Wenyeji wa eneo hilo wanasema waliamshwa na milio ya risasi na ndege za kivita zikitua na kuondoka
Wapiganaji wa kundi la wanamgambo la Al shaabab walimezima shambulizi la kuvizia lililotekelezwa na makomando wa jeshi la Marekani usiku wa kuamkia leo.
Kwa mujibu wa Afisa mmoja wa ngazi ya juu jeshini ambaye hakutaka jina lake litajwe anasema kuwa shambulizi hilo lililotekelezwa na vikosi vya usalama la Marekani kwa ushirikiano na majeshi ya Somalia yalifanikishwa kwa kuruka kwa ndege za helikopta kwa kambi ya wapiganaji hao iliyoko Awdhegle, takriban kilomita 50 Kusini mwa Somalia.
Wapiganaji wa kundi la wanamgambo la Al shaabab walimezima shambulizi la kuvizia lililotekelezwa na makomando wa jeshi la Marekani usiku wa kuamkia leo.
Kwa mujibu wa Afisa mmoja wa ngazi ya juu jeshini ambaye hakutaka jina lake litajwe anasema kuwa shambulizi hilo lililotekelezwa na vikosi vya usalama la Marekani kwa ushirikiano na majeshi ya Somalia yalifanikishwa kwa kuruka kwa ndege za helikopta kwa kambi ya wapiganaji hao iliyoko Awdhegle, takriban kilomita 50 Kusini mwa Somalia.