Week Hot newz

Batarokota atimiza miaka 42 naomba msamaha



Batarokota Paskal Linda akiwa anasoma somo la kwanza katika kanisa katoriki la St Patrisi mjini Morogoro.

ANAWAOMBA msamaha wote akitamka Batarokota ` Ndugu, jamaa na marafiki zangu katika Kristu Yesu nimewakosea sana kwa mawazo, kwa vitendo na kwa kutotimiza wajibu wangu, nimekosa mimi nimekosa sana kwenu ndio maana naomba mnisamee kwa yote niliowatenda najua nimewatenda mengi mabaya sana kwangu na kwenu na mbele ya Mungu wa huruma ni mengi,  kwa walionikwanza nimewasamehe wote, Toba ni neno la kutubu au kutoa kitu ulichokifanya kinyume na ya Mungu, Mimi mdhambi nimeanguka mnihurumie ` aliomba msamaha kwa manjozi makubwa.
 
KWA NINI BATAROKOTA ANAPENDA KUSOMA BIBLIA?
Kwa sababu mbili.
Kwanza aliamini kwamba kwa kuwa kuna miungu mengi chini ya jua, lazima kuna mmoja awe mkuu kuwaliko aliamini ni Mungu muumba wa mbingu na nchi aliyeileta biblia kupitia viywa vya manabii.
Pili, Batarokota alijua kuwa Biblia ni kitabu kinacho heshimika sana na kina pumzi ya Mungu aliye hai, Hiyo ndio maana anapenda sana kusoma na kutafakari maneno matakatifu yaliyomo katika Biblia.



HISTORIA FUPI YA BATAROKOTA
Msanii wa Bongo fleva na mkali wa kurap kwa lugha zaidi ya 32 Bataroka Paskal Linda  Mgundu  alizaliwa tarehe 14/April/1974 Kijiji cha Kigamboni katika Hospitali Teule ya Kigamboni Mkoa wa Temeke jijini Dar es salaam, nakupewa jina la Linda ambalo ndio jina la baba kizaa baba yake Batarokota. Kabila ni Msukuma kutoka kijiji cha Nyashigwe kilomita 35 kutoka jijini Mwanza kaskazini mwa nchi ya Tanzania upande wa baba.
Batarokota alibatizwa katika kanisa la RC Kijenge jijini Arusha mwaka 1980 na kupewa jina la Paskal kwa sababu alizaliwa siku ya kufufuka kwa Yesu Kristu Bwana na Mkombozi wa Ulimwengu wote.



Ni mtoto wa kwanza katika familia ya Baba na Mama Beatus Linda iliyopo Nyamhongolo kijijini katika jiji la  Mwanza, yenye watoto saba (7)  kwa majina ni:
Happy Linda ambae ni marehemu aliyefariki gafla tarehe 9/Mai/2007 maeneo ya Mbagala jijini Dar es salaam(rest in peace sister Happy Linda), Naomi linda, Zakaria Linda (Dj Zari), Yohana linda (y brain), Monical linda na Norbert Linda.

Batarokota ameoa  alifunga ndoa Jumamosi ya tarehe 5/Machi/2011 katika kanisa Katoriki la Mtakatifu Patrisi  la mjini Morogoro nchini Tanzania  na Sara Dile Linda (19), na kupata cheti cha B No. 0129392 mbele ya mashaidi Alphone Dominiki na Josephine John.

Ni baba wa watoto wanne wakwanza alizaa na mchumba wake wa kwanza Marehemu Saula Athony Kapama aliyefariki tarehe 9/Agosti/2005 Sumve Matare kwa ajali ya gari Land Rover yenye usajili wa MZL 578 iliyongongwa na Treni namba 73R02 na 73RO5 iliyokuwa na injini mbili na mabehewa ya abiria iliyokuwa ikienda Mwanza kwenda Dar es salaam.Katika ajali hiyo Batarokota alimpoteza mchumba wake  Saula Kapama (26), shemeji yake Patris Kapama (36), rafiki zake Saguda Ngedu na Dotto.
Marehe Saula Kapama aliye kuwa  aliacha mtoto mmoja jina Ng`wibis Linda ambae alizaliwa Agosti 2000 katika Dispensary ya St Michae jijini Mwanza, Tanzanial. 

Baada ya kufariki kwa mchumba wa Batarokota mwaka uliofuata alipata mchumba  Ruti Fidel Kanuti kabla ya ndoa waliweza kupata mtoto , ambae anaitwa  Shija Paskal ambae alizaliwa Desemba 2006 katika Hospital ya Bugando jijini Mwanza nchini Tanzania.
Batarokota aliachana na mchumba wako huyo na kuondoka kwenda kuishi Morogoro nchini Tanzania ndio alipofanikiwa kupata mwanamke na kufunga nae ndoa na kupata watoto wawili wa kike Makrina Juliana ambae alizawa Novemba/ 2011 mjini Morogoro katika Hospital ya Morogoro na Telezia wa Yesu aliyezaliwa Desemba/2013 Msimii Singida Vijijini.

ELIMU
 
1984 – 1990 shule ya msingi Igoma, Jijini Mwanza wilaya ya Nyamagana kata ya Igoma.

1991- 1994 shule ya sekondari Buswelu , jijini Mwanza wilaya ya Ilemela kata ya Buswelu.

1995 -1997  kidato cha tano na sita Nyeri Sekondari  Kisumu nchini Kenya .

10.07.2007 Aliudhuria mafunzo Tanzania Breweries Limited Mwanza na kupata cheti cha Training on Beer Knowledge, General Hygiene and Customer Service.

2010 Januari - Februari   Chuo cha Power computer  jijini Mwanza  nchini  Tanzania na kuahitimu masomo cheti cha Basic Computer Components.

2011 Septemba  – 2013 April  Saint Paul's University kilichopo Ikebukuro, Tokyo. na kuhitimu Diploma in Information Technology Networking.

BAADHI YA MATAMASHA ALIYO SHIRIKI 

1994 Novemba Batarokota alifanya show ya kuwaanga kidato cha nne katika shule ya Buswelu Sekondari na Mgeni rasmi alikuwa Hayati Paulo Bomani.

1996 Julai  Batarokota alialikwa katika show ya kusaka mrembo wa Kigamboni (Miss Kigamboni ) katika ukumbi wa CCM kivukoni .Katika show alikuwa wamealikwa wasanii Fune with Sanse kiongozi wao J- Mtambo na kundi lake la POSOJU.

1998 Agosti Batarokota alifanya show kubwa akiwa na kundi lake la G tha dunia jijini Nairobi chini ya wadhamini  wa kampuni ya utengenezaji wa sigara za Benson & Hedges . Tamasha ili lilifanyika ukumbi wa Carval simba saloon, pamoja na wasanii G tha Dunia kutoa burudani  pia alikuwepo msanii Coolio kutoka Marekani na wasanii wa Kenya kama  Kalamashaka, Hard stoney na wengine wengi.

1998 Septemba Batarokota alikalibishwa na kundi lake la G tha Dunia katika ukumbi wa Liberty Hall jijini Mwanza, siku hiyo walikuwa wanazindua singo ya wimbo  'upendo kwa mama' wasanii walio alikwa ni Mr 2, Dr KB, BWV, Makamanda wa Gola, Marehemu Daz P, na wengine wengi.


2004 Julai Batarokota akiwa na kundi la G THA Dunia alialikwa pamoja na wasaniii H- Baba, J- Mo, Mr Paulo, Solo Thang, Vick Kamata na BWV. katika kufanya show kubwa iliyo fanyika katika uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora show hii iliandaliwa na Zizou Entertnment. Show hii ilikuwa pia  mikoa Mara, Tabora na Mwanza.
2004 Desemba  Batarokota alialikwa yeye pamoja na msanii wa nyimbo za kiasili ya kisukuma Mama Nyamoko (Suzana Nyamoko), kwenye show ya kuwaburudisha watu wa Geita siku ya Kristimasi katika ukumbi wa Lake View Hotel .
2005 Machi Batarokota amefanya show aliyoalikwa jijini Nairobi -  Kenya  katika ukumbi wa Brokriny uliopo Gethorai 44 onyesho hili lilifadhiriwa na Princess Studio.

31/Machi/2014 Msanii Batarokota aliudhuria semina ya washiriki wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2014 kama mshiriki anayewania tuzo ya wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Kitanzania, semina hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Peninsula Ball room gorofa ya 6 Double Tree  by Hilton, Masaki jijini Dar es salaam. Semina hiyo ilikuwa  mahususi kwa washiriki wa wanao wania tuzo kupiga picha, kupata maelekezo ya kina ya msimu wa KTMA 2014, kujua utaratibu wa kupiga kura na kupigia kura, matumizi ya social media kujinadi na kupata namba ya ushiriki. Semina hiyo iliendeshwa na Taji Liundi, Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager George Kavishe, Kaimu katibu mtendaji wa BASATA  Godfrey l.Mngereza na kampuni ya kuesabu kura ya AUDITAX. Baadhi ya wasanii walio jumuika pamoja na Batarokota kwenye semina hiyo  ni Mzee Yusufu, Nyoshi el Saadati, Mr Blue, Ashimba, na wengine wengi.Pia baada ya kumalizika semina hiyo Batarokota aliingia mkataba mnono na kuuza santuri katika kampuni ya Mkito,  inayo uza mziki ya wasanii Duniani kote kupitia tuvuti ya www.mkito.com . Santuri za Batarokota unaweza kuzipata kwa https://mkito.com/artist/116 kwejaga Nyangisha`, `vichwa vya kale` na `sauti ya haki`

2014 Julai  Batarokota alifanya show kubwa Coopenhangen Denmank katika ukumbi wa SHTU Club chini ya udhamini wa Cocacola.

2014 Septemba Batarokota alifanya show kwenye kampeni ya kumunadi mgombea wa CCM ambaye ndie alikuwa mshindi wa urais J.Pombe Magufuri katika uwanja wa Jamhuri na Morogoro na CCM Kirumba Mwanza.

MAISHA  

Kipaji cha Batarokota kilianza kuonekana toka akiwa shule ya msingi Igoma mwaka 1984, Akiwa shuleni alikuwa akicheza ngoma za asilia kwenye kundi la shule na alikuwa akifundishwa na Mwalimu Matongo ambae ni marehemu na Mwalimu Mayugu ambae kwa sasa ni mwana kwaya wa Mtakatifu Joseph Bakita katika kanisa la Romani Katoriki Igoma.Wanafunzi ambao Batarokota anakumbuka walio kuwa wanacheza wote ngoma ni Tasi Cosinatantine, Paskal Makaka, Peter Makuke,Frimat Lyimo na wengine wengi.
Mnamo Tarehe 9/Januari/1998, Batarokota alianziha kundi la mziki wa kurap jijini Mwanza kwa jina G Tha Dunia, kundi hili G Tha Dunia lilikuwa ni moto wa kuotea mbali ambalo lilitikisha kanda ya Ziwa na lilikuwa likiundwa na Paskal linda a.k.a Batarokota, Juma Hassani a.k.a Big D na Danny Ngollo a.k.a Ngollo 2. Kundi hili lilifanikiwa kurekodi albamu nchini Kenya ambayo ilikuwa ikiitwa '' One day'' ambayo ilirekodiwa Agosti/1998 mjini Nairobi, Kenya katika studio ya Sync sound studio  chini ya Producer Mahamud Omari a.k.a Mr M O .Album hii ya ''One Day'' ilikuwa imajazwa na nyimbo kumi ambazo ni 'one day' jina la albam, 'upendo kwa mama', 'kiama','ogopa 666' , 'ni mzuri tu', 'baby shake', 'wenyewe kwa wenyewe', 'watoto kwanza' , 'total balaa' na 'majonzi'. 
Baada ya kukaa nalo kundi hilo Batarokota aliondoka na kuachana na kundi hili 2004 na kwenda Dermank kwa ajili ya kufundisha kucheza ngoma Wadenishi na kurejea miezi mitatu baadae.Batarokota alirejea kutoka Dermank na kuanzihsa kundi jipya liitwalo Watu wa Gola liliko jijini Mwanza, alianzisha kundi hili akiwa na Juma Hassani a.k.a Big D, Kundi hili Watu wa Gola walifanikiwa kurekodi nyimbo mbili 'Tumerudi' na 'vichwa vya kale' nyimbo hizi zimerekodiwa katika studio ya M.O. Record iliyopo Pasiasi jijini Mwanza chini ya mtayarishaji Q the Don.

TUZO  KATIKA SANAA

2001/ 4,Machi Batarokota akiwa na kundi  la G THA Dunia, walifanikiwa kupata zawadi ya cheti cha ushindi wa best single rap katika wimbo wa ` upendo kwa mama` cheti hicho cheye namba ST NO 06 kilitolewa na Afisa utamaduni wa jiji la Mwanza Bwana Mgabo chini ya udhamini wa Gloryhood Music Award  .

2004/Octoba 22-23, Batarokota alifanikiwa kupata cheti cha kuudhulia na kushiriki mashundindano yaliyo fanyika jijini Mwanza ya  Music Crossroads Tanzania Workshops yanayo shirikisha nchi zote zilizopo kusini mwa Afrika kam Afrika Kusini, Msumbiji, Lesotho, Tanzania, na  Zambia.

03/05/2014 Tarehe hii ilikuwa ni siku ya utoaji wa tuzo za KTMA 2014 ambazo zilifanyika Mlimani city jijini Dar es laam na kuudhuriliwa na wasanii wengi wakimo Diamondi (ambae alinyakua tuzo saba), Jose Chameleone kutoka Uganda (alinyakua tuzo moja),Fid Q (tuzo 1) nawengine wengi  Batarokota akiwa  nominisi katika kategori ya Wimbo bora wenye Vionjo vya Asili ya Kitanzania na wimbo wa kisukuma uitwao `Kwejaga Nyangisha`  alikuwa anashindana na  wimbo Nalonji wa Kumpeneka, bora mchawi  wa Dar bongo massive (mashindi wa tuzo), tumbo lamsokota wa Ashimba, Aliponji wa Wanakijiji na Agwemwana wa Cocodo african music band.

WASHINDI WA TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC 2014 NI HAWA: 

WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA TANZANIA - Bora Mchawi -Dar Bongo Massive, MSANII BORA CHIPUKIZI ANAYEIBUKA - Young Killer, Msanii Bora Chipukizi Anayeibuka Young Killer, WIMBO BORA WA ZOUK - Yahaya Lady Jaydee, WIMBO BORA WA AFRO POP - Number One Diamond,  WIMBO BORA WA RAGGA / DANCEHALL - Nishai Chibwa Ft Juru,  WIMBO BORA WA RAGGAE - Niwe na wewe Dabo, WIMBO BORA WA TAARAB - Wasiwasi wako Mzee Yusuf u, KIKUNDI CHA MWAKA CHA TAARAB - Jahazi Modern Taarab, MWIMBAJI BORA WA KIKE  TAARAB - Isha Ramadhani, MWIMBAJI BORA WA KIUME TAARAB - Mzee Yusufu, WIMBO BORA WA KISWAHILI BENDI - Ushamba mzigo Mashujaa Band, MWIMBAJI BORA WA KIKE BENDI - Luiza Mbutu, MWIMBAJI BORA WA KIUME BENDI - Jose Mara,RAPA BORA WA MWAKA BENDI - Furguson,BENDI YA MWAKA - Mashujaa Band,MWIMBAJI BORA WA KIKE, KIZAZI KIPYA - Lady Jaydee, MWIMBAJI BORA WA KIUME, KIZAZI KIPYA - Diamond, KIKUNDI CHA MWAKA CHA KIZAZI KIPYA - Weusi, WIMBO BORA WA RNB - Closer, Vanessa Mdee, WIMBO BORA WA HIP HOP - Nje ya Box, Nick wa Pili Ft Joh Makini & Gnako, MSANII BORA WA HIP HOP - Fid Q,WIMBO BORA WA KUSHIRIKISHA / KUSHIRIKIANA - Muziki Gani, Nay wa Mitego ft Diamond, WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI - Tubonge, Jose Chameleone, MTUNZI BORA WA MWAKA TAARAB - Mzee Yusuf, MTUNZI BORA WA MWAKA BENDI - Christian Bella, MTUNZI BORA WA MWAKA KIZAZI KIPYA - Diamond, MTUNZI BORA WA MWAKA HIP HOP - Fid Q, MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA, TAARAB - Enrico, MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA, BENDI - Amoroso, MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA, KIZAZI KIPYA - Man Water, Combination Sound, HALL OF FAME, INDIVIDUAL - Hassan BItchuka, HALL OF FAME, INSTITUTION - Masoud Masoud, VIDEO BORA YA MUZIKI YA MWAKA - Number One, Diamond, WIMBO WA MWAKA - Number One. Diamond, MTUMBUIZAJI BORA WA KIKE WA MUZIKI - Isha Ramadhani na MTUMBUIZAJI BORA WA KIUME WA MUZIKI - Diamond


 NYIMBO MPYA AKIWA NJE YA KUNDI

Batarokota akiwa kama msanii single kwa  sasa ana nyimbo saba ambazo amesha kamilliza kwa ajili ya maandalizi ya albamu yake mpya atakayozindua mwishoni mwa mwaka 2016 yenye nyimbo  sita ambazo ziko tiyari ni ` hongora mama` na  `amani` nyimbo hizi zimerekodiwa Mwaka 2003 Januari katika studio Mushroom Studio jijini Nairobi nchini Kenya chini ya mtayarishaji Teddy Karanda Harrison.
Nyimbo vingine ni `Sukurubu` ambayo imerekodiwa Multimedia Studio jijini Mwanza mtayarishaji Alon Mikomangwa wasanii walioshiriki kwenye nyimbo hii ni Ceni na Castro kutoka DRC, Kongo na nyimbo nyingineni `sauti ya haki` na `kwejaga Nyangisha` zimerekodiwa Januari,2012 studio ya Sky Studio iliyopo Kihonda Morogoro mtayarishaji Orecy Owden.Nyimbo nyingine ni ya kisukuma ihitwayo `irombo rise`iliyorekodiwa 6/Decemba/2012 katika studio za Sunlight Records Mazimbu road -Kihonda Morogoro mtayarishaji King Maroh.

ANA VIPAJI VINGI VYA KUJIVUNIA UNAFAHAMU .

Mtunzi wa vitabu vya sala, nyimbo, ngojera, mashairi, Batarokota ni mtunzi wa kitabu cha Mashairi ya haki katika kuongoza `rudi ndani` alicho kizindua 01/10/2013 Temeke jijini Dar es salaam na kupewa namba ISBN 978-9976-89-260-4.
Mtu wa Mungu yaani mchungaji, ana kipindi katika blogu yake kwa kutarakari neon la Mungu kila siku na anakiendesha vizuri bila kutengemea msaada wowote wa pesa toka kwa wahisani ni toka mwaka 2013 amesimamia kutangaza nene la Mungu kupitia www.batarokotamedia.blogspot.com  jamaa napenda kumuita mchungaji wa kondoo wa Bwana lakini si mlokole.
Batarokota ni  msanii wa bongo fleva, msanii wa nyimbo za kurap, msanii wa nyimbo asili ya kiafrika anawezakuimba kwa lugha zaidi ya 32, amesha imba nyimbo nyingi sana kama `upendo kwa mama` lugha ya kiswhahili, kwejaga nyangisha lugha ya kisukuma, sukurubu lugha ya kiringala, one day English, kamule balongo kinyatuzu na nyingine nyingi.
Unauwezo wa kutabiri, katika blogu yake mwaka 2015 Mwezi wan ne siku ya kuzaliwa kwake alisema Rais wa awamu ya Tano ni Kutoka kanda ya Ziwa na hilo likatimia. Pia katika utabiri wake wa mwaka 2016 – 2017 ametabiri,
Moja; Chama kimoja cha siasa kitapata wanachama wengi sana mwezi wa 7- 12 Mwaka huu na kufika zaidi ya 1,000,000
Pili; vijana wengi watamrudia Mungu na watamwaibisha shetani mbele za watu na majambazi watarudisha siraha, vijana wataacha madawa ya kulevya, mahakimu watatoa haki, vijana watarudi mashambani kulima, waganga watakosa dili, mvua itanyesha kwa wakati, na mengine mazuri yanakuja nchi itashushia zawadi ya madini mapya yataonekana Tanzania ambayo hakuna Duniani.
Tatu;idadi ya Watanzania wenye wasiwasi kupita kiasi itaongezeka na kuwa kubwa kuliko wakati mwingine wowote.
Bataraokota pia ni mchora picha, mtunzi wa vitabu, mtunzi wa sala, muingizaji mzuri wa movi, mtahalamu wa kutengeneza mashairi,  hadithi, kuparfom katika steji akiwa live n.k

MAAJABU YA BATAROKOTA
Leo msanii Batarokota ameishangaza dunia kwa miaka mitatu mfululizo ameweka rekodi ya kutengeneza website na blogu zaidi ya elfu moja  ambazo zinajulikana baadhi ni kama mambouwanjani.blogspot.com, batarokotamedia.blogspot.com, ngunya.blogspot.com, badagone.blogspot.com, lennysogodi.wix.com/lenny, mchunguzischools.wix.com/8nane, batarokotanews.wix.com/live, zlinda.8m.com, aepo.blogspot.com, eliroidaycare.blogspot.com, tanzaniaonecomic.blogspot.com, ubuyuwataarabutz.blogspot.com, mweas.blogspot.com, kumalijahotel.blogspot.com, acuyo.blogspot.com, batarokotanews.wix.com/live nyingine nyingi sana.

MAMBO AMBAYO BATAROKOTA ATAYASAAU.

1984 Akiwa darasa la kwanza Batarokota alinusurika kifo baada ya mvua kubwa sana kunyesha wakiwa darasa la kwanza, darasa lao lilipingwa na radi na wanafunzi 6 walifariki hapo hapo na zaidi ya ishiriki kujeruiwa na wengine watatu kufika hospital ya taifa ya Bugando.

1990/Septemba/2  Batarokota aweze kuisaau baada ya siku hiyo kwenda kumsalimia Babu yake Timothi Shindika ambae kipindi hicho alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza baada ya kulala kwa babu yake, Asubuhi Babu yake alimwamsha Batarokota na kumwambia twende kusali Kawekamo kuna Papa Yohane Paulo wa 2 anaendesha misa. Batarokota alifurahi sana kujumuika na babu yake hadi kawekamo kwenye Misa cha kumkumbusha zaidi Batarokota baada ya misa kwisha babu yake alimwambia twende airport kumsindikiza mgeni. Baada ya Papa Yohane Paulo kuanza kuaanga iongozi wa serikali wakiwa aiport Mwanza Papa alimshika mkono Mkuu wa Mkoa na Batarokota akiwa pembeni ndio na Papa Yohane Pauli wa 2 pili aliona kuna mtoto na akamshika mkono Batarokota. Batarokota alisema hivi ` Papa Yohane Paulo wa 2 alisema Amina nami nikasema Amina`

2006 Mwaka  mpaka leo Batarokota hataki sherehe za birthday, hivi leo anatimiza miaka 42, amedai hana sababu ya kuisherehekea siku hiyo kwa kuwa atakuwa na machungu ya kumkumbuka mke wake wa mwanzo  ujana wake, kwa kuwa ndie alikuwa akimwandalia kila kitu katika kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa kila mwezi wanne. Mambo ambayo Batarokota alikuwa akiandaliwa na mkewe ni  keki ambayo ilikuwa ina gazi kulingana na umri wake, chakula cha meza kuu ambacho kipikwa kwa usitadhi wa hali ya juu na yeye, pia alikuwa anafunga kwa ajili ya kuniombea kabla ya siku kufika na alikuwa anaomba misa kwa ajili ya kuniombea, siku hii ataifanya maalumu kwa ajili ya kusali na kuwaombea marehemu wote walikuwanae katika sherehe zake za kuzaliwa hapo mwanza kama mke wake Marehemu Saula Kapama, shemeji yake Patricia Kapama, Babu yake Zachalia Kapoja, Bibi yake Zachalia Kaboja, Dada yake mpendwa Happy Linda, Happiness Ngeni, Mwanae Ruth Linda na wengine wengi ambao wametangulia mbele ya haki.


“Tangu mke  wangu Mama Ngw`bis aliyofariki sijawahi kufanya sherehe ya kuzaliwa kwangu kwa kuwa najisikia vibaya, nakumbuka miaka ya nyuma nilikuwa nafanya hivyo nikiwa na mke,mtoto, na marafiki zangu mara zote na ndiyo maana nimeshindwa kufanya peke yangu kwa kipindi chote.
“Wiki ijayo nitakuwa natimiza miaka 42, hivyo nimeona ni vizuri siku hiyo kuitumia kwa kumkumbuka watu wote wapendwa, ila sina mpango wa kusherehekea tena,” aliandika Bataokota kwenye akaunti ya Instagram baada ya baadhi ya makampuni yakitaka kufanya sherehe ya kukumbuka kuzaliwa kwake.

04/06/2011 Batarokota alinusulika kufa baada ya kumtetea mwizi wa simu aliye kuwa anapigwa na wananchini wenye asila kali maeneo ya stendi ya Tanganyika bus, baada ya Batarokota kufika eneo hilo aliwaomba na kuwasiii watu wasimpigi mwizi huyo kwa sababu walicho kuwa wanakitaka kimepatikana na mhusika anacho. Ndio baadhi ya watu walimzonga Batarokota na kuanza kumshambualia na walimpora simu aina brackbell, internation passport yenye namba AB 212909 iliyotolewa 2007.
Wasamalia wema walipomwona Batarokota akipigwa ndipo walipiga simu polisi centre nao walifika na kuondoka na Batarokota mpaka Hospital ya Seketure kwa matibabu zaidi. Lakini Mungu si Athumani tarehe 05/06/2011 Batarokota alitoka hospital akiwa na afya tele na watu walishangaa na siku hiyo hiyo alifika eneo la tukio nakuomba arejeshewe international passport lakini aliambia aliye chukua passport hiyo aligogwa na gari wakati anakimbia jana.
2013 Batarokota ashinda kesi (Akisoma Hukumu ya kesi na  Mheshimiwa Hakimu Mwakasenga alisema mlalamikaji na shahidi walipishana kwa utetezi huku mlalamikaji Danieli Simbi akisema ni shilingi Milioni mbili laki moja na kumi na tano na mia tano (2,115,5000 ) alizomkabidhi Batarokota na shahidi nae alisema ni shilingi milioni mbili na laki moja tu (2,100,000 )ndio alizokabidhiwa tena bila maandishi.

Akisoma hukumu hiyo Mheshimiwa Masenga alimwachia huru msanii Batarokota kwa kuwa ana kosa lolote na maelezo ya mashahidi na mlalamikaji ayajakidhi matakwa ya kumtia hatiani msanii Batarokota.)
Batarokota amekaa Keko miezi minne toka tarehe 10/5/2013 mpaka tarehe 16/09/2013 kwa kukosa dhamani.
2015/10 May Batarokota alifiwa na bibi yake kipendwa Perepetua Mishaka Shindika akiwa anaongea na usiku wa saa saba na kuniaga.Hiyo ilikuwa Batarokota alilejea kutoka Morogoro kwenda kumsalimia bibi yake maeneo ya Nyamhongolo jijini Mwanza.
Baada ya kukamilisha maojiano na msanii Batarokota tarehe 4/04/2014  amesema, `huruma ya Mungu inawasukuma waamini kuwa na huruma, kama ilivyojionesha kwa Watakatifu mashuhuda wa huruma ya Mungu kama vile: Theresa wa Mtoto Yesu, Mama Theresa wa Calcutta, Sr. Faustina Kowalska, Vincenti wa Paulo, Damiano  De Veuster, Leopoldo Mandic. Kanisa katika maisha na utume wake, limekuwa daima mstari wa mbele kutangaza na kushuhudia huruma na upendo wa Mungu kwa waja wake, dhamana inayopaswa kuendelezwa kwa ari na moyo mkuu` alimaliza Batarokota mtu wa Mungu.

Watendaji wa kata, vijiji watwishwa zigo la madawati


Madawati 5
Na Upendo Mosha, Hai (Gazeti Mtanzania)

MOFISA watendaji wa kata na vijiji wilayani Hai  wameagizwa kuhakikisha tatizo la upungufu wa madawati katika shule za msingi na sekondari liwe limekwisha  ifikapo Aprili 30 mwaka huu.
Agizo hilo lilitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Said Mderu, alipozungumza na maofisa hao  na wakuu wa shule za msingi, sekondari, waratibu elimu kata na wakuu wa idara   wilayani humo   kuwahimizi juu ya uwajibikaji kazini.

Abeddy Ngosso Kimbilio Langu video

Kenya: Mushroom Soup Still Delights


 
 Photo: Them Mushrooms
Them Mushrooms band.
Billy Saro Harrison is the second-born of the Harrison brothers who form Them Mushrooms. They are a Nairobi-based band which hails from Mombasa. Harrison made a very interesting observation on television last week when he asked to explain the difference between music making now and in the past. Saro, the bass guitarist, flanked by elder brother Teddy Kalanda Harrison (Tenor saxaphone, percussion, composer, vocals), younger brothers George Ziro Harrison (playing guitar on the TV set) and John "Bishop" Katana Harrison (keyboards, composer and vocals), said the kids coming into music today are making music for now.They have little thought about what comes next or much care as to how they can make music that will stand the test of time and still be relevant in 10 or more years. In short he seemed to suggest the nature of the industry has been changed by those in charge of it.

Habari iliyo tufikia sasa: Baadhi ya wachezaji wa EPL wanatumia madawa haramu

LONDAN- UINGEREZA
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.Gazeti la Sunday Times limechapisha ripoti ya uchunguzi iliyothibitisha kuwa sio tu wasakataji dimba bali hata waendesha baiskeli, wachezaji Kriketi na hata wachezaji wa tenisi wamekuwa wakipokea matibabu kutoka kwa daktari mmoja ambaye anajulikana kwa kupeana madawa hayo yaliyopigwa marufuku ya kututumua misuli.
Daktari Mark Bonar ambaye anazahanati yake mjini London Uingereza amekuwa akiwatoza wachezaji nyota maelfu ya pauni za Uingereza kwa matibabu hayo fiche ambayo imegunduliwa kuwa ni matibabu ya madawa yaliyopigwa marufuku na shirikisho la kupambana na madawa haramu WADA.
Wateja wakuu wa Dkt Bonar yasemekana ni wachezaji wa timu kuu katika ligi maarufu zaidi duniani ligi ya Uingereza.Uchunguzi pia umebaini kuwa dkt Bonar amekuwa akiwapa wachezaji nyota 150 dawa aina ya EPO Steroids na hata homoni zinazokua kwa haraka ambazo ni haramu katika michezo katika kipindi cha miaka 6 sasa.
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi dhidi ya taasisi ya kupambana na kuenea kwa madawa hayo haramu kufuatia ufichuzi huo.
Hakuna ushahidi kuwa timu za ligi kuu ya Uingereza zilifahamu mbinu za Dkt Bonar.
Aidha Sunday Times linasema kuwa halina ushahidi 'huru' kuwa dkt Bonar aliwapa madawa hayo ya kututumua misuli wachezaji wangapi wanaochezea vilabu vya ligi kuu ya Uingereza EPL.Hata hivyo wachezaji kadhaa walioulizwa iwapo walipewa madawa hayo ya kututumua misuli na dkt Bonar walikataa kujibu na wengine wakakanusha madai hayo ya daktari huyo.
Dkt Bonar hata hivyo anasema kuwa hakuwapa wachezaji hao madawa hayo kwa nia ya kuimarisha uwezo wao uwanjani ila anadai aliwapa madawa hayo ilikuwatibu dhidi ya maradhi mbali mbali waliokuwa wanaugua.
Uchunguzi huu unatokana na ufichuzi wa mchezaji mmoja aliyekwenda kwa idara ya serikali kumshtaki dkt Bonar kwa kumpa dawa iliyopigwa marufuku.
Mchezaji huyo ambaye ametaka jina lake libanwe anasema alipigwa na butwaa dkt Bonar aliposisitiza kuwa anastahili kumeza dawa hiyo haramu.
Sunday Times lilitumia mwanariadha chipukizi kumrekodi daktari huyo akijigamba jinsi alivyowatibu wachezaji wengi tu nyota akitumia mbinu zizo hizo japo ni marufuku.

A Prayer To God The Father




Almighty God, my Eternal Father, from the fullness of my soul I adore You. I am deeply grateful that You have made me in Your image and likeness, and that You ever hold me in Your loving embrace. Direct me to love You with all my heart, with all my soul, and with my whole mind. Direct me to love all Your children as I love myself. O, my Father, my soul longs to be united to You, and to rest in You forever. Have the Holy Spirit touch my soul so that I may love You as He does, and as Your Beloved Son Jesus does. Amen.

PiCHA:mji wa Nazareti,Jangwa la Yudea, Megido, kabuli la Yesu na mti aliopanda Zakayo


Mji wa Nazareti ukionekana hapo juu,Mat 2:23, watu wengi walikuwa wakulima, Yesu na Josefu walikuwa maseremala, hivyo ilikuwa rahisi kufahamika. Jangwa la Yudea, linatukumbusha safari ya waisrael, Kujaribiwa kwa Yesu na maisha ya Yohana kuna wakati alikaa Jangwani.
MEGIDO,Armageddoni mahali ambapo vita ya mwisho itapiganwa, this is real, bible haijaficha kitu.
Hili kaburi la Yesu hata sasa yapo
mti aliopanda Zakayo wakati anataka kumwona Yesu ''live'' Yesu lipoingia nyumbani mwa Zakayo akasema ''wokovu umeingia nyumbani mwa Zakayo''

Tafakari ya Neno: Onesha kitambulisho chako!

Kwa kawaida mwanachama wa chama au kikundi chochote kile anakuwa na kitambulisho maalumu na anaona fahari kutangaza sera za chama au za kikundi chake. Leo tutakiona kitambulisho cha Kristu mfufuka anachotakiwa kukivaa mfuasi wake. Injili ya leo inaeleza awamu mbili ambazo Yesu mfufuka anakutana na wanafunzi wake.
 Awamu ya kwanza ilikuwa jioni ya siku ile aliyofufuka (Jumapili), “Ikawa jioni, siku ile ya kwanza ya juma, pale walipokuwapo wanafunzi, milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi.” 
 Awamu ya pili ilikuwa siku nane baadaye. Katika awamu zote mbili kikundi hiki kidogo cha wanafunzi kilijitenga na kujifungia ndani ya chumba kwa hofu ya Wayahudi.
Mandhari hii inawakilisha hali halisi ya mahusiano yaliyoko kati ya vyama na vikundi vingi, ambapo wanachama wake hujifungia katika ulimwengu wa itikadi zao tu na kuwaogopa walio nje kama wapinzani.  Hapo inazuka hofu inayomgeuza mtu hadi kuwa wa siasa kali, yaani kukereketwa kunapitiliza mipaka. Kama mkereketwa huyo ni mkristo basi atajifungia katika akili na utashi wake bila kutaka majadiliano na yeyote asiyefuata itikadi za dini yake. Mtu wa aina hiyo atanadisha sera za imani yake kwa kupandisha majini na kupaza sauti, hata kuwadhulumu wengine. Hizo ni alama wazi za hofu iliopitiliza.
Katika historia ya Ukristo, kumewahi kuwa na vipindi vya hofu kama hiyo. Kumekuwa na hofu ya elimu ya sayansi, kwamba ingeweza kuharibu imani ya kikristo. Kadhalika hofu ya elimu ya mambo ya kale na teknolojia hasa ya nadharia ya mvuvumko iliyoonekana kupingana na nadharia ya uumbaji. Kanisa likahofu kuwa ulimwengu huo ungeangamiza na kuharibu dini ya kikristo. Kumbe mkristo hatakiwi kuuhofu ukweli, kwani akili ya binadamu imeumbwa na Mungu ili kuujua na kutafuta ukweli.
Yesu alitangaza Injili ya ukweli na akataka ukweli wa Injili uenee ulimwenguni.“Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli; tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.” (Yoh 8:30-31).
Kujitenga na kujifungia ndani ni hofu itokanayo na kutojua kitambulisho cha Yesu Kristo mfufuka. Hofu iliyosababishwa na kutomjua Kristo mfufuka kwamba maisha yake ya upendo na huruma yasingeweza kufa tu basi, bali yanadumu milele. Katika mazingira ya hofu, Yesu ajitokeza katikati ya wanafunzi wake na kuwaonesha kitambulisho vyake. “Akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu. Naye akiisha kusema hayo, akawaonesha mikono yake na ubavu wake.” Kitambulisho cha mfufuka ni mikono na ubavu wake. Mikono iliyotobolewa misumari na kusulubiwa ni alama ya nguvu. “Mkono wa kuume wa Bwana umetenda makuu.” (Zab 118:15).
Kwa hiyo, Yesu anaonesha mikono aliyotumia kutenda matendo ya huruma kama vile kuwaponya wakoma, kuwaponya vipofu na viziwi, kumwokoa Petro alipotaka kuzama majini, kuwabeba watoto, mikono iliyoosha miguu ya mitume nk. Kitambulisho hiki cha Yesu chatakiwa kiwe cha kila mbatizwa, yaani kutumikia na kutenda matendo ya huruma. Kadhalika ubavuni ilikotoka damu na maji baada ya kuchomwa moyo uliojaa upendo na huruma. Mkristo asukumwe na moyo wa huruma na upendo katika kutumikia na kutenda mema.
Mapato ya Yesu kuwa katikati yao,“Wanafunzi walifurahi kumwona Bwana.” Hapa wanafunzi wanayo furaha ya kweli anapokutana na kuona kuona vitambulisho vya aliyetoa maisha yake kwa ajili wengine. Hivi wafuasi wa Kristu wanafurahi kukutana na yule anayefahamu uzuri wa kutoa maisha kwa ajili ya wengine. Baada ya kufurahiana huko, Yesu anawaingiza wanafunzi wake katika ufuasi.“Yesu anawatuma mitume wake akasema: Kama Baba alivyonituma mimi nami nawatuma ninyi. Kisha akawavuvia na kusema: Pokeeni roho mtakatifu.” Kuvuvia ni kuingiza roho, yaani kutia nguvu ya Mungu ndani ya mitume. Zawadi ya nguvu za Mungu iliyomfanya Yesu kuleta maisha duniani sasa wanashirikishwa wote na kutumwa kwenda ulimwenguni bila hofu kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Wanaagizwa, “Wowote mtakaowasamehe wamesahemewa, wale mtakaowafungia watakuwa wamefungiwa” yaani kila mmoja anao wajibu wa kuwatoa watu toka njia mbovu ya dhambi na kuwaongoza katika njia iliyo sawa inayoelekea kwenye utakatifu wa maisha!
Baada ya mitume kuingizwa uanachama wa kundi la Kristu, sasa awamu ya pili inahusu kupewa vitambulisho wafuasi wengine tuliobaki. Ndiyo maana katika awamu hii tunaambiwa ilikuwa ni siku nane baadaye. Maana yake siku ya kwanza baada ya kwisha siku saba rasmi za uumbaji, Sasa hufuata maisha ya kawaida ya binadamu. Sisi waanzaji wenye mashaka tunawakilishwa na Tomaso. “Baada ya siku nane, wanafunzi wake walikuwamo ndani tena, na Tomaso aitwaye Pacha pamoja nao. Akaja Yesu, na milango imefungwa, akasimama katikati yao.” 
Tomaso anaitwa Pacha (Didimo) maana yake mawingu. Kwa hiyo huo ni mwito kwetu wa kujitambua kuwa ni mawingi au pacha wa Tomaso. Tunafanana na Tomaso katika mahusiano yetu na Yesu. Yaonekana Tomaso hakuuogopa ulimwengu kama wale mitume waliojifungia chumbani. Aidha isieleweke kwamba alikuwa mpinzani na Yesu. Tomaso hakuwa mpinzani wala hakuwa na hofu ya Wayahudi bali alipeta tu nje. Lakini kwa vyovyote alifanana na mitume katika kuona mashaka juu ya ufufuko. Hali ambayo mara nyingi Yesu anawagombeza mitume kwa kutokusadiki kwao (Marko). Tomaso alianza kulifanya kosa hilo kwa kujitenga na jumuiya yake. Hivyo ndivyo inavyotokea katika maisha ya kila siku katika vikundi mbalimbali.
Hebu tuone ni katika kipengele gani mkristu ni mawingi au pacha, yaani analingana na kutokulingana na Tomaso aitwaye Pacha (Didimo). Pacha asiyelingana na Tomaso Didimo ni yule aliyejitenga na jumuiya yake na kuwadharau wote waliomo humo kuwa hawafai. Huyo ni sawa na anayehama chama cha siasa na kukidharau wakati kimlea na kumkuza hadi kufikia ujiko alionao kwa sasa!. Mwanachama wa kweli ni yule anayebaki imara katika chama hata kama baadhi ya wanajumuyia wake wana makwazo, kwa sababu kuna sera na mambo mema yaliyomo humo; ni mtu anayethubutu kuleta mageuzi kwa kubaki ndani ya chama!
Ndivyo inavyotokea katika Ukristo, kuna wale wanaoasi dini na kujiunga na dini nyingine kwa sababu tu wanajisikia kukatishwa tamaa kutokana na makwazo yanayofanyika humo, kama vile mfumo mbovu wa uongozi, utajiri uliokithiri au kanisa kushindwa kutoa majibu sahihi kwa maswali na shida mbalimbali za waamini. Kumbe, pacha anayelingana na Tomaso ni yule baada ya kuona makwazo hayo, hata kama anashawishika kujitenga na ukristu kwa muda ili kuona ukweli utakaoibuka kutokana na muda unavyopita lakini anarudi tena. Mtu huyo anafanana na yule anayekwepa moshi ili kuweza kuona vizuri ukweli ulipo.
Tomaso hakuasi kundi, ndiyo maana anarudi kundini kuhakikisha kwa akili yake kama upepo umebadilika. Hapo ndipo anapokosa imani pale anapotaka kuuelewa tena kwa kugusa ufufuko wa Kristo. Ufufuko wa wafu hauwezi kufahamika kwa akili ya kibinadamu. Tomaso hakufahamu kwamba binadamu tunayo mang’amuzi ya kimwili tu, kumbe ukweli na mang’amuzi yaliyo ndani ya kaburi unajulikana na yule tu aliye ndani ya vuguvugu zake, yaani mfu peke yake kwani “Adhabu ya kaburi aijuaye maiti.” Kumbe siri ya kaburi anaijua Yesu peke yake mwenye mang’amuzi ya ya kufa na kufufuka. Kwa njia ya Mungu peke yake binadamu tunaweza kuuelewa ufufuko.
Kwa hiyo Pacha wetu Tomaso kama binadamu asingeweza kupata jibu alilolitegemea. Ndiyo maana Kristo mfufuka akamtaka asiendelee kutosadiki bali awe na imani na kusadiki. “Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona wakasadiki.” Mapato yake, Tomaso akabaki tu kuinamisha kichwa na kusema: “Bwana wangu na Mungu wangu.” Inatosha kwetu kujua kwamba kitambulisho cha mfuasi wa kweli wa Kristo Mfufuka ni mikono inayohudumia na moyo (ubavu) alama ya upendo. Leo tunafundisha kutafakari fumbo hili la ufufuko tunapotenda matendo ya huruma. Tunapokuwa na mashaka tumwige pacha wetu Tomaso na kusali: “Bwana wangu na Mungu wangu.”

Wosia wa kitume: "Furaha ya Upendo" kuzinduliwa tarehe 8 Aprili 2016

"Amoris Laetitia" "Furaha ya Upendo" ndani ya familia ni Wosia wa kitume utakaozinduliwa hapo tarehe 8 Aprili 2016, tayari waamini kutangaza na kushuhudia Injili ya familia!  

 

Padre Federico Lombardi Msemaji mkuu wa Vatican, Alhamisi tarehe 31 Machi 2016 ametangaza rasmi kwamba, Waraka wa Wosia wa Kitume wa Baba Mtakatifu Francisko kuhusu Injili ya familia, utazinduliwa rasmi hapo tarehe 8 Aprili 2016. Waraka huu unajulikana kwa lugha ya Kilatini kama “Amoris Laetitia” “Furaha ya Upendo” ndani ya familia. Waraka huu ni matunda ya maadhimisho ya Sinodi mbili za Maaskofu kuhusu familia. Sinodi ya kwanza iliadhimishwa kunako mwaka 2014 na awamu ya pili kunako mwaka 2015, kuonesha jinsi ambavyo Kanisa linatoa uzito wa juu kabisa  kuhusu wito na utume wa familia ndani ya Kanisa na ulimwengu mamboleo!
Uzinduzi wa Wosia wa kichungaji wa Baba Mtakatifu Francisko “Amoris Laetitia” “Furaha ya upendo” ndani ya familia utafanywa na Kardinali Lorenzo Baldisseri, Katibu mkuu wa Sinodi za Maaskofu; Kardinali Christoph Shonborn, Askofu mkuu wa Vienna pamoja na Professa Francesco Miano na mkewe Professa Giusephina De Simone.

Utafiti: Watu wanene 'ndio wengi duniani'

Utafiti mpya umeonesha watu wazima wengi duniani ni wanene kupita kiasi na kwamba hakuna matumaini ya kufikia lengo la kupunguza idadi ya watu wanene duniani.
Wanasayansi waliofanya utafiti huo ambao walitoka Chuo cha Imperial cha London, wakiandika katika jarida la kimatibabu la Lancet la Uingereza, wanasema miongo minne iliyopita, kuwa na uzani wa chini kupita kiasi lilikuwa tatizo kubwa kuliko unene.
Wanasema idadi ya wanaume wanene imeongezeka mara tatu, nayo ya wanawake ikaongezeka mara dufu.
Profesa Majid Ezzat, aliyeongoza utafiti huo, anasema ni kana kwamba kuna "mkurupuko wa unene".
Wanasayansi hao wanaonya kwamba tatizo hilo ni kubwa sana kiasi kwamba haliwezi kutatuliwa kupitia njia za kawaida za matibabu au kutenga maeneo ya kuendeshea baiskeli.
 wanandoa wanene Duniani ni awa.
Baada ya kuchunguza takwimu kutoka nchi 186, watafiti hao walibaini kwamba idadi ya watu wanene duniani imeongezeka kutoka 105 milioni mwaka 1975 hadi 641 milioni mwaka 2014.
Idadi ya watu walio na uzani wa chini ya kuwango imeongezeka kutoka 330 milioni hadi 462 milioni katika kipindi hicho.
Viwango vya unene miongoni mwa wanaume kilipanda kutoka 3.2% mwaka 1975 hadi 10.8%, na miongoni mwa wanawake viwango vya unene vilipanda kutoka 6.4 % mwaka 1975 hadi 14.9%.
Hii ina maana kulikuwa na wanaume wanene 266 milioni na wanawake wanene 375 milioni mwaka 2014.

Batarokota: Uibilisi zimetutenga na huruma ya Mungu

 Batarokota wa pili kushoto akiwa na rafiki zake 
 
MSANII wa Bongo Fleva na nyimbo asili ya Kitanzania, Paskal Linda ‘Batarokota’, amesema kukithiri kwa matumizi ya dawa za kulevya, utoaji mimba, ufisadi, choyo, dhuruma, kutosamehana katika jamii zinazo tuzunguka kunatukosesha na huruma ya Mungu.

“Mimi binafsi nashindwa kuelewa kwanini jamii inayotuzunguka tunajitumbukiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya, utoaji mimba, utumiaji dawa wa kuzuia mimba, utumiaji wa kondomu,  ufisadi, choyo, dhuruma,uuaji, uzinzi, uasherati,  na kila siku tunafanya lakini tumeshindwa kumrudia Mungu wa huruma kwa kuomba toba kwa Mungu wa huruma, inabidi tupigane kwa pamoja kwa nguvu moja kukataa uibilisi kwa kutumia hata mitandao ya facebook, blogu,tovuti twitter, au kutumiana sms za mafundisho kwa simu, huku tukishirikishana sisi kwa sisi kumuomba Mungu toba kila siku na upendo wake wa Kimungu  ili uwe nasi” alisema Batarokota.

Batarokota akizungumza leo na mwandishi wa blogu hii leo asubuhi baada ya kuudhuria misa katika kanisa la St Josephine Bakhita Oilcom nane nane Morogoro,  aliongeza kwa wanajamii ya Mungu na watoto wa baba mmoja,  wana nafasi kubwa kwa kutumia mitandao kukemea uovu na mambo yasiyo kuwa na utukufu wa Mungu.

“Kinachotakiwa kwa sasa, wanajamii wote tumie fursa za kushirikishana kwa njia ya mitandao ya kijamii kutangaza habari njema, siyo kujiingiza katika matumizi au uuzaji wa dawa za kulevya,utoaji mimba, uchoyo, ulevi wa chakula, pombe na madaraka, ’’ alifafanua Batarokota.

Batarokota hataki sherehe za ‘birthday’

MOROGORO,TANZANIA.

MSANII wa bongo fleva na mkali wa kurap kwa lugha 31 Batarokota, amesema tangu alipofariki mke wake mpendwa mwaka 2005 kwa ajali ya gari kugonga treni, amesema tangu 2006 hana mpango wa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Msanii huyo mwenye umri wa miaka 42, amedai hana sababu ya kuisherehekea siku hiyo kwa kuwa atakuwa na machungu ya kumkumbuka mke wake wa mwanzo kwa kuwa ndie alikuwa akimwandalia kila kitu kama keki, chakula, nguo, na sehemu za sherehe nk. Batarokota anatarajia kufikisha miaka 42 Aprili 14 mwaka huu, siku hiyo ataifanya maalumu kwa ajili ya kusali na kuwaombea marehemu wote walikuwanae katika sherehe zake za kuzaliwa hapo mwanza kama mke wake Marehemu Saula Kapama, shemeji yake Patricia Kapama, Babu yake Zachalia Kapoja, Bibi yake Zachalia Kaboja, Dada yake mpendwa Happy Linda, Mwanae Ruth Linda na wengine wengi ambao wametangulia mbele ya haki.

“Tangu mke  wangu Mama Ngw`bis aliyofariki sijawahi kufanya sherehe ya kuzaliwa kwangu kwa kuwa najisikia vibaya, nakumbuka miaka ya nyuma nilikuwa nafanya hivyo nikiwa na mke,mtoto, na marafiki zangu mara zote na ndiyo maana nimeshindwa kufanya peke yangu kwa kipindi chote.
“Wiki ijayo nitakuwa natimiza miaka 42, hivyo nimeona ni vizuri siku hiyo kuitumia kwa kumkumbuka watu wote wapendwa, ila sina mpango wa kusherehekea tena,” aliandika Bataokota kwenye akaunti ya Instagram baada ya baadhi ya makampuni yakitaka kufanya sherehe ya kukumbuka kuzaliwa kwake.

Neyo, Diamondi, Batarokota kutumbuiza Jembeka Festival 2016!

Siku ya kumbukumbu ya kukumbuka ajali ya MV Bukoba tareehe 21/05/2016 katika jijini la mawe Mwanza (Rocky City)  kutakuwa na burudani kabambe sana itakayo wakutanisha wasanii wengi wa ndani na nje ya Tanzania kama Neyo, Diamond, Batarokota na wasanii wengine kibao katika show inayotambulika kama Jembeka Festival 2016 chini ya udhamini wa JEMBEKA na VODACOM show ihi iliyopangwa kufanyika katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Mshikamano wa upendo na Wakristo huko Mashariki ya Kati!


Ijumaa kuu Kanisa linakumbuka mateso na kifo cha Kristo Msalabani, chemchemi ya upendo na huruma ya Mungu kwa waja wake! - REUTERS

Kardinali Leonardo Sandri, Mwenyekiti wa Baraza la Kipapa kwa ajili ya Makanisa ya Mashariki anasema kuna haja ya kujenga na kudumisha utamaduni wa watu kukutana na kusaidiana ili kuondokana na mantiki ya ubinafsi na kuta za utengano ambazo hazina mashiko wala tija kwa watu wanaoishi huko Mashariki ya Kati. Misaada inayotolewa na Jumuiya ya Kimataifa haina budi kuwafikia walengwa huko: Mashariki ya Kati hasa Syria na Iraq. 

The Passion of the Christ Worthy Is The Lamb



Reading 1, Isaiah 52:13--53:12

13 Look, my servant will prosper, will grow great, will rise to great heights.
14 As many people were aghast at him -- he was so inhumanly disfigured that he no longer looked like a man-
15 so many nations will be astonished and kings will stay tight-lipped before him, seeing what had never been told them, learning what they had not heard before.
1 Who has given credence to what we have heard? And who has seen in it a revelation of Yahweh's arm?
2 Like a sapling he grew up before him, like a root in arid ground. He had no form or charm to attract us, no beauty to win our hearts;
3 he was despised, the lowest of men, a man of sorrows, familiar with suffering, one from whom, as it were, we averted our gaze, despised, for whom we had no regard.
4 Yet ours were the sufferings he was bearing, ours the sorrows he was carrying, while we thought of him as someone being punished and struck with affliction by God;
5 whereas he was being wounded for our rebellions, crushed because of our guilt; the punishment reconciling us fell on him, and we have been healed by his bruises.
6 We had all gone astray like sheep, each taking his own way, and Yahweh brought the acts of rebellion of all of us to bear on him.
7 Ill-treated and afflicted, he never opened his mouth, like a lamb led to the slaughter-house, like a sheep dumb before its shearers he never opened his mouth.
8 Forcibly, after sentence, he was taken. Which of his contemporaries was concerned at his having been cut off from the land of the living, at his having been struck dead for his people's rebellion?
9 He was given a grave with the wicked, and his tomb is with the rich, although he had done no violence, had spoken no deceit.
10 It was Yahweh's good pleasure to crush him with pain; if he gives his life as a sin offering, he will see his offspring and prolong his life, and through him Yahweh's good pleasure will be done.
11 After the ordeal he has endured, he will see the light and be content. By his knowledge, the upright one, my servant will justify many by taking their guilt on himself.
12 Hence I shall give him a portion with the many, and he will share the booty with the mighty, for having exposed himself to death and for being counted as one of the rebellious, whereas he was bearing the sin of many and interceding for the rebellious.

Responsorial Psalm, Psalms 31:2, 6, 12-13, 15-16, 17, 25

2 turn your ear to me, make haste. Be for me a rock-fastness, a fortified citadel to save me.
6 you hate those who serve useless idols; but my trust is in Yahweh:
12 I have no more place in their hearts than a corpse, or something lost.
13 All I hear is slander -- terror wherever I turn -- as they plot together against me, scheming to take my life.
15 every moment of my life is in your hands, rescue me from the clutches of my foes who pursue me;
16 let your face shine on your servant, save me in your faithful love.
17 I call on you, Yahweh, so let disgrace fall not on me, but on the wicked. Let them go down to Sheol in silence,

Gospel, John 18:1--19:42

1 After he had said all this, Jesus left with his disciples and crossed the Kidron valley where there was a garden into which he went with his disciples.
2 Judas the traitor knew the place also, since Jesus had often met his disciples there,
3 so Judas brought the cohort to this place together with guards sent by the chief priests and the Pharisees, all with lanterns and torches and weapons.
4 Knowing everything that was to happen to him, Jesus came forward and said, 'Who are you looking for?'
5 They answered, 'Jesus the Nazarene.' He said, 'I am he.' Now Judas the traitor was standing among them.
6 When Jesus said to them, 'I am he,' they moved back and fell on the ground.
7 He asked them a second time, 'Who are you looking for?' They said, 'Jesus the Nazarene.'
8 Jesus replied, 'I have told you that I am he. If I am the one you are looking for, let these others go.'
9 This was to fulfil the words he had spoken, 'Not one of those you gave me have I lost.'
10 Simon Peter, who had a sword, drew it and struck the high priest's servant, cutting off his right ear. The servant's name was Malchus.
11 Jesus said to Peter, 'Put your sword back in its scabbard; am I not to drink the cup that the Father has given me?'
12 The cohort and its tribune and the Jewish guards seized Jesus and bound him.
13 They took him first to Annas, because Annas was the father-in-law of Caiaphas, who was high priest that year.
14 It was Caiaphas who had counselled the Jews, 'It is better for one man to die for the people.'
15 Simon Peter, with another disciple, followed Jesus. This disciple, who was known to the high priest, went with Jesus into the high priest's palace,
16 but Peter stayed outside the door. So the other disciple, the one known to the high priest, went out, spoke to the door-keeper and brought Peter in.
17 The girl on duty at the door said to Peter, 'Aren't you another of that man's disciples?' He answered, 'I am not.'
18 Now it was cold, and the servants and guards had lit a charcoal fire and were standing there warming themselves; so Peter stood there too, warming himself with the others.
19 The high priest questioned Jesus about his disciples and his teaching.
20 Jesus answered, 'I have spoken openly for all the world to hear; I have always taught in the synagogue and in the Temple where all the Jews meet together; I have said nothing in secret.
21 Why ask me? Ask my hearers what I taught; they know what I said.'
22 At these words, one of the guards standing by gave Jesus a slap in the face, saying, 'Is that the way you answer the high priest?'
23 Jesus replied, 'If there is some offence in what I said, point it out; but if not, why do you strike me?'
24 Then Annas sent him, bound, to Caiaphas the high priest.
25 As Simon Peter stood there warming himself, someone said to him, 'Aren't you another of his disciples?' He denied it saying, 'I am not.'
26 One of the high priest's servants, a relation of the man whose ear Peter had cut off, said, 'Didn't I see you in the garden with him?'
27 Again Peter denied it; and at once a cock crowed.
28 They then led Jesus from the house of Caiaphas to the Praetorium. It was now morning. They did not go into the Praetorium themselves to avoid becoming defiled and unable to eat the Passover.
29 So Pilate came outside to them and said, 'What charge do you bring against this man?' They replied,
30 'If he were not a criminal, we should not have handed him over to you.'
31 Pilate said, 'Take him yourselves, and try him by your own Law.' The Jews answered, 'We are not allowed to put anyone to death.'
32 This was to fulfil the words Jesus had spoken indicating the way he was going to die.
33 So Pilate went back into the Praetorium and called Jesus to him and asked him, 'Are you the king of the Jews?'
34 Jesus replied, 'Do you ask this of your own accord, or have others said it to you about me?'
35 Pilate answered, 'Am I a Jew? It is your own people and the chief priests who have handed you over to me: what have you done?'
36 Jesus replied, 'Mine is not a kingdom of this world; if my kingdom were of this world, my men would have fought to prevent my being surrendered to the Jews. As it is, my kingdom does not belong here.'
37 Pilate said, 'So, then you are a king?' Jesus answered, 'It is you who say that I am a king. I was born for this, I came into the world for this, to bear witness to the truth; and all who are on the side of truth listen to my voice.'
38 'Truth?' said Pilate. 'What is that?' And so saying he went out again to the Jews and said, 'I find no case against him.
39 But according to a custom of yours I should release one prisoner at the Passover; would you like me, then, to release for you the king of the Jews?'
40 At this they shouted, 'Not this man,' they said, 'but Barabbas.' Barabbas was a bandit.
1 Pilate then had Jesus taken away and scourged;
2 and after this, the soldiers twisted some thorns into a crown and put it on his head and dressed him in a purple robe.
3 They kept coming up to him and saying, 'Hail, king of the Jews!' and slapping him in the face.
4 Pilate came outside again and said to them, 'Look, I am going to bring him out to you to let you see that I find no case against him.'
5 Jesus then came out wearing the crown of thorns and the purple robe. Pilate said, 'Here is the man.'
6 When they saw him, the chief priests and the guards shouted, 'Crucify him! Crucify him!' Pilate said, 'Take him yourselves and crucify him: I find no case against him.'
7 The Jews replied, 'We have a Law, and according to that Law he ought to be put to death, because he has claimed to be Son of God.'
8 When Pilate heard them say this his fears increased.
9 Re-entering the Praetorium, he said to Jesus, 'Where do you come from?' But Jesus made no answer.
10 Pilate then said to him, 'Are you refusing to speak to me? Surely you know I have power to release you and I have power to crucify you?'
11 Jesus replied, 'You would have no power over me at all if it had not been given you from above; that is why the man who handed me over to you has the greater guilt.'
12 From that moment Pilate was anxious to set him free, but the Jews shouted, 'If you set him free you are no friend of Caesar's; anyone who makes himself king is defying Caesar.'
13 Hearing these words, Pilate had Jesus brought out, and seated him on the chair of judgement at a place called the Pavement, in Hebrew Gabbatha.
14 It was the Day of Preparation, about the sixth hour. 'Here is your king,' said Pilate to the Jews.
15 But they shouted, 'Away with him, away with him, crucify him.' Pilate said, 'Shall I crucify your king?' The chief priests answered, 'We have no king except Caesar.'
16 So at that Pilate handed him over to them to be crucified. They then took charge of Jesus,
17 and carrying his own cross he went out to the Place of the Skull or, as it is called in Hebrew, Golgotha,
18 where they crucified him with two others, one on either side, Jesus being in the middle.
19 Pilate wrote out a notice and had it fixed to the cross; it ran: 'Jesus the Nazarene, King of the Jews'.
20 This notice was read by many of the Jews, because the place where Jesus was crucified was near the city, and the writing was in Hebrew, Latin and Greek.
21 So the Jewish chief priests said to Pilate, 'You should not write "King of the Jews", but that the man said, "I am King of the Jews". '
22 Pilate answered, 'What I have written, I have written.'
23 When the soldiers had finished crucifying Jesus they took his clothing and divided it into four shares, one for each soldier. His undergarment was seamless, woven in one piece from neck to hem;
24 so they said to one another, 'Instead of tearing it, let's throw dice to decide who is to have it.' In this way the words of scripture were fulfilled: They divide my garments among them and cast lots for my clothes. That is what the soldiers did.
25 Near the cross of Jesus stood his mother and his mother's sister, Mary the wife of Clopas, and Mary of Magdala.
26 Seeing his mother and the disciple whom he loved standing near her, Jesus said to his mother, 'Woman, this is your son.'
27 Then to the disciple he said, 'This is your mother.' And from that hour the disciple took her into his home.
28 After this, Jesus knew that everything had now been completed and, so that the scripture should be completely fulfilled, he said: I am thirsty.
29 A jar full of sour wine stood there; so, putting a sponge soaked in the wine on a hyssop stick, they held it up to his mouth.
30 After Jesus had taken the wine he said, 'It is fulfilled'; and bowing his head he gave up his spirit.
31 It was the Day of Preparation, and to avoid the bodies' remaining on the cross during the Sabbath -- since that Sabbath was a day of special solemnity -- the Jews asked Pilate to have the legs broken and the bodies taken away.
32 Consequently the soldiers came and broke the legs of the first man who had been crucified with him and then of the other.
33 When they came to Jesus, they saw he was already dead, and so instead of breaking his legs
34 one of the soldiers pierced his side with a lance; and immediately there came out blood and water.
35 This is the evidence of one who saw it -- true evidence, and he knows that what he says is true -- and he gives it so that you may believe as well.
36 Because all this happened to fulfil the words of scripture: Not one bone of his will be broken;
37 and again, in another place scripture says: They will look to the one whom they have pierced.
38 After this, Joseph of Arimathaea, who was a disciple of Jesus -- though a secret one because he was afraid of the Jews -- asked Pilate to let him remove the body of Jesus. Pilate gave permission, so they came and took it away.
39 Nicodemus came as well -- the same one who had first come to Jesus at night-time -- and he brought a mixture of myrrh and aloes, weighing about a hundred pounds.
40 They took the body of Jesus and bound it in linen cloths with the spices, following the Jewish burial custom.
41 At the place where he had been crucified there was a garden, and in this garden a new tomb in which no one had yet been buried.
42 Since it was the Jewish Day of Preparation and the tomb was nearby, they laid Jesus there.

Reading 2, Hebrews 4:14-16; 5:7-9

14 Since in Jesus, the Son of God, we have the supreme high priest who has gone through to the highest heaven, we must hold firm to our profession of faith.
15 For the high priest we have is not incapable of feeling our weaknesses with us, but has been put to the test in exactly the same way as ourselves, apart from sin.
16 Let us, then, have no fear in approaching the throne of grace to receive mercy and to find grace when we are in need of help.
7 During his life on earth, he offered up prayer and entreaty, with loud cries and with tears, to the one who had the power to save him from death, and, winning a hearing by his reverence,
8 he learnt obedience, Son though he was, through his sufferings;
9 when he had been perfected, he became for all who obey him the source of eternal salvation

Baba Mtakatifu aosha miguu ya waislamu

Mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameosha miguu ya wahamiaji waislamu mjini Rome katika tukio la unyenyekevu linaloambatana na itikadi ya kuanza kwa msimu wa Pasaka.Papa Francis alitembela makao ya wahamiaji, mjini Roma na kuendesha misa ya kuanza kwa msimu wa pasaka.
Ziara yake katika kituo hicho cha kutathmini uhalali wa wahamiaji cha (Castelnuovo di Porto), inawadia huku uhasama na taharuki ikienea kote barani ulaya kuhusiana na kuwepo kwa wahamiaji waislamu hususan kufuatia mauaji ya Paris mwezi Novemba na ya hivi punde huko Brussels Ubelgiji.
Papa Francis alikashifu mauaji yaliyotokea Ufaransa na Ubelgiji akisema kuwa hizo ni njama za watu wenye kiu cha kumwaga damu ya binadamu.
Kiongozi huyo wa kanisa katoliki duniani alilaumu mtazamo wa watuhumiwa hao kuhusu maafa waliyosababisha.
Aidha papa mtakatifu aliwashauri watu wa dini tofauti duniani kuishi kwa amani.
''Haijalishi iwapo tunaimani tofauti la muhimu kwetu sote ni tuishi kwa amani sisi ni ndugu alisema papa mtakatifu.

Uhaba wa dawa unavyowatesa wagonjwa wa saratani


Mtu aliyeathirika na saratani ya kinywaKUNA changamoto nyingi ambazo wagonjwa wa saratani wanakutana nazo hasa kwa wanawake ambao wana saratani ya titi.
Changamoto hizo zimesababisha wagonjwa hao kukata tamaa ya kuendelea na matibabu na kuamua kukatisha dozi na kurudi majumbani mwao.
Hali hiyo hutokea baada ya kuchoka kuhangaika kutafuta fedha za kumudu gharama za dawa huku wakizidi kunyanyasika wakiwa ugenini kwa kuja hospitali ya Ocean Road (ORCI) ambayo inashughulikia tiba na uchunguzi wa ugonjwa huo.
Changamoto kubwa ambayo waathirika wengi wanaomba kusaidiwa ni pamoja na upatikanaji wa dawa aina ya Chemotherapy ambayo hupewa kama tiba katika hospitali hiyo.
Akizungumza hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa Chama cha Matumaini ya Mwanamke, mmoja wa wagonjwa hao, Bihuda Shaiza, anasema huwa wanaambiwa dawa hizo ni bure lakini wanapoziulizia mara nyingi huambiwa zimeisha hivyo hulazimika kununua kwenye maduka ya nje ambako huuzwa ghali.
“Nimelipia dozi hiyo mzunguko wa kwanza kwa shida sana kwa gharama ya Sh 200,000 baada ya kuambiwa dawa hiyo haipatikani hospitalini, hapa nilipo sijui dozi ya pili na ya tatu nitaipata vipi,”anasema Shaiza.

Batarokota: Tusimsimange Chid Benz mitandaoni

MKURUGENZI wa Batarokota Daily Gospel Newz pia msanii wa nyimbo za bongo fleva nchini Tanzania, Paskal Linda ‘Batarokota ’, amewataka wadau wa muziki, wasanii na Watanzania kwa ujumla kuacha kumsimanga msanii, Chid Benz ambaye ameathirika na matumizi ya dawa za kulevya kwa kuwa ni mambo yanayoweza kumtokea mtu yeyote.

Batarokota alisema kwa sasa msanii huyo yupo mikono salama chini yake akiwa chini ya uangalizi wa kituo cha Life And Hope Rehabilitation Organization, kilichopo Ukuni huko Bagamoyo akipambana kuachana na matumizi ya dawa za kulevya.

Batarokota alisema yeye kama mdau wa muziki wa Bongo Fleva na  anasaidia wasanii wengi ili wapate mafanikio kupitia muziki na kwenye matatizo pia anawasaidia.
“Nimechukua jukumu la kumsaidia Chid Benz, naomba Watanzania tumuombee aweze kupona na si kumchafua kupitia mitandao,” alieleza Batarokota.

Busu la Papa Francis lamponya uvimbe mtoto


2EB7459800000578-0-image-a-78_1448248918588PHILADELPHIA, Marekani

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anasadikiwa kufanya muujiza baada ya kumbusu mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja aliyekuwa akisumbuliwa na maradhi ya uvimbe kwenye ubongo.
Muujiza huo unadaiwa kufanywa na Papa, wakati wa ziara yake katika Jimbo la Philadelphia, nchini Marekani, Septemba mwaka jana 2015.
Vyombo vya habari nchini Marekani tayari vimefanya mahojiano na wazazi wa mtoto huyo anayeitwa Gianna Masciantonio na kukiri baada ya Papa kumbusu mtoto huyo uvimbe huo umepotea.
Uvimbe wa Gianna ilisemekana hauwezi kutibika, hasa baada ya kufanyiwa operesheni nane na hata kupewa matibabu mengi  ya mionzi (chemotherapy),  akiwa na umri wa miezi 15 tu  katika hospitali ya watoto ya Philadelphia.
Tayari madaktari walikwishatoa ripoti yao kwamba hataweza kupona na zaidi wakimpa miezi kadhaa tu ya kuishi.

JINSI WALIVYOMFIKIA PAPA

Wazazi wa mtoto huyo, Joey Masciantonio na Kristen waliarifiwa juu ya ujio wa Papa katika jimbo wanaloishi la Philadelphia na rafiki yao ambaye ni wakala wa FBI, Donny Asper.
Wakala huyo wa FBI alikuwa amepewa jukumu la kuimarisha ulinzi akiwa na maofisa wenzake zaidi ya 100 katika ziara hiyo ya Papa.
Inaelezwa wakala huyo wa FBI aliwaelekeza wazazi hao kufika haraka iwezekanavyo karibu na eneo la kihistoria la James S. Byrne, ambako Papa alikuwa akitarajiwa kupita baada ya kuhutubia katika ukumbi wa Uhuru.
Joey na familia yake walifika katika eneo hilo na baba huyo wa mtoto anasema alimnyanyua juu Gianna ili maofisa wa Polisi na mawakala wa FBI waweze kumuona kama alivyoelekezwa na  Asper.
Pamoja na kwamba mama wa mtoto huyo, Kristen, alikuwa akitamani binti yake huyo kukutana na Papa, lakini wakala huyo wa FBI ndiye aliyehakikisha Joey, mkewe pamoja na watoto wao wawili wanafanikiwa kupita mbele kumuona kiongozi huyo wa kiroho ambaye alimbusu Gianna kichwani na kisha kumshika kama ishara ya kumbariki.

WANACHOSEMA WAZAZI
Kwa mujibu wa mahojiano yaliyofanyika wiki iliyopita kati ya kituo cha NBC-News na wazazi wa mtoto huyo ambao wote ni waumini wa Kanisa Katoliki, uvimbe uliokuwa ukimsumbua ni kama umekwisha kabisa.
Baba wa mtoto huyo, Joey anasema: “Ni kama alikuwa akisubiri kifo…mimi ni baba ambaye nilikuwa sitaki kumuona Papa.”
Joey anaelezea tukio la binti yake, Gianna kukutana na Papa ni kama muujiza ambao hakutarajia ungetokea.
Joey ameliambia Daily News kwamba alikuwa na wasiwasi mkubwa juu ya mfumo wa kinga wa binti yake, ambao tayari ulikuwa umedhoofika kwa matibabu ya mionzi na  kwa sababu hiyo alipinga binti yake kwenda kwenye mkusanyiko wa watu, hatua ambayo ingesababisha  hali yake kutetereka zaidi.
Lakini anasema madaktari ndio waliomtia moyo kwenda kumuona Papa.
Kwa mujibu wa mtandao wa PhillyVoice.com, uvimbe huo ulitokana na seli za damu kushambulia shina la ubongo wiki chache tu baada ya kuzaliwa.
Ugonjwa huo unadaiwa kuathiri kila mwaka watoto chini ya watano nchini Marekani.

Nyota wa muziki Malawi afariki dunia



Grace-ChingaNYASA, MALAWI

MSANII wa muziki wa injili nchini Malawi, Grace Chinga, amefariki dunia juzi kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya kichwa.
Rafiki wa karibu wa familia ya marehemu Grace, Pasta Chris Suya, akiongea na blogu hii kwa njia ya simu juzi  la nchini humo kwamba, mwanamuziki huyo alikimbizwa hospitalini baada ya kulalamikia maumivu makali ya kichwa.

“Tulipokea simu kwamba alikuwa anasumbuliwa na maumivu makali ya kichwa na tukakimbia hadi kwake kwa mwendo wa saa moja, baada ya kufika tulimpeleka hospitali ya Queens Elizabeth lakini alifariki dunia,” alisema Suya.
Katika akaunti ya facebook ya marehemu Grace, siku chache zilizopita alitangaza kwamba anatarajia kuachia albamu yake mpya hivi karibuni lakini ndoto hizo zimezimika.