Week Hot newz

China na Marekani zaafiki vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini



Leo Rais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini baada ya taifa hilo kufanyia majaribio silaha za nyuklia na makombora hivi majuzi.
Msemaji wa ikulu ya White House amesema Marekani na jamii ya kimataifa hawatavumilia “shughuli haramu za nyuklia” zinazotekelezwa na Korea Kaskazini.
Awali, ikulu ya White House iliishutumu Korea Kaskazini ikisema inawatumia raia wa Marekani kama rahani katika juhudi za kuendeleza ajenda yake ya kisiasa.

Bw Otto Warmbier, mwenye umri wa miaka 21, alikiri kuiba bango la kisiasa katika hoteli alimokuwa akikaa pamoja na kundi jingine la watalii mjini Pyongyang.
Marekani imeitaka Korea Kaskazini kumwachilia huru mwanafunzi huyo mara moja.

Pope Francis' prayer intentions for March 2016

Jesus triumphant entry into Jerusalem [Palm Sunday]


By Adelaide Mena (CNA/EWTN News)
3/16/2016 (15 hours ago)
Catholic Online (www.catholic.org)
The feast commemorates Jesus' triumphant entry into Jerusalem the week before his passion.
With Palm Sunday right around the corner, Catholics across the globe will soon be handed leaves as they walk into church. Some might fold them into elaborate little crosses. Kids will poke each other with them. But it's safe to say most won't know where they came from. 
Washington D.C., (CNA/EWTN News) - The feast commemorates Jesus' triumphant entry into Jerusalem the week before his passion and crucifixion. The Gospels attest that as Jesus entered the city, crowds lay down palm branches and cloaks as he rode into Jerusalem on a donkey.

For centuries, Christians have commemorated the feast day that begins Holy Week by waving branches of either palm or another local tree, as well as with liturgical processions and other celebrations.

In the U.S. alone, nearly 18,000 Catholic parishes will celebrate Palm Sunday by blessing and distributing palm branches to the faithful. That makes millions of palm leaves each year - and that doesn't include all of the Protestant churches that observe the tradition.

Where do all those palms come from? While many Catholics know the final destination of their palms - they are burned to become ashes for next year's Ash Wednesday - the origin of the leafy branches is less well known.

The journey from tree to church begins with the harvesters around the world who cut and prepare the leaves for their role in worship. The work needed to provide palms for Palm Sunday is so immense that it actually constitutes a full-time year-round job for some harvesters.

Thomas Sowell is one such palm harvester from Florida who has been helping to supply parishes with fresh palm leaves for more than five decades. Sowell began harvesting wild palm leaves from trees as a child to earn extra money in the springtime. Over the past several decades, he has grown his business into a palm supplier that ships the leafy branches to all 50 states and Canada.

Despite the growth in his business, Sowell says he tries to maintain his focus on the purpose behind it all.

"We try to do the best job that we can," he told CNA. "Every bag that we send out to churches, every individual bag has been examined, cleaned - we go to extreme measures to make sure that everything we do for these churches is done in the honor of Jesus Christ."

While there are more than 2,600 different species of palm that grow across the world, palm plants cannot survive outside of tropical and subtropical climates. Historically, parishes that could not source palm locally would instead substitute branches of another local tree such as olive or willow, although modern churches also have the option of sourcing palm fronds from other regions of the world.

In the United States and Canada, most parishes seek out suppliers who deliver fresh palms shortly before Palm Sunday, said Fr. Michael J. Flynn, Secretariat of Divine Worship for the U.S. Conference of Catholic Bishops.

Many of these parishes contact church goods suppliers such as Peter Munley of Falls Church, Virginia, who helps provide parishes year-round with supplies like candles and sacramental wine, along with palms for Holy Week.

Munley told CNA that in preparation for Palm Sunday, he works to deliver palms from their source to different parishes that place orders around the country. In addition to Florida, palms are sourced from Texas, California and elsewhere in the Southern United States, he said.

While nearly all of the palms Munley sells are individually pre-cut, church goods suppliers also helps to source decorative palms for altar centerpieces and larger palm fronds as well. Dealers also work to ensure that palms get burnt and ground into ashes for Ash Wednesday, for parishes that cannot burn the palms for ashes themselves.

Daily Reading for Thursday, March 17th, 2016 HD




Reading 1, Genesis 17:3-9
3 And Abram bowed to the ground. God spoke to him as follows,
4 'For my part, this is my covenant with you: you will become the father of many nations.
5 And you are no longer to be called Abram; your name is to be Abraham, for I am making you father of many nations.
6 I shall make you exceedingly fertile. I shall make you into nations, and your issue will be kings.
7 And I shall maintain my covenant between myself and you, and your descendants after you, generation after generation, as a covenant in perpetuity, to be your God and the God of your descendants after you.
8 And to you and to your descendants after you, I shall give the country where you are now immigrants, the entire land of Canaan, to own in perpetuity. And I shall be their God.'
9 God further said to Abraham, 'You for your part must keep my covenant, you and your descendants after you, generation after generation.

Responsorial Psalm, Psalms 105:4-5, 6-7, 8-9

4 Seek Yahweh and his strength, tirelessly seek his presence!
5 Remember the marvels he has done, his wonders, the judgements he has spoken.
6 Stock of Abraham, his servant, children of Jacob whom he chose!
7 He is Yahweh our God, his judgements touch the whole world.
8 He remembers his covenant for ever, the promise he laid down for a thousand generations,
9 which he concluded with Abraham, the oath he swore to Isaac.

Gospel, John 8:51-59

51 In all truth I tell you, whoever keeps my word will never see death.
52 The Jews said, 'Now we know that you are possessed. Abraham is dead, and the prophets are dead, and yet you say, "Whoever keeps my word will never know the taste of death."
53 Are you greater than our father Abraham, who is dead? The prophets are dead too. Who are you claiming to be?'
54 Jesus answered: If I were to seek my own glory my glory would be worth nothing; in fact, my glory is conferred by the Father, by the one of whom you say, 'He is our God,'
55 although you do not know him. But I know him, and if I were to say, 'I do not know him,' I should be a liar, as you yourselves are. But I do know him, and I keep his word.
56 Your father Abraham rejoiced to think that he would see my Day; he saw it and was glad.
57 The Jews then said, 'You are not fifty yet, and you have seen Abraham!'
58 Jesus replied: In all truth I tell you, before Abraham ever was, I am.
59 At this they picked up stones to throw at him; but Jesus hid himself and left the Temple.

Ziara Ya Rais Magufuli Arusha

Magufuli aapisha wakuu wa Mikoa, awaonya


RAIS Dk John Pombe Magufuli amewaapisha wakuu wa mikoa aliowateua hivi karibuni na kuwapa maagizo mazito. Rais amewaambia wakafanye kazi ya kutatua kero za wananchi na sio kwenda kufanya siasa.
Katika hotuba yake fupi kwao, Rais amewapa wakurugenzi wa halmashauri siku 15 wawatoe katika Orodha ya Malipo ya Mshahara (Pay Roll) wafanyakazi hewa wote katika halmashauri zote nchini.
Ameonya kuwa halmashauri yoyote baada ya muda huo itakayokuwa na mfanyakazi hewa, mkurugenzi wake atakuwa amejifuta kazi mwenyewe.
Vilevile Rais amewaagiza mawaziri wokati wowote kuwaeleza watendaji wao wawaondoe wafanyakazi hewa wote ndani ya kipindi hicho cha siku 15 na kubainisha kuwa watakaoshindwa kutekeleza agizo hilo watafukuzwa kazi kwani sheria ni msumeno.
Rais ameeleza matumaini yake kuwa kupitia kwa wakuu hao wa mikoa, kero nyingi zitamalizwa na wananchi watakuwa huru katika nchi yao. Baadhi ya kero ambazo Rais amezigusia ni migogoro ya wafugaji na wakulima, ukosefu wa usalama barabarani hadi mabasi kusindikizwa na polisi pamoja na tatizo la njaa.

Jua lanaswa na mwezi Indonesia

Raia Indonesia wameshuhudia jua likizibwa kikamilifu na mwezi.

wiki hii siku ya tarehe 9 Marchi 216 Indonesia ndio nchi pekee iliyoshuhudia tukio hilo kote duniani.
Hoteli zilizopo katika maeneo mazuri ya kushuhudiwa jua likinaswa zilijaa miezi kadhaa iliopita na katika baadhi ya maeneo ilibidi maafisa watafute nafasi za ziada kwa watalii waliokuwa kwenye maboti.
Katika kisiwa cha Belitung mamia ya wageni na watalii wa nchni walikusanyika katika fukwe za bahari kabla ya alfajiri. Wakati jua lilipoanza kunaswa na mwezi walishangilia na baadaye kunyamaza kimya kwa mshangao.
Wengi wamelielezea tukio hilo kama 'tukio la miujiza'. Kwa wengi Indonesia, tukio hilo linashirikishwa sana na dini na watu huomba, sherehe za kitamaduni na ngoma zimeandaliwa katika sehemu kubwa la eneo hilo.
Wanasayansi pia wamkuwepo hususan katika eneo la Maba katika visiwa vya Maluku ambako tukio hilo limeshuhudiwa kwa dakika tatu, ambao ni muda mrefu kuwahi kushuhudiwa jua likinaswa na mwezi.

Korea Kaskazini kufanyia majaribio nyuklia!


Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ametangaza kwamba taifa hilo litafanyia majaribio silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu karibuni.

Amesema majaribio hayo yataimarisha uwezo wa taifa hilo kutekeleza mashambulio ya nyuklia, vyombo vya habari vya serikali nchini humo vimeripoti.

Putin aagiza jeshi lake kuondoka Syria

Urusi ni mshirika wa karibu sana wa rais wa Syria Bashar al-Assad.
Rais wa Urusi Vladimir Putin ametoa amri kwa wanajeshi walioko Syria kurejea nyumbani mara moja kwa sababu tayari wametekeleza asilimia kubwa ya malengo yao.Akizungumza katika ikulu ya Kremlin Putin, alisema

TAARIFA ZA HIVI PUNDE;RAIS MAGUFULI ATANGAZA WAKUU WA MKOA WAPYA!



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara, ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa vituo vya kazi na 1 amepangiwa Mkoa Mpya wa Songwe.

Huruma ya Mungu inamwilishwa katika huduma ya upendo!


Huruma ya Mungu inamwilishwa katika huduma ya mapendo: kiroho na kimwili!
Siku ile iliyotangulia kuteswa kwake, Yesu aliwaosha mitume wake miguu, jambo ambalo halikumfurahisha Mtakatifu Petro kiasi cha kukataa kuoshwa miguu na Yesu. Lakini Yesu akamfafanulia maana yake, akiwataka wafuasi wake kujikita katika huduma ya upendo, kama kielelezo makini cha ushuhuda wa imani inayomwilishwa katika matendo! Yesu ni kielelezo cha hali ya juu kabisa cha

Germanwings: Madaktari watoe siri za marubani

  Rubani msaidizi, Andreas Lubitz, aliangusha makusudi ndege hiyo kwenye milima ya Alps.

Wachunguzi kutoka Ufaransa, wamependekeza sheria kali inayozuia madaktari kufichua siri za marubani wagonjwa iondolewe.Wanasema iwapo sheria hiyo isingelikuwepo , ajali iliyosababishwa na rubani mwenza aliyekuwa amezongwa na mawazo isingelitokea.

Braeking News: Al shaabab walimezima shambulizi la kuvizia la Marekani leo

Wenyeji wa eneo hilo wanasema waliamshwa na milio ya risasi na ndege za kivita zikitua na kuondoka

 Wapiganaji wa kundi la wanamgambo la Al shaabab walimezima shambulizi la kuvizia lililotekelezwa na makomando wa jeshi la Marekani usiku wa kuamkia leo.
Kwa mujibu wa Afisa mmoja wa ngazi ya juu jeshini ambaye hakutaka jina lake litajwe anasema kuwa shambulizi hilo lililotekelezwa na vikosi vya usalama la Marekani kwa ushirikiano na majeshi ya Somalia yalifanikishwa kwa kuruka kwa ndege za helikopta kwa kambi ya wapiganaji hao iliyoko Awdhegle, takriban kilomita 50 Kusini mwa Somalia.

Michezo: Samata kuiongoza Taifa Stars AFCON

Nahodha ni Mbwana Samatta (KRC Genk), 
 
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa ametangaza kikosi cha wa wachezaji 25 kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Chad.
Mechi hiyo imeratibiwa kusakatwa tarehe 23 Machi mjini Djamena.

Dunia" Atungwa mimba ya pacha na wanaume wawili!

Mke huyo wa mtu amejipata pabaya baada ya kugunduliwa kuwa alifanya mapenzi na mwaname wa kando aliyemdunga mimba 

 Mapacha wa kipekee wamezaliwa nchini Vietnam.najua unajiuliza mapacha si kawaida tu ?
La hasha .
Mapacha hawa imegunduliwa kuwa walitungwa na baba wawili tofauti !
Amini usiamini !

Aliyenyanyasa kingono mayatima Kenya afungwa

M!mishenari mmoja wa zamani kutoka nchini Marekani amehukumiwa miaka 40 jela kwa kuwanyanyasa kingono watoto mayatima katika nyumba moja nchini Kenya.Matthew Lane Durham mwenye umri wa miaka 21,alitekeleza ''kitendo hicho kiovu kwa watoto wasioweza kujitetea'',mahakama ya Marekani ilisema.

Sanders amshinda Clinton, Trump abwagwa

 Bw Sanders alishinda Kansas na Nebraska

Bernie Sanders amemshinda Hillary Clinton katika mchujo wa chama cha Democratic uliofanyika katika jimbo la Maine.
Baada ya 91% ya kura kuhesabiwa, seneta huyo wa Vermont ana 64%, huku Clinton akiwa na 36%.
Katika chama cha Republican, Marco Rubio ameshinda kwa urahisi mchujo katika eneo la Puerto Rico, na kumbwaga bilionea Donald Trump.

Breaking newz: Bomu la laptop lalipuka Somalia

Watu 6 wamejeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika uwanja wa ndege ulioko mjini Beledweyne nchini Somalia.

Mbiu ya Imani: Watawa waliouwawa huko Yemen ni mashuhuda wa upendo!

Watawa wa Mama Theresa wa Calcutta waliouwawa huko Yemen ni mashuhuda wa upendo na wahanga wa utandawazi usiojali wala kuguswa na mahangaiko ya wengine!




Baba Mtakatifu anakaza kusema, hawa ni mashuhuda wa imani kwa nyakati hizi! Ni watu ambao hawawezi kuwa ni sehemu ya habari inayopewa uzito wa juu; kwa baadhi ya vyombo vya habari, hii si habari! Hawa ni watu wanaoyamimina maisha yao kwa ajili ya utume na maisha ya Kanisa. Ni wahanga wa mashambulizi ya kigaidi na kielelezo cha utandawazi usiojali wala kuguswa na mahangaiko ya wengine. Baba Mtakatifu anamwomba Mwenyeheri Mama Theresa wa Calcutta awasindikize watoto wake ambao wamekuwa ni mashuhuda wa upendo kwenye maisha ya uzima wa milele pamoja na kuombea amani na heshima kwa utakatifu wa maisha ya binadamu!

Pope Francis General Audience 2016.02.24