Week Hot newz

Nani akinusuru Chuo cha Ualimu Korogwe?


Chuo cha Ualimu Korogwe
S.L.P. 533, Korogwe
NDUGU Mhariri,
Sisi ni watumishi wazalendo katika Chuo cha Ualimu Korogwe, mkoani Tanga. Tunasikitishwa na uendeshaji mbovu wa chuo chetu.
Uongozi wa juu wa chuo umekuwa dhaifu katika kuchukua uamuzi wa kiutawala ili kulinda hadhi ya chuo hiki kitaifa na kimataifa. Tumejitahidi bila mafanikio kukabili uzembe wa kiuongozi chuoni hapa.
Juhudi zetu ni pamoja kuripoti katika mamkala husika, ikiwamo ngazi ya wizara. Tunaamini kuna ubadhirifu mkubwa wa fedha za chuo, kuanzia fedha za michango, miradi ya chuo na hata zile zinazoletwa chuoni kutoka wizarani.
Wapo wenzetu waliodiriki kuhoji hadharani, kumuandikia nyaraka mbalimbali na hata kushauri uongozi wa juu wa chuo bila mafanikio. Maarifa yote ya kiutaratibu na kikanuni yalifuatwa bila mafanikio na wengine ilibidi siku moja kumfungia mkuu wa chuo ofisini kama hatua ya kumshinikiza aondoe uozo chuoni.
Hatua zote hizo zimekuwa zikilenga kuwezesha mabadiliko ya kimfumo chuoni na kujibu hoja za msingi, ikiwamo kuitishwa kwa vikao vya ripoti za mapato na matumizi.
Athari za uongozi mbovu chuoni zimeanza kujitokeza ambazo ni pamoja na kuporomoka kwa kiwango cha taaluma chuoni. Kwa mfano, matokeo ya watahiniwa wa mtihani wa taifa kwa mwaka 2012 ni mabaya, zaidi ya watahiniwa 310 wanatakiwa kukariri masomo waliyofeli hapo mwakani wakati wenzao watakapokuwa wanafanya mtihani mingine, pia wapo wanachuo 67 waliofeli kabisa hivyo hawana sifa za kuwa walimu popote pale.
Gharama serikali inazoingia kumsomesha mwanachuo mmoja kwa miaka miwili si chini ya milioni sita (ukijumuisha mishahara ya watumishi, na gharama nyingine za uendeshaji).
Wakufunzi wamekuwa wakiomba vikao vya kujadili hali ya kitaaluma, kwa mfano, kujadili matokeo hayo mabovu lakini kutokana na maovu ya uongozi, imekuwa vigumu vikao hivyo kufanyika.
Tunaamini vikao haviitishwi kwa sababu uongozi utabanwa kuhusu mwenendo wake mbovu. Kero mbalimbali zimekithiri chuoni, kuanzia hali duni ya maktaba ambayo huchangiwa Sh. 10,000 na kila mwanachuo tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi leo lakini hali ya jengo la maktaba si ya kuridhisha.
Hakuna vitabu vya kutosha maktaba, chumba cha maktaba kilichopo hali yake ni mbaya, maabara ya kompyuta si ya kuridhisha. Kuna madai kwamba fedha zinazotoka wizarani kwa ajili ya ukarabati zimekuwa zikitafunwa sambamba na fedha za michango ya Sh. 10,000 kila mwaka ya wanafunzi.
Mashine za kudurufu ni tatizo, wino kwa ajili ya mashine hizo hakuna na wanafunzi hujigharimia ili angalau kujitafutia elimu bora. Inafikia mahali hata barua za mkuu wa chuo zinakaa kwa karani wake zaidi ya wiki mbili bila kuchapwa kisa eti wino hakuna! Hii ni aibu kwa chuo kikubwa kama hiki.
Ndugu mhariri, chuo kina miradi na huduma kadhaa ambazo ni sehemu ya vyanzo vya mapato bila kutegemea ruzuku kutoka serikalini. Baadhi ya vyanzo vya mapato vya chuo ni pamoja na fedha zinazotokana na huduma ya chakula kupitia mradi wa “Domestic Science” (DS).
Mradi huu unaendeshwa zaidi wakati wa kazi mbalimbali maalumu zinazofanyika eneo la chuo, kwa mfano shughuli za Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) au shughuli nyingine kama semina.
Mradi huu ni miongoni mwa miradi mikubwa inayokiingizia chuo fedha nyingi lakini hali ya chuo haiendani na mamilioni ya shilingi yanayopatikana kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato.
Upo mradi wa mnara wa simu, mradi mdogo wa kantini ya chakula, mradi wa huduma ya mafunzo ya muda mfupi kwa wanafunzi wa sekondari maarufu kwa jina la TAI (Teachers Academic Initiatives) na wale wa elimu ya awali ambao nao unaingiza fedha. Tunaamini mapato ya miradi hii hayafanani na taarifa zilizopo na kwa kweli tunashangazwa na wakaguzi wa hesabu wanaofika chuo hapa na kuondoka kimya kimya bila kuwapo na ripoti kuhusu hali halisi.
Chuo chetu kimepoteza mvuto kwa sababu ya uongozi mbovu, miaka ya nyuma chuo kilikuwa kikipokea wanafunzi zaidi ya 1500 lakini leo hii hata 200 ni vigumu kuwapata. Wakati mwingine tunadhani ni njama zinazohusisha hata vyuo binafsi ili wanafunzi wakasome huko badala ya chuo hiki chenye sifa ya kipekee nchini.
Haturidhiki na mbinu zinazotumiwa na uongozi wa chuo katika kukabili matatizo haya kwa sababu uongozi ni sehemu ya matatizo haya.
Uongozi wenye tuhuma katika miradi ya chuo ukiwamo mradi wa majoho kwa ajili ya mahafali ya wanachuo haupaswi kuaminika kuongoza chuo cha kitaaluma, tena taaluma nyeti ya ualimu. Uongozi unaojihusisha na michango ya fedha za wanafunzi katika hali ya shaka kubwa haupaswi kuongoza chuo hiki.

Batarokota akerwa na Uadui Kwenye Sanaa


Staa wa Bongo fleva na mziki wa asili ya Kitanzania Batarokota



Staa wa Bongo fleva na mziki wa asili ya Kitanzania  ambae mwaka jana aliingia katika kinyanganyiro cha KTMA 2014 katika katengo ya Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya kitanzania ambao wimbo wake wa kwejanga nyangisha uliingia na kuambulia patupu  , Paskal Linda Mgundu  ‘Batarokota ’ambaye hivi karibuni ameweka wazi juu ya kukerwa na namna ushabiki  wa sanaa nchini unavyopelekwa kwenye uadui na sio ushindani  kama ilivyokuwa miaka michache iliyopita.
“Kiukweli kwenye sanaa tumeanza kwenda kwenye njia mbaya sana,aina hii ya ushabiki wa mtindo wa uadui itatupeleka pabaya sana..Mashabiki wa Ali Kiba , Wema sepetu na Diamond  wanapaswa kuliona mapema tatizo hili,” alisema mkali huyo wa bongo fleva na nyimbo asili Batarokota.
Aidha , Batarokota amewaomba mashabiki wake kujiandaa kuipokea nyimbo yake mpya ya  ccm ju ambapo ndani ya songi hiyo amewashirikisha  na wasanii  L.L. J kutoka Rwanda na Castol kutoka DRS, “Ni songi kali sana itakayowavunja mbavu na kuwafundisha  naomba muinunue itakapotoka”.

BATAROKOTA:KWEJAGA-NYANGISHA MWAKA JANA ILINIPAISHA KIMATAIFA

MWANAMUZIKI aliyeingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya Kilimanajaro Tanzania  Music Award 2014 Batarokota amedai video ya wimbo wake wa Kwejaga-nyangisha ndio ulioweza kumpaisha kimataifa mwaka jana na kufikia hatua hiyo ambapo sasa atazidisha juhudi ili aweze kufahamika.

Batarokota amedai wimbo wake huo umebeba maudhui halisi ya utamaduni wa Kitanzania kwa Lugha ya kisukuma na ambao umechangia kumweka hapo halipo, Batarokota amesema kuwa mbali na kuanza muziki muda mrefu na kufanikiwa kuingiza nyimbo kwenye Tuzo za kili kwa mara ya kwanza lakini ataendelea na mapambano.

Hata hivyo msanii huyo ameamua rasmi kuimba muziki wenye vionjo vya asili na kuachana na muziki wa kutumia sapo ya beat za magharibi ambao alikuwa akiufanya hapo kwanza, ' kwejanga nyangisha ni nyimbo yangu ya pili nilitoka na Kamle Balongo nikiwa na Mama Nyamoko na nikaona ni vizuri nami nianze na hii, na tana nimekuja na Irombo rise, ila nimeshawahi kutoa songi  nyingi zenye mahadhi ya kizazi kipya ukiwemo upendo kwa mama, ogopa 666, kiama sasa, vita vya wenyewe kwa wenyewe , ni mzuri tu we, total balaa, vichwa vya kale, tumerudi, ', alisema na kuongeza.

Mwenyeheri Sr. Irene Stefani alikuwa ni Mama mwenye huruma na mapendo


Mwenyeheri Irene Stefani: Mama mwenye huruma na mapendo. - RV

Kardinali Polycarp Pengo, Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Tanzania kwa niaba ya Baba Mtakatifu Francisko, Leo Jumamosi, tarehe 23 Mei 2015 anatarajiwa kumtangaza Mtumishi wa Mungu Sr. Irene Stefani kuwa Mwenyeheri, katika Ibada ya Misa Takatifu itakayofanyika Jimbo Katoliki la Nyeri, Kenya. Sr. Irene Stefani ni mtawa aliyejitahidi kumwilisha upendo katika maisha yake kwa watu aliokutana nao. Huu ni upendo ambao uliwagusa na kuacha chapa ya kudumu katika maisha ya watu.

Hivi ndivyo anashuhudia Sr. Salesia Mugaya wa Shirika la Consolata katika mahojiano maalum na Radio Vatican, kutoka Jimbo Katoliki la Nyeri ambako, tayari Kanisa linajiandaa kwa ajili ya kumtangaza Mtumishi wa Mungu Sr. Irene kuwa Mwenyeheri. Ni mtawa ambaye ubinafsi hakuwa na nafasi hata kidogo katika maisha yake, akaonesha mshikamano wa umoja na upendo kwa watu wote pasi na ubaguzi, hii ndiyo changamoto kwa watu katika ulimwengu mamboleo.
Mwenyeheri mtarajiwa Irene alijisadaka kama muuguzi, akawahudumia watu kwa mapendo, kiasi cha kuyamimina maisha yake kwa kuambukizwa na ugonjwa wa Tauni wakati akimhudumia Mwalimu Julius Ngalya. Alikuwa ni mpishi mzuri, kiasi kwamba, wengi walifurahia chakula chake; alikuwa ni Mwalimu bora aliyefundisha kwa mfano wa maisha yake, akasimama kidete kuimarisha tunu msingi za maisha ya kifamilia kwa kukazia mawasiliano kati ya wazazi na watoto wao waliokuwa wanaishi Nairobi.Wengi wanamkumbuka kuwa ni Katibu muhtasi wa maskini na wale wasiojua kusoma wala kuandika. Sr. Irene Stefani alikuwa ni Mama mwenye upendo na huruma kama walivyomwita “Nyaatha”.
Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S.
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican

Askari simameni kidete kulinda amani, sheria, demokrasia na haki msingi


Baba Mtakatifu Francisko akizungumza na Jeshi la Polisi Italia. - OSS_ROM
21/05/2015 15:07
Baba Mtakatifu Francisko, Alhamisi, tarehe 21 Mei 2015 amekutana na kuzungumza na ndugu na jamaa ya Askari waliopoteza maisha yao wakati wakitoa huduma kwa nchi yao ya Italia. Amewashukuru kwa ushuhuda wa matumaini ya Kikristo yanayowasaidia katika utekelezaji wa dhamana yao kama Askari, huku wakitekeleza wajibu wao katika uaminifu unaolenga mafao ya wengi; ujasiri unaosaidia makuzi ya mtu na jamii inayomzunguka pamoja na kuunza mazingira yanayowawezesha watu kuishi katika uhuru na kwa kuheshimiana

About the Show Machachari


Machachari

Machachari is a children comedy/ adventure series that depicts the friendship between Govi, Baha and Stella who live in the ghetto neighbouring the suburban estate where their friends Almasi, Joy and Fatso live in.Theirs is a friendship that transcends society's divide of the rich and poor.The story also follows the adventures of our main heroes as they tackle their respective school and home lives with occasional assistance from their 'go- to' adults; Ma dvd- the ghetto clown and Sofia- Almasi's home house help and Ma dvd's girlfriend.Through their adventures we get to see children's impact on family and society as a whole.  

Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya tatu ya Kipindi cha Majilio


Mpendwa msikilizaji wa Radio Vatican kipindi cha tafakari, ninakuleteeni tafakari ya Neno la Mungu Dominika ya tatu ya Majilio. Masomo ya Dominika ya tatu daima hutupa ujumbe wa FURAHA. Ndiyo kusema tunaalikwa kufurahi daima katika kuishi imani yetu. RealAudioMP3

Wimbo wa kwanza katika litrujia ya Misa Takatifu unaoimbwa hivi, furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini Bwana yu karibu ni ufupisho kamili wa ujumbe wa Neno la Mungu katika Dominka hii. Basi mpendwa, fungua moyo wako ukaianze siku na Dominika hii kwa uchangamfu wa moyo katika Bwana.

Katika masomo tukianza na lile la kwanza Nabii Isaya anawaalika wana wa Israeli katika furaha hiyo kwa maneno ya kutia moyo, maneno ya kuwatia nguvu ili kujenga tumaini yakwamba siku moja wataondolewa utumwani Babeli, watarudi nyumbani. Ujumbe wa tumaini anawapeni kwa maneno ya furaha akisema Roho wa Bwana amenitia mafuta niwahubirie maskini habari njema, niwagange waliovunjika moyo na kisha kuwatangazia mateka uhuru na zaidi kutangaza mwaka wa Bwana, mwaka wa furaha.

Kama wewe na mimi tungekuwa katika utumwa huo tungefurahi na kurukaruka kama Waisraeli. Leo hii tuko katika utumwa gani? Tuko katika vifungo vya dhambi kiroho, na hivi Masiya anakuja na kutangaza ukombozi toka mikasa hiyo, kwa nini tusifurahi? Tunapaswa na tunaalikwa kurukaruka na kuchangamka. Kuchangamka hakutakuja kama tutaiweka mbali nasi sacramenti ya Kitubio mlango safi, mlango mwembamba kwa ajili ya Ekaristia, umisionari na maisha ya uzima wa milele.

Nabii Isaya anasema tena “nitafurahi sana katika Bwana, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu, maana amenivika vazi la wokovu. Furaha hii ya Nabii Isaya ni furaha ya kweli kwa maana anaondolewa katika dhiki ya dhambi. Nasi twaweza kufurahi lakini ili tuweze kupata furaha ambayo Masiya atatuletea inatupasa kuwa na moyo wa subira, matumaini, majitoleo toba na uwajibikaji kiroho na kimwili. Ndiyo kusema kuwa na moyo mnyoofu ambao hupokea yote kwa uchaji na furaha.

Kwa namna ileile ambayo Nabii Isaya anawaimarisheni Wana wa Israeli, Mtume Paulo anapowaandikia Watesalonike anawashauri daima waweni watu wa furaha na matumaini. Ndiyo kusema wanapomgonja Bwana wamngoje kwa furaha na wala si kwa kununa na kusikitika daima. Anawataka wapate furaha katika maisha ya sala, shukrani kwa Mungu na daima kumkaribisha Roho Mtakatifu ndani mwao. Kumkaribisha Roho Mtakatifu ni kujitenga na dhambi na kila aina ya ubaya katika maisha ya kila siku. Ni katika kuishi furaha hiyo Mama Kanisa katika mwaka huu anatualika kuungana na Watawa kuwa chachu ya Injili, tukiifanya ipenye katika jumuiya tunamoishi kwa njia ya unabii wetu na hivi kwa namna hiyo itaweza kuzaa matumaini mapya.

Mwinjili Yohane anatupatia namna nyingine ya kujipatia furaha, nayo ni kuwa ushuhuda kwa nuru, na nuru hii ni Kristo Mwana wa Mungu aliye katikati yetu ambaye mara kadhaa hatumfahamu vema. Ni kujishusha kama Yohane Mbatizaji ambaye mbele ya Mwana wa Mungu anaona yeye si kitu, ananyenyekea mbele ya mwumba wake. Yeye ni chombo cha Mungu, sauti iliayo nyikani- itengenenezeni njia ya Bwana. Hili ni fundisho kubwa kwa wanaojikweza ili waweze kuiga mfano wa Yohane mbatizaji na watakatifu wengine kama Mt Yosefu na zaidi sana Mama Mtukuka, Mama wa Mungu anayesema daima “mimi ni mtumishi wa Bwana nitendewe kama ulivyonena”. Ni fundisho na mwanga kwa wale wanyenyekevu ambao wanaalikwa kupiga hatua nyingine katika maisha yao ya kiroho wakikumbuka fundisho la Mt Paulo asemaye “siyo kwamba nimekwishakamilika bali nakaza mwendo ili niweze kulifikia lile taji”.

Habari nzima iliyo ya furaha imelala katika wokovu wetu ambao unakuja kwa njia ya Kristo, Mwana wa Mungu. Kumbe kazi ya kufurahi ni kushikamana na wokovu huo siku zote. Ni kujitahidi kugundua huyu Kristo anakuja namna gani kwetu na anataka tufanye nini, yaani tuishi mapendo. Tusome Neno lake, tupokee sakramenti na tushikamane na uongozi wa Kanisa takatifu. Tumsifu Yesu Kristo.

Tafakari hii imeletwa kwako na Padre Richard Tiganya, C.PP.S.

Kanisa si Mapadre au Maaskofu, bali wabatizwa wote


Baba Mtakatifu Francisco, katika mafundisho yake kwa mahujaji na wageni walio kusanyika katika uwanja wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro hapa Vatican, ameendelea kulizungumzia Kanisa, katika asili yake kuonekana na maana yake ya kiroho. Fumbo la mwili wa Kristo, uliojengwa ndani ya Roho Mtakatifu na pia uhalisi wa kanisa unao onekana kupitia jumuiya zake, Parokia na majimbo yake katika asili ya muundo wake wa kitaasisi wenye kuwaunganisha waumini kwa pamoja.

Papa amesema, uhalisi huu wa kuonekana wenyewe peke yake, ni fumbo linaonyesha upendo na fadhila nyingi za Mungu zilizofichika ndani mwake ambazo hutekelezwa na waumini wa Kanisa duniani kote. Na ili kuelewa uhusiano kati ya yale yanayoonekana na yale yanayofanyika katika kipimo cha kiroho ndani ya mwili wa Kristo, yaani Kanisa, tunahitaji kumtazama Yesu mwenyewe, kama Mungu na Mwanadamu.

Katika ubinadamu, Kristo anatimiza Mpango Mtakatifu wa Mungu wa kumkomboa binadamu. Na hivyo katika macho ya imani , tunaweza kuelewa jinsi Kanisa linavyo onekana katika mwelekeo wake wa kuzamisha ukweli kamili wa kiroho. Na kwa njia ya sakramenti zake na ushuhuda wake kwa Kristo, katika dunia yetu, Kanisa hutafuta kutangaza upendo wa Mungu na huruma yake kwa watu wote, hasa kwa maskini na wahitaji.

Katika mafundisho yake Papa, amesema, kwa mara nyingi tunasikia watu wakilalamikia Kanisa halijafanya hiki, halijafanya kile. Lakini, Papa akahoji , Kanisa ni nani hasa? , Je ni Mapadre au Maaskofu au Papa? Hapana , Kanisa ni wabatizwa wote. Waamini wote wa Kristo huunda Kanisa. Kanisa linaloonekana si tu la Mapadre, Maaskofu au Watawa, au Papa, bali ni mjumuiko wa waamini wote wabatizwa, wake kwa waume wa pande zote za dunia , ambao hutangaza kwa vitendo upendo wa Mungu usiokuwa na kipimo. Ni familia zilizo simama imara katika imani , ni wazazi wanaoieneza imani kwa watoto wao , ni wagonjwa wanao yatolea mateso yao kwa Bwana wa Kanisa. Huo ndiyo ulikuwa ujumbe wa Papa katika Katekesi hii.

Nakaaya azindua albamu ya Blessing


Nakaaya azindua albamu ya BlessingMSANII wa muziki wa kizazi kipya, Nakaaya Sumari alikonga nyoyo za mashabiki wake wakati wa uzinduzi wa albam yake ya pili iitwayo ‘Blessing’ ambayo ameitoa kama zawadi kwa mtoto wake.
Albam hiyo iliyobeba nyimbo 12 ilizinduliwa siku ya Idd Al- Haji katika ukumbi wa Hock Up, jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashabiki lukuki kutoka ndani ya Nchi na Nchi jirani ya Kenya.
Katika uzinduzi huo Nakaaya alisindikizwa na wasanii mbalimbali akiwemo Naaziz kutoka Kenya, G Nako, Hisia, TID, Chid Benz na wengine.
Akizungumza na Tanzania Daima, Naakaya alisema sababu iliyofanya atoe albam hiyo kama zawadi kwa mtoto wake, ni kwa kuwa yeye ni Baraka kwake hata kama akiwa yupo mbali nae atakuwa na matumaini pamoja na faraja.
“Nawashukuru sana watu wa Arusha, wamenisapoti sana tofauti na nilivyotegemea, walijitokeza kwa wingi sana, nimefurahi nimeanza vizuri, ninaomba waendelee kunisapoti,” alisema.
Nakaaya ni dada wa mshindi wa taji la mrembo wa Afrika kwenye mashindano ya dunia ‘Miss World Africa’ na Miss Tanzania 2005, Nancy Sumari.

Papa ashukuru mapokezi mazuri ya Tirana Albania.

Katekesi ya Papa kwa mahujaji wageni kwa Jumatano hii mjini Vatican, imetafakari safari yake ya kitume katika Mji Mkuu wa Tirana Albania. Ziara ya siku moja lakini aliyoitaja kwamba, ilijaa utajiri mkubwa wa upendo na mshikamano kati ya Jimbo Takatifu na nchi ya Albania.

Katika Maelezo, Papa Francisco amesema, alikwenda Albania, kuonyesha mshikamano wake wa karibu na Kanisa zima na watu wa Albania, taifa ambalo kwa muda wa miaka mingi, liliteswa na kushamiri kwa ukana Mungu , na unyama wa serikali isiyojali uwepo wa Mungu. Baada ya kuangushwa kwa mamlaka hayo, sasa taifa linahitaji kupewa moyo, kwa ajili ya ufanikishaji wa kazi nyingi za kuijenga upya jamii, ili iwe ni jamii yenye kupenda amani na kuheshimiana na kushirikiana katika huduma, kwa ajili ya manufaa ya wote.

Papa ameonyesha kufurahi na kumshukuru Mungu, kwa uwepo wa roho ya mshikamano na mazungumzo kati ya jamii Albania licha ya tofauti za kidini na kitamaduni. Anamwoba Bwana, ili taifa hili lisonge mbela na roho huyo, na kamwe lisirudishwe nyuma katika mateso makali ya ukana Mungu. Papa alieleza kwa kuurejea Mkutano wake na viongozi wa dini mbalimbali, ambamo aliweza mwenyewe kuushuhudia moyo huo wa kuheshimiana na kushirikiana, uliojengwa juu ya utambulisho wa kila mmoja.

Daily Reading for Saturday, September 20th, 2014

Reading 1, First Corinthians 15:35-37, 42-49

35 Someone may ask: How are dead people raised, and what sort of body do they have when they come?
36 How foolish! What you sow must die before it is given new life;
37 and what you sow is not the body that is to be, but only a bare grain, of wheat I dare say, or some other kind;
42 It is the same too with the resurrection of the dead: what is sown is perishable, but what is raised is imperishable;
43 what is sown is contemptible but what is raised is glorious; what is sown is weak, but what is raised is powerful;
44 what is sown is a natural body, and what is raised is a spiritual body. If there is a natural body, there is a spiritual body too.
45 So the first man, Adam, as scripture says, became a living soul; and the last Adam has become a life-giving spirit.
46 But first came the natural body, not the spiritual one; that came only afterwards.
47 The first man, being made of earth, is earthly by nature; the second man is from heaven.
48 The earthly man is the pattern for earthly people, the heavenly man for heavenly ones.
49 And as we have borne the likeness of the earthly man, so we shall bear the likeness of the heavenly one.

Responsorial Psalm, Psalms 56:10-12, 13-14

10 In God whose word I praise, in Yahweh whose word I praise,
11 in God I put my trust and have no fear; what can mortal man do to me?
12 I am bound by the vows I have made, God, I will pay you the debt of thanks,
13 for you have saved my life from death to walk in the presence of God, in the light of the living.

Gospel, Luke 8:4-15

4 With a large crowd gathering and people from every town finding their way to him, he told this parable:
5 'A sower went out to sow his seed. Now as he sowed, some fell on the edge of the path and was trampled on; and the birds of the air ate it up.
6 Some seed fell on rock, and when it came up it withered away, having no moisture.
7 Some seed fell in the middle of thorns and the thorns grew with it and choked it.
8 And some seed fell into good soil and grew and produced its crop a hundredfold.' Saying this he cried, 'Anyone who has ears for listening should listen!'
9 His disciples asked him what this parable might mean,
10 and he said, 'To you is granted to understand the secrets of the kingdom of God; for the rest it remains in parables, so that they may look but not perceive, listen but not understand.
11 'This, then, is what the parable means: the seed is the word of God.
12 Those on the edge of the path are people who have heard it, and then the devil comes and carries away the word from their hearts in case they should believe and be saved.
13 Those on the rock are people who, when they first hear it, welcome the word with joy. But these have no root; they believe for a while, and in time of trial they give up.
14 As for the part that fell into thorns, this is people who have heard, but as they go on their way they are choked by the worries and riches and pleasures of life and never produce any crops.
15 As for the part in the rich soil, this is people with a noble and generous heart who have heard the word and take it to themselves and yield a harvest through their perseverance.

Tafakari ya Neno la Mungu Domonika ya 25 ya Mwaka A,



Mpendwa, tunatafakari masomo ya Jumapili ya 25 ya mwaka wa A wa Kanisa, tukialikwa kuwa na matumaini daima katika kumtafuta Bwana na kutambua kuwa wema wa Mungu ni wa milele kwa watu wote na fikra zake ni tofauti na fikra za kibinadamu. Katika somo la kwanza Waisraeli wako utumwani Babeli kwa sababu hawakutii mausia ya Bwana na zaidi wanaona hawawezi kusamehewa dhambi zao, wamepoteza tumaini na wanaona kana kwamba Mungu amewatupa na kuwaacha kabisa. Zaidi ya hilo wanaongeza kosa jingine tena la kumwona Mungu anayefikiri kama wao, wanafikiri hawezi kuwasamehe tena.


Mpendwa, katika shida yao hiyo Mungu anamtuma Nabii Isaya awaambie kuwa fikra na njia za Mungu ni za juu mno ni tofauti na fikira za kibinadamu kiasi kwamba si rahisi kuzielewa. Zaidi ya hilo Isaya anawakumbusha kuacha njia zao mbaya na kumrudia Bwana. Kumrudia Bwana si tu kuacha dhambi, bali pia kubadili namna ya kumtazama Mungu, Mungu aliye haki na mkamilifu. Mawazo haya yatajitokeza waziwazi katika Injili ambapo tunaona Mungu anayewapenda wote wadhambi kwa wema.

TB Joshua awakosoa waandishi walioandika ghorofa 6 za kanisa lake zimeporomoka, aeleza kilichotokea



Kanisa la mhubiri maarufu wa Nigeria, TB Joshua linalojulikana kama The Synagogue Church of All Nations limetoa tamko rasmi kuhusu tukio la kuporomoka kwa jengo la ghorofa sita la kanisa hilo, tukio lililoripotiwa kuua watu kadhaa na kujeruhi, Ijumaa.
Katika tamko hilo lililowekwa kwenye ukurasa wao wa Facebook, wamewakosoa waandishi walioripoti kuwa kanisa zima limeporomoka na kwamba sio kanisa wanalotumia kwa ibada bali ni jengo.
“Hili ni tamko rasmi kutoka The Synagogue, Church Of All Nations kuhusu habari zinazoripotiwa hivi sasa na vyombo vya habari kufuatia tukio lililotekea leo. Ni jengo na sio kanisa (tunalotumia kwa ibada) kama ilivyoripotiwa. Watu wachache waliokuwa mule wameokolewa. Unachotaka kitokee kwa wenzako, Mungu anakutakia wewe. Hakuna kinachotufanya sisi kumpenda mtu kama kumuombea. Kadiri navyokupenda, ndivyo kadiri nitakavyokuombea.” Limesomeka tamko hilo.
Ingawa hawakuzungumzia kabisa kuhusu watu kupoteza maisha au la..taarifa za awali zimeeleza kuwa watu makumi wamepoteza maisha. Baadhi ya mashuhuda walisema kuwa wameona miili ya watu waliopoteza maisha ikitolewa katika jengo hilo.
Hata hivyo bado hakuna uthibitisho wa daktari kuhusu taarifa hizo za watu kupoteza maisha.
Inaelezwa kuwa zaidi magari ya wagonjwa (ambulance) 20 yalionekana yakitoka katika eneo hilo yakiwa na majeruhi.


Daily Reading for Thursday, September 4th, 2014

18 There is no room for self-delusion. Any one of you who thinks he is wise by worldly standards must learn to be a fool in order to be really wise.
19 For the wisdom of the world is folly to God. As scripture says: He traps the crafty in the snare of their own cunning
20 and again: The Lord knows the plans of the wise and how insipid they are.
21 So there is to be no boasting about human beings: everything belongs to you,
22 whether it is Paul, or Apollos, or Cephas, the world, life or death, the present or the future -- all belong to you;
23 but you belong to Christ and Christ belongs to God.

Responsorial Psalm, Psalms 24:1-2, 3-4, 5-6

1 [Psalm Of David] To Yahweh belong the earth and all it contains, the world and all who live there;
2 it is he who laid its foundations on the seas, on the flowing waters fixed it firm.
3 Who shall go up to the mountain of Yahweh? Who shall take a stand in his holy place?
4 The clean of hands and pure of heart, whose heart is not set on vanities, who does not swear an oath in order to deceive.
5 Such a one will receive blessing from Yahweh, saving justice from the God of his salvation.
6 Such is the people that seeks him, that seeks your presence, God of Jacob.Pause

Gospel, Luke 5:1-11

1 Now it happened that he was standing one day by the Lake of Gennesaret, with the crowd pressing round him listening to the word of God,
2 when he caught sight of two boats at the water's edge. The fishermen had got out of them and were washing their nets.
3 He got into one of the boats -- it was Simon's -- and asked him to put out a little from the shore. Then he sat down and taught the crowds from the boat.
4 When he had finished speaking he said to Simon, 'Put out into deep water and pay out your nets for a catch.'
5 Simon replied, 'Master, we worked hard all night long and caught nothing, but if you say so, I will pay out the nets.'
6 And when they had done this they netted such a huge number of fish that their nets began to tear,
7 so they signalled to their companions in the other boat to come and help them; when these came, they filled both boats to sinking point.
8 When Simon Peter saw this he fell at the knees of Jesus saying, 'Leave me, Lord; I am a sinful man.'
9 For he and all his companions were completely awestruck at the catch they had made;
10 so also were James and John, sons of Zebedee, who were Simon's partners. ButJesus said to Simon, 'Do not be afraid; from now on it is people you will be catching.'
11 Then, bringing their boats back to land they left everything and followed him.

Barua

BARUA KWENDA KWA MWENYEZI MUNGU:
MAHABUSU GEREZA LA KEKO SELO NO: 2
TAREHE 10/07/2013
MWENYEZI MUNGU,MUNGU WA IBRAHIMU, MUNGU WA ISLAEL,
MUNGU WA ISAKA,MUNGU WANGU  LEO NIMEISIKIA SAUTI YAKO,
NAFANYA BIDII KUTUNZA NA KUFANYA MAAGIZO YAKO,
MUNGU WANGU UNITUKUZE JUU YA MATAIFA YOTE,
BARAKA ZAKO ZOTE ZINIJALIA,
NIZIDISHIE BARAKA NIBARIKIE MJINI NIBARIKIWE SHAMBANI,
MUNGU UNIFANYA NIWE WA HERI KATIKA UZAO WA TUMBO LANGU NA KATIKA NCHI BWANA ULIYONIPATIA,
MUNGU BABA MUNGU MTAKATIFU SANA MUNGU MWANZO NA MWISHO,
MUNGU BABA WA MWANA YESU KRISTO NA ROHO MTAKATIFU UNIBARIKI NIINGIAPO NA NANITOKAPO,
UWAFANYE  ADUI WAINUKAO JUU YANGU KUPIGWA MBELE YA MACHO YANGU,
WAMENITOKEA KWA NJIA MOJA  WAKIMBIA MBELE YA MACHO  YANGU KWA NJIA SABA,
MUNGU BARAKA YAKO ZIKAE  JUU YANGU NA JUU YA MKE WANGU,
BARAKA ZIWE ZIIDI JUU YA WATOTO WANGU NA KATIKA FAMILIA YANGU,
MWENYEZI MUNGU  NIFANYE KICHWA SIO MKIA,
NAMI NIWE JUU ZAIDI NA SIO CHINI,
MUNGU NIFUNULIE HAZINA NZURI NAYO NI MBINGU,
KWA KUINYESHEA MVUA NCHI YANGU,
MWENYEZI MUNGU  BARIKI KAZI YOTE YA MIKONO YANGU,
 NAMI NITAKOPESHA WALA SITOKOPA TENA,

SHUSHA BARAKA SASA KWA NJIA YA KRISTO BWANA NA MKOMBOZI WANGU, AMINA.

Dawa za kulevya ni haramu!

Baba Mtakatifu Francisko, Ijumaa tarehe 20 Juni 2014 amekutana na wajumbe waliokuwa wanashiriki kwenye mkutano wa kimataifa kuhusu uthibiti wa dawa za kulevya, tatizo ambalo linaendelea kusababisha majanga makubwa kwa watu wa nyakati hizi.

Auawa kwa kupigwa risasi

MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Kamishina Msaidizi Kihenya Kihenya, alisema tukio hilo lilitokea Juni 13, saa 5 usiku wakati Masalu na wenzake 20 walipoingia ndani ya mgodi huo kwa nia ya kuiba mchanga wenye madini ya almasi.
Kamanda Kihenya alisema wakati wakiiba

Wadau wakutana kupinga ubakaji


Angelina Jolie ni mmoja wa wanaharakati maarufu wanaopinga dhuluma za kingono ikiwemo ubakaji
Viongozi wa kimataifa wanakutana jijini London kwa wiki nzima, kwa kongamano la kumaliza dhulma za kimapenzi katika mataifa yanayokabiliwa na mizozo.
Mkutano huo, wa siku nne umeandaliwa

Saratani ya mlango wa kizazi tatizo Tanzania


Rais Jakaya Kikwete, amesema Tanzania inatambulika kuwa ni moja ya nchi zenye kiwango kikubwa cha maradhi ya saratani ya mlango wa kizazi  Afrika ya Mashariki na kwamba inakadiriwa kuwa takriban wanawake 56 katika kila wanawake 100,000, hupata saratani hii.

Kadhalika, inakadiriwa pia kuwa zaidi ya watu 35,000 hupata saratani hiyo kila mwaka na zaidi ya watu 27,000 hupoteza maisha huku ripoti ikionyesha mwaka 2010 peke yake, wanawake 6,000 waligundulika kuwa na saratani ya mlango wa kizazi na  4,000 kati yao walikufa kutokana na maradhi hayo.

Rais Kikwete aliyasema hayo wakati akizungumza

Roho Mtakatifu anafundisha, anakumbusha, anasali na kufanya unabii!

Baba Mtakatifu Francisko katika maadhimisho ya Siku kuu ya Pentekoste, tarehe 8 Juni 2014 kwenye Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican wakati wa mahubiri yake anasema kwamba, Yesu aliwaahidia Mitume wake zawadi kutoka kwa Baba, yaani Roho Mtakatifu na ahadi hii inatekelezwa wakati wa Siku kuu ya Pentekoste.

Hili ni tukio endelevu linaojionesha katika maisha na utume wa Kanisa, kwani Roho Mtakatifu analihuisha Kanisa, anawafundisha, anawakumbusha na kuwasaidia waamini kuzungumza.

Papa Francisko anasema, Roho Mtakatifu ni mwalimu wa maisha yandani anayewaonesha waamini dira na njia ya maisha kama alivyofanya wakati wa Kanisa la mwanzo. Roho Mtakatifu ni njia kama alivyo Yesu mwenyewe, kwani anawasaidia waamini kumfuasa Kristo na kutembea katika nyayo zake. Roho Mtakatifu ni mwalimu wa maisha, ujuzi na maarifa katika uwepo na utume wa maisha ya Kikristo.

Roho Mtakatifu anawakumbusha waamini yale ambayo Yesu

Pentekoste

Tafakari imeletwa kwako na Pd Richard Tiganya, C.PP.S.  

Ni siku nyingine tena tunapokutana katika meza ya Neno la Mungu. Leo tunaadhimisha sherehe ya Pentekoste, sherehe ambayo katika kalenda ya litrujia huja siku hamsini baada ya pasaka. RealAudioMP3

Ni sherehe ambayo wakristu humshangilia Kristu mfufuka katika Roho Mtakatifu na kufurahia ukombozi ambao umeletwa na Kristo mwenyewe. Katika sherehe ya Pentekoste fumbo la pasaka hukamilika maana ni katika sikukuu hii Roho Mtakatifu hulishukia Kanisa ili likaendeleze kazi ya Kristu bila woga, likiwa na nguvu za kimungu. Ni sherehe ambayo kwayo Roho Mtakatifu huthibitisha muungano wetu na Mungu. Ujumbe wa Neno la Mungu unalala katika Roho Mtakatifu kuwa sheria mpya na nguvu ya Wakristu, taifa jipya lililoshikamana katika upendo na Mungu.

Katika somo la kwanza toka kitabu cha Matendo

Njoo Roho Mtakatifu!



Kumsadiki Roho Mtakatifu ni kukiri Nafsi ya tatu ya Fumbo la Utatu Mtakatifu, atokaye kwa Baba na Mwana na anayeabudiwa na kutukuzwa pamoja na Baba na Mwana. Huyu ndiye Roho Mtakatifu aliyetumwa mioyoni mwa waamini, ili kupokea uzima mpya wa wana wateule wa Mungu. RealAudioMP3

Katika Fumbo la Utatu Mtakatifu usiogawanyika, Mwana na Roho ni Nafsi tofauti lakini hawatenganiki. Tangu mwanzo hadi mwisho wa nyakati, Baba anapomtuma Mwanaye, anamtuma pia Roho wake anayewaunganisha na Kristo kwa imani ili waamini wakiwa wamefanywa waana waweze kumwita Mungu, Abba, yaani Baba.

Siku hamsini baada ya ufufuko wake nidyo Siku kuu ya Pentekoste, Yesu Kristo aliyetukuzwa mbinguni alimmimina Roho Mtakatifu pasi na kipimo, akamdhihirisha kuwa Nafsi ya Kimungu, hivi kwamba, Fumbo la Utatu Mtakatifu limefunuliwa kikamilifu. Utume wa Kristo na ule wa Roho Mtakatifu vilikuwa utume wa Kanisa, lililopelekwa litangaze na kueneza Fumbo la Umoja wa Utatu Mtakatifu.

Kwa ufupi, Roho Mtakatifu anajenga, anahuisha na kutakasa Kanisa. Roho Mtakatifu anawarudishia Wabatizwa hali ya kufanana na Mungu iliyopotezwa kwa njia ya dhambi na anawafanya waishi ndani ya Kristo uzima uleule wa Fumbo la Utatu Mtakatifu. Anawatuma washuhudie ukweli wa Kristo na kuwapanga katika kazi zao maalum, ili wote wazae tunda la Roho.

Hili ndilo Fumbo ambalo linatarajiwa kuadhimishwa na Baba Mtakatifu Francisko katika Siku kuu ya Pentekoste, Jumapili ijayo kwenye Uwanja wa Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican kuanzia saa 4:00 asubuhi kwa saa za Ulaya, kadiri ya taarifa iliyotolewa na Monsinyo Guido Marini Mshereheshaji mkuu wa Ibada za Kipapa.

Historia ya Kanisa la Sabato (4)

NDUGU yangu, ninatumaini nimekufikisha mahali pazuri. Hiyo ndiyo historia ya mshazari wa Kanisa la Wasabato. Kifupi haina mashiko na mtiririko wa kimantiki. Hata hivyo baada ya kuzaliwa kimtindo namna hiyo, Kanisa la Wasabato halikubaki moja kifikra na kimtazamo. Ukilichungulia ndani, Kanisa la Wasabato ni Muungano wa Vikundi vitatu vya Waadventisti; Kikundi cha Bw. Hiram Edson, kilichosisitiza zaidi mafundisho ya huduma ya Yesu Patakatifu pa Patakatifu mbinguni, Kikundi cha Bw. Joseph Bates, kilichosisitiza zaidi kufuata Sabato ya Agano la

Mwanamke Aadhibiwa kwa kumtelekeza mume


Roseline anadaiwa kuwatelekeza watoto wake wanaoishi na baba yao
Na Paskal Linda-Kenya.
Mwanamke mmoja nchini Kenya ameamrishwa na mahakama kumlipa mumewe shilingi elfu tatu au dola 35 kama hela za kukidhi mahitaji yake na watoto wake kila mwezi.
Mwanamke huyo kwa jina Roselyn Muyonga, ambaye anatuhumiwa kwa kuwatelekeza mumewe na watoto wake watatu , huenda akafungwa miezi mitano jela au kutozwa faini ya shilingi laki mbili ikiwa atakosa kutekeleza amri ya mahakama.
Mwanamume huyo hufanya kazi za kibarua.

Kila toba ni Pentekoste Mpya!

 Na: Paskal LindaKardinali Mauro Piacenza, mhudumu mkuu wa Toba katika barua yake kwa mapadre waungamishaji anasema kwamba, kila mara Mkristo anapoungama dhambi zake na kupokea msamaha, huruma na upendo wa Mungu kutoka kwenye kiti cha maungamo, kwa Mkristo hii ni Pentekoste Mpya! Siku kuu ya Pentekoste, ili ni fursa kwa waamini kujipatanisha na Mungu pamoja na jirani zao, ili kuweza kumpokea vyema Roho Mtakatifu anayemiminwa mioyoni mwao, tayari kumtolea Mwenyezi Mungu ushuhuda wa maisha adili na matakatifu!

Neema ya Sakramenti ya Upatanisho anasema Kardinali Piacenza ni mang'amuzi mapya ya Pentekoste kwani hapa Roho Mtakatifu anaendelea kulitakasa Kanisa la Kristo kwa njia ya huduma ya maungamo inayotolewa na Padre akiwa ameungana na Yesu Kristo, ili kusikiliza na kupima, kuamua na kutoa ushauri na hatimaye, kuponya dhambi kwa kumwondolea mwamini dhambi zake. Hii ni kazi ya Roho Mtakatifu anayetenda kwa njia ya wachungaji wake wanaojisadaka katika viti vya maungamano.

Mapadre wanakumbushwa kwamba, wamechaguliwa na kuwekwa wakfu kwa ajili ya kuwahudumia watu wa Mungu si kwa mastahili yao wenyewe bali kwa njia ya neema ya Roho Mtakatifu inayowaunganisha kwa dhati kabisa na Kristo mwenyewe, ili kushiriki upendo na kazi yake ya ukombozi. Kwa sababu hii, Padre ni mhudumu wa huruma ya Mungu na daraja kati ya waungamaji na Kristo mwenyewe.

Mapadre wanachangamotishwa na Mama Kanisa kuwa wasikivu kwa Roho Mtakatifu na karama zake zinazoliwezesha Kanisa kujitakasa na kuwatakatifuza watoto wake kwa njia ya Sakramenti ya Upatanisho!

Upendo kwa Mungu na jirani!

Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S.
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican
 
Baba Mtakatifu Francisko katika utume wake kama Khalifa wa Mtakatifu Petro amegusia mambo msingi katika maisha na utume wa Kanisa kwa kukazia zaidi na zaidi kanuni maadili na utu wema; utu na heshima ya binadamu; tunu msingi za maisha ya ndoa na familia: Yote haya ni kadiri ya Mafundisho ya Kanisa Katoliki na Kweli za Kiinjili na wala hakuna mabadiliko! RealAudioMP3

Baba Mtakatifu Francisko anapozungumzia masuala haya kwa unyenyekevu mkubwa kutokana na uzoefu wake katika shughuli za kichungaji kuna baadhi ya watu wanapata hisia kwamba, pengine anataka kubadilisha mafundisho na msimamo wa Kanisa Katoliki katika masuala haya, lakini ukweli wa mambo ni kwamba, anachofanya ni kuendelea kukazia masuala haya kwa mwelekeo mpya zaidi!

Ametuacha vibaya!

Amepaa mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu:

Siku arobaini baadaye ….. Mt. 1,23 – Mungu yu nasi leo tena tunasikia tamko hilo la Yesu mwenyewe.Maana yake nini? Hivyo tunaadhimisha leo uwepo wa Mungu kati yetu na uwepo wa Mungu kati yetu waoneshwa na kazi za watu wake wanaomtii Roho Mtakatifu.

I. Mdo 1,1-11
II. Efe. 1,17-23
III. Mt. 28,16-20

UTANGULIZI

Sherehe ya kanisa siku 40 baada ya sherehe ya Pasaka - kupaa mbinguni Bwana wetu Yesu Kristo. Mhubiri mmoja asema hakuna awezaye kukaa peke yake mke/mume ahitaji mke/mume mwema, mwalimu ahitaji wanafunzi wa kinyume chake nini?

Hivi pia kwa mkristo leo hii yupo Roho Mtakatifu na

Rais mpya wa Malawi aapishwa rasmi


Peter Muthirika anayeongoza chama cha DPP.
Rais mpya wa Malawi Peter Mutharika ameapishwa rasmi baaada ya kucheleweshwa kwa matokeo ya uchaguzi kufuatia madai ya udanganyifu na wizi wa kura.
Mutharika aliibuka mshindi wa uchaguzi huo baada ya kujipatia zaidi ya asilimia 36 ya kura zilizopigwa.
Rais anayeondoka mamlakani Joyce Banda alikuwa katika nafasi ya tatu.
Banda amewataka wafuasi wake kuheshimu matokeo hayo.
Mahakama kuu ilipinga ombi la kura kuhesabiwa upya baada ya Banda kudai kuwa kumekuwa na udanganyifu mkubwa katika shughuli hiyo.
Peter Mutharika aliwahi kuhudumu kama

Mchawi mtanzania jela miaka 3


Vifaa walivyopatikana navyo washukiwa walipokamatwa na polisi
Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na kumuibia shilingi milioni tisa.
Mchawi huyo alimhadaa mama huyo kuwa kwa kupitia njia za kichawi angeweza kuzifanya pesa hizo kuwa maradufu yaani milioni 18.
Bwana Amos Chipeta pia ataongezwa kifungo cha miezi tatu kwa kupatikana na vifaa vinavyoumiwa kufanya uchawi kama vile chupa, visu na ngozi ya Paka.
Kwa mujibu wa mtandao wa Daily Nation,

Tangazeni Injili ya Furaha kwa ari kuu zaidi!


Kamati kuu ya Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Amerika ya Kusini, CELAM, imehitimisha safari yake ya kikazi mjini Vatican iliyoanza tangu tarehe 20 hadi tarehe 28 Mei 2014 kwa kukutana na kuzungumza na Baba Mtakatifu Francisko kuhusu maisha na utume wa Kanisa Amerika ya Kusini.

Katika mazungumzo na Baba Mtakatifu, Kamati kuu ya Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Amerika ya Kusini, linasema kuna haja ya kuendelea kuhamasisha waamini na watu wote wenye mapenzi mema kusoma, kutafakari na kumwilisha Waraka wa Kichungaji wa Baba Mtakatifu Francisko, Injili ya Furaha, "Evangelii Gaudium" huko Amerika ya Kusini.

Imekuwa ni fursa kwa viongozi hawa kumshirikisha Baba Mtakatifu Francisko yale yatakayojadiliwa na Maaskofu katika kongamano lao la mwaka, kuhusu familia linalotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 4 hadi tarehe 9 Agosti 2014. Baba Mtakatifu Francisko kwa kuangalia changamoto zilizopo kwa sasa anasema, pengine kuna haja ya kuadhimisha tena Sinodi Maalum kwa ajili ya Maaskofu wa Amerika ya Kusini, kama Kanisa lilivyofanya kwa Maaskofu Katoliki Barani Afrika, Sinodi iliyoitishwa kwanza kabisa na Mtakatifu Yohane Paulo II na kuridhiwa na Baba Mtakatifu mstaafu Benedikto XVI.

Kamati kuu ya Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Amerika ya Kusini na Caraibi, limepata nafasi ya kukutana na kuzungumza na viongozi wakuu mjini Vatican pamoja na kutembelea baadhi ya Mabaraza ya Kipapa kuhusu masuala ya: Mafundisho tanzu ya Kanisa, Utamaduni, Familia, Mawasiliano, Uinjilishaji Mpya pamoja na Sinodi za Maaskofu. Viongozi hawa walibahatika kuzungumza pia na Tume ya Kipapa kwa ajili ya Amerika ya Kusini pamoja na Mabalozi kutoka Amerika ya Kusini wanaoziwakilisha nchi zao mjini Vatican ambao wamekabidhiwa hati kuhusu hali ya wakimbizi huko Amerika ya Kusini!

Umefunga na nani pingu za maisha?


Tupo bado kwenye chumba cha karamu ya mwisho tukisikiliza Wosia wa Yesu. Lugha inayotumika leo ni ya kimahaba, yaani, lugha ya upendo wa dhati kama ile ya wanandoa wanaopendana. Lugha hiyo ndiyo anayoitumia Yesu anapoagana na wafuasi wake, na kuwafanya kuhamasika kumsikiliza.

Katika Wosia huo ulio katika sura tano za Injili, neno upendo linatumika mara ishirini na sita. Kwa mara ya kwanza unalikuta kwenye fasuli ya leo: “Mkinipenda, mtazishika amri zangu,” au vizuri zaidi lingetumika neno: “Kama” mkinipenda. Namna hii ya kuongea kwa upande wa Yesu ni ya kinyenyekevu, ya kuaminia, ya saburi na ya kujali, yaani inajali sana uhuru na hiari ya yule anayeambiwa; kama vile angesema: “Yote yanakutegemea wewe”.

Hiyo ni lugha huru ya Yesu aliye huru. Yesu anatumia lugha ya maelewano na ya makubaliano. Kama sote tujuavyo kwamba mambo mengine yanaweza kutendeka kirahisi, kwa ari na kwa moyo wote endapo yanafanyika kwa hiari, wasemavyo waswahili: “Ukipenda utakula nyama mbichi”.

Injili ya leo ina aya saba na kwa mara saba katika kila aya Yesu

Papa akamilisha Hija yake Mashariki ya Kati na wito wa amani

Baba Mtakatifu Francisko, Jumatatu jioni alikamilisha hija yake Mashariki ya Kati na wito wa amani. Hija hii ya siku ya tatu 24-26 Mei 2014 kutembelea maneneo Matakatifu katika Nchi Takatifu aliikamilisha, akiwa mjini Jerusalem ambako hatua ya mwisho aliongoza Ibada ya Misa akiwa na Maaskofu wa Nchi Takatifu, katika jengo lenye Chumba cha Juu ambako Kristo, alifanya karamu ya mwisho, kinachojulikana kama “cenacolo”.

Baada ya Ibada, alielekea uwanja wa ndege wa Monte Scopes , ambako alipanda helkoputa hadi uwanja wa Ndege wa Ben Gourion wa mjini Tel Aviv, ambako aliagana na wenyeji wake, viongozi wa kanisa na serikali wakiongozwa na Rais wa Israel, Shimon Peres. Mahali hapo Papa pia kulifanyika gwaride la heshima la wanajeshi. Na kabla ya kupanda ndege alitoa salaam zake za mwisho kwa wote.

Wachambuzi wa ziara hii wanasema ,

Braeking news:20 wafariki katika ajali ya treni


Treni
Maafisa wa huduma za treni nchini India wanasema kuwa takriban watu 20 wanahofiwa kufariki katika ajali ya gari moshi katika jimbo la Uttar Pradesh.
Treni hiyo ya kubeba abiria iligongana na treni ya jizigo iliyokuwa imeemgeshwa katika kituo cha treni cha Chureb.
Mabehewa sita ya treni hiyo ya Gorakhdham Express yaling'oka kutoka kwenye treni hiyo.
Waokozi wanajaribu kuwaokoa abiria waliokuwa ndani ya treni hiyo na ambao bado wamekwama.
Treni hiyo ilikuwa inasafiri kutoka mjini Gorakhpur hadi katika jimbo la Hisar Haryana

Bikira Maria linda familia, vijana na wazee!



Baba Mtakatifu Francisko Jumapili tarehe 25 Mei 2014 baada ya maadhimisho ya Ibada ya Misa Takatifu kwenye Uwanja wa Pango la Mtoto Yesu mjini Bethlehemu, amesali pamoja na waamini Sala ya Malkia wa Mbingu, mahali hapa ambapo Bikira Maria alimzaa Mtoto Yesu, akapata nafasi ya kuutafakari uso wa Yesu kuliko mtu mwingine yoyote duniani. Akasaidiwa na Mtakatifu Yosefu kumlaza Mtoto Yesu katika Pango la kulishia wanyama!

Baba Mtakatifu amewaweka wananchi na wakazi wote wa eneo hili chini ya ulinzi na tunza ya Bikira Maria, ili waweze kuishi katika haki, amani na udugu. Amewaweka pia mahujaji wote wanaotoka sehemu mbali mbali duniani kuja mjini Bethlehemu ili kujichotea neema kutoka kwenye kisima cha imani ya Kikristo, chini ya ulinzi wa Bikira Maria.

Baba Mtakatifu anamwomba Bikira Maria kulinda familia, vijana na wazee; kuwasaidia wale ambao wamepoteza imani na matumaini; awafariji wagonjwa, wafungwa na wote wanaoteseka; awaimarishe viongozi wa dini na Jumuiya nzima ya waamini, ili kweli waweze kuwa ni chumvi na mwanga wa katika Nchi hii. Baba Mtakatifu anamwomba Bikira Maria alinde huduma za elimu zinazotolewa katika eneo hili, lakini zaidi kutoka Chuo Kikuu cha Bethlehemu.

Baba Mtakatifu anapotafakari kuhusu Familia Takatifu, mawazo yake yanakwenda moja kwa moja mjini Nazaret ambako anatamani kwenda kutembelea Mwenyezi Mungu akipenda wakati mwingine tena. Ameonesha upendo na mshikamano wake kwa waamini wote wanaoishi katika eneo hili. Anamwomba Bikira Maria asaidie mchakato wa ujenzi wa udugu, mshikamano na amani
!

Roho Mtakatifu ni kocha wa maisha ya kiroho!


Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican inapenda kukushirikisha utajiri wa tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya Vi ya Kipindi cha Pasaka inayomwonesha Roho Mtakatifu kuwa kweli ni kocha na mwalimu wa maisha ya kiroho! Kazi kwako!

Katika Injili NENO KUPENDA/PENDO linatawala – hivi unajisikiaje unapoambiwa nakupenda au unapohisi kuwa unapendwa? Hakika kupenda kunawajibisha - tamko hilo lasubiri jibu. Wengi wetu twafahamu fika jinsi ilivyo vigumu kupenda upeo/kweli. Upendo unadai matendo. Kinachofuata ni wajibu.


Ndicho kinachoonekana katika masomo yetu ya leo = kutii amri na kuabudu. Ndiyo maana Yesu anaweza kusema mkinipenda mtazishika amri zangu. Mtakatifu Tomas wa Akwino - sheria za Mungu ni nyepesi kwa wapendao na mzigo kwa wasiopenda.

1 Jan 4,8 yeye asiyependa hakumjua Mungu kwa maana Mungu ni upendo -hivyo ili kupenda vizuri ni lazima kumjua Mungu sababu yeye ni PENDO. Mapendo ya kweli yadai sadaka. Ili kushika amri au sheria inavyotakiwa yahitaji sadaka kubwa na inayodai utumishi.

Mt Agustino anapotafakari juu ya upendo wa Mungu anasema - umegusa mioyo yetu kwa pinde za upendo wako na akili zetu kwa mishale ya neno lako.

Baada ya utangulizi na kusikia masomo

Papa Francisko aanza hija yake ya kichungaji Nchi Takatifu

Baba Mtakatifu Francisko ameondoka mjini Roma asubuhi, tarehe 24 Mei 2014 tayari kwa hija ya kitume huko Yordani, Palestina na Israeli kama kilele cha maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 50 tangu Papa Paulo VI alipokutana, akazungumza na kusali pamoja na Patriaki Anathegoras wa Yerusalemu, huu ukawa ni mwanzo mpya wa mchakato wa majadiliano ya kiekumene.

Baba Mtakatifu katika Uwanja wa ndege wa Fiumicino, Roma amesindikizwa na viongozi mbali mbali wa Kanisa na Serikali ya Italia. Ametumia nafasi hii kuwasalimia mmoja mmoja na kuwatakia kheri na baraka. Kama desturi, Baba Mtakatifu alibeba mkoba wake mweusi tayari kuanza safari ya kitume Nchi Takatifu.

Baba Mtakatifu amewaandikia wakuu wa Nchi ya Italia, Ugiriki, Cyprus na Israeli ujumbe wa matashi mema wakati alipokuwa anasafiri kuelekea mjini Amman, kituo cha kwanza cha hija yake ya kitume! Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe aliomwandikia Rais Giorgio Napolitano wa Italia, anamwambia kwamba, anaelekea Nchi Takatifu ili kuadhimisha Jubilee ya Miaka 50 tangu Papa Paulo VI alipokutana na Patriaki Anathegoras wa Yerusalem pamoja na kusali kwa ajili ya kuombea haki, amani pamoja na kukoleza majadiliano ya kiekumene na kidini. Anawatakia kheri na baraka wananchi wa Italia, anawaomba pia kumkumbuka katika sala zao.

Naye Rais Giorgio Napolitano wa Italia amemshukuru Baba Mtakatifu Francisko na kwamba, Jumuiya ya Kimataifa ina matumaini makubwa katika hija hii ya kitume huko Nchi Takatifu, mahali ambapo kuna kinzani kubwa katika historia yake na ulimwengu kwa ujumla. Ni matumaini ya Rais Napolitano kwamba, hija hii itakuwa ni cheche za matumaini kwa wale wanaotaka kusimama kidete kuendeleza amani na utulivu. Rais Napolitano anamtakia mafanikio mema katika hija hii ya kitume.

Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa Rais Karolos Paoulias wa Ugiriki anamtakia mafanikio mema katika kukuza na kudumisha misingi ya haki na amani, anawaombea baraka tele kutoka kwa Mwenyezi Mungu.

Baba Mtakatifu Francisko akimwandikia Rais Nicos Anastasides wa Ugriki anasema, anawatakia kheri na baraka tele wananchi wa Ugiriki na kwamba, anawaombea furaha na amani kutoka kwa Mwenyezi Mungu.

Mwishoni, Baba Mtakatifu Francisko amemwandikia pia ujumbe Rais Shimon Peres wa Israel kwa kumtakia matashi mema na wananchi wote wa Israeli na kwamba, ana matumaini ya kukutana naye Nchi Takatifu wakati wa hija yake ya kichungaji. Anawatakia wote baraka tele!




Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya 6 ya Kipindi cha Pasaka


Karibuni ndugu msikilizaji wa Radio Vatican katika kipindi cha Liturujia ya Neno la Mungu, tukiwa tayari Dominika VI ya Kipindi cha Pasaka, ambamo tunasikia na kuona Bwana mfufuka akihaidi zawadi ya Roho Mtakatifu. RealAudioMP3

Mpendwa mwana wa Mungu, katika somo la kwanza (Mdo, 8: 5-8, 14-17) tunakutana na Filipo ambaye yuko mji wa Samaria akihubiri habari njema huko. Katika mahubiri yake hayo au tuseme kazi zake za kichungaji atatenda ishara nyingi na mojawapo ya ishara hizi ni watu kunasuliwa toka pepo wachafu, waliopooza kuponywa na ishara nyingine kama hizo zilengazo kuleta uhuru katika maisha ya watu.

Kwa hakika watu walifurahi kama mwandishi anavyosema “ikawa furaha kuu katika mji ule”. Mitume waliposikia kuwa Samaria wamepokea Neno la Mungu waliwatuma Petro na Yohane ili wawawekee mikono kwa ajili ya kushukiwa na Roho Mtakatifu, maana walikuwa wamebatizwa tu kwa jin