Week Hot newz

Je wajua:Miujiza ya Bwana Mtume Muhammad S.A.W!

Hakika Muujiza mkubwa kuliko yote wa Bwana Mtume S.A.W ni hii Quraan tukufu ambayo haibadiliki kama vitabu vyinginevyo na kila zama zikenda ndio inafahamisha zaidi kinyume na vitabu viandikwavyo na mwanadamu ambavyo kila siku zikipita hubidi kufanyiwa marekibisho fulani ili viweze kwenda na wakati.

Muujiza mkubwa wa Bwana Mtume Muhammad S.A.W ni Quraan tukufu lakini kuna Miujiza mengi aliifanya ingawa hayadhukuriwi lakini hayo aliyoyatenda yalikuwa ni Miujiza hata kwa kule kusema kutakuwa na jambo fulani litakuja kutokea huo nao ni Miujiza, kwani utapoangalia Taarifu nilisema Miujiza hudhihiri katika baadhi ya mikono ya Mitume, hiyo ni sawa na hata kule kutabiri kuelezea kitachotokea nako huko kunakuwa Miujiza.

Wasomi mbali mbali waliweza kuyanukulu hayo akiwemo Ibn Taymiyyah, Al-Jawab as-Sahih li man Baddala Din al Masih iliyoelezwa na Ibn Kathir, Tarikh na Adh-Dhahabi, Tarikh al-Islam , Ibn Hajar Fathul Bari {6/582). Vile vile rudia Khayru-d-Din Wanili, Mujazat al-Mustapha 
(kopi ya 3, iliyochapishwa Maktaba as-Sawadi Jeddah).

Vitabu vingi vimeelezea juu ya Miujiza ya Bwana Mtume Muhammad S.A.W na baadhi ya miujiza ni kama ifuatayo:
·                     Kupasuka kwa mwezi
·                     Maji kuchuruzika katika pacha ya vidole vyake
·                     Kuongeza chakula kidogo kuwa chingi
·                     Jiwe kumsalimu
·                     Kuzungumza kwa mguu wa kondoo aliyona sumu
·                     Mti kutembea na kumfikia yeye Bwana Mtume
·                     Kondoo tasa kumfanya atoe maziwa
·                    Kulirejesha jicho la Qatidah bin an-Numan kwa mkono baada ya kudondoka na kurejea jicho hilo hali ya kawaida
·                    Alilitemea mate jicho la Syd Ali baada ya kuvimba na jicho hilo kurudia hali yake ya kawaida
·                    Kubashiri kabla ya tokeo la vita vya Badr kwa kusema hapa ndipo watapokufa wanaomshirikisha "Allah" na kuwataja baadhi yao kwa majina
·                     Alibashiri kuwa utajiri wa Chosroes utaangukia mikononi mwa waislam na utajiri huo utatumiwa kwa manufaa ya waislam, pamoja na kusema kuwa Wa-Farsy na Wa-Roma mali zao zitaangukia mikononi mwa waislam na Suraqah bin Malik atavaa kivazi cha Chosroes
·                     Alifahamisha kuwa Hassan bin Ali atapatanisha makundi yaliokuwa yaki talifiana baina ya waislam
·                     Alieleza kuwa Sa’d bin Abi Waqqas ataishi na hivyo vikundi vilivyokuwa viki talifiana na baadhi yao watafaidika na wengineo watadhurika
·                     Alibashiri siku aliyokufa Najash wa Ethopia na siku ya kuuwawa kwa al-Aswad al-Ansi akiwa yupo Yemen
·                     Alibashiri kutekwa kwa Turks, kutekwa kwa Iraq na Syria
·                     Alieleza kuwa Ammar bin Yassir atauwawa na wavamizi na hapo taifa la kiislam litagawanyika katika makundi (madheheb) na kupigana baina yao
·                     Alibashiri kuwa Ruwayfi bin Thabit kuwa ataishi umri mrefu na ikawa hivyo
·                     Alibashiri kuanza kwa moto mkubwa kutokea sehemu za Hijjaz yakawa hayo
·                     Alifahamisha kuwa Thabit bin Qays, kuwa ataheshimika na kusifiwa na atakufa kama shahidi yakawa hayo kwani alisifika na kuuwawa sehemu ikijulikana kama al-Yamamah
·                     Alibashiri juu ya misukosuko ya Sayyidna Uthman RA na yakatokea
·                     Aliwaeleza wakeze kuwa "Aliyemwepesi wa kutoa sadaka kati yenu ndio atayenifwata mwanzo, baada ya kufa kwangu". Aliyekufa mwanzo akawa ni Zaynab bint Jahsh (ra) huyu ndio kati ya wake wa Mtume aliyekuwa mwepesi wa kutasadak na ndio aliyekufa mara tu baada ya Bwana Mtume kufariki
·                     Mtume alimuelezea Anas kuwa atakuwa tajiri na kuwa na watoto wengi na vile vile ataishi umri mrefu. Inafahamishwa kuwa Anas aliishi zaidi ya miaka mia na ziada, na hakutokea kati ya Ansar aliyekuwa tajiri zaidi yake na aliwazika watoto wake wa idadi ya 120 kabla ya kutokea kwa Hajjaj nchini Basra (sahih Bukhari 1982)
·                     Aliomba moja kati ya Umar asilimu kwa kuupa nguvu uislam na Syd Umar Bin Khatab alisimu na uislam kushika nguvu
·                     Baridi ilishtadi na akamtuma Hudhayfa kwenda kufanya upelelezi akiwa hana nguo nzito za kumzuia baridi na akaomba awe hahisi baridi, na ikawa katika kipindi chote alichotumwa baridi inavuma naye kutohisi kabisa
·                     Alimuombea Ibn Abass awe ndio kigingi cha elimu ikawa hivyo
·                     Aliomba mvua kunyesha wakati wa ukame, na wakati anaomba hayo kulikuwa shwari mawingu kutoenekana na mara alipomaliza dua yake mawingu yalijikusanya na mvua kuanza kumiminika.
·                     Aliwaombea Abu Talha na mkewe Umm Sulaym waruzukiwe kizazi chema pale walipokutana katika usiku, matokeo yake alizaliwa Abdullah, na Abu Talha kupata watoto wengine 9 na wote wakawa wasomi
·                     Alimuombea Umm Qays bint Muhsin dada wa Ukkasha aishi umri mrefu haiaminiki kuwa alitokea mwanamke kuishi umri mrefu au kutaokea mwanamke ataoishi umri mrefu zaidi ya bibi huyu. Imepatikana kwa msaada wa
http://www.mawaidha.info/muujizawamtume.htm
 
Tukutana Jumatano ijayo kwa Je wajua...!
Tunamuomba "Allah" atufanikishe na haya "Amin"

Daily Reading for Wednesday, October 7th, 2015

Reading 1, Jonah 4:1-11 1 This made Jonah very indignant; he fell into a rage.
2 He prayed to Yahweh and said, 'Please, Yahweh, isn't this what I said would happen when I was still in my own country? That was why I first tried to flee to Tarshish, since I knew you were a tender, compassionate God, slow to anger, rich in faithful love, who relents about inflicting disaster.
3 So now, Yahweh, please take my life, for I might as well be dead as go on living.'
4 Yahweh replied, 'Are you right to be angry?'
5 Jonah then left the city and sat down to the east of the city. There he made himself a shelter and sat under it in the shade, to see what would happen to the city.
6 Yahweh God then ordained that a castor-oil plant should grow up over Jonah to give shade for his head and soothe his ill-humour; Jonah was delighted with the castor-oil plant.
7 But at dawn the next day, God ordained that a worm should attack the castor-oil plant -- and it withered.
8 Next, when the sun rose, God ordained that there should be a scorching east wind; the sun beat down so hard on Jonah's head that he was overcome and begged for death, saying, 'I might as well be dead as go on living.'
9 God said to Jonah, 'Are you right to be angry about the castor-oil plant?' He replied, 'I have every right to be angry, mortally angry!'
10 Yahweh replied, 'You are concerned for the castor-oil plant which has not cost you any effort and which you did not grow, which came up in a night and has perished in a night.
11 So why should I not be concerned for Nineveh, the great city, in which there are more than a hundred and twenty thousand people who cannot tell their right hand from their left, to say nothing of all the animals?'

Responsorial Psalm, Psalms 86:3-4, 5-6, 9-10

3 take pity on me, Lord, for to you I cry all the day.
4 Fill your servant's heart with joy, Lord, for to you I raise up my heart.
5 Lord, you are kind and forgiving, rich in faithful love for all who call upon you.
6 Yahweh, hear my prayer, listen to the sound of my pleading.
9 All nations will come and adore you, Lord, and give glory to your name.
10 For you are great and do marvellous deeds, you, God, and none other.

Gospel, Luke 11:1-4

1 Now it happened that he was in a certain place praying, and when he had finished, one of his disciples said, 'Lord, teach us to pray, as John taught his disciples.'
2 He said to them, 'When you pray, this is what to say: Father, may your name be held holy, your kingdom come;
3 give us each day our daily bread, and forgive us our sins,
4 for we ourselves forgive each one who is in debt to us. And do not put us to the test.'

St. Artaldus

Image of St. Artaldus

Facts

Feastday: October 7
Birth: 1101
Death: 1206

Artaldus (also called Arthaud) was born in the castle of Sothonod in Savoy. At the age of eighteen, he went to the court of Duke Amadeus III, but a year or two after, he became a Carthusian at Portes. After many years, being a priest and an experienced and holy religious, he was sent by the prior of the Grande Chartreuse to found a charterhouse near his home, in a valley in the Valromey significantly called "the cemetery". Here Artaldus established himself with six of his brethren from Portes. The community was no sooner well settled down, than there buildings were destroyed by fire, and St. Artaldus had to begin all over again. He chose a fresh site on the Arvieres River, and his second foundation was soon built and occupied. But a Carthusian cell could not contain the ever-increasing reputation of Artaldus: like his master St. Bruno, he was consulted by the Pope, and when he was well over eighty, he was called from his monastery to be bishop of Belley, in spite of his vehement and reasonable protest. However, after less than two years of episcopate, his resignation was accepted, and he thankfully returned to Arvieres, where he lived in peace for the rest of his days. During his last years, he was visited by St. Hugh of Lincoln, who had come into France, and who, while he was prior of the charterhouse of Witham, had induced Henry IIto become a benefactor of Arvieres. The Magna vita of St. Hugh records a gentle rebuke administered by Hugh when Artaldus asked him for political news in the presence of the community who had turned their backs upon the world to give themselves entirely to God. The cultus of St. Artaldus, called simply Blessed by the Carthusians, was confirmed for the diocese of Belley in 1834. He was 105 years old when he died and his feast day is October 7th.

Alex Msama wasaidie Moses Josiah na Elizabeth Josiah!


Pichani juu Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, Alex Msama.

Malkia wa muziki wa gospel nchini bibie Rose Muhando hatimaye amemaliza kurekodi album yake mpya ya sauti pamoja na kurekodi nyimbo mbili kwenye video huko nchini Afrika ya kusini chini ya kampuni ya Sony Music Entertainment ya Afrika ya kusini.

Kwa mujibu wa taarifa alizotoa mwimbaji huyo hii leo amesema amekamilisha nyimbo tatu zilizokuwa zimebakia katika kukamilisha album hiyo ya sauti ambayo hata hivyo hajaitaja jina. Mwimbaji huyo ambaye aliingia mkataba na kampuni hiyo ya kimataifa mapema mwaka jana, tayari amepata mafanikio makubwa kwenye medani ya muziki wa injili nchini tokea atoe album yake ya kwanza ya ''Mteule uwe Macho'' hadi yasasa ya ''Utamu wa Yesu''.

Hapana shaka kwamba album mpya itakuwa na kiwango kikubwa zaidi cha usikivu si kwenye sauti tu pia muziki wake utakuwa umerekodiwa kwenye viwango vikubwa kitu ambacho kitalifanya jina la Kristo lizidi kutangazwa si Tanzania tu bali maeneo mbalimbali duniani. Kila la kheri Rose Muhando.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2012/08/rose-muhando-akamilisha-album-mpya.html#sthash.kcdnx4hg.dpuf
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, Alex Msama umefanikiwaa kukutana waimbaji wa nyimbo za Injili hapa nchini Tanzania Moses Josiah na Elizabeth Josiah wa jijini Mwanza? wanaotamba sana Afrika Mashariki na Kati nyimbo Ukitaka na   Ruadha inmitelona.
              Mwimbaji Elizabeth Josiah

Batarokota Online kutoka jijini Mwanza inakuunganisha na wasanii hawa hasa ukiangalia nyimbo yao kupitia youtube https://www.youtube.com/watch?v=RndmI6GMOPA , 

Waimbaji hawa Moses Josiah na Elizabeth Josiah wana album kamili ya DVD  yenye nyimbo nane ambazo ni wewe ni Mungu, Tazama, Ruadha inmitelona,Bwana wa Mabwana,Mwambie Yesu,Galilaya, Ukitaka yeye ndio na Mambo yameona mengi ambayo ndio imechukua jina la album. 

Macho yameona mengi inerekodiwa katika studio za EX2 Studio iliyo maeneo ya Mecco jijini Mwanza nchini Tanzania. Na albamu hii ilikamilika mwaka 2014 , lakini mpaka sasa DVD imekamilika ila wasambazaji ndio tatizo ili iweze kutufikia uku mitaani.



Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, Alex Msamanaomba wasaidie waimbaji hawa ili tuweze kuzipata DVD.
 Pichani kutoka kushoto Msanii wa bongo fleva na nyimbo asili ya Kitanzania Batarokota akiwa na mwanamziki wa nyimbo za injili Moses Josiah

Huruma ya Mungu ipewe kipaumbele cha kwanza!



Baba Mtakatifu Francisko akiadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye Kikanisa cha Mtakatifu Martha, mjini Vatican, Jumanne, tarehe 6 Oktoba 2015 kwa kukazia huruma ya Mungu. - OSS_ROM
NA PASKAL LINDA- VATICAN.
Baba Mtakatifu Francisko katika mahubiri yake kwenye Kikanisa la Mtakatifu Martha kilichoko mjini Vatican, Jumanne ya jana, tarehe 6 Oktoba 2015 amekaza kusema, ni vigumu kwa huruma ya Mungu kuweza kupenya katika moyo mgumu wa kiongozi wa Kanisa, changamoto kwa watu kama hawa ni kuhakikisha kwamba, wanakimbilia huruma ya Mungu badala ya kujikita katika mawazo, sheria na taratibu walizojiwekea wenyewe!
Liturujia ya Neno la Mungu inaomwonesha Yona alivyokuwa na shingo ngumu kukubaliana na maagizo ya Mwenyezi Mungu, lakini hatimaye, anasalimu amri na kutoka kifua mbele kuanza kutangaza mapenzi ya Mungu, akiwataka wananchi wa Ninawi kutubu na kumwongokea Mwenyezi Mungu. Kutokana na mahubiri haya, wananchi wa Ninawi wakatubu na hatimaye, wakafanikiwa kuonja huruma, msamaha na upendo wa Mungu katika maisha yao.
Lakini nabii Yona hakufurahia sana kuona Mwenyezi Mungu akiwaonjesha huruma na msamaha wananchi wa Ninawi. Alitaka Mwenyezi Mungu awashikishe adabu. Hii ndiyo historia ya maisha ya Yona anasema Baba Mtakatifu inayojikita katika sura kuu tatu: Sura ya kwanza inamwonesha Yona akikaidi utume aliokabidhiwa na Mwenyezi Mungu; Sura ya pili ni utii unaooneshwa na Yona kiasi cha kumjalia kufanya muujiza wa wananchi wa Ninawi kutubu na kumwongokea Mungu. Sura ya tatu inaonesha pia ukakasi katika kupokea huruma na msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Nabii Yona pamoja na safari yote ya maisha ya kiroho hakupenda kumwona Mwenyezi Mungu akiwasamehee wananchi wa Ninawi baada ya kutubu na kumwongokea Mungu, kwani alidhani kwamba, kazi yake ilikuwa bure. Hapa Yona aliweka mbele mawazo, sheria na kanuni zake, akasahau kuambata huruma ya Mungu. Baba Mtakatifu anakaza kusema, haya Yesu Kristo hakueleweka vyema na watu wa nyakati zake, alipokazia kwa namna ya pekee huruma katika maisha na utume wake. Kwa njia hii akasigana na wakuu wa Makuhani na Walimu wa sheria. Walishindwa kuelewa kwanini Yesu alimsamehe yule mwanamke aliyefumaniwa akizini! Wakashikwa na bumbuwazi kumwona akila na kushirikiana na watoza ushuru pamoja na wadhambi.
Wote hao walisahau kwamba, huruma na msamaha vilikuwa ni sehemu ya vinasaba vya maisha na utume wa Yesu, jambo linalojidhihirisha kwa namna ya pekee hata katika Zaburi, inayowaalika waamini kumngoja Bwana kwani Bwana ni mwingi wa huruma na msamaha, kwake wokovu unapatikana. Baba Mtakatifu Francisko anawataka viongozi wa Kanisa kuwa na moyo wa wenye huruma na mapendo na kamwe wasiifanye mioyo yao kuwa migumu kiasi cha huruma ya Mungu kushindwa kupenya katika maisha ya watu; changamoto katika maisha, utume na huruma ya Mungu.
Baba Mtakatifu Francisko anasema, wakati huu Mama Kanisa anapojiandaa kwa ajili ya kuzindua na hatimaye kuadhimisha Mwaka Mtakatifu wa Jubilei ya huruma ya Mungu, iwe ni fursa ya kumwomba Yesu Kristo ili aweze kuwasaidia waja wake kutambua kwamba, Mwenyezi Mungu anataka rehema na wala si sadaka. Waendelee kuomba  Mwenyezi Mungu ili awakirimia huruma, ili kuponya dhambi na mapungufu yao ya kibinadamu!

‘Magufuli ni injini ya mabadiliko Tanzania’

INGAWA baadhi ya wanasiasa wanatumia neno mabadiliko kama kaulimbiu katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Magufuli anaonekana kuwa ndio injini ya mabadiliko ya kweli.

Katika mikutano yote ya Kampeni za kusaka kura za urais, Magufuli anahubiri mabadiliko na kusisitiza nia yake ya kuwa na Tanzania mpya.
Magufuli anataka Tanzania ya viwanda; itakayotokomeza umasikini kwa kutengeneza ajira kutoka asilimia tisa hadi asilimia 40. Hataki kuongoza serikali ambayo inakamua wazalishaji wadogo, kwa kuwatoza ushuru na kodi anazozitaja kuwa ni za hovyo. Anataka kuongoza mabadiliko ambayo yatawezesha mama lishe, wamachinga , wakulima, waendesha pikipiki za abiria maarufu kama bodaboda, kufanya shughuli zao bila kubughudhiwa.

Ni mgombea ambaye amekuwa akijinadi kwa kutumia kaulimbiu ya ‘Magufuli kwa Mabadiliko’. Katika mikutano ya kampeni kwenye maeneo mbalimbali nchini, amekuwa akiweka bayana anavyochukia ufisadi na mafisadi. Amekuwa akitaja msimamo wake pia namna anavyochukia uzembe na watumishi wazembe , wakiwemo wala rushwa wanaonyonya watu wanyonge.

Magufuli anasema wazi kuwa hana hofu ya kunyimwa kura na kundi hilo la watu.
Isitoshe, anaamini mafisadi na wazembe wanamchukia kwa msimamo wake. Hata hivyo, anaamini, wapo watu wazuri ambao ndiyo wengi ; wanaopenda kupata serikali adilifu na yenye viongozi waadilifu waweze kutendewa haki na kunufaika na matunda ya nchi yao. “Baraza langu la mawaziri litakuwa dogo na lenye watu waadilifu…,” anasema Magufuli.
Ameahidi kuboresha kilimo na kwa kuhakikisha anaongeza thamani ya mazao mbalimbali hatimaye wakulima wanufaike kwa bei nzuri itakayowawezesha kumudu mahitaji yao. “Sizungumzi uongo wala kuwapamba kwa kutaka kura…kazi ya kwanza ya serikali yangu itakuwa kusimamia bei ya tumbaku… kuna makato mengi na wanunuzi wengi wanaringa,” ni kauli aliyoitoa wilayani Sikonge katika mkoa wa Tabora.
Akiwa mkoani Kagera, Magufuli alieleza azma yake ya kuboresha zao la kahawa na kueleza kuwa hakubaliani na hatua ya wananchi kuuza mazao nje ya nchi kwa kuwa kitendo hicho kinadidimiza uchumi wa ndani na kuimarisha wa nchi jirani. Anasema endapo ataingia madarakani atapunguza kodi zilizowekwa kwenye zao la kahawa ambazo zinatajwa idadi yake inafikia 26. Vile vile anaona ujenzi wa viwanda vya kusindika kahawa, ni suluhu nyingine ambayo itawezesha zao hilo kupanda bei.
Pamoja na masuala mengine, anaahidi serikali yake itatoa elimu bure kuanzia Darasa la Kwanza hadi Kidato cha Nne. Kwa ujumla, yako mambo mengi mapya ambayo Magufuli na CCM kwa ujumla, wanaamini yatapatikana katika uongozi wa serikali awamu ya tano. Pamoja na mikakati hiyo, Magufuli anakiri awamu zilizopita chini ya marais wanne, zimefanya kazi nzuri inayomwezesha kuendeleza juhudi za kuwaletea maendeleo makubwa Watanzania.
Miongoni mwa mafanikio ya awamu zilizopita , ni pamoja na kuweka msingi imara wa amani na usalama wa nchi.

Ujenzi wa barabara, usambazaji huduma ya umeme, ujenzi wa zahanati, ni maeneo mengine ambayo mgombea urais huyo wa CCM amekuwa akikiri kwamba umekwenda vizuri kiasi cha kumwekea msingi mzuri wa kuleta mabadiliko makubwa zaidi chini ya serikali yake.
Wakati Magufuli na chama chake wakiamini katika falsafa hiyo ya mabadiliko wapo wanasiasa wanaobeza mabadiliko hayo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, anasema mabadiliko ndani ya CCM yaliendelea na hatua ya kupeleka chama kwa wananchi. Kupitia Sekretarieti ya CCM, ikiongozwa na Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, aliyeteuliwa mwaka 2012 kuiongoza, alianza ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya chama.
Katika ziara hiyo iliyodumu miezi 28 kabla ya kuhitimishwa Julai mwaka huu , alibaini mambo yanayokera wananchi kwa ajili ya kuyafanyia kazi. Nape anaweka wazi kwamba, katika kuzungukia nchi nzima, walibaini miongoni mwa kero za wananchi ni rushwa, urasimu serikalini pamoja na dhuluma. Akiwa kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais, Mjini Iringa hivi karibuni, Nape anakiri kwamba, wapo watu wachache walitumia CCM vibaya kutokana na kuiba na kukimbilia kujificha kwenye chama.
“Chama chetu kikaanza kunyooshewa vidole…tukazunguka, tulipomaliza, tukaenda Dodoma tukasema tutafute mtu atakayeleta mabadiliko ya kweli kwenye utendaji wa serikali,” anasema Nape. Kwa mujibu wa Nape, katika orodha ya wagombea, hawakuona mwingine bali Magufuli. “Mabadiliko tunayoyataka ndani ya serikali, mabadiliko tunayoyataka ndani ya CCM, tutayapata kwa Magufuli. Magufuli ni chachu ya mabadiliko tunayoyataka,” Nape anasisitiza.
Baadhi ya wanasiasa wakongwe, wakiwamo Mawaziri wakuu wastaafu, John Malecela na Jaji Joseph Warioba, wanakiri Magufuli ndiye mtu sahihi wa kuleta mabadiliko nchini. Malecela ana imani kwamba CCM aliyoiacha Mwalimu Julius Nyerere bado iko imara na itaendelea kuimarika chini ya uongozi wa Magufuli. Kwa upande wake, Jaji Warioba anasema nchi ina kila sababu ya kumchagua Magufuli kwa kuwa ni mzalendo, anayehubiri amani muda mwingi.
“Wengine wanaona kama ni utani,” anasema Jaji Warioba mjini Dodoma hivi karibuni na kusisitiza kuwa anaamini Magufuli ataunganisha na kuimarisha umoja wa nchi. Jambo lingine linalomshawishi Jaji Warioba kuona Magufuli anafaa na ni chachu ya mabadiliko, ni kutokana na uadilifu na msimamo wake dhidi ya ufisadi. Jaji Warioba anasema, kipindi hiki panahitajika mtu mwadilifu kutokana na ufisadi kuwa tatizo kubwa nchini. “Magufuli ndiye mwenye uwezo huo,” Jaji Warioba anasisitiza.
Katika kudhihirisha nia na msimamo wake wa kuwezesha mabadiliko hayo, Magufuli katika mikutano yake, ameweka bayana kwamba hatakuwa na mchezo na wazembe, wala rushwa na mafisadi. Chini ya falsafa yake ya mabadiliko, Magufuli anachosisitiza ni kazi. Anaunga msimamo wa CCM kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Kinana ambaye baada ya kutembelea nchi nzima, alitoa karipio kwa viongozi wa chama na serikali, akiwataka waachane na kasumba ya kukaa maofisini, badala yake waende kwa wananchi wajue matatizo yao na wayafanyie kazi.
“Mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya tokeni ofisini, achanane na tai, viyoyozi nendeni mkakae na watu wa vijijini hao ndiyo wanaowalipa mishahara,” ni kauli aliyoitoa Kinana mjini Mwanza wakati akihitimisha ziara yake nchi nzima. Katika hotuba yake ya kuhitimisha ziara, Kinana aliweka bayana kwamba lengo ni kuhakikisha CCM inarudi kwenye misingi yake, aliyoiacha Mwalimu Nyerere.
Akionesha namna ambavyo Magufuli ni tunda la mabadiliko ndani ya chama, Nape anasisitiza katika kuhakikisha CCM inarudi kwenye misingi hiyo, tangu awali waliweka msimamo wa kuepuka wagombea wanaonunua uongozi. Hata kabla ya kura ya maoni, Nape akiwa kwenye mkutano wa mwisho mjini Mwanza, aliweka wazi kwamba chama hakikuwa tayari kukubali kupitisha mtu anayenunua uongozi.
Kwa ujumla, hoja iliyopo ni kwamba, pamoja na chama kupitisha mtu anayetarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika nchi, pia chenyewe kimejizatiti kuridhia mageuzi hayo kwa namna tofauti. Njia mojawapo ambayo imeshawekwa bayana, ni CCM kubadilisha mfumo kwa kutoruhusu Waziri Mkuu kuwa mwenyekiti wa wabunge wake katika Bunge ili kuepusha utamaduni uliokuwa umejengeka wa kupitisha kila kinacholetwa na serikali bungeni.

Elizabeth Josiah na Moses Josiah - Ukitaka

JESUS Film Swahili, Kenya- Neema ya Bwana Yesu na iwe pamoja nanyi nyote...

Rushwa imeshindikana nchini?



Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah.
Ninapenda  sana Takukuru ifanikiwe katika kutokomeza rushwa nchini. Lakini nina uhakika kuwa, haitafanikiwa na nina sababu za kwa nini nasema hivyo.
 
Rushwa sio suala la kupeana fedha chini ya meza, kwa msingi usio wa halali, na kwa mtu asiyestahili; kupeana huduma kwa upendeleo au kwa kutaka kulipwa kitu fulani kwanza; au hutoa huduma kwa misingi ya udugu, familia, mapenzi, ukabila, dini. Lakini rushwa ni matokeo, sio chanzo cha matatizo. 
 
Kama rushwa ni mtoto wa chanzo fulani, basi madhara yanayotokana na rushwa ni mjukuu wa chanzo ambazo TAKUKURU wanatakiwa kukimaizi na kukishughulikia. Lakini kama mnaweza!
 
Niliwahi kuandika kuwa, Rushwa ni mtazamo- a frame! Mtazamo huu umejenga fikra za kiitikadi na kujikita katika fikra za wananchi kiasi kwamba, hatuoni namna ingine ya kuishi ila hiyo ya kutoa rushwa. 
 
Na TAKUKURU wanapokuja na mtazamo kinzani- challenger frame,  kuwa rushwa ni jinai, ni makosa, wanakuta sisi tuko tayari tumeshajikita katika utamaduni wa kutoa rushwa. 
 
Ni sehemu ya maisha, ni mazoea- practice. Na kwa kweli hatuoni kuwa binadamu anaweza kuishi bila kutoa au kupewa rushwa. Na mazoea haya yana msingi wa kihistoria katika uchumi na siasa.
 
Kuna wakati nchi hii, ilikuwa na uchumi mzuri sana. Wakati ule tulisema dola moja ilikuwa sawa na shilingi tano; dala! Noti ya shilingi ishirini ilikuwa ikiitwa pauni; pauni moja ilikuwa sawa na shilingi ishirini. 
 
Nchi hii ilikuwa bora katika uzalishaji wa bidhaa za walaji kutoka viwandani na mashambani. Nchi ilikuwa na viwanda na ajira kwa sisi tuliokuwa tunamaliza masomo haikuwa shida. Nchi ilikuwa na wanasiasa ambao kazi yao ilikuwa ni kufikiria namna gani viwanda, kilimo na huduma vitoe ajira kwa wananchi. 
 
Nakumbuka wakati ambao nikiwa likizo ya masomo niliweza kupata kazi ya muda viwandani. Nakumbuka tulipokuwa tunamaliza masomo yetu tulikuwa tukijaza fomu za kuomba kupelekwa kwenye ajira mbalimbali- CEL Form. Ikaja kufa. Viwanda vilikufa, kilimo kilikufa na sekta ya huduma ikafifia. Nchi ikaharibu uchumi wa viwanda vyake kwa kuruhusu soko lifanye kazi yake. Wanasiasa waliona kuwa kazi ya kufikiri juu ya uchumi sio yao tena bali ya IMF, WB na nchi wahisani. 
 
Sisi sio wa kufikiri tena bali kufikiriwa. Wanasiasa hawakukaa na hawakai kutafuta majibu ya matatizo yetu, bali kuandika bajeti ambayo wafadhili watajiridhisha kuwa tunafaa kukopeshwa au kupewa msaada; kufanya maandiko ya miradi kwa ajili ya ufadhili. 
 
Fedha ikawa inaingia serikalini. Wanasiasa badala ya kufikiria kuziongeza kwa kufanya uwekezaji wa kiserikali- public sector investment, wakaona sasa aliye mjanja na mwenye meno awahi hizo fedha. 
 
Wakakimbilia kununua hisa kwenye viwanda, mashirika, na kununua mapande ya ardhi na kuyalimbikiza. Fedha zilizoingia serikali hazikuwa tena kwa ajili ya kuzizungusha kama mtaji bali kugawana kwa wale wanaojua zilipo na namna ya kuzichota. 
 
Na ajira ikawa sasa kwa undugu, urafiki, mapenzi, ukabila. Ndio tunasikia hayo ya watoto wa vigogo BOT. 
 
Wanasiasa wakaona siasa ndio sekta pekee ya kuiwekea fedha za kutosha- lakini sekta za afya, elimu uzalishaji wa kilimo na viwanda na huduma, hakuna. Nchi ikaanza kushindwa kusafirisha bidhaa nje; tukaanza kuwa waagizaji; ajira na uzalishaji vikapungua, tukaambiwa tuwe wajasirimali kwa ajili ya soko ambalo limejaa bidhaa za nje tayari. 
 
Aidha viongozi wamekuwa sasa ndio wanaolindana sasa. Wote ni wale wale. Kama hakuna utashi wa kisiasa wa kupigana na rushwa kwa maana ya (i) kutooneana aibu, (2) kutafuta majibu ya kuuokoa uchumi unaodorara, (3) kusaidia taasisi za kupambana na rushwa- polisi, Usalama wa Taifa na TAKUKURU, kufanya kazi kwa meno halisi badala ya kutumia ya bandia, mnawezaje kuiondoa rushwa. 
 
Sitaki kuwa mtu mwenye kejeli- cynical, kuhusiana na hili. Huu ndio ukweli niuonao, na niuonavyo. Hatuwezi kupambana na rushwa, nasubiri siku rais aseme sasa imetosha na rushwa ni adui wa haki. 
 
Na atakayesema, uchumi na ukue, atakayesema sasa imetosha. Hayupo na hatapatikana kama wale wanaotoa rushwa ndio wanaoweza kupitishwa kuwa rais Oktoba 2015.

Macho yameona mengi album mpya hivi karibuni sokoni

Wanamuziki mahiri wa nyimbo za injili nchini Tanzania Elizabeth Josiah na Moses Josiah ambao wanatamba sana na video ya `Ukitaka `kwa muda mrefu kwa nyimbo hii ya  injili inayokonga nyoyo za wapenzi wa nyimbo za injili Afrika Mashariki, hivi karibuni wanatarajia kuachia album yao mpya kabisa inayokwenda kwa jina Macho yameona mengi ikiwa katika mfumo wa DVD uzinduzi utakaofanyika jijini Mwanza  mwezi Desemba 2015 albamu hii ina  nyimbo nane ambazo ni wewe ni Mungu, Tazama, Ruadha inmitelona, Bwana wa Mabwana, Mwambie Yesu, Galilaya, yeye ndio na Mambo yameona mengi ambayo ndio imechukua jina la album. 


Albamu hii ya Macho yameona mengi inerekodiwa katika studio za EX2 Studio iliyo maeneo ya Mecco jijini Mwanza nchini Tanzania. Na albamu hii ilikamilika mwaka 2014 na kuwa tiyari ila matatizo anayoyapata Mwanamziki Moses Josiah ni kupata wasambazaji ili iweze kuwafikia wapenzi mziki wa injili na anaomba watu wenye kuitaji huduma yake ya kuinjirisha wawasiliane nae kwa facebook.com/Moses Josiah kama mdau wa muziki wa injili habari ndio hiyo,,,waweza jiongeza na kuhudhuria uzinduzi huo bila kukosa na Mungu akubariki.

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf
Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf
Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf

Daily Reading for Tuesday, October 6th, 2015

Reading 1, Jonah 3:1-10 1 The word of Yahweh was addressed to Jonah a second time.
2 'Up!' he said, 'Go to Nineveh, the great city, and preach to it as I shall tell you.'
3 Jonah set out and went to Nineveh in obedience to the word of Yahweh. Now Nineveh was a city great beyond compare; to cross it took three days.
4 Jonah began by going a day's journey into the city and then proclaimed, 'Only forty days more and Nineveh will be overthrown.'
5 And the people of Nineveh believed in God; they proclaimed a fast and put on sackcloth, from the greatest to the least.
6 When the news reached the king of Nineveh, he rose from his throne, took off his robe, put on sackcloth and sat down in ashes.
7 He then had it proclaimed throughout Nineveh, by decree of the king and his nobles, as follows: 'No person or animal, herd or flock, may eat anything; they may not graze, they may not drink any water.
8 All must put on sackcloth and call on God with all their might; and let everyone renounce his evil ways and violent behaviour.
9 Who knows? Perhaps God will change his mind and relent and renounce his burning wrath, so that we shall not perish.'
10 God saw their efforts to renounce their evil ways. And God relented about the disaster which he had threatened to bring on them, and did not bring it.

Responsorial Psalm, Psalms 130:1-2, 3-4, 7-8

1 [Song of Ascents] From the depths I call to you, Yahweh:
2 Lord, hear my cry. Listen attentively to the sound of my pleading!
3 If you kept a record of our sins, Lord, who could stand their ground?
4 But with you is forgiveness, that you may be revered.
7 let Israel hope in Yahweh. For with Yahweh is faithful love, with him generous ransom;
8 and he will ransom Israel from all its sins.

Gospel, Luke 10:38-42

38 In the course of their journey he came to a village, and a woman named Martha welcomed him into her house.
39 She had a sister called Mary, who sat down at the Lord's feet and listened to him speaking.
40 Now Martha, who was distracted with all the serving, came to him and said, 'Lord, do you not care that my sister is leaving me to do the serving all by myself? Please tell her to help me.'
41 But the Lord answered, 'Martha, Martha,' he said, 'you worry and fret about so many things,
42 and yet few are needed, indeed only one. It is Mary who has chosen the better part, and it is not to be taken from her.'

Prayer of the Day for Tuesday, October 6, 2015

Prayer for Expectant Mothers #2 O Good Saint Anne,
who had the incomparable privilege of bringing into the
world
Her who was to become the Mother of God,
I come to place myself
under your special care.

I confide myself to you,
together with the child I am carrying.
Thousands of children owe you,
Glorious Mother of Mary,
the life of the body and the grace of baptism.
Hence I wish, in my turn,
to place my whole confidence in you.
Make me keep in mind the precautions I need to take
so as not to endanger in any way the health,
good qualities or the eternal salvation
of the child whose very existence
God has placed in my care.

Obtain for me
the virtues you did teach Her who was to be the Mother of
God,
so that I may afterwards
instil and develop them
in the heart of my child.

O Good Saint Anne,
protect me today and forever.
I know that you will not refuse your intercession
to a mother who invokes you with confidence.

Amen

St. Bruno

Short Cuts
Image of St. Bruno

Facts

Feastday: October 6

Bruno was born in Cologne of the prominent Hartenfaust family. He studied at the Cathedral school at Rheims, and on his return to Cologne about 1055, was ordained and became a Canon at St. Cunibert's. He returned to Rheims in 1056 as professor of theology, became head of the school the following year, and remained there until 1074, when he was appointed chancellor of Rheims by its archbishop, Manasses. Bruno was forced to flee Rheims when he and several other priests denounced Manasses in 1076 as unfit for the office of Papal Legate. Bruno later returned to Cologne but went back to Rheims in 1080 when Manasses was deposed, and though the people of Rheims wanted to make Bruno archbishop, he decided to pursue an eremitical life. He became a hermit under Abbot St. Robert of Molesmes (who later founded Citeaux) but then moved on to Grenoble with six companions in 1084. They were assigned a place for their hermitages in a desolate, mountainous, alpine area called La Grande Chartreuse, by Bishop St. Hugh of Grenoble, whose confessor Bruno became. They built an oratory and individual cells, roughly followed the rule of St. Benedict, and thus began the Carthusian Order. They embraced a life of poverty, manual work, prayer, and transcribing manuscripts, though as yet they had no written rule. The fame of the group and their founder spread, and in 1090, Bruno was brought to Rome, against his wishes, by Pope Urban II (whom he had taught at Rheims) as Papal Adviser in the reformation of the clergy. Bruno persuaded Urban to allow him to resume his eremitical state, founded St. Mary's at La Torre in Calabria, declined the Pope's offer of the archbishopric of Reggio, became a close friend of Count Robert of Sicily, and remained there until his death on October 6. He wrote several commentaries on the psalms and on St. Paul's epistles. He was never formally canonized because of the Carthusians' aversion to public honors but Pope Leo X granted the Carthusians permission to celebrate his feast in 1514, and his name was placed on the Roman calendar in 1623. His feast day is October 6

Papa Francis:Kila mmoja anaye Malaika wake mlinzi!

Ni lazima kugeuka watoto wadogo , maana ndiyo walio wakubwa katika ufalme mbingu. - AFP

Vatican Radio: Mungu alimpatia kila mmoja mwenzake wa kumsindikiza, ambaye ni malaika kwa ajili ya kushauri na kulinda na pia Malaika ni wa kusikilizwa kwa makini.  Papa Francis aliyasema hayo katika mahubiri yake  Ijumaa 2 Oktoba  katika Kanisa la Mtakatifu Marta Vatican ambapo, Kanisa likiwa linafanya kumbukumbu ya malaika walinzi.Papa alisema ya kwamba, ukitaka kutambua baba ambaye anapenda na pia  anafunika , anaonekana katika kurasa za kwanza za Biblia ambamo Mungu alipowafukuza Adamu na Eva katika bustani ya Eden lakini hakuwaacha peke yao na kuwaambia  fanyeni mnavyotaka.

Papa Francis anataja sala ya Zaburi ambayo inaonyesha ya kwamba malaika daima walivyo walinzi katika kila aina ya jambo lolote la binadamu na mbinguni. Bwana alimpatia Kila mmoja mwenza anaye muongoza  na daima yupo nasi  na hali halisi ya kweli,  kama balozi wa Mungu kwetu sisi.Na Mungu anatushauri kuwa makini na kugundua uwepo wake , hata kama sisi tukiwaza kutenda ukatili na kufikiri tuko peke yetu si kweli , kwa maana yupo malaika .

Ni lazima kumsikiliza kwa makini sauti yake kwasababu anatushauri . Papa alisema, mara kwa amara tunapoijiwa na mawazo ya kufanya jambo fulani au kujisikia usifanye  ni lazima kusikiliza na wala siyo kuwa wakaidi. Aliongeza  ya kwamba Malaika  walinzi wanatutetea daima na zaidi juu  ya ubaya, na kubainisha pia  mara nyingi tunafikiria kwamba tunaweza kuficha  mambo mengi , na mambo mabaya ambayo mwisho wake lakini  hayo yote yatajitokeza kwenye mwanga.
Malaika yupo kutushuauri na kutufunika ni kama vile ambavyo anagefanya rafiki yetu ambaye mara nyingi hatumwoni lakini tunamsikia , ni rafiki ambaye siku moja atakuwa na sisi katika furaha ya milele huko mbinguni.
 Rafiki huyo lakini anahitaji usikivu , msindikizaji huyo ni wa kuheshimu na kusikilizwa  katika safari yetu anaitwa usikivu kwa makini.Kila Mkristo anapaswa kuwa makini katika usikivu  wa roho mtakatifu, Na usikivu wa roho mtakatifu  unaanza pale kwenye usikivu wa ushauri wa huyo mwenza wetu katika safari. Ili kuwa wasikivu , papa anaelekeza ni lazima kugeuka watoto wadogo, ambao Yesu mwenyewe alisema ndiyo walio wakubwa katika ufalme wa Baba yake.
Na hivyo papa alimalizia akisema ya kwamaba Malaika walinzi ni wenza wa safari ambao wanatufundisha unyenyekevu, kama vile watoto wanavyotakiwa kusikilizwa. Na tuombe neema ya Bwanan ya kuwa wasikivu , wa kusikiliza sauti ya huyo mwenza wetu  , na balozi wa Mungu aliye karibu nasi kwa jina lake, na sisi tunapata msaada kutoka kwake.

Watanzania dumisheni haki na amani ili kufanikisha uchaguzi mkuu 2015


 

Watanzania wanapoendelea na kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaoratajiwa kufanyika hapo tarehe 25 Oktoba 2015 wametakiwa kujenga na kudumisha amani, utulivu na maridhiano, ili kutoa nafasi kwa wagombea nafasi mbali mbali za uongozi kuweza kunadi sera na vipaumbele vyao. Changamoto hii imetolewa hivi karibuni na mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Galawa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake hivi karibuni na mwakilishi kutoka Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma wakati wa kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya miaka 200 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Wamissionari wa Damu Azizi ya Yesu na kumbu kumbu ya takribani miaka 50 ya uwepo wa Wamissionari hao nchini Tanzania.

Mkuu wa mkoa wa Dodoma kwa namna ya pekee amewapongeza Wamissionari wa Damu Azizi ya Yesu, Kanda ya Tanzania kuwa kweli ni wadau wakuu wa maendeleo kwa mikoa ya Kanda ya kati. Huko wamekuwa mstari wa mbele katika huduma kwa wagonjwa na maskini; elimu kwa watoto na vijana, huduma ya maji pamoja na kukoleza mchakato wa maendeleo endelevu ya watanzania: kiroho na kimwili. Sherehe hizi zilihudhuriwa na umati mkubwa wa Familia ya Mungu kutoka ndani na nje ya Tanzania.
Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S.
Dodoma, Tanzania.