Week Hot newz
-
Tafakari ya Neno la Mungu Jumapili ya IV ya Mwaka C wa Kanisa. - OSS_ROM 28/01/2016 14:25 Mitandao ya kijamii: “...
-
Rubani msaidizi, Andreas Lubitz, aliangusha makusudi ndege hiyo kwenye milima ya Alps. Wachunguz...
-
Baba Mtakatifu mstaafu Benedikto XVI, Ijumaa, tarehe 27 Desemba 2013 amemtembelea Papa Francisko na kupata chakula cha pamoja...
-
Watawa wa Mama Theresa wa Calcutta waliouwawa huko Yemen ni mashuhuda wa upendo na wahanga wa utandawazi usiojali wala kuguswa na maha...
-
Yesu amekuja ulimwenguni ili kuufunua, kuutangaza na kuus...
-
Daily Reading for Tuesday, March 22nd, 2016 Reading 1, Isaiah 49:1-6 1 Coasts and islands, listen ...
-
Watu 6 wamejeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika uwanja wa ndege ulioko mjini Beledweyne nchini Somalia.
-
By Paskal Linda (Batarokota Network ) Feast Day October 22 With St. John Paul II feast day just around the corner, T...
-
Baba Mtakatifu Francisko mara baada ya maadhimisho ya Ib...
Papa ahimiza, tujikabidhi katika Mkono wa Mungu aliyetuumba
Pope Francis Embraces a Modern Leper and the World is Drawn to its Knees
VATICAN CITY (Catholic Online) - On Wednesday, November 6, 2013, Pope Francis traveled through the crowd of the faithful gathered in St Peters square to hear his weekly catechesis. This is a tradition of the modern popes. Each, in their own manner and style, teach the Christian faithful on an aspect of living the Christian life.
The whole world paused in the face of an authentic witness of God's love and Mercy on Wednesday. The gates of hell were rattled. We all beheld the very heart of the Gospel of Jesus Christ spoken in a language much more powerful than words.
Salamu za pole kufatia kifo cha Kardinali Domenico Bartollucci
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani Amani
Shukrani,
Paskal linda | mtumishilinda@gmail.com
Kumbuka: Barua pepe hii ilitumwa kupitia kifaa cha Fomu ya Anwani kwenye http://paskal-linda.blogspot.c om
BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIIDIMIWE AMINA
Shukrani,
julie smith | ju2004lie2004@yahoo.com
Rest in Peace
Shukrani,
Life Giving Church | lifelivingchurch@gmail.com
Shukrani,
Paskal linda | mtumishilinda@gmail.com
Kumbuka: Barua pepe hii ilitumwa kupitia kifaa cha Fomu ya Anwani kwenye http://paskal-linda.blogspot.c
BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIIDIMIWE AMINA
Shukrani,
julie smith | ju2004lie2004@yahoo.com

Shukrani,
Life Giving Church | lifelivingchurch@gmail.com

Maaskofu wanaangalia vyombo vya mawasiliano ya jamii
Tanzia: Kardinali Domenico amefariki dunia
TUNASIKITIKA kutangaza kifo cha Kardinali Domenico Bartollucci kilichotokea leo Asubuhi Jumatatu hii 11. 11 2013. Kardinali amefikwa na mauti akiwa na umri wa miaka 96.
Kwa kifo chake, Idadi ya Makardinali imebaki 200, ambamo kati yao wenye haki ya kikatiba kupiga kura ni 109 na wasiokuwa na haki ya kupiga kura ni 91.
Marehemu kwa muda wa miaka mingi alikuwa ni Mkurugenzi wa Muziki Mtakatifu wa Kipapa katika kanisa ldo la Sistini ndani ya Vatican. Alifanywa kuwa Kardinali na Papa Benedikto XV1, wakati wa kikao cha Makardinali "Consistory" tarehe 20 Novemba 2010.
Sera za utoaji mimba ni kutaka kupandikiza majanga kwa Jamii!
Baraza la Maaskofu Katoliki Angola, Sao Tome na Principe linasema, sera za utoaji mimba ni mauaji ya watu wasiokuwa na hatia, ni kinyume cha Amri za Mungu; utamaduni na utambulisho wa wananchi wa Angola. Wananchi wanakumbushwa kwamba, maisha ya
Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya 32 ya Kipindi cha Mwaka C wa Kanisa
Mpendwa msikilizaji wa Neno la Mungu kipindi tafakari masomo Dominika, tayari tuko katika Dominika ya 32 ya mwaka C wa Kanisa, ni Dominika ambayo kwayo tunafunga wiki ambamo tuliwakumbuka na kuwaombea marehemu wetu.
Na kwa hakika Neno la Mungu ambalo tunalitafakari Dominika hii lina jambo la pekee linalogusa marehemu na nyakati za mwisho. Ujumbe wa Neno la Mungu kwa ufupi ni kwamba Mungu ni Mungu wa wazima na si wa wafu.
Na kwa hakika Neno la Mungu ambalo tunalitafakari Dominika hii lina jambo la pekee linalogusa marehemu na nyakati za mwisho. Ujumbe wa Neno la Mungu kwa ufupi ni kwamba Mungu ni Mungu wa wazima na si wa wafu.
St. Joseph yakumbuka watoto yatima
na Paskal Linda-Dar es salaam
SHULE ya Msingi St. Joseph iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi wa shule hiyo, imetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandalwa kilichopo Mbweni Vijibweni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Wagonjwa ni hazina ya maisha na utume wa Kanisa
BABA Mtakatifu Francisko, Jumamosi, tarehe 9 Novemba 2013 amewashukuru wanachama wa Umoja wa Kitaifa wa Wasafirishaji wa Wagonjwa Lourdes na kwenye madhabahu ya Kimataifa wakati huu,
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)