Week Hot newz

Maaskofu Ufilipino, wametoa wito wa Novena.


Maaskofu Katoliki wa Ufilipino, wametoa wito wa Novena, sala na fadhila, kwa waathirika na familia zilizopigwa vikali na maafa ya kimbunga kilichopita hivi karibuni na kuua mamia ya watu na kuharibu mali nyingi, zikiwemo nyumba. 


Mosinyori Pedro Quitorio , Mkurugenzi wa vyombo vya habari katika Baraza la Maaskofu Katoliki ya Philippines , alisema fedha zitakazo tolewa wakati wa kipindi cha Novena , iliyoanza Jumanne 12 na

Kwaheriii Dk. Sengondo Mvungi







Papa atembelea Ikulu ya Italia - "Quirinale"

Baba Mtakatifu Francisko Alhamis hii 14.11.2014 majira ya saa nne, kwa mara ya kwanza tangu kuwa Papa mwezi March mwaka huu, alifanya ziara rasmi, kumtembelea Rais wa Italia, Mheshimiwa Giorgio Napolitano, aliyekuwa akimsubiri katika jengo la Ikulu la Qiurinale. Papa amefanya ziara hii Ikulu kama kulipa fadhila kwa Rais Giorgio ambaye alimtembelea Papa June 8, mwaka huu. Papa Francisko ametembelea makazi haya ya Rais wa Italia, ya Quirinale, ambayo awali yalikuwa ni makazi ya Papa kwa karne nyingi hadi 1870.


Baada ya ukimya wa miaka mingi, ziara za Papa kutembelea Quirinale, zilianzishwa mwaka1939 na Papa Pius X11 alipomtembea Mfalme wa Italy Emmanuel 11 aliyekuwa akiishi katika jengo hilo. Na Mapapa waliofuatia wakaiga pia utamaduni huu wa kutembelea Ikulu wa Italia kama ishara ya mahusiano mazuri.

البابا فرنسيس يقدم عبر المجلس البابوي "قلب واحد" مساعدة أولية لضحايا الإعصار في الفيليبين




صدر بيان عن المجلس البابوي قلب واحد (كور أونوم) جاء فيه أنه وعلى أثر إعصار "هايان" الذي ضرب الفيليبين نهاية الأسبوع الفائت مسببا مقتل أكثر من عشرة آلاف شخص، قرر قداسة البابا فرنسيس ـ من خلال المجلس الحبري "قلب واحد" ـ إرسال مساعدة أولية بقيمة مائة وخمسين ألف دولار لإغاثة السكان. وأشار البيان إلى أن هذا المبلغ المالي الذي سيتم توزيعه من خلال الكنيسة المحلية على المناطق الأشد تضررا من الكارثة الطبيعية، سيُستخدم من أجل دعم أعمال إغاثة النازحين والمتضررين من الفيضانات كما ويشكل علامة ملموسة عن قرب الحبر الأعظم الروحي من كل الأشخاص والمناطق المتضررة من الفيضانات.
إلى ذلك عبّر رئيس أساقفة مانيلا عاصمة الفيليبين الكاردينال لويس أنطونيو تاغل عن تضامنه مع الأمة كلها شاكرا المؤمنين في الرعايا على مساعدتهم السخية. وفي السياق نفسه، قدم مجلس أساقفة إيطاليا الكاثوليك مساعدة مالية بقيمة ثلاثة ملايين يورو تضامنا مع ضحايا الإعصار. هذا وتجدر الإشارة إلى أن البابا فرنسيس ـ وبعد صلاة التبشير الملائكي أمس الأحد ـ قد عبر عن قربه من شعب الفيليبين والمنطقة بأسرها على أثر الإعصار الذي ضربها، وحث الجميع على رفع الصلاة وتقديم المساعدة الملموسة.

St. Frances Xavier Cabrini

St. Frances Xavier Cabrini November 13
Patron of immigrants
Died: 1917

St. Frances Xavier Cabrini, Virgin (Feast day November 13) St. Frances was born in Lombardi, Italy in 1850, one of thirteen children. At eighteen, she desired to become a Nun, but poor health stood in her way. She helped her parents until their death, and then worked on a farm with her brothers and sisters.
One day a priest asked her to teach in a girls' school and she stayed for six years. At the request of her Bishop, she founded the Missionary Sisters of the Sacred Heart to care for poor children in schools and hospitals. Then at the urging of Pope Leo XIII she came to the United States with six nuns in 1889 to work among the Italian immigrants.

Daily Reading for Wednesday, November 13th, 2013

Reading 1, Wisdom 6:2-11

2 hear this, you who govern great populations, taking pride in your hosts of subject nations!
3 For sovereignty is given to you by the Lord and power by the Most High, who will himself probe your acts and scrutinise your intentions.
4 If therefore, as servants of his kingdom, you have not ruled justly nor observed the law, nor followed the will of God,
5 he will fall on you swiftly and terribly. On the highly placed a ruthless judgement falls;
6 the lowly are pardoned, out of pity, but the mighty will be mightily tormented.

Kanisa, Majimbo, Parokia,jumuia na watu binafsi waanza kuchangia wananchi wa Ufilippini


BABA  Mtakatifu Francisko amepokea kwa masikitiko na majonzi makuu taarifa za mahangaiko ya wananchi wengi wa Ufilippini kutokana na kukumbwa na tufani ambayo imesababisha maafa makubwa kwa watu na mali zao.
Baba Mtakatifu katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii, anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema kuchangia kwa hali na mali juhudi za kuokoa maisha ya mamillioni ya watu waliofikwa na janga hili kutokana na kukumbwa na tufani cha Haiyan kilichotokea nchini Ufilippini, hivi karibuni. Kutokana na mwaliko huu wa Baba Mtakatifu, Mashirika ya Misaada ya Kanisa Katoliki, Majimbo, Parokia na watu binafsi kutoka sehemu mbali mbali za dunia wameanza kuchangia juhudi za kuokoa maisha ya watu walioathirika na tufani.

Maungamo ni ubatizo wa pili katika utakaso wa dhambi

JANA Jumatano , Papa Francisko amewataka waumini wote kujenga tabia ya kuugama dhambi kwa unyenyekevu na kuomba msamaha kwa Mungu , kila mara wanapotenda dhambi, ili kupata neema za utulivu wa moyo na furaha.
Wito huu ni sehemu ya ujumbe wa Papa kwa waumini, ambao ameutoa kupitia Katekesi yake ya Jumatano, kwa mahujaji na wageni , waliokusanyika katika uwanja wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro. Alisema kama ilivyo katika ubatizo ambamo dhambi ya asili na dhambi zingine hutakatifushwa,

Papa achangia dolla 150, 000 kwa wahanga wa maafa nchini Ufilippini

Baba Mtakatifu Francisko kwa kuguswa na mahangaiko pamoja na mateso ya wananchi wa Ufilippini waliokumbwa na maafa ya kimbunga cha Hayain hasa katika visiwa vya Leyte na Samar na kusababisha zaidi ya watu elfu kumi kupoteza maisha, ametoa kiasi cha dola za Kimarekani, 150, 000, kama awamu ya kwanza ya mchango wake kwa waathirika wa maafa haya.

Mchango huu umetolewa na Baraza la Kipapa linaloratibu misaada ya Kanisa Katoliki Cor Unum. Fedha hizi zitatolewa kwa Kanisa mahalia, ili kusaidia watu walioathirika kwa mafuriko. Hiki ni kielelezo cha imani tendaji, kama njia ya kuonesha uwepo wake wa karibu kwa watu wananchi waliokumbwa na maafa.



Papa ahimiza, tujikabidhi katika Mkono wa Mungu aliyetuumba

Sote ni lazima tutaipita njia ya kifo. Na ni muhimu kutambua kwamba, katika maisha haya kuna njia mbili, moja ni njia inayongoonzwa na shetani na njia nyingine ni ile inayo elekea kwa Mungu. Baba Mtakatifu Francisko ameeleza katika homilia yake, wakati wa Ibada ya misa mapema Asubuhi, Jumanne hii katika kanisa dogo la Mtakatifu Marta la hapa Vatican

Pope Francis Embraces a Modern Leper and the World is Drawn to its Knees

  
May this beautiful action of love by Pope Francis, a new Francis, draw the whole world back to God.

VATICAN CITY (Catholic Online) - On Wednesday, November 6, 2013, Pope Francis traveled through the crowd of the faithful gathered in St Peters square to hear his weekly catechesis. This is a tradition of the modern popes. Each, in their own manner and style, teach the Christian faithful on an aspect of living the Christian life.

The whole world paused in the face of an authentic witness of God's love and Mercy on Wednesday.  The gates of hell were rattled. We all beheld the very heart of the Gospel of Jesus Christ spoken in a language much more powerful than words.

Salamu za pole kufatia kifo cha Kardinali Domenico Bartollucci

Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani Amani

Shukrani,
Paskal linda | mtumishilinda@gmail.com

Kumbuka: Barua pepe hii ilitumwa kupitia kifaa cha Fomu ya Anwani kwenye http://paskal-linda.blogspot.com

BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIIDIMIWE AMINA

Shukrani,
julie smith | ju2004lie2004@yahoo.com
Rest in Peace

Shukrani,
Life Giving Church | lifelivingchurch@gmail.com

Maaskofu wanaangalia vyombo vya mawasiliano ya jamii


Uinjilishaji wa roho za watu Barani Ulaya ni mada ambayo imeongoza mkutano wa siku tatu wa Maaskofu wenye dhamana na vyombo vya mawasiliano ya jamii kutoka Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Ulaya, (CCEE). Maaskofu wameangalia kwa kina na mapana changamoto na vyombo vilivyopo vinavyoweza kutumika kwa ajili ya kutangaza Habari Njema ya Wokovu kwa Makanisa Barani Ulaya, eneo ambalo linaendelea kupokea idadi kubwa ya watu kutoka sehemu mbali mbali za dunia.

Tanzia: Kardinali Domenico amefariki dunia

TUNASIKITIKA kutangaza kifo cha Kardinali Domenico Bartollucci kilichotokea leo Asubuhi Jumatatu hii 11. 11 2013. Kardinali amefikwa na mauti akiwa na umri wa miaka 96.
Kwa kifo chake, Idadi ya Makardinali imebaki 200, ambamo kati yao wenye haki ya kikatiba kupiga kura ni 109 na wasiokuwa na haki ya kupiga kura ni 91.
Marehemu kwa muda wa miaka mingi alikuwa ni Mkurugenzi wa Muziki Mtakatifu wa Kipapa katika kanisa ldo la Sistini ndani ya Vatican. Alifanywa kuwa Kardinali na Papa Benedikto XV1, wakati wa kikao cha Makardinali "Consistory" tarehe 20 Novemba 2010.

Sera za utoaji mimba ni kutaka kupandikiza majanga kwa Jamii!

Baraza la Maaskofu Katoliki Angola, Sao Tome na Principe linasema, sera za utoaji mimba ni mauaji ya watu wasiokuwa na hatia, ni kinyume cha Amri za Mungu; utamaduni na utambulisho wa wananchi wa Angola. Wananchi wanakumbushwa kwamba, maisha ya

Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya 32 ya Kipindi cha Mwaka C wa Kanisa

Mpendwa msikilizaji wa Neno la Mungu kipindi tafakari masomo Dominika, tayari tuko katika Dominika ya 32 ya mwaka C wa Kanisa, ni Dominika ambayo kwayo tunafunga wiki ambamo tuliwakumbuka na kuwaombea marehemu wetu.

Na kwa hakika Neno la Mungu ambalo tunalitafakari Dominika hii lina jambo la pekee linalogusa marehemu na nyakati za mwisho. Ujumbe wa Neno la Mungu kwa ufupi ni kwamba Mungu ni Mungu wa wazima na si wa wafu.

St. Joseph yakumbuka watoto yatima





na Paskal Linda-Dar es salaam




SHULE ya Msingi St. Joseph iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam, kwa kushirikiana na wazazi wa wanafunzi wa shule hiyo, imetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandalwa kilichopo Mbweni Vijibweni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Wagonjwa ni hazina ya maisha na utume wa Kanisa



BABA Mtakatifu Francisko, Jumamosi, tarehe 9 Novemba 2013 amewashukuru wanachama wa Umoja wa Kitaifa wa Wasafirishaji wa Wagonjwa Lourdes na kwenye madhabahu ya Kimataifa wakati huu,