at Tarragona in 1602 and took his final vows on August 8th, 1604. While studying philosophy at Majorca, the young religious was influenced by St. Alphonsus Rodriguez to go to the Indies and save "millions of perishing souls."
In 1610, he landed at Cartagena (modern Colombia), the principle slave market of the New World, where a thousand slaves were landed every month. After his ordination in 1616, he dedicated himself by special vow to the service of the Negro slaves-a work that was to last for thirty-three years. He labored unceasingly for the salvation of the African slaves and the abolition of the Negro slave trade, and the love he lavished on them was something that transcended the natural order.
Boarding the slave ships as they entered the harbor, he would hurry to the revolting inferno of the hold, and offer whatever poor refreshments he could afford; he would care for the sick and dying, and instruct the slaves through Negro catechists before administering the Sacraments. Through his efforts three hundred thousand souls entered the Church. Furthermore, he did not lose sight of his converts when they left the ships, but followed them to the plantations to which they were sent, encouraged them to live as Christians, and prevailed on their masters to treat them humanely. He died in 1654.

Daily Reading for Tuesday, September 8th, 2015


Reading 1, Micah 5:1-4

1 But you (Bethlehem) Ephrathah, the least of the clans of Judah, from you will come for me a future ruler of Israel whose origins go back to the distant past, to the days of old.
2 Hence Yahweh will abandon them only until she who is in labour gives birth, and then those who survive of his race will be reunited to the Israelites.
3 He will take his stand and he will shepherd them with the power of Yahweh, with the majesty of the name of his God, and they will be secure, for his greatness will extend henceforth to the most distant parts of the country.
4 He himself will be peace! Should the Assyrian invade our country, should he set foot in our land, we shall raise seven shepherds against him, eight leaders of men;

Responsorial Psalm, Psalms 13:6, 6


Gospel, Matthew 1:1-16, 18-23

1 Roll of the genealogy of Jesus Christ, son of David, son of Abraham:
2 Abraham fathered Isaac, Isaac fathered Jacob, Jacob fathered Judah and his brothers,
3 Judah fathered Perez and Zerah, whose mother was Tamar, Perez fathered Hezron, Hezron fathered Ram,
4 Ram fathered Amminadab, Amminadab fathered Nahshon, Nahshon fathered Salmon,
5 Salmon fathered Boaz, whose mother was Rahab, Boaz fathered Obed, whose mother was Ruth, Obed fathered Jesse;
6 and Jesse fathered King David. David fathered Solomon, whose mother had been Uriah's wife,
7 Solomon fathered Rehoboam, Rehoboam fathered Abijah, Abijah fathered Asa,
8 Asa fathered Jehoshaphat, Jehoshaphat fathered Joram, Joram fathered Uzziah,
9 Uzziah fathered Jotham, Jotham fathered Ahaz, Ahaz fathered Hezekiah,
10 Hezekiah fathered Manasseh, Manasseh fathered Amon, Amon fathered Josiah;
11 and Josiah fathered Jechoniah and his brothers. Then the deportation to Babylon took place.
12 After the deportation to Babylon: Jechoniah fathered Shealtiel, Shealtiel fathered Zerubbabel,
13 Zerubbabel fathered Abiud, Abiud fathered Eliakim, Eliakim fathered Azor,
14 Azor fathered Zadok, Zadok fathered Achim, Achim fathered Eliud,
15 Eliud fathered Eleazar, Eleazar fathered Matthan, Matthan fathered Jacob;
16 and Jacob fathered Joseph the husband of Mary; of her was born Jesus who is called Christ.
18 This is how Jesus Christ came to be born. His mother Mary was betrothed to Joseph; but before they came to live together she was found to be with child through the Holy Spirit.
19 Her husband Joseph, being an upright man and wanting to spare her disgrace, decided to divorce her informally.
20 He had made up his mind to do this when suddenly the angel of the Lord appeared to him in a dream and said, 'Joseph son of David, do not be afraid to take Mary home as your wife, because she has conceived what is in her by the Holy Spirit.
21 She will give birth to a son and you must name him Jesus, because he is the one who is to save his people from their sins.'
22 Now all this took place to fulfil what the Lord had spoken through the prophet:
23 Look! the virgin is with child and will give birth to a son whom they will call Immanuel, a name which means 'God-is-with-us'.

St. Adrian

Short Cuts
Image of St. Adrian

Facts

Feastday: September 8
Patron of plague, epilepsy, arms dealers, butchers, guards, soldiers
Death: 306

According to legend Adrian was a pagan officer at the imperial court of Nicomedia. Impressed by the courage of a group of Christians who were being tortured, he declared himself a Christian and was imprisoned with them and suffered excruciating tortures before he was put to death. His young wife, Natalia, who was present at his death, comforted him in his agony, recovered one of his severed hands, and took it to Argyropolis near Constantinople, where she fled to escape the importunities of an imperial official of Nicomedia who wanted to marry her. She died there peacefully on December 1. Adrian is the patron of soldiers and butchers.

Perfect Youth Group-Mbuga zetu Ngoma.AVI

Prayer of the Day for Tuesday, September 8, 2015

A Prayer for Grandparents.
 
 
Jesus our Savior As your grandson. I know that every period Of our lives Has its responsibilities As well as its joys.
Today, it seems That grandparents Have either too little Use or too much; Either we are shunted aside To do nothing, Or we are called upon To do everything.
Help me to know Just where my duties lie In my particular situation And to carry them out as best I can.
Take care of my family, My children, and their children. Inspire them all To follow your Grandson And lead truly Christian lives.
Keep all of us In your loving care, Never let us turn away from Jesus, And help us in the end To receive the joy Of entering into your Grandsons� Glorious presence forever.
Good St. Ann pray for us grandparents.
Amen.
Dear St. Ann, You were truly twice blessed To have our blessed Mother As your daughter And

Prayer of the Day for Monday, September 7, 2015

Prayer When Using Holy Water By this holy water
and by Your Precious Blood,
wash away all my sins, O Lord.

Daily Reading for Monday, September 7th, 2015


Reading 1, Colossians 1:24--2:3

24 It makes me happy to be suffering for you now, and in my own body to make up all the hardships that still have to be undergone by Christ for the sake of his body, the Church,
25 of which I was made a servant with the responsibility towards you that God gave to me, that of completing God's message,
26 the message which was a mystery hidden for generations and centuries and has now been revealed to his holy people.
27 It was God's purpose to reveal to them how rich is the glory of this mystery among the gentiles; it is Christ among you, your hope of glory:
28 this is the Christ we are proclaiming, admonishing and instructing everyone in all wisdom, to make everyone perfect in Christ.
29 And it is for this reason that I labour, striving with his energy which works in me mightily.
1 I want you to know, then, what a struggle I am having on your behalf and on behalf of those in Laodicea, and on behalf of so many others who have never seen me face to face.
2 It is all to bind them together in love and to encourage their resolution until they are rich in the assurance of their complete understanding and have knowledge of the mystery of God
3 in which all the jewels of wisdom and knowledge are hidden.

Responsorial Psalm, Psalms 62:6-7, 9

6 He alone is my rock, my safety, my stronghold, so that I stand unwavering.
7 In God is my safety and my glory, the rock of my strength. In God is my refuge;
9 Ordinary people are a mere puff of wind, important people a delusion; set both on the scales together, and they are lighter than a puff of wind.

Gospel, Luke 6:6-11

6 Now on another Sabbath he went into the synagogue and began to teach, and a man was present, and his right hand was withered.
7 The scribes and the Pharisees were watching him to see if he would cure somebody on the Sabbath, hoping to find something to charge him with.
8 But he knew their thoughts; and he said to the man with the withered hand, 'Get up and stand out in the middle!' And he came forward and stood there.
9 Then Jesus said to them, 'I put it to you: is it permitted on the Sabbath to do good, or to do evil; to save life, or to destroy it?'
10 Then he looked round at them all and said to the man, 'Stretch out your hand.' He did so, and his hand was restored.
11 But they were furious and began to discuss the best way of dealing with Jesus.

St. Cloud

Short Cuts
Image of St. Cloud

Facts

Feastday: September 7
Patron of against carbuncles; nail makers; Diocese of Saint Cloud, Minnesota
Birth: 522
Death: 560

On the death of Clovis, King of the Franks, in the year 511 his kingdom was divided between his four sons, of whom the second was Clodomir. Thirteen years later he was killed fighting against his cousin, Gondomar, leaving three sons to share his dominions. The youngest of these sons of Clodomir was St. Clodoald, a name more familiar to English people under its French form of Cloud from the town of Saint-Cloud near Versailles. When Cloud was eight years old, his uncle Childebert plotted with his brother, to get rid of the boys and divide their kingdom. The eldest boy, Theodoald was stabbed to death. The second, Gunther fled in terror, but was caught and also killed. Cloud escaped and was taken for safety into Provence or elsewhere.
Childebert and his brother Clotaire shared the fruits of their crime, and Cloud made no attempt to recover his kingdom when he came of age. He put himself under the discipline of St. Severinus, a recluse who lived near Paris, and he afterwards went to Nogent on the Seine and had his heritage where is now Saint-Cloud. St. Cloud was indefatigable in instructing the people of the neighboring country, and ended his days at Nogent about the year 560 when he was some thirty-six years old. St. Cloud's feast day is September 7th.

Farijianeni ninyi kwa ninyi kwa maneno na matendo mema, wala siyo porojo


Papa Francis katika adhimisho la misa - ANSA

Tarehe 1 Septemba Baba mtakatifu Francis ameanza maadhimisho ya misa ya kila Siku katika Kanisa dogo  la Mtakatifu  Marta mjini Vatican baada ya kusitisha karibia kwa kipindi cha miezi miwili.
katika mahubiri yake amegusia juu nguvu ya mkristo anaiyopata kutoka kwa Yesu mwenyewe, kwasababu matumaini ya kukutana na Yesu mwishoni inakufanya utie   juhudi kati ya wakristo wenyewe kwa wenyewe katika  kufarijiana  kwa maneno mema na matendo , na wala siyo porojo zisizo faa .
Aliyasema hayo akichambua  jumuiya ya kale ya Watesalonike katika somo la liturjia ya siku ambapo Mtakatifu Paulo alikuwa akiwaelekeza kutokana na mahangaiko ya maswali mengi juu ya ujio wa Yesu, hadi kufikia kukaa bila kazi, na mtakatifu Paulo akawahasa yakuwa asiyefanya kazi na hasile
Mtakatifu Paulo anaeleza ya kuwa siku ya Bwana itakuja kwa ghafla , kama vile mwizi,pia anaongeza Yesu atakuja kuleta wokovu  kwa yule  anaye mwamini; kwahiyo alitoa wito wa kufarijiana mmoja kwa mwingine.Papa aliongeza , hiyo ndiyo faraja ambayo inaleta matumaini.
 Aidha aliendelea ; huo ndiyo ushauri wa kufarijiana, mmoja kwa mwingine, Vilevile papa aliuliza maswali;  je wote tunafanya hivyo kusubiri ujio wa Bwana ambaye atakuja kukutana nasi?  au ni kuongelea juu ya mambo mengi na hata ya teolojia , mambo ya kanisa, ya mapadre ya  watawa , ya munsinyo na yote hayo , je  Ndiyo faraja ya  matumaini yetu?
Papa alikazia , farijianeni katika Jumuiya na katika maparokia, lakini je ujio wa Bwana unaongelewa katika maparokia na katika jumuiya zetu au ni kupiga porojo za hiki na kile kwaajili ya kupitisha wakati?
Papa alikumbusha  kiitikio cha zaburi "nina uhakika wa kuuona wema wa Bwana katika nchi ya walio hai. Je una uhakika wa kutafakari wema wa Bwana? 
Lakini upo Mmano wa kuigwa wa  Ayubu pamoja na matukio yake aliyoyapata , yeye  aliweza  kutamka  ya kuwa "ninatambua ya kuwa  Mungu yu hai, nitamwona, na kwa macho  yangu haya  nitamwona".
Papa alisema ni ndiyo hakika Yeye atakuja kuhukumu , na tunapokwenda kwenye Kanisa la makumbusho la Sistina  upo mchoro mzuri sana  wa hukumu ya mwisho ni wa kweli , lakini je tunafikiria juu ya ujio wake ambapo atatukuja,  na sisi tutamwona kwa macho yetu , tutamkubatia daima. Ndiyo matumaini ya Mtume Paulo anayotuleza kufarijiana  kwa matendo mema , na  kwa manufaa ya kila mmoja
Alimalizia akisema ,tuombe neema hii ya kwamba mbegu iliyo pandwa mioyoni mwetu ikue na hatimaye ipate kukutana na Yeye

Teknolojia hii pia izingatie viwango vya ubora


Katika kuimarisha mahusiano ya kimataifa, kuimarika kwa uchumi wa nchi, uwekezaji na rasilimali za nchi nk. vyote kwa umoja wake ni biashara, hakuna ajenda itakayozungumzika karne hii kama haina maslahi ya kibiashara.

Wengine hudhani biashara inaweza kuanzishwa tu kiholela bila kuweka vigezo vinavyozingatia ubora wa bidhaa husika, wakati mwingine kutokana na unyeti wa teknolojia mpya, wachache huchukulia kama ni fursa ya kuingiza teknolojia hiyo sokoni bila kuangalia kama inakidhi viwango vya ubora.

Katika hatua za kuimarisha bidhaa zinazokubalika, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wiki hii lilitangaza uwepo wa vipande vya umemejua ambavyo havina ubora kwa soko la ndani, na TBS tayari limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini wanaponunua vifaa vya kutengenezea mfumo huo wa umemejua.

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Umma cha TBS, Roida Andusamile alisema kumepatikana taarifa za uchunguzi wa maabara uliofanywa kwa sampuli zaidi ya 10 za vipande vya umemejua ambavyo alisema vilichukuliwa vikiwa tayari madukani vikiuzwa.

Roida alisema iligundulika kuwa sampuli zote za vipande vya umemejua vilivyochukuliwa baada ya kupimwa havikuwa katika ubora unaokubalika kisheria.

Hilo ni tatizo kubwa, linahitaji mamlaka nyingine zisaidiane na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kupitia bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa kwa teknolojia mpya ya kisayansi ili kuthibitisha kuwa ni salama na zinakuwa katika ubora unaokubalika.

Zipo hasara kubwa mbili zinazoweza kutokea katika utumiaji wa bidhaa hafifu kama hivyo vipande husika vya umemejua, kwanza hitilafu ya umeme unaozalishwa na vipande hivyo unaweza kuathiri mfumo wa umeme unaozalishwa, na pili ni hasara ya fedha kwa kununua vipande hivyo visivyo na ubora.

Teknolojia ya kuzalisha umeme kutumia vipande vya umemejua imekua kwa haraka katika kipindi cha uhaba mkubwa wa umeme ambao ulisababisha kuwepo kwa mgawo wa umeme nchini.

Baadhi ya watu wakaamua kutumia njia mbadala ya kupata umeme, matokeo yake ni kubuni na kutengeneza vipande vya umemejua visivyo na ubora katika soko la ndani.

Hata hivyo TBS iligundua uwepo wa vipande hivyo baada ya kupewa malalamiko na watumiaji wa umemejua wakaamua kushirikiana na Taasisi ya Nishati Jadidifu (TAREA).

Baada ya kupata taarifa hizo, Roida Andusamile alisema maofisa wa wao pamoja na TAREA walishirikiana pamoja na kufanya manunuzi maalum kwenye maduka mbalimbali ya vifaa hivyo yaliyoko Kariakoo.

Roida anasema manunuzi waliyafaya kwenye mitaa ya Msimbazi na Kongo pamoja na eneo la Keko-Mwanga na kupata sampuli ambazo baada ya kuzipima wakagundua ziko chini ya viwango vya ubora.

Roida alisisitiza kuwa hata wataalam waliofanya kazi ya kuvipima vipande hivyo, waligundua uwepo wa kasoro nyingi ambazo zilisababisha vifaa hivyo viwekwe katika kundi la bidhaa zilizo chini ya viwango vya ubora.

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti Ubora cha TBS, Ashura Kilewela alitaja maduka ambako vifaa hivyo vilinunuliwa kuwa ni Keoali Power &Equipment Co Limited, Regal Solar Limited na duka la Nishati Electronics Limited.

Kilewela alisema walichukua hatua zaidi kwa kuzuia vipande 1,321 vya umemejua visiuzwe kutoka dula la Regal Solar, na pia vipande 164 kutoka duka la Nishati Electronics kutokana na kutiliwa shaka ya ubora wake, na baadaye ilithibitika kuwa vipande hivyo ni kweli vilikuwa havina ubora.

Tunaamini kuwa jitihada za kutambua bidhaa ‘feki’ zinazoingia sokoni zitategemea ushirikiano kutoka kwa walaji watakaotoa taarifa kwa mamlaka husika kama TBS ili wao waweze kuchukua hatua stahiki.

Katika kadhia hiyo, Katibu Mtendaji wa TAREA, Mathew Matimbwi alisema kulikuwepo na kasoro nyingine katika vipande hivyo ambazo ni seli za vipande hivyo kuwa na rangi mbili badala ya moja na pia hazikuandikwa nchi zilikotengenezwa.

Maoni: 0715-047304 au owdenkyambile@gmail.com
CHANZO: NIPASHE JUMAPILI

Daily Reading for Sunday, September 6th, 2015


Reading 1, Isaiah 35:4-7

4 and say to the faint-hearted, 'Be strong! Do not be afraid. Here is your God, vengeance is coming, divine retribution; he is coming to save you.'
5 Then the eyes of the blind will be opened, the ears of the deaf unsealed,
6 then the lame will leap like a deer and the tongue of the dumb sing for joy; for water will gush in the desert and streams in the wastelands,
7 the parched ground will become a marsh and the thirsty land springs of water; the lairs where the jackals used to live will become plots of reed and papyrus.

Responsorial Psalm, Psalms 146:7, 8-9, 9-10

7 gives justice to the oppressed, gives food to the hungry; Yahweh sets prisoners free.
8 Yahweh gives sight to the blind, lifts up those who are bowed down.
9 Yahweh protects the stranger, he sustains the orphan and the widow. Yahweh loves the upright,but he frustrates the wicked.
10 Yahweh reigns for ever, your God, Zion, from age to age.

Gospel, Mark 7:31-37

31 Returning from the territory of Tyre, he went by way of Sidon towards the Lake of Galilee, right through the Decapolis territory.
32 And they brought him a deaf man who had an impediment in his speech; and they asked him to lay his hand on him.
33 He took him aside to be by themselves, away from the crowd, put his fingers into the man's ears and touched his tongue with spittle.
34 Then looking up to heaven he sighed; and he said to him, 'Ephphatha,' that is, 'Be opened.'
35 And his ears were opened, and at once the impediment of his tongue was loosened and he spoke clearly.
36 And Jesus ordered them to tell no one about it, but the more he insisted, the more widely they proclaimed it.
37 Their admiration was unbounded, and they said, 'Everything he does is good, he makes the deaf hear and the dumb speak.'

Reading 2, James 2:1-5

1 My brothers, do not let class distinction enter into your faith in Jesus Christ, our glorified Lord.
2 Now suppose a man comes into your synagogue, well-dressed and with a gold ring on, and at the same time a poor man comes in, in shabby clothes,
3 and you take notice of the well-dressed man, and say, 'Come this way to the best seats'; then you tell the poor man, 'Stand over there' or 'You can sit on the floor by my foot-rest.'
4 In making this distinction among yourselves have you not used a corrupt standard?
5 Listen, my dear brothers: it was those who were poor according to the world that God chose, to be rich in faith and to be the heirs to the kingdom which he promised to those who love him.

St. Eleutherius

Short Cuts
Image of St. Eleutherius

Facts

Feastday: September 6
Death: 585

A wonderful simplicity and spirit of compunction were the distinguishing virtues of this holy man. He was chosen abbot of St. Mark's near Spoleto, and favored by God with the gift of miracles. A child who was possessed by the devil, being delivered by being educated in his monastery, the Abbot said one day: "Since the child is among the servants of God, the devil dares not approach him." These words seemed to savor of vanity, and thereupon the devil again entered and tormented the child.
The Abbot humbly confessed his fault, and fasted and prayed with his whole community till the child was again freed from the tyranny of the fiend. St. Gregory, the Great, not being able to fast on Easter-eve on account of extreme weakness, engaged this Saint to go with him to the church of St. Andrew's and offer up his prayers to God for his health, that he might join the faithful in that solemn practice of penance.
Eleutherius prayed with many tears, and the Pope, coming out of the church, found that he was enabled to perform the fast as he desired. It is also said that St. Eleutherius raised a dead man to life. Resigning his abbacy, he died in St. Andrew's monastery in Rome about the year 585.

Ndoa kadiri ya mpango wa Mungu ni kati ya Bwana na Bibi na wala si vinginevyo!

Kanisa linasadiki na kufundisha kwamba, Mwenyezi Mungu ambaye ni asili na kiini cha upendo amemuumba mtu kwa upendo na amemwita kupenda. Kwa kuumba mwanaume na mwanamke, aliwaita katika Ndoa kuwa na umoja wa dhati wa maisha na upendo kati yao, ndiyo maana si wawili tena, bali wamekuwa ni mwili mmoja. Mwenyezi Mungu amewabariki ili wazae na kuongezeka. Mafundisho ya Kanisa kuhusu ndoa yanaweza yasiwafuraishe baadhi ya watu ndani ya jamii lakini yataendelea kubaki jinsi yalivyo. Huu ni mkazo ambao umetolewa hivi karibuni na Kardinali John Onaiyekan, Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Abuja, Nigeria wakati alipokuwa anatembelea Jimbo Katoliki la Makurdi. Itakumbukwa kwamba, wakati wa ziara yake ya kikazi Barani Afrika hivi karibuni, Rais Barack Obama wa Marekani akiwa nchini Kenya pamoja na mambo mengine aliitaka Serikali ya Kenya kuheshimu uhuru wa watu wanaoshabikia ndoa za watu wa jinsia moja na kamwe wasibaguliwe. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya alijibu na kusema, ndoa za watu wa jinsia moja si kipaumbele cha Serikali ya Kenya.
Msimamo huu wa Rais Barack Obama umechafua mawazo ya wanachi wengi Barani Afrika kwa kusema kwamba, huu si utamaduni wa kiafrika na wala si kielelezo cha haki msingi za binadamu. Kardinali Onayekan anasema, Kanisa litaendelea kutangaza kweli na shuhuda za Kiinjili kwa watu wa mataifa, hata kama kumong’onyoka kwa misingi ya maadili na utu wema kunaonekana kuwa ni haki binafsi.
Kardinali Onayekani anasikitika kusema kwamba, mambo kama ndoa za watu wa jinsia moja yanaonekana kuwa ni mambo ya kawaida, kiasi hata cha kutungiwa na kushabikiwa na sheria. Hata kama yamekubalika katika baadhi ya nchi si kweli kwamba ni matendo ya haki. Hakuna ndoa ya kweli kadiri ya mpango wa Mungu kati ya watu wa jinsia moja.
Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S.
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican kwa msaada wa CISA.

Mlevi nawalaani wakumbafu na waropokaji


Pamoja na kupiga tubangi na kanywaji bado mzee mzima najua mipaka yangu. Najua kuwa ninapotaka kuongea lazima kuhakikisha kuwa kichwa na mdomo vinafanya mawasiliano. Huwa nahakikisha sijambi au kunonihino kwa mdomo tena usawa huu wa umri huu hata kama kufanya hivyo kunawavutia na kuwafurahisha inzi. Ninapoongea huwa nahakikisha sipayuki, situsi, sikebehi, wala kusingizia bali kutoboa ukweli.
 
Mfano, hata ninapoandika kuhusu hawa wababu waropokaji na watukanaji kama Beni Tunituni wa Kiwila bado siwezi kuwaita wakumbafu hata kama ni malofa wa kimawazo na heshima bado siwezi kuwaita malofa japo kweli ni malofa. 
 
Nikiwaita malofa, wenye akili watashindwa kutofautisha kati ya lofa na tajiri wa fikra. Kwa wanaojua sayansi ya tabia na mikakati ni kwamba dalili ya kwanza ya ulofa wa kimawazo na ukumbafu ni kutumia mitusi tena ya nguoni kama silaha au namna ya kupata ulaji.
 
Pamoja na kupayuka kwake, nakubaliana na Beni kuwa wapingaji ni malofa kweli kweli. Kwani kwa ulofa wao wameweza kuvua papa wawili toka chama Cha Maulaji (cCM). Si hilo tu, ukilinganisha utajiri utokanao na ufisadi na ujambazi mwingine, uwezekano wa wapingaji kuwa malofa ni mkubwa japo hakuna kipengele hata kimoja kinachowaonyesha kuwa wakumbafu. Nadhani wangekuwa wapumbavu wasingeweza kuvuna vigogo na mibuyu toka cCM.
 
Sometimes, nyani haoni kundule. Sijui kama tutaanza kutafutana uchawi kati ya wapingaji na wale waliowabinafsisha wenzao nao wakajibinafsisha nani atakuwa lofa kimawazo na mkumbafu wa kweli? Sijui hawa wanaowaita wenzao wakumbafu wanamaanisha nini iwapo wao wamekaa kwenye ulaji na kuruhusu kila aina ya kibaka kutoka nje na ndani kuwaibia walevi?
 
Je? huu si ukumbafu wa kupindukia? 
 
Kama siyo, inakuwaje wale walioko ndani wanakosa la kusema na kuwaonyesha walevi badala yake wanakimbilia mitusi, kutumia ndata kuwatisha na kuwazuia kufanya kampani zao? Inakuwaje kama si ukumbafu wa kukaa kwenye mjengo na jumba lenyewe wakashindwa kutimiza walichoahidi hadi sasa wanaanza kutegemea mitusi, vitisho na uchakachuaji?
 
Laiti hawa wanaowaita wakumbafu wenzao wangewauliza mafisadi kama akina Rugemalayer na Singasinga na wengine waliowatumia huko nyuma wangejua ni wapumbavu kiasi gani. Hivi majambazi kama wale wa India waitwao ‘RITES’ waliopewa reli zetu wakajiibie watakao wanadhani wanawaona washitiri wao kama wajanja au wakumbafu tu wa kawaida? 
 
Kawaulize wahalifu wote waliokingiwa kifua kuanzia wale walioghushi, waliofilisi mashirika ya walevi na wengine wanaouza pasi zetu na kutumia mipaka yetu kama vitega uchumi wao wanawaonaje hawa wanowaachia wakafanya uhalifu kama huu wa kuhujumu kaya.
 
Loo! Naona mibangi kanywaji na usongo vinapanda hadi naanza kuongea ‘kikameruni’ bure.
 
Tena kabla ya kusahau, lazima niseme wazi na kwa herufi na sauti kubwa: ‘walaaniwe mabingwa wa mitusi.’ 
 
Walaaniwe wakumbafu wote wanaoleta upumbavu wa kuita wenzao wapumbavu wakati wao ndiyo. Tatizo na fyatu wengine ni kwamba wakiharibikiwa wanadhani kila mlevi ameharibikiwa. Kama wewe ni mvuta bangi au mlevi basi si wote waliokuzunguka ni walevi. Kama wewe ni kibaka usidhani wote ni vibaka. Kama wewe ni lofa usidhani kila mlevi ni lofa. Kama wewe ni mkumbafu, usidhani kila mlevi ni mkumbafu. Kwa vile nina usongo na wakumbafu pamoja na ukumbafu, naona leo niishie hapa kwa kuwataka wakumbafu wasituletee ukumbafu na mitusi yao. Wasitujazie mbu. Watuache na amani yetu vinginevyo kuna mikumbafu itajikuta The Hague wakila ugali na wmalofu wengine kama akina Laurent Gbagbo Ivory Coast na Charles Taylor wa Liberia.
 
Ongeza msamiati maneno magumu, ukumbafu ni kufanya ndiyo siyo au bila kutumia bongo zote Mkumbafu ni yule anayefanya ukumbafu. 
 
CHANZO: NIPASHE