Pichani juu msanii wa nyimbo za asili ya Kitanzania Batarokota akiwa katika Hoteli ya Misana aliyofikia jijini Mwanza..
MSANII wa nyimbo za asili ya Kitanzania Batarokota siku ya jumatatu ijayo saa 11:30 jioni anatarajia kuongea kwa njia ya simu live kutoka Mwanza katika kipindi cha Africa Sana kinachorushwa na radio Bahari FM kutoka Zanzibari. Msanii Batarokota atakuwa na maojiano na mwandishi wa Bahari FM Joan Donisya Thimas maharufu saut ya Black Sugar ndani ya mawimbi ya 97.3 Bahari FM. Jumatatu hiyo Batarokota ataongea moja kwa moja kutoka Jijini Mwanza aliko kwa sasa kwa maandalizi ya sikuu za mwishoni mwa mwaka 2015 kaa mkao wa kula kupata habari za Batarokota na ujio wa mwaka 2016.