Week Hot newz

Papa ahimiza, tujikabidhi katika Mkono wa Mungu aliyetuumba

Sote ni lazima tutaipita njia ya kifo. Na ni muhimu kutambua kwamba, katika maisha haya kuna njia mbili, moja ni njia inayongoonzwa na shetani na njia nyingine ni ile inayo elekea kwa Mungu. Baba Mtakatifu Francisko ameeleza katika homilia yake, wakati wa Ibada ya misa mapema Asubuhi, Jumanne hii katika kanisa dogo la Mtakatifu Marta la hapa Vatican

Pope Francis Embraces a Modern Leper and the World is Drawn to its Knees

  
May this beautiful action of love by Pope Francis, a new Francis, draw the whole world back to God.

VATICAN CITY (Catholic Online) - On Wednesday, November 6, 2013, Pope Francis traveled through the crowd of the faithful gathered in St Peters square to hear his weekly catechesis. This is a tradition of the modern popes. Each, in their own manner and style, teach the Christian faithful on an aspect of living the Christian life.

The whole world paused in the face of an authentic witness of God's love and Mercy on Wednesday.  The gates of hell were rattled. We all beheld the very heart of the Gospel of Jesus Christ spoken in a language much more powerful than words.

Salamu za pole kufatia kifo cha Kardinali Domenico Bartollucci

Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani Amani

Shukrani,
Paskal linda | mtumishilinda@gmail.com

Kumbuka: Barua pepe hii ilitumwa kupitia kifaa cha Fomu ya Anwani kwenye http://paskal-linda.blogspot.com

BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIIDIMIWE AMINA

Shukrani,
julie smith | ju2004lie2004@yahoo.com
Rest in Peace

Shukrani,
Life Giving Church | lifelivingchurch@gmail.com

Maaskofu wanaangalia vyombo vya mawasiliano ya jamii


Uinjilishaji wa roho za watu Barani Ulaya ni mada ambayo imeongoza mkutano wa siku tatu wa Maaskofu wenye dhamana na vyombo vya mawasiliano ya jamii kutoka Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Ulaya, (CCEE). Maaskofu wameangalia kwa kina na mapana changamoto na vyombo vilivyopo vinavyoweza kutumika kwa ajili ya kutangaza Habari Njema ya Wokovu kwa Makanisa Barani Ulaya, eneo ambalo linaendelea kupokea idadi kubwa ya watu kutoka sehemu mbali mbali za dunia.

Tanzia: Kardinali Domenico amefariki dunia

TUNASIKITIKA kutangaza kifo cha Kardinali Domenico Bartollucci kilichotokea leo Asubuhi Jumatatu hii 11. 11 2013. Kardinali amefikwa na mauti akiwa na umri wa miaka 96.
Kwa kifo chake, Idadi ya Makardinali imebaki 200, ambamo kati yao wenye haki ya kikatiba kupiga kura ni 109 na wasiokuwa na haki ya kupiga kura ni 91.
Marehemu kwa muda wa miaka mingi alikuwa ni Mkurugenzi wa Muziki Mtakatifu wa Kipapa katika kanisa ldo la Sistini ndani ya Vatican. Alifanywa kuwa Kardinali na Papa Benedikto XV1, wakati wa kikao cha Makardinali "Consistory" tarehe 20 Novemba 2010.

Sera za utoaji mimba ni kutaka kupandikiza majanga kwa Jamii!

Baraza la Maaskofu Katoliki Angola, Sao Tome na Principe linasema, sera za utoaji mimba ni mauaji ya watu wasiokuwa na hatia, ni kinyume cha Amri za Mungu; utamaduni na utambulisho wa wananchi wa Angola. Wananchi wanakumbushwa kwamba, maisha ya

Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya 32 ya Kipindi cha Mwaka C wa Kanisa

Mpendwa msikilizaji wa Neno la Mungu kipindi tafakari masomo Dominika, tayari tuko katika Dominika ya 32 ya mwaka C wa Kanisa, ni Dominika ambayo kwayo tunafunga wiki ambamo tuliwakumbuka na kuwaombea marehemu wetu.

Na kwa hakika Neno la Mungu ambalo tunalitafakari Dominika hii lina jambo la pekee linalogusa marehemu na nyakati za mwisho. Ujumbe wa Neno la Mungu kwa ufupi ni kwamba Mungu ni Mungu wa wazima na si wa wafu.

St. Joseph yakumbuka watoto yatima





na Paskal Linda-Dar es salaam




SHULE ya Msingi St. Joseph iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi wa shule hiyo, imetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandalwa kilichopo Mbweni Vijibweni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Wagonjwa ni hazina ya maisha na utume wa Kanisa



BABA Mtakatifu Francisko, Jumamosi, tarehe 9 Novemba 2013 amewashukuru wanachama wa Umoja wa Kitaifa wa Wasafirishaji wa Wagonjwa Lourdes na kwenye madhabahu ya Kimataifa wakati huu,