Week Hot newz
-
Tunaendelea kama kawaida katika kipindi chetu, tafakari masomo Dominika, na leo tunatafakari masomo Dominika ya 33 ya mwaka C wa Kanisa...
-
MAANDALIZI ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu ni ya kipekee kutokana na kupambwa na mbwembwe nyingi ikiwamo misafara na maandamano m...
-
Katuni. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imetangaza kesho kuwa ndiyo siku ya kuanza kwa vyama vya siasa kampeni za kuwan...
-
Teach me, Lord Jesus, to be generous: to serve You as You deserve; to give, not counting the cost; to fight, not heeding the wound...
-
Mwenyeheri Irene Stefani: Mama mwenye huruma na mapendo. - ...
-
ACT �Wazalendo leader Zitto Kabwe shows the Tabora Declaration (L) and the party manifesto in Dar es Salaam, while spea...
Mishahara ya vigogo yaanza kufyekwa
SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutoa agizo la kupunguza mishahara mikubwa ya watendaji wa mashirika ya umma, hatimaye Serikali kupitia Bodi ya Mishahara imeanza kazi ya kufanya marekebisho hayo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Rais Magufuli, kuagiza kushushwa kwa viwango vya mishahara ya viongozi wa mashirika ya umma ambapo wengine hulipwa Sh milioni 36 hadi milioni 40 kwa mwezi.
Akizungumza na MTANZANIA jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki, alisema katika kipindi cha miezi 15 kuanzia sasa mishahara ya watumishi hao itapunguzwa na kuwa yenye uwiyano.
SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutoa agizo la kupunguza mishahara mikubwa ya watendaji wa mashirika ya umma, hatimaye Serikali kupitia Bodi ya Mishahara imeanza kazi ya kufanya marekebisho hayo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Rais Magufuli, kuagiza kushushwa kwa viwango vya mishahara ya viongozi wa mashirika ya umma ambapo wengine hulipwa Sh milioni 36 hadi milioni 40 kwa mwezi.
Akizungumza na MTANZANIA jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki, alisema katika kipindi cha miezi 15 kuanzia sasa mishahara ya watumishi hao itapunguzwa na kuwa yenye uwiyano.
Magufuli afuta sherehe za sikukuu ya muungano
Rais wa Tanzania
John Magufuli ameahirisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Muungano na
badala yake akawataka Watanzania waiadhimishe wakiwa majumbani au wakiwa
katika shughuli zao binafsi.
Siku hiyo hata hivyo bado itasalia
kuwa ya mapumziko kama kawaida. Agizo hilo la Dkt Magufuli aidha
linaathiri shamrashamra za mwaka huu pekee.Siku hiyo huadhimishwa
tarehe 26 Aprili kila mwaka kukumbuka siku sawa na hiyo mwaka 1964
ambapo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa kwa Muungano wa
Tanganyika na Zanzibar (inayojumuisha Visiwa vya Pemba na Unguja).
Dkt Magufuli amesema fedha ambazo zilipangwa kutumika kwa ajili ya kugharimia vinywaji, vyakula, gwaride, halaiki, burudani mbalimbali na hafla ya usiku ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni mbili za Tanzania zitumike kupanua barabara ya Mwanza Airport katika eneo linaloanzia Ghana Quarters hadi uwanja wa ndege wa Mwanza.
Barabara hiyo inafanyiwa upanuzi kutatua msongamano wa mkubwa wa magari ambayo umekuwa ukiathiri shughuli eneo hilo.
Dkt Magufuli amekuwa mapumzikoni nyumbani kwake eneo la Chato, kaskazini magharibi mwa Tanzania.
Dkt Magufuli amesema fedha ambazo zilipangwa kutumika kwa ajili ya kugharimia vinywaji, vyakula, gwaride, halaiki, burudani mbalimbali na hafla ya usiku ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni mbili za Tanzania zitumike kupanua barabara ya Mwanza Airport katika eneo linaloanzia Ghana Quarters hadi uwanja wa ndege wa Mwanza.
Barabara hiyo inafanyiwa upanuzi kutatua msongamano wa mkubwa wa magari ambayo umekuwa ukiathiri shughuli eneo hilo.
Dkt Magufuli amekuwa mapumzikoni nyumbani kwake eneo la Chato, kaskazini magharibi mwa Tanzania.
Yanga SC yaanza viporo kwa ushindi

Mabingwa Yanga waliolalamika kupangiwa ratiba ngumu ya mechi za viporo vya Ligi Kuu Bara, jana walianza vizuri safari ya kusafisha viporo hivyo kwa kuwanyoosha Kagera Sugar waliocheza sehemu kubwa ya kipindi cha pili wakiwa 10 kwa kuifunga mabao 3-1 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Magufuli amwaga mkwara kanisani

Rais Dk. John Magufuli, akiwa na Waziri Mkuu mstaafu wa
Kenya, Raila Odinga, katika Kanisa Katoliki la Bikira Maria Parokia ya
Chato mkoani Geita jana. PICHA: IKULU
Watoto wa Yanga watibua kiporo cha Azam
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
AZAM FC wameshindwa kuibuka na ushindi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 na wenyeji Toto Africans katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Toto Africans wanaodaiwa kuwa na udugu na Yanga, wametibua mbio za Azam FC za kuwania ubingwa wa ligi hiyo baada ya kuwazuia kuondoka na pointi tatu muhimu katika mchezo huo wa kiporo.
Kwa matokeo hayo, Azam FC imefikisha pointi 51 wakiwa nyuma ya mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 53 huku vinara wa ligi hiyo, Simba wakiendelea kuwa kileleni kwa pointi 57.
Katika mchezo huo wa jana, Azam FC walipata bao kupitia kwa John Bocco dakika ya 23 baada ya kuunganisha pasi safi ya Khamis Mcha.
Toto Africans walisawazisha bao hilo dakika ya 40 kupitia kwa Waziri Juma, matokeo ambayo yalidumu hadi dakika tisini.
Michezo mingine ya ligi hiyo, Stand United iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, mabao yao yakifungwa na Elius Maguli na Vitalis Mayanga. Katika Uwanja wa Mabatini mkoani Pwani, JKT Ruvu wamefanikiwa kuididimiza African Sports ya jijini Tanga bao 1-0, likifungwa na Musa Kiumbu ambaye baadaye alipewa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mchezaji wa Sports.
Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara, wenyeji Ndanda FC wamegawana pointi na Tanzania Prisons kutoka Mbeya, baada ya kutoka suluhu.
Tarehe 24 Aprili 2016 Majimbo Katoliki Ulaya kuchangia Ukraine!
Tarehe 24 Aprili 2016 ni Siku ya
Mshikamano wa Papa Francisko na wananchi wa Ukraine wanaoteseka kutokana
na vita na mipasuko ya kijamii.
Batarokota atimiza miaka 42 naomba msamaha
Batarokota Paskal Linda akiwa anasoma somo la kwanza katika kanisa katoriki la St Patrisi mjini Morogoro.
ANAWAOMBA msamaha wote akitamka Batarokota
` Ndugu, jamaa na marafiki zangu katika Kristu Yesu nimewakosea sana kwa mawazo,
kwa vitendo na kwa kutotimiza wajibu wangu, nimekosa mimi nimekosa sana kwenu
ndio maana naomba mnisamee kwa yote niliowatenda najua nimewatenda mengi mabaya
sana kwangu na kwenu na mbele ya Mungu wa huruma ni mengi, kwa walionikwanza nimewasamehe wote, Toba ni
neno la kutubu au kutoa kitu ulichokifanya kinyume na ya Mungu, Mimi mdhambi
nimeanguka mnihurumie ` aliomba msamaha kwa manjozi makubwa.
KWA NINI BATAROKOTA ANAPENDA KUSOMA
BIBLIA?
Kwa sababu mbili.
Kwanza aliamini kwamba kwa kuwa kuna
miungu mengi chini ya jua, lazima kuna mmoja awe mkuu kuwaliko aliamini ni
Mungu muumba wa mbingu na nchi aliyeileta biblia kupitia viywa vya manabii.
Pili, Batarokota alijua kuwa Biblia
ni kitabu kinacho heshimika sana na kina pumzi ya Mungu aliye hai, Hiyo ndio maana
anapenda sana kusoma na kutafakari maneno matakatifu yaliyomo katika Biblia.
HISTORIA FUPI YA BATAROKOTA
Msanii wa Bongo fleva na mkali wa kurap kwa lugha zaidi ya 32
Bataroka Paskal Linda Mgundu alizaliwa tarehe 14/April/1974 Kijiji cha
Kigamboni katika Hospitali Teule ya Kigamboni Mkoa wa Temeke jijini Dar es
salaam, nakupewa jina la Linda ambalo ndio jina la baba kizaa baba yake
Batarokota. Kabila ni Msukuma kutoka kijiji cha Nyashigwe kilomita 35 kutoka
jijini Mwanza kaskazini mwa nchi ya Tanzania upande wa baba.
Batarokota alibatizwa katika kanisa la RC Kijenge jijini
Arusha mwaka 1980 na kupewa jina la Paskal kwa sababu alizaliwa siku ya
kufufuka kwa Yesu Kristu Bwana na Mkombozi wa Ulimwengu wote.
Ni mtoto wa kwanza katika familia ya Baba na Mama Beatus Linda
iliyopo Nyamhongolo kijijini katika jiji la Mwanza, yenye watoto saba
(7) kwa majina ni:
Happy Linda ambae ni marehemu aliyefariki gafla tarehe
9/Mai/2007 maeneo ya Mbagala jijini Dar es salaam(rest in peace sister Happy
Linda), Naomi linda, Zakaria Linda (Dj Zari), Yohana linda (y brain), Monical
linda na Norbert Linda.
Batarokota ameoa alifunga ndoa Jumamosi ya tarehe 5/Machi/2011
katika kanisa Katoriki la Mtakatifu Patrisi la mjini Morogoro nchini Tanzania na Sara Dile Linda (19), na kupata cheti cha
B No. 0129392 mbele ya mashaidi Alphone Dominiki na Josephine John.
Ni baba wa watoto wanne wakwanza alizaa na mchumba wake wa
kwanza Marehemu Saula Athony Kapama aliyefariki tarehe 9/Agosti/2005 Sumve
Matare kwa ajali ya gari Land Rover yenye usajili wa MZL 578 iliyongongwa na
Treni namba 73R02 na 73RO5 iliyokuwa na injini mbili na mabehewa ya abiria
iliyokuwa ikienda Mwanza kwenda Dar es salaam.Katika ajali hiyo Batarokota
alimpoteza mchumba wake Saula Kapama
(26), shemeji yake Patris Kapama (36), rafiki zake Saguda Ngedu na Dotto.
Marehe Saula Kapama aliye kuwa
aliacha mtoto mmoja jina Ng`wibis Linda ambae alizaliwa Agosti 2000
katika Dispensary ya St Michae jijini Mwanza, Tanzanial.
Baada ya kufariki kwa mchumba wa Batarokota mwaka uliofuata
alipata mchumba Ruti Fidel Kanuti kabla
ya ndoa waliweza kupata mtoto , ambae anaitwa
Shija Paskal ambae alizaliwa Desemba 2006 katika Hospital ya Bugando
jijini Mwanza nchini Tanzania.
Batarokota aliachana na mchumba wako huyo na kuondoka kwenda
kuishi Morogoro nchini Tanzania ndio alipofanikiwa kupata mwanamke na kufunga
nae ndoa na kupata watoto wawili wa kike Makrina Juliana ambae alizawa Novemba/
2011 mjini Morogoro katika Hospital ya Morogoro na Telezia wa Yesu aliyezaliwa
Desemba/2013 Msimii Singida Vijijini.
ELIMU
ELIMU
1984 – 1990 shule ya msingi Igoma, Jijini Mwanza wilaya ya Nyamagana kata ya Igoma.
1991- 1994 shule ya sekondari Buswelu , jijini Mwanza wilaya
ya Ilemela kata ya Buswelu.
1995 -1997 kidato cha
tano na sita Nyeri Sekondari Kisumu nchini Kenya .
10.07.2007 Aliudhuria mafunzo Tanzania Breweries Limited
Mwanza na kupata cheti cha Training on Beer Knowledge, General Hygiene and
Customer Service.
2010 Januari - Februari Chuo cha Power computer jijini Mwanza nchini Tanzania na kuahitimu masomo cheti cha Basic Computer Components.
2010 Januari - Februari Chuo cha Power computer jijini Mwanza nchini Tanzania na kuahitimu masomo cheti cha Basic Computer Components.
2011 Septemba – 2013
April Saint Paul's University kilichopo
Ikebukuro, Tokyo. na kuhitimu Diploma in Information Technology Networking.
BAADHI YA MATAMASHA ALIYO SHIRIKI
BAADHI YA MATAMASHA ALIYO SHIRIKI
1994 Novemba Batarokota alifanya show ya kuwaanga kidato cha
nne katika shule ya Buswelu Sekondari na Mgeni rasmi alikuwa Hayati Paulo
Bomani.
1996 Julai Batarokota alialikwa katika show ya kusaka
mrembo wa Kigamboni (Miss Kigamboni ) katika ukumbi wa CCM kivukoni .Katika
show alikuwa wamealikwa wasanii Fune with Sanse kiongozi wao J- Mtambo na kundi
lake la POSOJU.
1998 Agosti Batarokota alifanya show kubwa akiwa na kundi lake
la G tha dunia jijini Nairobi chini ya wadhamini wa kampuni ya utengenezaji wa sigara za Benson & Hedges . Tamasha ili
lilifanyika ukumbi wa Carval simba saloon, pamoja na wasanii G tha Dunia kutoa
burudani pia alikuwepo msanii Coolio
kutoka Marekani na wasanii wa Kenya kama Kalamashaka, Hard stoney na wengine wengi.
1998 Septemba Batarokota
alikalibishwa na kundi lake la G tha Dunia katika ukumbi wa Liberty Hall jijini
Mwanza, siku hiyo walikuwa wanazindua singo ya wimbo 'upendo kwa mama' wasanii walio alikwa ni Mr
2, Dr KB, BWV, Makamanda wa Gola, Marehemu Daz P, na wengine wengi.
2004 Julai Batarokota akiwa na kundi la G THA Dunia alialikwa
pamoja na wasaniii H- Baba, J- Mo, Mr Paulo, Solo Thang, Vick Kamata na BWV.
katika kufanya show kubwa iliyo fanyika katika uwanja wa Ally Hassan Mwinyi
mjini Tabora show hii iliandaliwa na Zizou Entertnment. Show hii ilikuwa
pia mikoa Mara, Tabora na Mwanza.
2004 Desemba Batarokota
alialikwa yeye pamoja na msanii wa nyimbo za kiasili ya kisukuma Mama Nyamoko
(Suzana Nyamoko), kwenye show ya kuwaburudisha watu wa Geita siku ya Kristimasi
katika ukumbi wa Lake View Hotel .
2005 Machi Batarokota amefanya show aliyoalikwa jijini Nairobi
- Kenya katika ukumbi wa Brokriny uliopo Gethorai 44
onyesho hili lilifadhiriwa na Princess Studio.
31/Machi/2014 Msanii Batarokota aliudhuria semina ya washiriki
wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2014 kama mshiriki anayewania tuzo
ya wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Kitanzania, semina hiyo ilifanyika
katika ukumbi wa Peninsula Ball room gorofa ya 6 Double Tree by Hilton, Masaki jijini Dar es salaam.
Semina hiyo ilikuwa mahususi kwa
washiriki wa wanao wania tuzo kupiga picha, kupata maelekezo ya kina ya msimu wa
KTMA 2014, kujua utaratibu wa kupiga kura na kupigia kura, matumizi ya social
media kujinadi na kupata namba ya ushiriki. Semina hiyo iliendeshwa na Taji
Liundi, Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager George Kavishe, Kaimu katibu
mtendaji wa BASATA Godfrey l.Mngereza na
kampuni ya kuesabu kura ya AUDITAX. Baadhi ya wasanii walio jumuika pamoja na
Batarokota kwenye semina hiyo ni Mzee
Yusufu, Nyoshi el Saadati, Mr Blue, Ashimba, na wengine wengi.Pia baada ya
kumalizika semina hiyo Batarokota aliingia mkataba mnono na kuuza santuri katika
kampuni ya Mkito, inayo uza mziki ya
wasanii Duniani kote kupitia tuvuti ya www.mkito.com . Santuri za Batarokota unaweza kuzipata kwa https://mkito.com/artist/116 kwejaga Nyangisha`, `vichwa vya kale` na `sauti ya haki`
2014 Julai Batarokota alifanya show kubwa Coopenhangen
Denmank katika ukumbi wa SHTU Club chini ya udhamini wa Cocacola.
2014 Septemba Batarokota alifanya
show kwenye kampeni ya kumunadi mgombea wa CCM ambaye ndie alikuwa mshindi wa
urais J.Pombe Magufuri katika uwanja wa Jamhuri na Morogoro na CCM Kirumba
Mwanza.
MAISHA
Kipaji cha Batarokota kilianza kuonekana toka akiwa shule ya msingi Igoma mwaka 1984, Akiwa shuleni alikuwa akicheza ngoma za asilia kwenye kundi la shule na alikuwa akifundishwa na Mwalimu Matongo ambae ni marehemu na Mwalimu Mayugu ambae kwa sasa ni mwana kwaya wa Mtakatifu Joseph Bakita katika kanisa la Romani Katoriki Igoma.Wanafunzi ambao Batarokota anakumbuka walio kuwa wanacheza wote ngoma ni Tasi Cosinatantine, Paskal Makaka, Peter Makuke,Frimat Lyimo na wengine wengi.
Mnamo Tarehe 9/Januari/1998, Batarokota alianziha kundi la
mziki wa kurap jijini Mwanza kwa jina G Tha Dunia, kundi hili G Tha Dunia
lilikuwa ni moto wa kuotea mbali ambalo lilitikisha kanda ya Ziwa na lilikuwa
likiundwa na Paskal linda a.k.a Batarokota, Juma Hassani a.k.a Big D na Danny
Ngollo a.k.a Ngollo 2. Kundi hili lilifanikiwa kurekodi albamu nchini Kenya ambayo
ilikuwa ikiitwa '' One day'' ambayo ilirekodiwa Agosti/1998 mjini Nairobi,
Kenya katika studio ya Sync sound studio chini ya Producer Mahamud Omari a.k.a Mr M O
.Album hii ya ''One Day'' ilikuwa imajazwa na nyimbo kumi ambazo ni 'one day'
jina la albam, 'upendo kwa mama', 'kiama','ogopa 666' , 'ni mzuri tu', 'baby
shake', 'wenyewe kwa wenyewe', 'watoto kwanza' , 'total balaa' na
'majonzi'.
Baada ya kukaa nalo kundi hilo Batarokota aliondoka na kuachana
na kundi hili 2004 na kwenda Dermank kwa ajili ya kufundisha kucheza ngoma Wadenishi
na kurejea miezi mitatu baadae.Batarokota alirejea kutoka Dermank na kuanzihsa
kundi jipya liitwalo Watu wa Gola liliko jijini Mwanza, alianzisha kundi hili
akiwa na Juma Hassani a.k.a Big D, Kundi hili Watu wa Gola walifanikiwa
kurekodi nyimbo mbili 'Tumerudi' na 'vichwa vya kale' nyimbo hizi zimerekodiwa
katika studio ya M.O. Record iliyopo Pasiasi jijini Mwanza chini ya mtayarishaji
Q the Don.
TUZO KATIKA SANAA
2001/ 4,Machi Batarokota akiwa na kundi la G THA Dunia, walifanikiwa kupata zawadi ya
cheti cha ushindi wa best single rap katika wimbo wa ` upendo kwa mama` cheti
hicho cheye namba ST NO 06 kilitolewa na Afisa utamaduni wa jiji la Mwanza
Bwana Mgabo chini ya udhamini wa Gloryhood Music Award .
2004/Octoba 22-23, Batarokota alifanikiwa kupata cheti cha
kuudhulia na kushiriki mashundindano yaliyo fanyika jijini Mwanza ya Music Crossroads Tanzania Workshops yanayo
shirikisha nchi zote zilizopo kusini mwa Afrika kam Afrika Kusini, Msumbiji,
Lesotho, Tanzania, na Zambia.
03/05/2014 Tarehe hii ilikuwa ni siku ya utoaji wa tuzo za
KTMA 2014 ambazo zilifanyika Mlimani city jijini Dar es laam na kuudhuriliwa na
wasanii wengi wakimo Diamondi (ambae alinyakua tuzo saba), Jose Chameleone
kutoka Uganda (alinyakua tuzo moja),Fid Q (tuzo 1) nawengine wengi Batarokota akiwa nominisi katika kategori ya Wimbo bora wenye
Vionjo vya Asili ya Kitanzania na wimbo wa kisukuma uitwao `Kwejaga Nyangisha` alikuwa anashindana na wimbo
Nalonji wa Kumpeneka, bora mchawi wa Dar
bongo massive (mashindi wa tuzo), tumbo lamsokota wa Ashimba, Aliponji wa
Wanakijiji na Agwemwana wa Cocodo african music band.
WASHINDI WA TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC 2014 NI HAWA:
WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA TANZANIA - Bora Mchawi -Dar Bongo Massive, MSANII BORA CHIPUKIZI ANAYEIBUKA - Young Killer, Msanii Bora Chipukizi Anayeibuka Young Killer, WIMBO BORA WA ZOUK - Yahaya Lady Jaydee, WIMBO BORA WA AFRO POP - Number One Diamond, WIMBO BORA WA RAGGA / DANCEHALL - Nishai Chibwa Ft Juru, WIMBO BORA WA RAGGAE - Niwe na wewe Dabo, WIMBO BORA WA TAARAB - Wasiwasi wako Mzee Yusuf u, KIKUNDI CHA MWAKA CHA TAARAB - Jahazi Modern Taarab, MWIMBAJI BORA WA KIKE TAARAB - Isha Ramadhani, MWIMBAJI BORA WA KIUME TAARAB - Mzee Yusufu, WIMBO BORA WA KISWAHILI BENDI - Ushamba mzigo Mashujaa Band, MWIMBAJI BORA WA KIKE BENDI - Luiza Mbutu, MWIMBAJI BORA WA KIUME BENDI - Jose Mara,RAPA BORA WA MWAKA BENDI - Furguson,BENDI YA MWAKA - Mashujaa Band,MWIMBAJI BORA WA KIKE, KIZAZI KIPYA - Lady Jaydee, MWIMBAJI BORA WA KIUME, KIZAZI KIPYA - Diamond, KIKUNDI CHA MWAKA CHA KIZAZI KIPYA - Weusi, WIMBO BORA WA RNB - Closer, Vanessa Mdee, WIMBO BORA WA HIP HOP - Nje ya Box, Nick wa Pili Ft Joh Makini & Gnako, MSANII BORA WA HIP HOP - Fid Q,WIMBO BORA WA KUSHIRIKISHA / KUSHIRIKIANA - Muziki Gani, Nay wa Mitego ft Diamond, WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI - Tubonge, Jose Chameleone, MTUNZI BORA WA MWAKA TAARAB - Mzee Yusuf, MTUNZI BORA WA MWAKA BENDI - Christian Bella, MTUNZI BORA WA MWAKA KIZAZI KIPYA - Diamond, MTUNZI BORA WA MWAKA HIP HOP - Fid Q, MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA, TAARAB - Enrico, MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA, BENDI - Amoroso, MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA, KIZAZI KIPYA - Man Water, Combination Sound, HALL OF FAME, INDIVIDUAL - Hassan BItchuka, HALL OF FAME, INSTITUTION - Masoud Masoud, VIDEO BORA YA MUZIKI YA MWAKA - Number One, Diamond, WIMBO WA MWAKA - Number One. Diamond, MTUMBUIZAJI BORA WA KIKE WA MUZIKI - Isha Ramadhani na MTUMBUIZAJI BORA WA KIUME WA MUZIKI - Diamond
NYIMBO MPYA AKIWA NJE YA KUNDI
Batarokota akiwa kama msanii single kwa sasa ana nyimbo saba ambazo amesha kamilliza
kwa ajili ya maandalizi ya albamu yake mpya atakayozindua mwishoni mwa mwaka
2016 yenye nyimbo sita ambazo ziko tiyari ni ` hongora mama`
na `amani` nyimbo hizi zimerekodiwa Mwaka 2003 Januari katika studio
Mushroom Studio jijini Nairobi nchini Kenya chini ya mtayarishaji Teddy Karanda
Harrison.
Nyimbo vingine ni `Sukurubu` ambayo imerekodiwa Multimedia
Studio jijini Mwanza mtayarishaji Alon Mikomangwa wasanii walioshiriki kwenye
nyimbo hii ni Ceni na Castro kutoka DRC, Kongo na nyimbo nyingineni `sauti ya
haki` na `kwejaga Nyangisha` zimerekodiwa Januari,2012 studio ya Sky Studio
iliyopo Kihonda Morogoro mtayarishaji Orecy Owden.Nyimbo nyingine ni ya kisukuma
ihitwayo `irombo rise`iliyorekodiwa 6/Decemba/2012 katika studio za Sunlight
Records Mazimbu road -Kihonda Morogoro mtayarishaji King Maroh.
ANA VIPAJI VINGI VYA KUJIVUNIA UNAFAHAMU .
Mtunzi wa vitabu vya sala, nyimbo,
ngojera, mashairi, Batarokota ni mtunzi wa kitabu cha Mashairi ya haki katika
kuongoza `rudi ndani` alicho kizindua 01/10/2013 Temeke jijini Dar es salaam na
kupewa namba ISBN 978-9976-89-260-4.
Mtu wa Mungu yaani mchungaji, ana kipindi
katika blogu yake kwa kutarakari neon la Mungu kila siku na anakiendesha vizuri
bila kutengemea msaada wowote wa pesa toka kwa wahisani ni toka mwaka 2013
amesimamia kutangaza nene la Mungu kupitia www.batarokotamedia.blogspot.com jamaa
napenda kumuita mchungaji wa kondoo wa Bwana lakini si mlokole.
Batarokota ni msanii wa bongo fleva, msanii wa nyimbo za
kurap, msanii wa nyimbo asili ya kiafrika anawezakuimba kwa lugha zaidi ya 32,
amesha imba nyimbo nyingi sana kama `upendo kwa mama` lugha ya kiswhahili,
kwejaga nyangisha lugha ya kisukuma, sukurubu lugha ya kiringala, one day
English, kamule balongo kinyatuzu na nyingine nyingi.
Unauwezo wa kutabiri, katika blogu
yake mwaka 2015 Mwezi wan ne siku ya kuzaliwa kwake alisema Rais wa awamu ya
Tano ni Kutoka kanda ya Ziwa na hilo likatimia. Pia katika utabiri wake wa
mwaka 2016 – 2017 ametabiri,
Moja; Chama kimoja cha siasa
kitapata wanachama wengi sana mwezi wa 7- 12 Mwaka huu na kufika zaidi ya
1,000,000
Pili; vijana wengi watamrudia Mungu
na watamwaibisha shetani mbele za watu na majambazi watarudisha siraha, vijana
wataacha madawa ya kulevya, mahakimu watatoa haki, vijana watarudi mashambani kulima,
waganga watakosa dili, mvua itanyesha kwa wakati, na mengine mazuri yanakuja nchi
itashushia zawadi ya madini mapya yataonekana Tanzania ambayo hakuna Duniani.
Tatu;idadi ya Watanzania wenye
wasiwasi kupita kiasi itaongezeka na kuwa kubwa kuliko wakati mwingine wowote.
Bataraokota pia ni mchora picha,
mtunzi wa vitabu, mtunzi wa sala, muingizaji mzuri wa movi, mtahalamu wa kutengeneza mashairi, hadithi, kuparfom katika steji akiwa live n.k
MAAJABU YA BATAROKOTA
Leo msanii Batarokota ameishangaza
dunia kwa miaka mitatu mfululizo ameweka rekodi ya kutengeneza website na blogu
zaidi ya elfu moja ambazo zinajulikana
baadhi ni kama mambouwanjani.blogspot.com, batarokotamedia.blogspot.com, ngunya.blogspot.com,
badagone.blogspot.com, lennysogodi.wix.com/lenny,
mchunguzischools.wix.com/8nane, batarokotanews.wix.com/live, zlinda.8m.com,
aepo.blogspot.com, eliroidaycare.blogspot.com, tanzaniaonecomic.blogspot.com,
ubuyuwataarabutz.blogspot.com, mweas.blogspot.com, kumalijahotel.blogspot.com,
acuyo.blogspot.com, batarokotanews.wix.com/live nyingine nyingi sana.
MAMBO AMBAYO BATAROKOTA ATAYASAAU.
1984 Akiwa darasa la kwanza Batarokota alinusurika kifo baada
ya mvua kubwa sana kunyesha wakiwa darasa la kwanza, darasa lao lilipingwa na
radi na wanafunzi 6 walifariki hapo hapo na zaidi ya ishiriki kujeruiwa na
wengine watatu kufika hospital ya taifa ya Bugando.
1990/Septemba/2
Batarokota aweze kuisaau baada ya siku hiyo kwenda kumsalimia Babu yake
Timothi Shindika ambae kipindi hicho alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza baada ya
kulala kwa babu yake, Asubuhi Babu yake alimwamsha Batarokota na kumwambia
twende kusali Kawekamo kuna Papa Yohane Paulo wa 2 anaendesha misa. Batarokota
alifurahi sana kujumuika na babu yake hadi kawekamo kwenye Misa cha kumkumbusha
zaidi Batarokota baada ya misa kwisha babu yake alimwambia twende airport
kumsindikiza mgeni. Baada ya Papa Yohane Paulo kuanza kuaanga iongozi wa
serikali wakiwa aiport Mwanza Papa alimshika mkono Mkuu wa Mkoa na Batarokota akiwa
pembeni ndio na Papa Yohane Pauli wa 2 pili aliona kuna mtoto na akamshika
mkono Batarokota. Batarokota alisema hivi ` Papa Yohane Paulo wa 2 alisema
Amina nami nikasema Amina`
2006 Mwaka mpaka leo Batarokota hataki sherehe za birthday, hivi
leo anatimiza miaka 42, amedai hana sababu ya kuisherehekea siku hiyo
kwa kuwa atakuwa na machungu ya kumkumbuka mke wake wa mwanzo ujana wake, kwa kuwa ndie alikuwa
akimwandalia kila kitu katika kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa kila mwezi
wanne. Mambo ambayo Batarokota alikuwa akiandaliwa na mkewe ni keki ambayo ilikuwa ina gazi kulingana na
umri wake, chakula cha meza kuu ambacho kipikwa kwa usitadhi wa hali ya juu na
yeye, pia alikuwa anafunga kwa ajili ya kuniombea kabla ya siku kufika na
alikuwa anaomba misa kwa ajili ya kuniombea, siku hii ataifanya maalumu kwa
ajili ya kusali na kuwaombea marehemu wote walikuwanae katika sherehe zake za
kuzaliwa hapo mwanza kama mke wake Marehemu Saula Kapama, shemeji yake Patricia
Kapama, Babu yake Zachalia Kapoja, Bibi yake Zachalia Kaboja, Dada yake mpendwa
Happy Linda, Happiness Ngeni, Mwanae Ruth Linda na wengine wengi ambao
wametangulia mbele ya haki.
“Tangu mke wangu Mama Ngw`bis aliyofariki sijawahi kufanya sherehe ya kuzaliwa kwangu kwa kuwa najisikia vibaya, nakumbuka miaka ya nyuma nilikuwa nafanya hivyo nikiwa na mke,mtoto, na marafiki zangu mara zote na ndiyo maana nimeshindwa kufanya peke yangu kwa kipindi chote.
“Wiki ijayo nitakuwa natimiza miaka 42, hivyo nimeona ni vizuri siku hiyo kuitumia kwa kumkumbuka watu wote wapendwa, ila sina mpango wa kusherehekea tena,” aliandika Bataokota kwenye akaunti ya Instagram baada ya baadhi ya makampuni yakitaka kufanya sherehe ya kukumbuka kuzaliwa kwake.
“Tangu mke wangu Mama Ngw`bis aliyofariki sijawahi kufanya sherehe ya kuzaliwa kwangu kwa kuwa najisikia vibaya, nakumbuka miaka ya nyuma nilikuwa nafanya hivyo nikiwa na mke,mtoto, na marafiki zangu mara zote na ndiyo maana nimeshindwa kufanya peke yangu kwa kipindi chote.
“Wiki ijayo nitakuwa natimiza miaka 42, hivyo nimeona ni vizuri siku hiyo kuitumia kwa kumkumbuka watu wote wapendwa, ila sina mpango wa kusherehekea tena,” aliandika Bataokota kwenye akaunti ya Instagram baada ya baadhi ya makampuni yakitaka kufanya sherehe ya kukumbuka kuzaliwa kwake.
04/06/2011 Batarokota alinusulika kufa baada ya kumtetea mwizi
wa simu aliye kuwa anapigwa na wananchini wenye asila kali maeneo ya stendi ya
Tanganyika bus, baada ya Batarokota kufika eneo hilo aliwaomba na kuwasiii watu
wasimpigi mwizi huyo kwa sababu walicho kuwa wanakitaka kimepatikana na mhusika
anacho. Ndio baadhi ya watu walimzonga Batarokota na kuanza kumshambualia na
walimpora simu aina brackbell, internation passport yenye namba AB 212909
iliyotolewa 2007.
Wasamalia wema walipomwona Batarokota akipigwa ndipo walipiga
simu polisi centre nao walifika na kuondoka na Batarokota mpaka Hospital ya
Seketure kwa matibabu zaidi. Lakini Mungu si Athumani tarehe 05/06/2011
Batarokota alitoka hospital akiwa na afya tele na watu walishangaa na siku hiyo
hiyo alifika eneo la tukio nakuomba arejeshewe international passport lakini
aliambia aliye chukua passport hiyo aligogwa na gari wakati anakimbia jana.
2013 Batarokota ashinda kesi (Akisoma Hukumu
ya kesi na Mheshimiwa Hakimu Mwakasenga
alisema mlalamikaji na shahidi walipishana kwa utetezi huku mlalamikaji Danieli
Simbi akisema ni shilingi Milioni mbili laki moja na kumi na tano na mia tano
(2,115,5000 ) alizomkabidhi Batarokota na shahidi nae alisema ni shilingi
milioni mbili na laki moja tu (2,100,000 )ndio alizokabidhiwa tena bila
maandishi.
Akisoma hukumu hiyo Mheshimiwa Masenga alimwachia huru msanii Batarokota kwa kuwa ana kosa lolote na maelezo ya mashahidi na mlalamikaji ayajakidhi matakwa ya kumtia hatiani msanii Batarokota.)
Batarokota amekaa Keko miezi minne toka tarehe 10/5/2013 mpaka tarehe 16/09/2013 kwa kukosa dhamani.
Akisoma hukumu hiyo Mheshimiwa Masenga alimwachia huru msanii Batarokota kwa kuwa ana kosa lolote na maelezo ya mashahidi na mlalamikaji ayajakidhi matakwa ya kumtia hatiani msanii Batarokota.)
Batarokota amekaa Keko miezi minne toka tarehe 10/5/2013 mpaka tarehe 16/09/2013 kwa kukosa dhamani.
2015/10 May Batarokota alifiwa na bibi yake kipendwa Perepetua
Mishaka Shindika akiwa anaongea na usiku wa saa saba na kuniaga.Hiyo ilikuwa
Batarokota alilejea kutoka Morogoro kwenda kumsalimia bibi yake maeneo ya
Nyamhongolo jijini Mwanza.
Baada ya kukamilisha maojiano na msanii Batarokota
tarehe 4/04/2014 amesema, `huruma
ya Mungu inawasukuma waamini kuwa na huruma, kama ilivyojionesha kwa Watakatifu
mashuhuda wa huruma ya Mungu kama vile: Theresa wa Mtoto Yesu, Mama Theresa wa
Calcutta, Sr. Faustina Kowalska, Vincenti wa Paulo, Damiano De Veuster,
Leopoldo Mandic. Kanisa katika maisha na utume wake, limekuwa daima mstari wa
mbele kutangaza na kushuhudia huruma na upendo wa Mungu kwa waja wake, dhamana
inayopaswa kuendelezwa kwa ari na moyo mkuu` alimaliza Batarokota mtu wa Mungu.
Watendaji wa kata, vijiji watwishwa zigo la madawati

Na Upendo Mosha, Hai (Gazeti Mtanzania)
MOFISA watendaji wa kata na vijiji wilayani Hai wameagizwa kuhakikisha tatizo la upungufu wa madawati katika shule za msingi na sekondari liwe limekwisha ifikapo Aprili 30 mwaka huu.
Agizo hilo lilitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Said Mderu, alipozungumza na maofisa hao na wakuu wa shule za msingi, sekondari, waratibu elimu kata na wakuu wa idara wilayani humo kuwahimizi juu ya uwajibikaji kazini.
Kenya: Mushroom Soup Still Delights
By Batarokota
Billy
Saro Harrison is the second-born of the Harrison brothers who form Them
Mushrooms. They are a Nairobi-based band which hails from Mombasa.
Harrison made a very interesting observation on television last week
when he asked to explain the difference between music making now and in
the past. Saro, the bass guitarist, flanked by elder brother Teddy
Kalanda Harrison (Tenor saxaphone, percussion, composer, vocals),
younger brothers George Ziro Harrison (playing guitar on the TV set) and
John "Bishop" Katana Harrison (keyboards, composer and vocals), said
the kids coming into music today are making music for now.They have little
thought about what comes next or much care as to how they can make music
that will stand the test of time and still be relevant in 10 or more
years. In short he seemed to suggest the nature of the industry has been
changed by those in charge of it.
Habari iliyo tufikia sasa: Baadhi ya wachezaji wa EPL wanatumia madawa haramu
LONDAN- UINGEREZA
Serikali ya
Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa
wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa
yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.Gazeti la Sunday
Times limechapisha ripoti ya uchunguzi iliyothibitisha kuwa sio tu
wasakataji dimba bali hata waendesha baiskeli, wachezaji Kriketi na hata
wachezaji wa tenisi wamekuwa wakipokea matibabu kutoka kwa daktari
mmoja ambaye anajulikana kwa kupeana madawa hayo yaliyopigwa marufuku ya
kututumua misuli.
Daktari Mark Bonar ambaye anazahanati yake
mjini London Uingereza amekuwa akiwatoza wachezaji nyota maelfu ya pauni
za Uingereza kwa matibabu hayo fiche ambayo imegunduliwa kuwa ni
matibabu ya madawa yaliyopigwa marufuku na shirikisho la kupambana na
madawa haramu WADA.
Wateja wakuu wa Dkt Bonar yasemekana ni wachezaji wa timu kuu katika ligi maarufu zaidi duniani ligi ya Uingereza.Uchunguzi pia umebaini kuwa dkt Bonar amekuwa akiwapa wachezaji nyota 150 dawa aina ya EPO Steroids na hata homoni zinazokua kwa haraka ambazo ni haramu katika michezo katika kipindi cha miaka 6 sasa.
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi dhidi ya taasisi ya kupambana na kuenea kwa madawa hayo haramu kufuatia ufichuzi huo.
Hakuna ushahidi kuwa timu za ligi kuu ya Uingereza zilifahamu mbinu za Dkt Bonar.
Aidha Sunday Times linasema kuwa halina ushahidi 'huru' kuwa dkt Bonar aliwapa madawa hayo ya kututumua misuli wachezaji wangapi wanaochezea vilabu vya ligi kuu ya Uingereza EPL.Hata hivyo wachezaji kadhaa walioulizwa iwapo walipewa madawa hayo ya kututumua misuli na dkt Bonar walikataa kujibu na wengine wakakanusha madai hayo ya daktari huyo.
Dkt Bonar hata hivyo anasema kuwa hakuwapa wachezaji hao madawa hayo kwa nia ya kuimarisha uwezo wao uwanjani ila anadai aliwapa madawa hayo ilikuwatibu dhidi ya maradhi mbali mbali waliokuwa wanaugua.
Uchunguzi huu unatokana na ufichuzi wa mchezaji mmoja aliyekwenda kwa idara ya serikali kumshtaki dkt Bonar kwa kumpa dawa iliyopigwa marufuku.
Mchezaji huyo ambaye ametaka jina lake libanwe anasema alipigwa na butwaa dkt Bonar aliposisitiza kuwa anastahili kumeza dawa hiyo haramu.
Sunday Times lilitumia mwanariadha chipukizi kumrekodi daktari huyo akijigamba jinsi alivyowatibu wachezaji wengi tu nyota akitumia mbinu zizo hizo japo ni marufuku.
Wateja wakuu wa Dkt Bonar yasemekana ni wachezaji wa timu kuu katika ligi maarufu zaidi duniani ligi ya Uingereza.Uchunguzi pia umebaini kuwa dkt Bonar amekuwa akiwapa wachezaji nyota 150 dawa aina ya EPO Steroids na hata homoni zinazokua kwa haraka ambazo ni haramu katika michezo katika kipindi cha miaka 6 sasa.
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi dhidi ya taasisi ya kupambana na kuenea kwa madawa hayo haramu kufuatia ufichuzi huo.
Hakuna ushahidi kuwa timu za ligi kuu ya Uingereza zilifahamu mbinu za Dkt Bonar.
Aidha Sunday Times linasema kuwa halina ushahidi 'huru' kuwa dkt Bonar aliwapa madawa hayo ya kututumua misuli wachezaji wangapi wanaochezea vilabu vya ligi kuu ya Uingereza EPL.Hata hivyo wachezaji kadhaa walioulizwa iwapo walipewa madawa hayo ya kututumua misuli na dkt Bonar walikataa kujibu na wengine wakakanusha madai hayo ya daktari huyo.
Dkt Bonar hata hivyo anasema kuwa hakuwapa wachezaji hao madawa hayo kwa nia ya kuimarisha uwezo wao uwanjani ila anadai aliwapa madawa hayo ilikuwatibu dhidi ya maradhi mbali mbali waliokuwa wanaugua.
Uchunguzi huu unatokana na ufichuzi wa mchezaji mmoja aliyekwenda kwa idara ya serikali kumshtaki dkt Bonar kwa kumpa dawa iliyopigwa marufuku.
Mchezaji huyo ambaye ametaka jina lake libanwe anasema alipigwa na butwaa dkt Bonar aliposisitiza kuwa anastahili kumeza dawa hiyo haramu.
Sunday Times lilitumia mwanariadha chipukizi kumrekodi daktari huyo akijigamba jinsi alivyowatibu wachezaji wengi tu nyota akitumia mbinu zizo hizo japo ni marufuku.
A Prayer To God The Father
Almighty God, my Eternal Father, from the fullness of my soul I adore You. I am deeply grateful that You have made me in Your image and likeness, and that You ever hold me in Your loving embrace. Direct me to love You with all my heart, with all my soul, and with my whole mind. Direct me to love all Your children as I love myself. O, my Father, my soul longs to be united to You, and to rest in You forever. Have the Holy Spirit touch my soul so that I may love You as He does, and as Your Beloved Son Jesus does. Amen.
PiCHA:mji wa Nazareti,Jangwa la Yudea, Megido, kabuli la Yesu na mti aliopanda Zakayo





Tafakari ya Neno: Onesha kitambulisho chako!
Kwa
kawaida mwanachama wa chama au kikundi chochote kile anakuwa na
kitambulisho maalumu na anaona fahari kutangaza sera za chama au za
kikundi chake. Leo tutakiona kitambulisho cha Kristu mfufuka
anachotakiwa kukivaa mfuasi wake. Injili ya leo inaeleza awamu mbili
ambazo Yesu mfufuka anakutana na wanafunzi wake.
Awamu ya kwanza ilikuwa jioni ya siku ile aliyofufuka (Jumapili), “Ikawa jioni, siku ile ya kwanza ya juma, pale walipokuwapo wanafunzi, milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi.”
Awamu ya pili ilikuwa siku nane baadaye. Katika awamu zote mbili kikundi hiki kidogo cha wanafunzi kilijitenga na kujifungia ndani ya chumba kwa hofu ya Wayahudi.
Mandhari hii inawakilisha hali halisi ya mahusiano yaliyoko kati ya vyama na vikundi vingi, ambapo wanachama wake hujifungia katika ulimwengu wa itikadi zao tu na kuwaogopa walio nje kama wapinzani. Hapo inazuka hofu inayomgeuza mtu hadi kuwa wa siasa kali, yaani kukereketwa kunapitiliza mipaka. Kama mkereketwa huyo ni mkristo basi atajifungia katika akili na utashi wake bila kutaka majadiliano na yeyote asiyefuata itikadi za dini yake. Mtu wa aina hiyo atanadisha sera za imani yake kwa kupandisha majini na kupaza sauti, hata kuwadhulumu wengine. Hizo ni alama wazi za hofu iliopitiliza.
Katika historia ya Ukristo, kumewahi kuwa na vipindi vya hofu kama hiyo. Kumekuwa na hofu ya elimu ya sayansi, kwamba ingeweza kuharibu imani ya kikristo. Kadhalika hofu ya elimu ya mambo ya kale na teknolojia hasa ya nadharia ya mvuvumko iliyoonekana kupingana na nadharia ya uumbaji. Kanisa likahofu kuwa ulimwengu huo ungeangamiza na kuharibu dini ya kikristo. Kumbe mkristo hatakiwi kuuhofu ukweli, kwani akili ya binadamu imeumbwa na Mungu ili kuujua na kutafuta ukweli.
Yesu alitangaza Injili ya ukweli na akataka ukweli wa Injili uenee ulimwenguni.“Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli; tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.” (Yoh 8:30-31).
Kujitenga na kujifungia ndani ni hofu itokanayo na kutojua kitambulisho cha Yesu Kristo mfufuka. Hofu iliyosababishwa na kutomjua Kristo mfufuka kwamba maisha yake ya upendo na huruma yasingeweza kufa tu basi, bali yanadumu milele. Katika mazingira ya hofu, Yesu ajitokeza katikati ya wanafunzi wake na kuwaonesha kitambulisho vyake. “Akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu. Naye akiisha kusema hayo, akawaonesha mikono yake na ubavu wake.” Kitambulisho cha mfufuka ni mikono na ubavu wake. Mikono iliyotobolewa misumari na kusulubiwa ni alama ya nguvu. “Mkono wa kuume wa Bwana umetenda makuu.” (Zab 118:15).
Kwa hiyo, Yesu anaonesha mikono aliyotumia kutenda matendo ya huruma kama vile kuwaponya wakoma, kuwaponya vipofu na viziwi, kumwokoa Petro alipotaka kuzama majini, kuwabeba watoto, mikono iliyoosha miguu ya mitume nk. Kitambulisho hiki cha Yesu chatakiwa kiwe cha kila mbatizwa, yaani kutumikia na kutenda matendo ya huruma. Kadhalika ubavuni ilikotoka damu na maji baada ya kuchomwa moyo uliojaa upendo na huruma. Mkristo asukumwe na moyo wa huruma na upendo katika kutumikia na kutenda mema.
Mapato ya Yesu kuwa katikati yao,“Wanafunzi walifurahi kumwona Bwana.” Hapa wanafunzi wanayo furaha ya kweli anapokutana na kuona kuona vitambulisho vya aliyetoa maisha yake kwa ajili wengine. Hivi wafuasi wa Kristu wanafurahi kukutana na yule anayefahamu uzuri wa kutoa maisha kwa ajili ya wengine. Baada ya kufurahiana huko, Yesu anawaingiza wanafunzi wake katika ufuasi.“Yesu anawatuma mitume wake akasema: Kama Baba alivyonituma mimi nami nawatuma ninyi. Kisha akawavuvia na kusema: Pokeeni roho mtakatifu.” Kuvuvia ni kuingiza roho, yaani kutia nguvu ya Mungu ndani ya mitume. Zawadi ya nguvu za Mungu iliyomfanya Yesu kuleta maisha duniani sasa wanashirikishwa wote na kutumwa kwenda ulimwenguni bila hofu kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Wanaagizwa, “Wowote mtakaowasamehe wamesahemewa, wale mtakaowafungia watakuwa wamefungiwa” yaani kila mmoja anao wajibu wa kuwatoa watu toka njia mbovu ya dhambi na kuwaongoza katika njia iliyo sawa inayoelekea kwenye utakatifu wa maisha!
Baada ya mitume kuingizwa uanachama wa kundi la Kristu, sasa awamu ya pili inahusu kupewa vitambulisho wafuasi wengine tuliobaki. Ndiyo maana katika awamu hii tunaambiwa ilikuwa ni siku nane baadaye. Maana yake siku ya kwanza baada ya kwisha siku saba rasmi za uumbaji, Sasa hufuata maisha ya kawaida ya binadamu. Sisi waanzaji wenye mashaka tunawakilishwa na Tomaso. “Baada ya siku nane, wanafunzi wake walikuwamo ndani tena, na Tomaso aitwaye Pacha pamoja nao. Akaja Yesu, na milango imefungwa, akasimama katikati yao.”
Tomaso anaitwa Pacha (Didimo) maana yake mawingu. Kwa hiyo huo ni mwito kwetu wa kujitambua kuwa ni mawingi au pacha wa Tomaso. Tunafanana na Tomaso katika mahusiano yetu na Yesu. Yaonekana Tomaso hakuuogopa ulimwengu kama wale mitume waliojifungia chumbani. Aidha isieleweke kwamba alikuwa mpinzani na Yesu. Tomaso hakuwa mpinzani wala hakuwa na hofu ya Wayahudi bali alipeta tu nje. Lakini kwa vyovyote alifanana na mitume katika kuona mashaka juu ya ufufuko. Hali ambayo mara nyingi Yesu anawagombeza mitume kwa kutokusadiki kwao (Marko). Tomaso alianza kulifanya kosa hilo kwa kujitenga na jumuiya yake. Hivyo ndivyo inavyotokea katika maisha ya kila siku katika vikundi mbalimbali.
Hebu tuone ni katika kipengele gani mkristu ni mawingi au pacha, yaani analingana na kutokulingana na Tomaso aitwaye Pacha (Didimo). Pacha asiyelingana na Tomaso Didimo ni yule aliyejitenga na jumuiya yake na kuwadharau wote waliomo humo kuwa hawafai. Huyo ni sawa na anayehama chama cha siasa na kukidharau wakati kimlea na kumkuza hadi kufikia ujiko alionao kwa sasa!. Mwanachama wa kweli ni yule anayebaki imara katika chama hata kama baadhi ya wanajumuyia wake wana makwazo, kwa sababu kuna sera na mambo mema yaliyomo humo; ni mtu anayethubutu kuleta mageuzi kwa kubaki ndani ya chama!
Ndivyo inavyotokea katika Ukristo, kuna wale wanaoasi dini na kujiunga na dini nyingine kwa sababu tu wanajisikia kukatishwa tamaa kutokana na makwazo yanayofanyika humo, kama vile mfumo mbovu wa uongozi, utajiri uliokithiri au kanisa kushindwa kutoa majibu sahihi kwa maswali na shida mbalimbali za waamini. Kumbe, pacha anayelingana na Tomaso ni yule baada ya kuona makwazo hayo, hata kama anashawishika kujitenga na ukristu kwa muda ili kuona ukweli utakaoibuka kutokana na muda unavyopita lakini anarudi tena. Mtu huyo anafanana na yule anayekwepa moshi ili kuweza kuona vizuri ukweli ulipo.
Tomaso hakuasi kundi, ndiyo maana anarudi kundini kuhakikisha kwa akili yake kama upepo umebadilika. Hapo ndipo anapokosa imani pale anapotaka kuuelewa tena kwa kugusa ufufuko wa Kristo. Ufufuko wa wafu hauwezi kufahamika kwa akili ya kibinadamu. Tomaso hakufahamu kwamba binadamu tunayo mang’amuzi ya kimwili tu, kumbe ukweli na mang’amuzi yaliyo ndani ya kaburi unajulikana na yule tu aliye ndani ya vuguvugu zake, yaani mfu peke yake kwani “Adhabu ya kaburi aijuaye maiti.” Kumbe siri ya kaburi anaijua Yesu peke yake mwenye mang’amuzi ya ya kufa na kufufuka. Kwa njia ya Mungu peke yake binadamu tunaweza kuuelewa ufufuko.
Kwa hiyo Pacha wetu Tomaso kama binadamu asingeweza kupata jibu alilolitegemea. Ndiyo maana Kristo mfufuka akamtaka asiendelee kutosadiki bali awe na imani na kusadiki. “Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona wakasadiki.” Mapato yake, Tomaso akabaki tu kuinamisha kichwa na kusema: “Bwana wangu na Mungu wangu.” Inatosha kwetu kujua kwamba kitambulisho cha mfuasi wa kweli wa Kristo Mfufuka ni mikono inayohudumia na moyo (ubavu) alama ya upendo. Leo tunafundisha kutafakari fumbo hili la ufufuko tunapotenda matendo ya huruma. Tunapokuwa na mashaka tumwige pacha wetu Tomaso na kusali: “Bwana wangu na Mungu wangu.”
Awamu ya kwanza ilikuwa jioni ya siku ile aliyofufuka (Jumapili), “Ikawa jioni, siku ile ya kwanza ya juma, pale walipokuwapo wanafunzi, milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi.”
Awamu ya pili ilikuwa siku nane baadaye. Katika awamu zote mbili kikundi hiki kidogo cha wanafunzi kilijitenga na kujifungia ndani ya chumba kwa hofu ya Wayahudi.
Mandhari hii inawakilisha hali halisi ya mahusiano yaliyoko kati ya vyama na vikundi vingi, ambapo wanachama wake hujifungia katika ulimwengu wa itikadi zao tu na kuwaogopa walio nje kama wapinzani. Hapo inazuka hofu inayomgeuza mtu hadi kuwa wa siasa kali, yaani kukereketwa kunapitiliza mipaka. Kama mkereketwa huyo ni mkristo basi atajifungia katika akili na utashi wake bila kutaka majadiliano na yeyote asiyefuata itikadi za dini yake. Mtu wa aina hiyo atanadisha sera za imani yake kwa kupandisha majini na kupaza sauti, hata kuwadhulumu wengine. Hizo ni alama wazi za hofu iliopitiliza.
Katika historia ya Ukristo, kumewahi kuwa na vipindi vya hofu kama hiyo. Kumekuwa na hofu ya elimu ya sayansi, kwamba ingeweza kuharibu imani ya kikristo. Kadhalika hofu ya elimu ya mambo ya kale na teknolojia hasa ya nadharia ya mvuvumko iliyoonekana kupingana na nadharia ya uumbaji. Kanisa likahofu kuwa ulimwengu huo ungeangamiza na kuharibu dini ya kikristo. Kumbe mkristo hatakiwi kuuhofu ukweli, kwani akili ya binadamu imeumbwa na Mungu ili kuujua na kutafuta ukweli.
Yesu alitangaza Injili ya ukweli na akataka ukweli wa Injili uenee ulimwenguni.“Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli; tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.” (Yoh 8:30-31).
Kujitenga na kujifungia ndani ni hofu itokanayo na kutojua kitambulisho cha Yesu Kristo mfufuka. Hofu iliyosababishwa na kutomjua Kristo mfufuka kwamba maisha yake ya upendo na huruma yasingeweza kufa tu basi, bali yanadumu milele. Katika mazingira ya hofu, Yesu ajitokeza katikati ya wanafunzi wake na kuwaonesha kitambulisho vyake. “Akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu. Naye akiisha kusema hayo, akawaonesha mikono yake na ubavu wake.” Kitambulisho cha mfufuka ni mikono na ubavu wake. Mikono iliyotobolewa misumari na kusulubiwa ni alama ya nguvu. “Mkono wa kuume wa Bwana umetenda makuu.” (Zab 118:15).
Kwa hiyo, Yesu anaonesha mikono aliyotumia kutenda matendo ya huruma kama vile kuwaponya wakoma, kuwaponya vipofu na viziwi, kumwokoa Petro alipotaka kuzama majini, kuwabeba watoto, mikono iliyoosha miguu ya mitume nk. Kitambulisho hiki cha Yesu chatakiwa kiwe cha kila mbatizwa, yaani kutumikia na kutenda matendo ya huruma. Kadhalika ubavuni ilikotoka damu na maji baada ya kuchomwa moyo uliojaa upendo na huruma. Mkristo asukumwe na moyo wa huruma na upendo katika kutumikia na kutenda mema.
Mapato ya Yesu kuwa katikati yao,“Wanafunzi walifurahi kumwona Bwana.” Hapa wanafunzi wanayo furaha ya kweli anapokutana na kuona kuona vitambulisho vya aliyetoa maisha yake kwa ajili wengine. Hivi wafuasi wa Kristu wanafurahi kukutana na yule anayefahamu uzuri wa kutoa maisha kwa ajili ya wengine. Baada ya kufurahiana huko, Yesu anawaingiza wanafunzi wake katika ufuasi.“Yesu anawatuma mitume wake akasema: Kama Baba alivyonituma mimi nami nawatuma ninyi. Kisha akawavuvia na kusema: Pokeeni roho mtakatifu.” Kuvuvia ni kuingiza roho, yaani kutia nguvu ya Mungu ndani ya mitume. Zawadi ya nguvu za Mungu iliyomfanya Yesu kuleta maisha duniani sasa wanashirikishwa wote na kutumwa kwenda ulimwenguni bila hofu kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Wanaagizwa, “Wowote mtakaowasamehe wamesahemewa, wale mtakaowafungia watakuwa wamefungiwa” yaani kila mmoja anao wajibu wa kuwatoa watu toka njia mbovu ya dhambi na kuwaongoza katika njia iliyo sawa inayoelekea kwenye utakatifu wa maisha!
Baada ya mitume kuingizwa uanachama wa kundi la Kristu, sasa awamu ya pili inahusu kupewa vitambulisho wafuasi wengine tuliobaki. Ndiyo maana katika awamu hii tunaambiwa ilikuwa ni siku nane baadaye. Maana yake siku ya kwanza baada ya kwisha siku saba rasmi za uumbaji, Sasa hufuata maisha ya kawaida ya binadamu. Sisi waanzaji wenye mashaka tunawakilishwa na Tomaso. “Baada ya siku nane, wanafunzi wake walikuwamo ndani tena, na Tomaso aitwaye Pacha pamoja nao. Akaja Yesu, na milango imefungwa, akasimama katikati yao.”
Tomaso anaitwa Pacha (Didimo) maana yake mawingu. Kwa hiyo huo ni mwito kwetu wa kujitambua kuwa ni mawingi au pacha wa Tomaso. Tunafanana na Tomaso katika mahusiano yetu na Yesu. Yaonekana Tomaso hakuuogopa ulimwengu kama wale mitume waliojifungia chumbani. Aidha isieleweke kwamba alikuwa mpinzani na Yesu. Tomaso hakuwa mpinzani wala hakuwa na hofu ya Wayahudi bali alipeta tu nje. Lakini kwa vyovyote alifanana na mitume katika kuona mashaka juu ya ufufuko. Hali ambayo mara nyingi Yesu anawagombeza mitume kwa kutokusadiki kwao (Marko). Tomaso alianza kulifanya kosa hilo kwa kujitenga na jumuiya yake. Hivyo ndivyo inavyotokea katika maisha ya kila siku katika vikundi mbalimbali.
Hebu tuone ni katika kipengele gani mkristu ni mawingi au pacha, yaani analingana na kutokulingana na Tomaso aitwaye Pacha (Didimo). Pacha asiyelingana na Tomaso Didimo ni yule aliyejitenga na jumuiya yake na kuwadharau wote waliomo humo kuwa hawafai. Huyo ni sawa na anayehama chama cha siasa na kukidharau wakati kimlea na kumkuza hadi kufikia ujiko alionao kwa sasa!. Mwanachama wa kweli ni yule anayebaki imara katika chama hata kama baadhi ya wanajumuyia wake wana makwazo, kwa sababu kuna sera na mambo mema yaliyomo humo; ni mtu anayethubutu kuleta mageuzi kwa kubaki ndani ya chama!
Ndivyo inavyotokea katika Ukristo, kuna wale wanaoasi dini na kujiunga na dini nyingine kwa sababu tu wanajisikia kukatishwa tamaa kutokana na makwazo yanayofanyika humo, kama vile mfumo mbovu wa uongozi, utajiri uliokithiri au kanisa kushindwa kutoa majibu sahihi kwa maswali na shida mbalimbali za waamini. Kumbe, pacha anayelingana na Tomaso ni yule baada ya kuona makwazo hayo, hata kama anashawishika kujitenga na ukristu kwa muda ili kuona ukweli utakaoibuka kutokana na muda unavyopita lakini anarudi tena. Mtu huyo anafanana na yule anayekwepa moshi ili kuweza kuona vizuri ukweli ulipo.
Tomaso hakuasi kundi, ndiyo maana anarudi kundini kuhakikisha kwa akili yake kama upepo umebadilika. Hapo ndipo anapokosa imani pale anapotaka kuuelewa tena kwa kugusa ufufuko wa Kristo. Ufufuko wa wafu hauwezi kufahamika kwa akili ya kibinadamu. Tomaso hakufahamu kwamba binadamu tunayo mang’amuzi ya kimwili tu, kumbe ukweli na mang’amuzi yaliyo ndani ya kaburi unajulikana na yule tu aliye ndani ya vuguvugu zake, yaani mfu peke yake kwani “Adhabu ya kaburi aijuaye maiti.” Kumbe siri ya kaburi anaijua Yesu peke yake mwenye mang’amuzi ya ya kufa na kufufuka. Kwa njia ya Mungu peke yake binadamu tunaweza kuuelewa ufufuko.
Kwa hiyo Pacha wetu Tomaso kama binadamu asingeweza kupata jibu alilolitegemea. Ndiyo maana Kristo mfufuka akamtaka asiendelee kutosadiki bali awe na imani na kusadiki. “Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona wakasadiki.” Mapato yake, Tomaso akabaki tu kuinamisha kichwa na kusema: “Bwana wangu na Mungu wangu.” Inatosha kwetu kujua kwamba kitambulisho cha mfuasi wa kweli wa Kristo Mfufuka ni mikono inayohudumia na moyo (ubavu) alama ya upendo. Leo tunafundisha kutafakari fumbo hili la ufufuko tunapotenda matendo ya huruma. Tunapokuwa na mashaka tumwige pacha wetu Tomaso na kusali: “Bwana wangu na Mungu wangu.”
Wosia wa kitume: "Furaha ya Upendo" kuzinduliwa tarehe 8 Aprili 2016
"Amoris Laetitia" "Furaha ya Upendo" ndani ya familia ni Wosia wa kitume utakaozinduliwa hapo tarehe 8 Aprili 2016, tayari waamini kutangaza na kushuhudia Injili ya familia!
Padre
Federico Lombardi Msemaji mkuu wa Vatican, Alhamisi tarehe 31 Machi 2016
ametangaza rasmi kwamba, Waraka wa Wosia wa Kitume wa Baba Mtakatifu
Francisko kuhusu Injili ya familia, utazinduliwa rasmi hapo tarehe 8
Aprili 2016. Waraka huu unajulikana kwa lugha ya Kilatini kama “Amoris
Laetitia” “Furaha ya Upendo” ndani ya familia. Waraka
huu ni matunda ya maadhimisho ya Sinodi mbili za Maaskofu kuhusu
familia. Sinodi ya kwanza iliadhimishwa kunako mwaka 2014 na awamu ya
pili kunako mwaka 2015, kuonesha jinsi ambavyo Kanisa linatoa uzito wa
juu kabisa kuhusu wito na utume wa familia ndani ya Kanisa na ulimwengu
mamboleo!
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)