Week Hot newz

Teacher handed 3 life sentences for rape

Colonel Jay Naicker said Nkosingiphile Hlekwayo, 50, raped the 11-year-old girl on three occasions in 2009. The court sentenced him on Wednesday.
 

A KwaZulu-Natal school teacher has been handed three life sentences by the Empangeni Regional Court for the rape of an 11-year-old pupil, police said on Friday.
Colonel Jay Naicker said Nkosingiphile Hlekwayo, 50, raped the 11-year-old girl on three occasions in 2009. The court sentenced him on Wednesday.
"The victim reported the matter to her parents and a case was opened at the Empangeni police station," he said.
"The Empangeni family, child protection and sexual offences unit took over the investigation that led to the arrest of the accused on the same day that the offence was reported."
He said Hlekwayo's family allegedly approached the girl's family and promised to pay them or give them cattle if they withdrew the case.
"The victim's parents refused to do so and they... allegedly received death threats. The victim was taken to a place of safety until the case was finalised."
Provincial police commissioner, Lt-Gen Mmamonnye Ngobeni welcomed the sentence and expressed her confidence in the judicial system.

Robin van Persie hatachezea Manchester United kipindi hiki

Robin van Persie 




Robin van Persie hatachezea Manchester United kipindi hiki cha mechi nyingi baada ya kupata jeraha la paja ambalo litamuweka nje mwezi mmoja, meneja David Moyes alisema Ijumaa.
"Robin Van Persie atakuwa nje mwezi mmoja. Alipata jeraha kwenye paja akipiga kona ambayo ilizaa goli (dhidi ya Shakhtar Donetsk on Tuesday)," Moyes aliambia kikao cha wanahabari kabla ya mechi yao ya Jumapili Aston Villa.
Mholanzi huyo, ambaye amefunga mabao saba katika mechi 11 za Ligi ya Premia msimu huu, alirejea baada ya kuuguza jeraha la mtoki wikendi iliyopita wakati wa

Arsenal ya lala kwa Man City 6-3

a
Man City
Manchester City, wametoa ujumbe mkali kwa mahasimu wao kwenye ligi ya Premier Arsenal baada ya kuwacharaza mabao sita kwa matatu.
Upande wa Manuel Pellegrini uliwacharaza Arsenal na kuziba pengo la pointi tatu.
Arsenal walilalamika wakitaka kupewa penalty moja ingawa kwa kweli Man City walikuwa wamejiandaa vilivyo dhidi ya Arsenal, huu ulikuwa kama upepo kwao.

Safari ya Mandela mwisho Kijiji cha Qunu


Jeneza la Mandela
Mwili wa hayati Nelson Mandela umepelekwa katika mkoa wa Eastern Cape kwa safari ya mwisho kabla ya kuzikwa siku ya Jumapili kijijini Qunu.
Idadi kubwa ya watu walifurika barabara angalau kumtupia jicho shujaa wao na kutoa heshima zao za mwisho.
Mandela aliyefariki tarehe 5/12/2013 atafanyiwa maziko ya kitaifa siku ya Jumapili tarehe 15/12/2013,

Jumuiya ya Kimataifa inaomboleza Kifo cha Tata Madiba!

Viongozi wa Jumuiya ya Kimataifa pamoja na wananchi wa Afrika ya Kusini wameanza kutoa heshima zao za mwisho kwa Tata Madiba kwa sala kutoka kwa viongozi mbali mbali wa kidini nchini Afrika ya Kusini. Mvua iliyokuwa inanyeesha imewazuia wananchi wa kawaida kufika uwanjani ili kutoa heshima zao za mwisho kwa Mzee Nelson Mandela, lakini mvua ni kielelezo cha baraka kwa makabila mengi Barani Afrika.

Siku ya pili heshima mwili wa Mandela


Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandela
Waombolezaji nchini Afrika Kusini wanaingia siku ya pili katika zoezi la kutoa heshima za mwisho kwenye mwili wa Rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela.
Maelfu ya watu wamejipanga kwenye mistari wakisubiri kutoa heshima zao za mwisho kwenye mwili huo uliolazwa katika ikulu kwenye jengo la Muungano mjini Pretoria.

Madiba, kwa heri! Umekuwa ni daraja la upatanisho!


Mwili wa Marehemu Nelson Mandela, Siku ya Jumatano tarehe 11 Desemba 2013 umewasili mjini Pretoria ambako utakaa kwa muda wa siku tatu, ili kutoa nafasi kwa wananchi wa Afrika ya Kusini kutoka heshima zao za mwisho. Magari ya Polisi yaliusindikiza Mwili wa Tata Madiba kutoka kwenye Hospitali ya Kijeshi.

Wezi wavunja nyumba ya Askofu Tutu!


Desmond Tutu
Wezi wamevunja na kuingia nyumbani kwa Askofu mstaafu Desmond Tutu
Polisi wamesema wizi huo ulifanyika wakati bwana Tutu akiwa katika ibada ya Nelson Mandela Mjini Johannesberg.
Inaarifiwa Tutu aliibiwa vitu vyake wakati akiwa anahudhuria ibada maalum ya kumuaga Hayati Nelson Mandela siku ya Jumanne.
Aidha wameelezea kuwa uvamizi ulifanyika nyumbani kwake mjini Cape Town Ahamisi jioni baada ya kutoa hotuba katika ibada ya Mandela siku hiyo.
Ibada hiyo ilifanyika katika uwanja wa FNB mtaani Soweto.
Wizi na uvamizi wa nyumba za watu ni jambo la kawaida nchini Afrika Kusini ambako visa vya uhalifu viko juu sana.

Heshima za mwisho kwa mwili wa Mandela


Mwili wa Mandela ukisindikizwa na polisi Afrika Kusini
Viongozi mbali mbali pamoja na raia wa Afrika Kusini wanaendelea kutoa heshma za mwisho kwenye mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini Marehemu Nelson Mandela ambao umelazwa kwenye ikulu ya Afrika Kusini mji Mkuu wa Pretoria, ambapo utalala hapo kwa siku tatu.
Mwili ulichukuliwa katika msafara kutoka chumba cha maiti cha hosptali hadi kwenye jengo la Muungano.
Msafara wenye jeneza la Marehemu uliondoka mjini katika Hosptali ya jeshi muda mfupi siku ya jumatano. Jeneza lilibebwa kwenye gari maalum na kufunikwa bendera ya Afrika Kusini.
Wananchi walijipanga kando kando ya barabara lilipopitishwa jeneza kama ishara ya kutoa heshma za mwisho kwa mwili wa marehemu.
Msafara ulipita katika mitaa huku baadhi ya raia wakikimbia pembeni kwenye mstari wa askari wa

Kili Stars yafa, lakini kiwango


Picha kushoto ni Mshambuliaji wa Tanzania Bara, Mbwana Samata akiwatoka mabeki wa Kenya, Joackins Atudo (kulia) na Aboud Omar kwenye Uwanja wa Nyayo jana. Kili Stars ililala 1-0.

Licha ya timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kumiliki mpira kwa dakika zote 90, imeshindwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya jana kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya (Harambee Stars).

Drogba, Eboue salute to Madiba sparks row

ANKARA - Turkey's sports minister lashed out on Monday at moves by the football authorities to punish two top Ivorian club players for paying homage to Nelson Mandela.
 
Emmanuel Eboue

Didier Drogba and Emmanuel Eboue have been threatened with disciplinary action by the Turkish Football Federation for violating a ban on wearing political slogans on T-shirts, triggering outrage on Twitter.
Turkish Sports Minister Suat Kilic called on the federation to review its decision against the two star players with Istanbul giants Galatasaray.
"I don't find it a healthy choice in terms of Turkey's image abroad and the two footballers' [freedom of] expression," he said.
Drogba removed his club shirt after a match at the weekend against SB Elazigspor to reveal a T-shirt that read "Thank You Madiba", using Mandela's clan name.
Teammate Eboue also honoured the South African anti-apartheid hero who died on Thursday with a T-shirt that said "Rest in Peace Nelson Mandela".

Obama scripts world farewell


"It is hard to eulogise any man... How much harder to do so for a giant of history, who moved a nation toward justice, and in the process moved billions around the world," Obama began, in a speech that placed Mandela in the pantheon of Mahatma Gandhi and Martin Luther King.


US President Barack Obama summed up the awed respect Nelson Mandela inspired around the world at a rain-drenched memorial in Soweto on Tuesday that hinted at the tension straining South African politics after his death last week.
"It is hard to eulogise any man... How much harder to do so for a giant of history, who moved a nation toward justice, and in the process moved billions around the world," Obama began, in a speech that placed Mandela in the pantheon of Mahatma Gandhi and Martin Luther King.

Mlango wa Bwana daima ni wazi na kutupatia tumaini



Hatupaswi kuhofia ukombozi wa Bwana , badala yake , ni kujiweka tayari kwa ajili ya ujio wake. Ni kuufungua mlango wa moyo na kumpokea kwa matumaini. Papa alieleza katika homilia yake wakati wa Ibada ya Misa, mapema asubuhi Jumanne, katika Kanisa dogo la Mtaktifu Marta hapa Vatican.

Papa alitafakari maneno ya somo la kwanza, kutoka Kitabu cha Nabii Isaya, ambamo Nabii Isaya anasema, "farijikeni enyi watu wangu, Bwana, yu karibu na watu wake, kuwatuliza ,na kuwapa amani". Papa ameeleza kazi hii ya kufariji, ina uwezo wa kubadili yote. Bwana, kweli ana uwezo wa kuviumba vyote upya .

Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela





Maria Nyerere pichani ambaye ni mke wa aliyekuwa rais wa kwanza nchini Tanzania Mwalimu Nyerere, amesema Nelson Mandela ataendelea kukumbukwa kwa moyo wake wa kusamehe na kumtaja kwamba alikuwa ni zawadi ya dunia katika kuleta upendo na maridhiano.
Uhusiano kati ya familia ya Mwalimu Nyerere na ile ya Mzee Nelson Mandela umekuwa ni wa karibu kiasi kwamba familia yake inajiandaa kwenda kuhudhuria katika mazishi yatakayofanyika tarehe 15 mwezi huu.

Mandela the secret weapon in 1995 final


For South Africans, winning the 1995 Rugby World Cup final marked the emergence of the "Rainbow Nation" -- for New Zealanders, it was the day Nelson Mandela single-handedly outpsyched the mighty All Blacks.

 
Former President Nelson Mandela congratulates South African rugby team'

The Jonah Lomu-inspired New Zealanders were red-hot favourites going into the decider, breezing through the group stages and humiliating England in the semi-finals.
In contrast, the Springboks scraped through on the back of an unconvincing 19-15 semi-final win over France, raising fears they would be blown away in the final at Johannesburg's Ellis Park.
Then Mandela, in one of the most audacious political gambles of his career, appeared before the mostly white crowd of 62,000 wearing a Springbok jersey to shake the players' hands before kick-off.

FIFA World Cup History

South Africa 2010
Winner: Spain
Runners-Up: Netherlands
Third: Germany
Fourth: Uruguay
adidas Golden Ball: Diego FORLAN (URU)
adidas Golden Boot: Thomas MUELLER (GER)
Best Young Player Award: Thomas MUELLER (GER)
adidas Golden Glove: Iker CASILLAS (ESP)
FIFA Fair Play award: Spain

Mwandishi wa BBC amkumbuka Mandela


Mandela aliwagusa watu wengi duniani
Nelson Mandela alijiondoa kutoka maisha ya umma mwaka 2004. Mwandishi wa BBC Richard Hamilton alikuwa mwandishi wa BBC mjini Cape Town wakati huo na anatuletea kumbukumbu zake kuhusu rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini:
"Bwana Mandela, unawezaje kuwa katika hali hii nzuri ya mwili? Aliuliza ripota msichana wa tv, ambaye aligongana jicho na Bwana Mandela.
Tulikuwa katika eneo la gereza la Kisiwa cha Robben ambako Nelson Mandela alitumikia miaka kumi na nane kati ya ishirini na saba aliyofungwa jela.

Struggle giants die within 10 years of each other


In the 1940s Tambo, Sisulu, Mandela and other young intellectuals of the time regularly visited the house of then ANC president Dr AB Xuma. It was there that they came up with a plan to revive the ANC and make it more accessible to ordinary people. In 1944 the three men helped form the ANC Youth League.


Three giants of the struggle -- Oliver Tambo, Walter Sisulu, and former president Nelson Mandela -- died within 10 years of each other.
The first to die was former African National Congress president Oliver Tambo in 1993.
Tambo and Mandela met when they were studying at the University of Fort Hare in the Eastern Cape.
In the 1940s Tambo, Sisulu, Mandela and other young intellectuals of the time regularly visited the house of then ANC president Dr AB Xuma. It was there that they came up with a plan to revive the ANC and make it more accessible to ordinary people. In 1944 the three men helped form the ANC Youth League.
Tambo spent over 30 years in exile. He become acting ANC president in 1967 following the death of Chief Albert Luthuli and in 1985 he was re-elected president of the party.
The same year Tambo returned from exile he was elected ANC chairman. He died on April 24, 1993 at the age of 75 due to complications after a stroke.
During his speech at Tambo's funeral Mandela said: "Here lies before you the body of a man who is tied to me by an umbilical cord which cannot be broken."
In 2003 former ANC secretary general and deputy president of the ANC Walter Sisulu died.
Sisulu, who was born in 1912, the year the ANC was founded, died at his Johannesburg home in the arms of his wife Albertina, herself a legend in her own lifetime.
In a tribute to Sisulu Mandela said: "Xhamela is no more. May he live forever! His absence has carved a void. A part of me is gone."
Mandela's impassioned statement at the time spoke of a 62-year-old friendship.
"Our paths first intersected in 1941. During the past 62 years our lives have been intertwined. We shared the joy of living, and the pain," he said.
"In a sense I feel cheated by Walter. If there be another life beyond this physical world I would have loved to be there first so that I could welcome him. Life has determined otherwise."
On Thursday, 10 years after his old friend's death, Mandela died at the age of 95. He will be buried in his hometown of Qunu in the Eastern Cape next Sunday.

Msiba wa Mandela kuwabeba Tanzanite leo?


the TanzaniteMKUU wa msafara wa timu ya taifa ya wanawake ya Afrika Kusini chini ya miaka 20, Peter Manchonyane, ameelezea wasiwasi wa kikosi chake kuathiriwa na msiba wa Rais wa zamani wa nchi yake, Nelson Mandela, katika mechi ya leo dhidi ya Tanzania ‘Tanzanite’.
Bara la Afrika na dunia kwa jumla, inaomboleza msiba wa Mandela, aliyefariki juzi usiku, saa chache baada ya kikosi cha vijana cha nchi hiyo kutua nchini kwa mechi ya mchujo kuwania kufuzu fainali za dunia kwa wanawake chini ya umri huo, zitakazochezwa nchini Canada mwakani.
Manchonyane alisema kuwa kikosi chake kinachojulikana kwa jina la ‘Basetsana’, kimekumbwa na simanzi miongoni mwa wachezaji na viongozi, baada ya kifo cha Mandela na kwamba anahisi kitaathiri harakati zao leo.
Pamoja na hofu hiyo, kiongozi huyo alisisitiza kuwa lengo lililowaleta ni kupigana kusaka ushindi, ili kujiwekea mazingira mazuri kuelekea mechi ijayo kuwania tiketi ya kufuzu raundi ya tatu na ya mwisho ya mchujo huo wa fainali za mwakani huko Canada.
“Tumeshtushwa na kifo cha Mzee Mandela, kambi imejaa simanzi. Licha ya kutarajia ugumu kucheza tukiwa katika hali hiyo, lakini tunaamini tutashinda changamoto hiyo na kuibuka na ushindi ili kuondoa presha katika mechi ya marudiano nyumbani,” alisema Manchonyane.
Kwa upande wake kocha wa Tanzanite, Rogasian Kaijage, alisema, kauli ya kiongozi huyo ni ‘danganya toto’ iliyobeba mantiki ya kuwahadaa na kuvimbisha kichwa na kwamba ameligundua hilo na kikosi chake kitacheza kwa tahadhari dhidi ya Basetsana.
Alisema, anakitambua kikosi cha Basetsana ni kizuri, imara na bora, hivyo kazi ya nyota wake itakuwa kupigania matokeo mazuri nyumbani kama ilivyokuwa dhidi ya Msumbiji na wala hawatobweteka kwa alichokiongea kiongozi huyo.

“Basetsana kama jina lao lilivyo ni wasichana wadogo, ambao ni vigumu kushikwa na simanzi kubwa juu ya msiba wa kiongozi ambaye wakati anatawala wengine walikuwa wadogo, wengine hawajazaliwa. Watoto mara nyingi hawaguswi sana na vifo,” alifafanua Kaijage.
Aliongeza kuwa, nia yao kama timu ni kupigania matokeo mazuri na kuwataka Watanzania kumiminika kwa wingi kuwasapoti mabinti hao, ili kuwapa nguvu ya kushinda na kujiweka pazuri kuelekea raundi ya tatu ya michuano hiyo.
Kwa upande wake nahodha wa Tanzanite, Fatuma Issa, alisema, morali katika kikosi chake iko juu na kwamba, Watanzania wanapaswa kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Taifa ili kuwashangilia kuwaongezea nguvu na Mungu akipenda wataibuka na ushindi.
Viingilio katika mechi ya leo itakayopigwa kuanzia saa 10:00 alasiri, vitakuwa ni sh 1,000, sh 2000, sh 5,000 na sh 10,000, ambako tiketi zitauzwa uwanjani hapo leo.

Papa Francisko aomboleza kifo cha Mzee Madiba!



Baba Mtakatifu Francisko ametuma salam za rambirambi kwa Rais Jacob Zuma wa Afrika ya kusini na wananchi wa Afrika ya Kusini kwa ujumla wao kutokana na kifo cha Mzee Nelson Mandela. Anaiombea roho ya Mzee Mandela iweze kupata huruma ya Mungu pamoja na kuendelea kuwaimarisha wote walioguswa na msiba huu mzito!

Baba Mtakatifu Francisko anasema, Mzee Nelson Mandela alisimama kidete kulinda na kutetea utu na heshima ya raia wake; akajenga na kuimarisha umoja wa wananchi wa Afrika ya Kusini pasi na vita, wakitembea katika njia ya upatanisho na ukweli. 



Ni matumaini ya Baba Mtakatifu kwamba, mchango wa Mzee Mandela utakuwa ni changamoto kwa wananchi wa Afrika ya Kusini kusimama kidete kulinda haki na mafao ya wengi; wanasiasa wakiwa mstari wa mbele. Baba Mtakatifu anawapatia wananchi wote wa Afrika ya Kusini baraka zake za kitume, wakati huu wa maombolezo ya kitaifa!