Baraza la Maaskofu Katoliki Angola, Sao Tome na Principe linasema, sera za utoaji mimba ni mauaji ya watu wasiokuwa na hatia, ni kinyume cha Amri za Mungu; utamaduni na utambulisho wa wananchi wa Angola. Wananchi wanakumbushwa kwamba, maisha ya
Week Hot newz
-
SIKU moja baada ya kifo cha Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela (95), mazishi yake yanatarajiwa kufanyika wiki m...
-
Baba Mtakatifu Francisko katika tafakari yake kwa Jumapili ya tatu ya Kipindi cha Majilio, anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi ...
-
Na Paskal Linda,Vatican. 19/12/2013 Baba Mtakatifu Francisko, Jumatano tarehe 18 Desemba 2013 amefanya mazungumzo na Papa ms...
-
Mpendwa mwana wa Mungu, leo tunasherehekea na kushangilia sherehe ya familia Takatifu. Masiha amezaliwa ndani ya familia hii....
-
Ndege iliyokuwa imetekwa Rubani msaidizi wa ndege ya abiria ya shir...
-
Na Dina Ismail, Dar es Salaam MSANII wa muziki wa asili nchini, Pascal linda maarufu kama Batarokota amewaomba mashabiki wa muziki nc...
Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya 32 ya Kipindi cha Mwaka C wa Kanisa
Mpendwa msikilizaji wa Neno la Mungu kipindi tafakari masomo Dominika, tayari tuko katika Dominika ya 32 ya mwaka C wa Kanisa, ni Dominika ambayo kwayo tunafunga wiki ambamo tuliwakumbuka na kuwaombea marehemu wetu.
Na kwa hakika Neno la Mungu ambalo tunalitafakari Dominika hii lina jambo la pekee linalogusa marehemu na nyakati za mwisho. Ujumbe wa Neno la Mungu kwa ufupi ni kwamba Mungu ni Mungu wa wazima na si wa wafu.
Na kwa hakika Neno la Mungu ambalo tunalitafakari Dominika hii lina jambo la pekee linalogusa marehemu na nyakati za mwisho. Ujumbe wa Neno la Mungu kwa ufupi ni kwamba Mungu ni Mungu wa wazima na si wa wafu.
St. Joseph yakumbuka watoto yatima
na Paskal Linda-Dar es salaam
SHULE ya Msingi St. Joseph iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi wa shule hiyo, imetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandalwa kilichopo Mbweni Vijibweni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Wagonjwa ni hazina ya maisha na utume wa Kanisa
BABA Mtakatifu Francisko, Jumamosi, tarehe 9 Novemba 2013 amewashukuru wanachama wa Umoja wa Kitaifa wa Wasafirishaji wa Wagonjwa Lourdes na kwenye madhabahu ya Kimataifa wakati huu,
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)


