Week Hot newz

Vatican na Zambia waadhimisha Jubilei ya miaka 50 ya mahusiano ya kidiplomasia


Zambia na Vatican zinaadhimisha Jubilei ya miaka 50 ya uhusiano wa kidiplomasia. - ANSA
17/11/2015 08:19
Askofu mkuu Paul Richard Gallagher, Katibu mkuu wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa mjini Vatican kuanzia tarehe 7 hadi tarehe 12 Novemba 2015 amekuwa na ziara ya kikazi nchini Zambia kama sehemu ya maadhimisho ya Jubilei ya miaka 50 ya Uhuru wa Zambia sanjari na Miaka 50 ya uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Vatican na Zambia. Mahusiano haya yalianzishwa na Mwenyeheri Paulo VI kunako tarehe 27 Oktoba 1965 katika Waraka wake wa kitume “Africae gentes”.
Akiwa nchini Zambia, Askofu mkuu Gallagher amepata nafasi ya kukutana na kuzungumza na viongozi wa Kanisa, Serikali ya Zambia chini ya uongozi wa Rais Edgar Chagwa Lungu pamoja na Mabalozi na wawakilishi wa Jumuiya ya Kimataifa nchini Zambia. Askofu mkuu Gallagher amebahatika kuadhimisha Ibada ya Misa Takatifu katika Makanisa kadhaa kwa kukazia umuhimu wa Zambia kuendelea kuwa ni udongo mzuri kwa ajili ya kupandikiza Habari Njema ya Wokovu. Akiadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwa Majandokasisi wa Seminari kuu ya Mtakatifu Dominiko, Askofu mkuu Gallagher amewataka Waseminari hao kufanya tafakari ya kina kuhusu maisha na wito wao, daima wakilenga juu zaidi kwa kuonesha upendo na uaminifu.
Akizungumza na Rais Edgar Chagwa Lungu, wakati wa kumbu kumbu ya Jubilei ya Miaka 50 ya mahusiano ya kidiplomasia kati ya Zambia na Vatican, Askofu mkuu Galagher amepongeza mahusiano mazuri ya kidiplomasia kati ya Vatican na Zambia pamoja na mchango mkubwa unaotolewa na Kanisa katika ustawi na maendeleo ya wananchi wote wa Zambia. Kanisa kwa namna ya pekee, limekuwa mstari wa mbele katika huduma kwa maskini na wote wanaosukumizwa pembezoni  mwa jamii. Mahusiano ya kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili yanalenga kwa namna ya pekee kudumisha na kuimarisha huduma kwa familia ya binadamu, kwa kujikita katika mchakato wa maendeleo endelevu, haki na amani. Serikali ya Zambia kwa namna ya pekee, inalipongeza Kanisa Katoliki kwa  mchango wake katika maendeleo ya wananchi wengi wa Zambia, lakini zaidi katika sekta ya elimu na afya.
Askofu mkuu Gallagher, amepata pia nafasi ya kutembelea nchini Malawi, huku akiongozana na Askofu mkuu Julio Murat, Balozi wa Vatican nchini Zambia na Malawi, ambako amepokelewa na viongozi wa Kanisa na Serikali ya Malawi. Viongozi hawa katika mazungumzo yao wamegusia kwa namna ya pekee, mambo msingi katika mchakato wa maendeleo endelevu ya wananchi wa Malawi, ambao kwa sasa wanakabiliwa na changamoto nyingi, lakini kwa namna ya pekee baa la njaa na umaskini.
Askofu mkuu Tarcisius Zizaye, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Zambia, amemshukuru kwa namna ya pekee kabisa Baba Mtakatifu Francisko kwa kuijali Familia ya Mungu nchini Malawi katika shida na mahangaiko yake; wakati wa raha na machungu. Kwa upande wake, Askofu mkuu Richard Paul Gallagher amewasilisha salam za Baba Mtakatifu Francisko anaendelea kuonesha moyo wake wa upendo na sala kwa wale wote walioathirika kutokana na mafuriko pamoja na ukame wa kutisha nchini Malawi. Askofu mkuu Gallagher katika Ibada ya Misa Takatifu, akiwa Malawi, amewataka waamini kuwa ni mashuhuda wa mwanga wa Injili ya Kristo, kwa kuonesha mshikamano na huduma kwa maskini na wagonjwa, hasa wale wanaoteseka kutokana na ukimwi. Maaskofu wa Malawi wamemshirikisha Askofu mkuu Gallagher maisha na utume wa Kanisa nchini Malawi pamoja na changamoto wanazoendelea kukabiliana nazo.
Askofu mkuu Gallagher akiwa nchini Malawi amekutana na kuzungumza na Rais Peter Mutharika wa Malawi aliyekuwa ameambatana na viongozi wa Serikali pamoja na Kanisa. Kwa muda wa miaka arobaini na tisa, Malawi imekuwa na uhusiano wa kidiplomasia na Vatican. Katika kipindi cha miaka yote hii, Kanisa limekuwa mdau wa pekee kabisa katika ustawi na maendeleo ya wananchi wa Malawi: kiroho na kimwili. Kanisa limesaidia kudumisha mchakato wa utawala bora na demokrasia nchini Malawi.
Rais Mutharika amelishukuru kwa namna ya pekee kabisa Kanisa Katoliki kwa msaada mkubwa lililotoa kwa wananchi wa Malawi walipokumbwa na mafuriko pamoja na ukame wa kutisha. Askofu mkuu Gallagher ametumia nafasi hii kuwasilisha pia salam na matashi mema kutoka kwa Baba Mtakatifu Francisko kwa wananchi wa Malawi. Kabla ya kuondoka kutoka Malawi, Askofu mkuu Gallagher alipata nafasi ya kuadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwa Watawa wa ndani wa Mtakatifu Clara kwa kuwataka kuwa kweli ni mashuhuda amini wa maisha ya kuwekwa wakfu, kwa kufuata mfano wa karama na moyo wa Mtakatifu Clara wa Assisi. Askofu mkuu Paul Richard Gallagher tayari amerejea mjini Vatican na anaendelea “kudunda mzigo kama kawa”.

Magufuli atua Dodoma na jina la Waziri Mkuu!

RAIS John Magufuli amewasili mkoani Dodoma kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kuongoza Tanzania akiwa ametumia njia ya barabara huku akiwa na siri moyoni ya nani atakuwa Waziri Mkuu wake. Njia aliyotumia kufika Dodoma imewashangaza wengi kutokana na ukweli kwamba marais waliotangulia wamekuwa wakitumia usafiri wa ndege. Baada ya kuwasili Ikulu Ndogo ya Rais iliyopo Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma akitokea jijini Dar es Salaam, alipokewa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Chamwino Ikulu, Joseph Seganje, wananchi wamefarijika kuona Rais huyo akiishi kwenye Ikulu hiyo kama alivyokuwa ameahidi. “Tayari tumempokea Rais wetu na wananchi wana furaha isiyo na kifani,” alisema Seganje.
Wakizungumza mapema wiki iliyopita, baadhi ya wakazi wa Chamwino Ikulu walisema itakuwa ni faraja kubwa kwa Rais kuishi kijijini hapo. Alice Chidong’oi alisema Dk Magufuli ni kiongozi anayeonesha nia ya dhati ya kuwatumikia watu wake kwa kujali zaidi wanyonge kama ilivyokuwa kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
“Tunaamini akiishi hapa atakuwa sehemu ya jamii ya Wana Chamwino na hilo litasaidia hata kuboreshwa kwa huduma za jamii ikiwemo maji,” alisema Chidong’oi. Alisema hiyo itakuwa fursa nzuri kwa wakazi wa eneo hilo kufanya biashara, kwani uwepo wake ndani ya wilaya hiyo utaongeza idadi ya wageni.
Mkazi mwingine, Stanley Richard, alisema vijana wa Chamwino wanapenda kazi na Dk Magufuli akiwa hapo itakuwa ni kazi tu. “Ni mtu ambaye anapenda kazi na sisi vijana tunapenda kufanya kazi, tutampa ushirikiano mkubwa katika kipindi chote atakachokuwa madarakani,” alisema.
Alisema alifurahi alipochaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani alijua nchi imepata kiongozi ambaye yuko tayari kuwaletea wananchi wake mabadiliko. Tayari Serikali mkoani hapa imepiga marufuku kufanyika kwa mikutano ya hadhara na maandamano wakati wa vikao vya Bunge vikiendelea.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa, alisema amri hiyo ya kuzuia mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa bado inaendelea ili kuweka utulivu muda wote wa vikao vya Bunge.
Kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya Bunge, kesho Alhamisi, Bunge litapokea na kuthibitisha kwa kupiga kura jina la Waziri Mkuu wa 11 wa Tanzania ambalo Dk Magufuli atakuwa ameliwasilisha kwa Spika Job Ndugai.
Kwa hiyo, Dk Magufuli atakuwa ametua mjini hapa akiwa na siri yake moyoni ya nani atakuwa Waziri Mkuu wake kwa miaka ya mwanzo ya utawala wake inayokoma mwaka 2020.
Mbali ya kutoa jina la Waziri Mkuu, Dk Magufuli anatarajia kulihutubia Bunge, Ijumaa alasiri baada ya kuwa amemwapisha Waziri Mkuu asubuhi. Hotuba yake itakuwa dira ya utawala wake kwa miaka mitano ijayo.

Batarokota live na Bahari FM!

Pichani juu msanii wa nyimbo za asili ya Kitanzania Batarokota akiwa katika Hoteli ya Misana aliyofikia jijini Mwanza..

 MSANII wa nyimbo za asili ya Kitanzania Batarokota siku ya jumatatu ijayo saa 11:30 jioni anatarajia kuongea kwa njia ya simu live kutoka Mwanza katika kipindi cha Africa Sana kinachorushwa na radio Bahari FM kutoka Zanzibari. Msanii Batarokota atakuwa na maojiano na mwandishi wa Bahari FM Joan Donisya Thimas maharufu saut ya Black Sugar ndani ya mawimbi ya 97.3 Bahari FM. Jumatatu hiyo Batarokota ataongea moja kwa moja kutoka Jijini Mwanza aliko kwa sasa kwa maandalizi ya sikuu za mwishoni mwa mwaka 2015 kaa mkao wa kula kupata habari za Batarokota na ujio wa mwaka 2016.

Pambano Taifa Stars, Algeria kesho gumzo

PAMBANO la kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi mwaka 2018 kati ya timu ya soka ya Tanzania `Taifa Stars’ dhidi ya Algeria, linalotarajiwa kupigwa kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, limekuwa gumzo miongoni mwa mashabiki wa soka ndani na nje ya nchi. Aidha, idadi kubwa ya mashabiki katika `vijiwe’ vya soka, wameonesha dhamira ya dhati ya kutaka kuiunga mkono Stars. Ujio wa Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wa Stars wanaochezea klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na pia taarifa za Rais, Dk John Magufuli kuwa atajitokeza kuishangilia timu ya taifa ya Tanzania `Mwanzo Mwisho’, kwa pamoja vimechangia kuongeza hamasa ya mchezo huo.
Samatta na Ulimwengu wametoka kuweka historia ya kuwa wa wanasoka wa kwanza wa Tanzania kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya klabu yao kufanya hivyo mwishoni mwa wiki, huku Samatta akiongeza taji jingine la ufungaji bora.
Aidha, kwa Magufuli, hilo litakuwa pambano lake la kwanza kushuhudia akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu alipoapishwa kuchukua nafasi ya Rais Jakaya Kikwete, mwanamichezo aliyeondoka madarakani baada ya kumaliza muda wake wa uongozi kwa mujibu wa Katiba ya nchi.
Tayari waamuzi wa mchezo huo kutoka nchini Mali, Keita Mahamadou, Diarra Bala, Niare Drissa Kamory na mwamuzi wa akiba Coulibaly Harouna wameshawasili nchini tangu jana asubuhi, huku mtathimini wa waamuzi Attama Ibrahim Boureima kutoka nchini Niger naye akiwa tayari nchini tangu juzi usiku.

Daily Reading for Sunday, November 8th, 2015

Reading 1, First Kings 17:10-16 10 So he went off to Sidon. And when he reached the city gate, there was a widow gathering sticks. Addressing her he said, 'Please bring a little water in a pitcher for me to drink.'
11 She was on her way to fetch it when he called after her. 'Please', he said, 'bring me a scrap of bread in your hand.'
12 'As Yahweh your God lives,' she replied, 'I have no baked bread, but only a handful of meal in a jar and a little oil in a jug; I am just gathering a stick or two to go and prepare this for myself and my son to eat, and then we shall die.'
13 But Elijah said to her, 'Do not be afraid, go and do as you have said; but first make a little scone of it for me and bring it to me, and then make some for yourself and for your son.
14 For Yahweh, God of Israel, says this: Jar of meal shall not be spent, jug of oil shall not be emptied, before the day when Yahweh sends rain on the face of the earth.'
15 The woman went and did as Elijah told her and they ate the food, she, himself and her son.
16 The jar of meal was not spent nor the jug of oil emptied, just as Yahweh had foretold through Elijah.

Responsorial Psalm, Psalms 146:7, 8-9, 9-10

7 gives justice to the oppressed, gives food to the hungry; Yahweh sets prisoners free.
8 Yahweh gives sight to the blind, lifts up those who are bowed down.
9 Yahweh protects the stranger, he sustains the orphan and the widow. Yahweh loves the upright,but he frustrates the wicked.
10 Yahweh reigns for ever, your God, Zion, from age to age.

Gospel, Mark 12:38-44

38 In his teaching he said, 'Beware of the scribes who like to walk about in long robes, to be greeted respectfully in the market squares,
39 to take the front seats in the synagogues and the places of honour at banquets;
40 these are the men who devour the property of widows and for show offer long prayers. The more severe will be the sentence they receive.'
41 He sat down opposite the treasury and watched the people putting money into the treasury, and many of the rich put in a great deal.
42 A poor widow came and put in two small coins, the equivalent of a penny.
43 Then he called his disciples and said to them, 'In truth I tell you, this poor widow has put more in than all who have contributed to the treasury;
44 for they have all put in money they could spare, but she in her poverty has put in everything she possessed, all she had to live on.'

Reading 2, Hebrews 9:24-28

24 It is not as though Christ had entered a man-made sanctuary which was merely a model of the real one; he entered heaven itself, so that he now appears in the presence of God on our behalf.
25 And he does not have to offer himself again and again, as the high priest goes into the sanctuary year after year with the blood that is not his own,
26 or else he would have had to suffer over and over again since the world began. As it is, he has made his appearance once and for all, at the end of the last age, to do away with sin by sacrificing himself.
27 Since human beings die only once, after which comes judgement,
28 so Christ too, having offered himself only once to bear the sin of many, will manifest himself a second time, sin being no more, to those who are waiting for him, to bring them salvation.

St. Leonard

Short Cuts
Image of St. Leonard

Facts

Feastday: November 6
Patron of political prisoners, imprisoned people, prisoners of war, and captives, women in labour, as well as horses
Death: 559


According to unreliable sources, he was a Frank courtier who was converted by St. Remigius, refused the offer of a See from his godfather, King Clovis I, and became a monk at Micy. He lived as a hermit at Limoges and was rewarded by the king with all the land he could ride around on a donkey in a day for his prayers, which were believed to have brought the Queen through a difficult delivery safely. He founded Noblac monastery on the land so granted him, and it grew into the town of Saint-Leonard. He remained there evangelizing the surrounding area until his death. He is invoked by women in labor and by prisoners of war because of the legend that Clovis promised to release every captive Leonard visited. His feast day is November 6.

Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya 32 ya Kipindi cha Mwaka B wa Kanisa


Tafakari ya Neno la Mungu Jumapili ya 32 ya Mwaka B wa Kanisa. - EPA
 
Mpendwa msikilizaji wa Radio Vatican, ninakuleteeni tafakari Neno la Mungu lililo taa na mwanga wa maisha yetu. Tayari tuko ukingoni mwa mwaka wa Kanisa, ni Dominika ya 32 ya mwaka B wa Kanisa. Mama Kanisa ametuwekea Neno likitualika kujitoa na kujiaminisha katika Bwana bila kujibakiza, tukiwa na matumaini na kwa namna hiyo tutajaliwa yale yote mema yatokayo kwa Mungu. Ujumbe huu tunaupata kwa mifano hai ya wajane wawili wanaokubali mpango wa Mungu na kutoa kile chote walichokuwanacho, kinyume na matajiri. Matokeo ya tendo lao jema wanakirimiwa baraka tele katika maisha yao.
Katika Somo la kwanza tunamwona Nabii Eliya akimkimbia mfalme Ahab ambaye alitaka kumwangamiza. Nabii anapokimbia anakutana na mama mjane ambaye yuko katika taabu ya njaa! Nabii akitambua taabu ya mama huyu lakini pia akiwa na tumaini katika Bwana, anamwomba maji na kipande cha mkate. Mama huyu alikuwa na unga kidogo kiasi cha kutosheleza siku moja kwa ajili yake na mwanaye, na baada ya hapo kadiri ya mjane huyo basi wangekufa! Lakini kwa sababu ya tumaini kuu na akisikiliza sala ya msisitizo ya Nabii Eliya anakubali kutoa kila kitu. Kwa ufadhili huu alioufanya kwa Nabii wa Mungu, mjane huyu anapata chakula cha kutosheleza maisha yake mpaka njaa itakapoisha katika nchi ile.
Mpendwa mwana wa Mungu, ukarimu na tumaini la mjane huyu ndio unaozaa matunda mema. Matunda haya ni baraka na amani itokayo kwa Mungu. Ni alama ya kwamba Mungu huwajali walio maskini ambao wanamkimbilia na kumtumaini daima katika maisha yao. Mungu huwajali wale wote ambao wanakubali kushirikisha vipaji vyao na kugawana mali zao na wengine walio wahitaji. Jaribu kuwa mkarimu kwa Mungu utaona matunda yake!
Ewe ndugu msikilizaji, bado tunaendelea na sehemu ya barua kwa Waebrania ambayo leo yatufundisha kwa msisitizo, tofauti iliyopo kati ya Kuhani mkuu wa kweli yaani Yesu Kristo na makuhani wengine. Yesu Kristu anatolea sadaka yake si katika madhabahu yaliyotengenezwa kwa mawe bali ukuhani wake ni wa madhabahu ya mbinguni ambayo hayakujengwa kwa mikono ya wanadamu. Kuhani Mkuu Yesu Kristo hutolea sadaka mara moja na hutosheleza maisha yote kwa kuondoa dhambi na kutakasa mioyo ya watu, tofauti na sadaka za makuhani wa Agano la Kale ambazo hazikumaliza shughuli ya kuwatakasa watu, kumbe iliwapasa kurudia kila mwaka! Basi mwaliko kwetu ni kumfuasa Bwana kwa kushiriki sadaka ya Misa kwa ajili ya wokovu wetu.
Katika Injili, Mtakatifu Marko akinukuu mafundisho ya Bwana anakazia kujitoa bila kujibakiza kama mama mjane aliyetoa sadaka senti mbili ambazo ilikuwa ndiyo hazina yake! Anatoa yote bila kuogopa kwa maana analo tumaini katika Bwana ambaye ni mgawaji wa mapaji yote. Mjane huyu ni kinyume na watu wengine ambao hutoa ziada na si mali hasa inayotoka katika mioyo yao! Mpendwa yafaa kujitazama moyoni wapi ulipo katika makundi haya mawili! Kama uko katika kundi la mjane basi unayo heri ya milele na uishikilie kwa furaha maana ni zawadi toka kwa Bwana.
Basi mpendwa ndugu unayetafakari nami, jaribu kujikuza katika sala ukiomba fadhila ya ukarimu katika maisha yako. Kula, ishi, cheka na zungumza na wengine kwa furaha daima.

Tumsifu Yesu Kristo. Tafakari hii imeletwa kwako na Pd Richard Tiganya C.PP.S.

'Viongozi wateule shughulikieni vifo vya wazazi, watoto'


Wazazi waliotoka kujifungua wakiwa na watoto wao.

Tatizo la vifo vya wajawazito na watoto wachanga linasababisha majonzi makubwa kwa jamii lakini pia linaleta  ongezeko la watoto waliodumaa, wagonjwa, watoto wa mitaani kupunguza  nguvu kazi ya taifa.
 
Ili taifa lisonge mbele kimaendeleo halina budi kuimarisha huduma za afya kwa wananchi , ili kupunguza vifo vya wajawazito, wazazi na watoto wachanga kwa lengo   la  kuepusha matatizo hayo.
 
Takwimu za Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii za mwaka 2014 zinaonyesha kwamba Tanzania ni nchi ya saba duniani kwa idadi kubwa ya vifo vitokanavyo na uzazi, ikikadiriwa kuwa  wajawazito karibu 7,900  hufa kila mwaka, huku wastani wa watoto wachanga 40,000 wakipoteza maisha kila mwaka kabla ya kutimiza mwezi mmoja baada ya kuzaliwa.
 
Kama vile haitoshi inakadiriwa kwamba watoto 100,000 hufa kila mwaka kabla ya kufikisha umri wa miaka mitano.Kadhalika wengine 50,000 huzaliwa wakiwa wafu kutokana na sababu mbalimbali ambazo iwapo jitihada za makusudi zingechukuliwa mapema, zaidi ya asilimia 45 ya vifo hivyo visingezuiliwa.
 
Pia asilimia 44 ya wasichana wanaofikisha umri wa miaka 19 nchini wanapata ujauzito, haijalishi wapo shuleni au nje ya masomo.
 
Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 asilimia 54 ya Watanzania ni watu walio chini ya miaka 20 na hii inatafsirika kuwa takribani miaka 15 hadi 20 ijayo idadi kubwa ya vijana wataingia katika umri wa uzalishaji mali na kuwa nguzo ya kiuchumi.
 
Kutokana na hali hiyo makala hii inawapa changamoto wateule wa nafasi za urais na ubunge kuweka wazi namna watakavyo lishughulikie tatizo kubwa la vifo vya wajawazito na watoto wachanga.
 
Ukweli ni kwamba viongozi hawa wanakwenda kufunga mkataba kati yao na raia kwa miaka mitano ijayo hivyo kazi yao ni kutafuta ufumbuzi wa kumaliza tatizo hili.
 
Waliochaguliwa wafahamu kuwa afya ya mama ni muhimu kama ilivyo ya mtoto wajue kuwa tangu mwanzo suala hili halijapewa kipaumbele cha kutosha kutokana na kutokuwapo mfumo bora wa kutoa huduma kikamilifu.
 
Ni vyema sasa wabunge na mawaziri watakaounda serikali ya awamu ya tano wakatueleza kwa kina namna gani watakavyosimamia na kuhakikisha uzazi salama wa mpango unavyosimamiwa ili kuhakisha kuwa adha ya kufa wakati wa kujifungua inamalizika ama kuondoka.
 
Aidha viongozi waieleze jamii vipaumbele vyao kwenye afya ya mama na mtoto ikiwa ni pamoja na kuishauri serikali kuona suala hilo kuwa na umuhimu wa kipekee na kulipa kipaumbele zaidi ikilinganishwa na masuala mengine.
 
Tafiti mbalimbali zilizofanywa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ya DSW, Marie Stopes Tanzania, Pathfinder International, Chama cha Maelezi Bora (Umati) na HDT zinabainisha kuwa tatizo la uzazi wa mpango ni kubwa.
 
Tafiti za mashirika hayo zinaonyesha kuwa mimba zisizotarajiwa husababisha uwezekano mkubwa wa vifo vya mama na mtoto kwa asilimia tisa ya vifo vinavyotokea nchini.
 
Angalizo linatolewa kuwa kiwango hicho kinaweza kuongezeka zaidi iwapo hatua za makusudi hazitatolewa katika jamii kwa hiyo ni suala ambalo wabunge wanatakiwa kulitizama na kulipa umuhimu wa kipekee.
 
Uzazi wa mpango ni mkakati muhimu wa kuwasaidia wanawake kupanga muda wa kutosha kati ya kizazi kimoja na kingine, kuzuia mimba katika umri mdogo na kuepuka mimba zisizotarajiwa.
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, (WHO) gharama za kuzuia ujauzito ni za chini zaidi kuliko za matibabu yanapotokea wakati wa kujifungua.
 
Kwa hiyo uzazi wa mpango unazipa familia au mtu binafsi uwezo wa kuchagua ukubwa wa familia ambayo anaimudu, kuwekeza katika elimu na makuzi ya kila mtoto na kubaki na fedha za ziada hatua inayoweza kuchangia kukuza uchumi wa taifa. 
 
Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake Moke Magoma, anasema kuna uwezekano mkubwa wa Tanzania kupiga hatua za haraka kimaendeleo iwapo jamii itapata uelewa wa kutosha kuhusu uzazi wa mpango.
 
“Ni muhimu sana kuwepo kwa huduma za afya ya mjamzito na mtoto mchanga, ambayo katika uhalisia wake inajidhihirisha kwa kila aliye hai sasa amepatikana kupitia mama yake kuwa mjamzito” anasema Dk. Magoma.
 
“Uzazi wa mpango ni muhumu kwa kuwa wanaweza kudhibiti na kupanga idadi ya watoto, kuendeleza na kutunza familia kitaaluma, lishe na wakati huo wakafanya kazi wanazozitaka na kushiriki katika maamuzi ya kiuchumi na kisiasa”
Daktari Magoma anasema uzazi wa mpango ni njia bora zaidi katika afya ya mama na mtoto na kwamba mbinu za kitaalamu za uzazi wa mpango hazina madhara kama baadhi ya watu wanazovumisha na kuwatia hofu wananchi.
 
Naye Dk. Msiima Mushumba,kutoka shirika la Marie Stopes Tanzania,anasema jamii inapaswa kutambua kuwa kuzaa watoto wengi bila mpangilio ni kuhatarisha maisha ya mama, watoto na kudumaza uchumi wa taifa.
 
Anasema kwa wastani familia inapaswa kuzaa watoto wasiozidi watano na kwamba kuanzia mimba ya sita na kuendelea huitwa mimba hatarishi ambapo anaitaka jamii kufuata njia za uzazi wa mpango.
 
Kadhalika anabainisha kuwa wananchi ambao hawakusoma wanazaa zaidi kuliko waliosoma kwa kuwa wengi wao hutambua umuhimu wa kuzaa kwa mpango kuliko ambao hawakusoma.
 
Dk. Mushumba, anasema jitihada za makusudi zinahitajika kupitia serikali, mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na jamii kwa ujumla kuhakikisha huduma za uzazi wa mpango zinawafikia wanawake wote nchini.

Magufuli aduwaza Wizara ya Fedha


RAIS John Magufuli, aliyeanza kazi juzi kwa kumteua Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, baada ya kumuapisha jana amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Wizara ya Fedha, Hazina.
Tofauti na ziara za viongozi wengine wakiwemo mawaziri waliowahi kuongoza ofisi hiyo, ambao huingia katika vyumba vya mikutano au ofisi za viongozi, Dk Magufuli yeye alianza kuingia katika ofisi za watumishi wa kawaida.
Dk Magufuli aligeuka kivutio kwa wananchi, pale alipotoka katika lango kuu la Ikulu Dar es Salaam kwa miguu kwenda wizarani hapo kupitia njia ambayo imekuwa ikitumiwa zaidi na wananchi.
Wizara hiyo mbali na kuwa karibu na Ikulu, lakini imezungukwa na ofisi nyingi, ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Ofisi Ndogo ya Bunge na mara kwa mara nje kuna kawaida ya kuwa na wananchi na magari mengi yenye madereva wa maofisa wanaofika wizarani hapo na wengine katika ofisi nyingine kwa shughuli mbalimbali.
Baada ya kuingia katika ofisi hizo, Dk Magufuli alianza kufungua milango ya ofisi za watumishi hao na kuwasalimia aliowakuta na kuhoji pale alipokuta meza haina mtendaji.
Katika hatua hiyo, Dk Magufuli alishangazwa kukuta meza sita kati ya nane katika moja ya ofisi hizo, hazina watumishi akalazimika kuuliza majina ya watumishi husika na alipoambiwa walikuwepo, akahoji walikokwenda akajibiwa walikwenda kunywa chai. Huku akionekana kutoridhishwa na majibu hayo, Dk Magufuli alitikisa kichwa huku akisema “wameenda kunywa chai eee!” na kuondoka ofisini hapo kwenda kwenye ofisi za viongozi wa wizara hiyo.
Alipoingia ndani, alifanya kikao cha muda mfupi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk Servacius Likwelile pamoja na makamishna wa fedha na alipotoka taarifa za wizara hiyo zilieleza kuwa Dk Magufuli ameagiza watumishi wa Wizara hiyo inayosimamia Mamlaka ya Mapato (TRA), kuhakikisha wanaongeza kasi ya ukusanyaji mapato, na akaelekeza hasa kwa wafanyabiashara wakubwa.
Mbinu aliyotumia Dk Magufuli, ni ya kitawala ambapo viongozi husimamia wizara kwa kufanya ziara za ghafla, au kutembelea maeneo ya watumishi bila kutoa taarifa, tena bila kufuata utaratibu wowote. Lengo lake mara nyingi ni kujulia hali ya watumishi na matunda yake ni kuongeza ari ya kufanya kazi, kuhimiza na kusisitiza malengo ya taasisi.
*Kuapishwa kwa Masaju
Awali kabla ya kufanya ziara hiyo, Dk Magufuli alimuapisha Masaju kuendelea kushikilia nafasi hiyo, ambapo Mwanasheria Mkuu huyo aliahidi kuendelea kusimamia kesi mbalimbali dhidi ya Serikali ili kuokoa fedha za umma.
Uapisho huo ulifanyika Ikulu na kuhudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, Jaji Mkuu Othman Chande, Spika wa Bunge, Anna Makinda na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu.
Masaju alisema ni tumaini lake kuwa wananchi wataendelea kutii sheria za nchi, ili kudumisha amani na mshikamano kama ilivyokuwa wakati wote huku Serikali ikiendelea kuimarisha utii wa sheria.
“Serikali shughuli yake ya msingi ni kusimamia utekelezaji wa sheria na yenyewe ina jukumu la kusimamia amani. Nashauri ushirikiano uliotolewa wakati wa Uchaguzi Mkuu uendelee kudumishwa,” alisema Masaju.
Masaju alisema Serikali inaokoa fedha nyingi za umma kwa kushinda kesi dhidi yake na kwamba inajitahidi kuendesha kesi zake kwa weledi, huku akitoa mfano wa mashauri 34 ya kesi za uchaguzi ya kupinga matokeo zilizofunguliwa mwaka 2010, ambazo Serikali ilizishinda zote.
Alishukuru kupatikana kwa Serikali mpya kwa amani na kwa kuzingatia maelekezo ya sheria na kuomba hali hiyo iendelee ili shughuli mbalimbali ziendelee hasa zile za kujenga uchumi na za kijamii. Alitaka amani ya nchi ipewe kipaumbele na kuonya kuwa ikivurugika hakuna kazi itakayofanyika na kusisitiza amani ndiyo itakayodumisha uchumi wa nchi.

Prayer to St. Dymphna - Perseverance

St. Charles Borromeo

Short Cuts
Image of St. Charles Borromeo

Facts

Feastday: November 4
Patron of learning and the arts.
Death: 1584

Charles was the son of Count Gilbert Borromeo and Margaret Medici, sister of Pope Pius IV. He was born at the family castle of Arona on Lake Maggiore, Italy on October 2. He received the clerical tonsure when he was twelve and was sent to the Benedictine abbey of SS. Gratian and Felinus at Arona for his education.
In 1559 his uncle was elected Pope Pius IV and the following year, named him his Secretary of State and created him a cardinal and administrator of the see of Milan. He served as Pius' legate on numerous diplomatic missions and in 1562, was instrumental in having Pius reconvene the Council of Trent, which had been suspended in 1552. Charles played a leading role in guiding and in fashioning the decrees of the third and last group of sessions. He refused the headship of the Borromeo family on the death of Count Frederick Borromeo, was ordained a priest in 1563, and was consecrated bishop of Milan the same year. Before being allowed to take possession of his see, he oversaw the catechism, missal, and breviary called for by the Council of Trent. When he finally did arrive at Trent (which had been without a resident bishop for eighty years) in 1556, he instituted radical reforms despite great opposition, with such effectiveness that it became a model see. He put into effect, measures to improve the morals and manners of the clergy and laity, raised the effectiveness of the diocesan operation, established seminaries for the education of the clergy, founded a Confraternity of Christian Doctrine for the religious instruction of children and encouraged the Jesuits in his see. He increased the systems to the poor and the needy, was most generous in his help to the English college at Douai, and during his bishopric held eleven diocesan synods and six provincial councils. He founded a society of secular priests, Oblates of St. Ambrose (now Oblates of St. Charles) in 1578, and was active in preaching, resisting the inroads of protestantism, and bringing back lapsed Catholics to the Church. He encountered opposition from many sources in his efforts to reform people and institutions.
He died at Milan on the night of November 3-4, and was canonized in 1610. He was one of the towering figures of the Catholic Reformation, a patron of learning and the arts, and though he achieved a position of great power, he used it with humility, personal sanctity, and unselfishness to reform the Church, of the evils and abuses so prevalent among the clergy and the nobles of the times. His feast day is November 4th.

Siku ya kuwaombea Marehemu wote!


Na Paskal Linda 

Ninakualika katika tafakari yetu tukiwakumbuka marehemu wote. Kila mwaka tarehe 2 Novemba na zaidi sana mwezi Novemba ni siku na wakati ambao Mama Kanisa anatualika kwa ajili ya kuwaombea marehemu walioko toharani. Kwa kawaida siku zote mama Kanisa anasali kwa ajili ya marehemu mmoja mmoja au kikundi lakini leo anasali kwa ajili ya Kanisa zima la wateswa lililoko toharani. Huo ndio utajiri wa Kanisa linapogawa mastahili ya Msalaba wa Kristu kwa wahitaji walioko safarini kuelekea mbinguni.

Picha juu ni Mwandishi wa habari Paskal Linda wa www.batarokota.blogspot.com

Siku ya Marehemu wote!

Mwanafalsafa John Mbiti alisema “Niko kwa sababu tuko na kwa vile tuko, kwa hiyo niko ” Sentesi hii yanitafakarisha na kunisaidia kuhisi uwapo wa mwingine pembeni mwangu aliye mhitaji na hivi yaonesha hitaji la jumuiya. Katika siku ya leo Kanisa lahisi uwapo wa wahitaji ndio marehemu wote, ndio waliolala toharani wakitakaswa ili waingie mbinguni. Kanisa lahisi na kutekeleza ule muunganiko uliopo kati ya marehemu (kanisa la wateswa), watakatifu wa mbinguni (kanisa la washindi) na kanisa la wapiganaji ndio sisi na hivi kwa pamoja ni kanisa moja familia ya Mungu.
Fundisho tulilolisikia juu ya muunganiko wa kanisa shindi, kanisa la wateswa na kanisa la mahujaji linawekwa mbele yetu na Papa Paulo VI akisema “sisi twasadiki ushirika wa waamini wote wa Kristo, wa wale walio bado safarini duniani, wa wale waliokufa ambao wanapata utakaso, wa wale wenye heri ya mbingu, wote pamoja hufanya Kanisa moja tu. Nasi twasadiki kwamba katika umoja huu, mapendo ya huruma ya Mungu na ya watakatifu wake yasikiliza daima sala zetu” (KKK 962) Ndiyo kusema kuwaombea marehemu ni sehemu ya imani yetu, ni upendo kwa jirani tukiitikia injili ya Bwana ya kumsaidia aliye katika taabu, aliyemhitaji.
Kuwaombea marehemu ni kielelezo kimojawapo cha imani yetu katika ufufuko, kwa maana kama hatusadiki yakuwa Kristu alikufa na kufufuka imani yetu ni bure. Ni kutokana na msingi huo twaamini kwamba wale waliolala usingizi katika Yesu Kristo mfufuka, parapanda ya Mungu ikilia watafufuliwa kwanza nasi tuliosalia tutanyakuliwa kwa kuwafuata wao.
Kuwaombea marehemu ni jambo la thamani na la imani ambalo si la leo bali limekuwepo katika safari ya wokovu. Tunasoma daima katika kitabu cha pili cha Wamakabayo kuwa Yuda kiongozi wa Wayahudi alichanga fedha kwa kila mtu jumla drakma mbili elfu, akazipeleka Yerusalemu kutoa sadaka ya dhambi. Kwa kufanya hivi alitenda vema na kwa haki kwa kuwa aliukumbuka ufufuo wa wafu. Alifanya hili kwa sababu ya imani na kama asingekuwa na imani kuwa wafu watafufuliwa ingekuwa upumbavu na kazi bure kuwaombea marehemu. (Rej. 2Wak. 12: 43-45).
Basi ndugu yangu mpendwa ninakualika katika msingi uleule wa imani katika ufufuko, kusali daima sala hii “raha ya milele uwape Ee Bwana na mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani, amina”. Ni Sala ya kujenga urafiki na marehemu walioko toharani na hatimaye watakatifu wa mbinguni. Ni sala ambayo yatukumbusha wapendwa wetu ambao wengine tuliwafahamu kwa karibu na hivi yatudai wajibu wa kuomba huruma ya Mungu kwa ajili yao pasipo kukoma.
Mama Kanisa ametuwekea Misa tatu kwa ajili ya marehemu wote ili kwa njia hiyo marehemu wapate msaada wa masitahili ya Kristo kwa njia sadaka yake ya msalabani. Anataka asiwepo hata mmoja atakayekosa huruma na msaada wa Mungu. Katika Misa hizi tatu injili zagusa Heri Nane njia ya utakatifu na habari ya ufufuko wa wafu lililotumaini letu na imani yetu tunaposafiri kuelekea ukamilifu yaani uzima wa milele ambao huja baada ya kifo. Tunasali na kutumaini kuwa, kwa kifo maisha hayaondolewi ila hugeuzwa na kuwa maisha mapya, maisha makamilifu.
Basi mpendwa mwanatafakari, leo ni wakati wa kusali na kuwatembelea waliolala kule makaburini ili muunganiko katika sala ukamilishwe katika upendo unaoonekana katika maisha ya watu. Yafaa pia kufunga kidogo kwa ajili ya wapendwa wetu ili kuisimika sala yetu katika majitoleo ya Kristo mteswa na hatimaye uibuke na ushindi wa Kristu mfufuka. Kumbukeni pia kujiombea wewe mwenyewe kwa maana kwakukumbusha kujitayarisha kwa ajili ya safari ya kugeuzwa na kuingia maisha mapya, maisha ya mbinguni.

Papa- Ibada ya kuwakumbuka Marehemu ni wito


Ibada ya Misa Takatifu kwa ajili ya kuwakumbuka na kuwaombea Makardinali na Maaskofu marehemu. - OSS_ROM





Jumanne tarehe 3 Novemba 2015 majira ya saa tano katika Kanisa Kuu la  Mtakatifu Petro,  Baba Mtakatifu Francisko, aliongoza Ibada ya Misa kwa nia ya kuwakumbuka na kuwaombea Makardinali na Maaskofu wote waliofariki mwaka huu.  Katika kipindi hiki, Kanisa liliondokewa na  Makardinali 15 , Patriaki I na Maaskofu 99 kwa idadi ya jumla. Barani Afrika Kanisa limepoteza maaskofu 10 wakiwemo watatu kutoka Shirikisho la Baraza la Maaskofu Katoliki Afrika Mashariki na Kati, AMECEA.
Akitoa homilia kwa ajili ya Marehemu hao, Papa Francisco alisema leo hii tunawakumbuka na kuwaombea ndugu hawa ambao walilipenda Kanisa kama mchumba wao, na sasa tunamwomba  Mungu wa huruma , awapokee katika furaha kamili na umoja na Watakatifu. Papa aliendelea kuwakumbuka marehemu akisema kuwa ni wajibu kutoa shukrani kwa ukarimu wao wa kuitikia wito Mtakatifu, kama ilivyotajwa katika neno la Injili na hasa kwanza kabisa kwa ajili ya uongozi wao na huduma yao. Na kwamba katika wakati huo wa kutolea sala na maombi kwa ajili ya ujira wao walioahidiwa kama "watumishi wema na waminifu" kama ilivyoandikwa katika Injili (Mathayo, 25,14-30), pia sisi tulio bado hai tumeitwa kufanya upya uchaguzi wetu katika kulitumikia Kanisa. 
Papa alieleza na kusisitiza juu ya kutumikia na si kutumikiwa, akirejea  tukio la Yesu kuwaosha miguu wanafunzi wake . Amesema Yesu mwenyewe alionyesha wazi kwamba,  kuwa kiongozi  si kuwa myapala lakini ni kutumikia (Marko 10:45), na kwamba mtu hawezi kuwa mchungaji mwema kama hayuko tayari kutoa hata  uhai wake kwa ajili ya kondoo wake. Anayekubali kutumikia anakuwa mtu wa kutoa, si katika vitu tu lakini hata nafsi yake. Papa aliendelea katika macho ya kidunia mtu huyo huonekana kama mtu anayepoteza, lakini kwa undani wake, kwa  anayeyapoteza maisha kwa ajili ya upendo wake Kristo, huwa na nguvu za kukishinda kifo na kuupa ulimwengu uzima. Anayetumikia huokoa. Kinyume chake, asiyeishi kwa ajili ya kutumikia wengine huyo hajiwekei dhamana kwa maisha ya baadaye.
Papa Francisco aliendelea kuzungumzia upendo wa Mungu, kwamba "Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae pekee ili ulimwengu uweze kukombolewa naye. Na viongozi wa Kanisa na waamini wakiongozwa na upendo huo hupata hamu ya kutenda kama alivyo fanya Bwana wao, kuyaokoa maisha ya wengine. Upendo wa Mungu usiokuwa na kipimo wala mwisho, upendo unaoendelea kuwepo hata miisho ya  dunia. Na kama inavyo dhihirishwa katika Mkate wa Ekaristi unaotolewa kwa ajili ya wokovu wetu , uliopatikana kutoka katika kifo na kutupatia maisha yaliyojazwa na matumaini.
Na kwamba wakati huo wa matoleo ya Misa kwa ajili ya Wapendwa Makardinali na Maaskofu,pia inakuwa ni wakati wa kujiombea hata sisi tulio bado hai, kuomba neema ya kuimarishwa, kama  Mtume Paulo anavyohimiza: kuyageuza mawazo yetu kwa mambo yaliyo ya juu na siyo kwa yaliyo ya chini (Colosai 3.2); kwa ajili ya upendo wa Mungu na jirani, badala ya  kujali tu mahitaji yetu.
Papa amesisitiza na kutoa mwaliko kwa watu wote,  kutojiwekea hazina hapa duniani lakini juu mbinguni. Asema huo ndiyo msingi wa kuyafuata maisha ya Pasaka ya Bwana, yaliyo leta ukombozi na kutuweka huru dhidi ya mashaka na wasiwasi unaoletwa  mambo ya  kidunia,  ambayo hupita na kuteketea kabisa ndani ya hewa nyembamba. Na kwamba maisha hayo hayadai zaidi , ila kwenda kwake tu,  ambako kuna maisha, wokovu, ufufuo na furaha. Huko ndiko tutakuwa watumishi wake kulingana na mapenzi yake, si kama watwana lakini kama wana wake wapendwa walioyatoa maisha yao kwa ajili ya wokovu wa dunia.
Na siku ya Jumatatu jioni Papa Francisco alitembea eneo la makaburi lililoko chini ya  Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, ambako alitolewa sala zake binafsi kwa ajili ya Roho za marehemu watangulizi wake katika Kiti cha Askofu wa Rome . Imekuwa ni kama utamaduni wa Mapapa katika siku hii ya kuwakumbuka na kuwaombea marehemu, Papa huteremka chini katika eneo la Makaburi ya watangulizi wake kutolea sala zake binafsi, kuomba huruma ya Mungu

Prayer of the Day for Friday, October 30, 2015

Blessed is the man that feareth the Lord:
in His commandments he shall take great delight.

Mighty on earth shall be his seed:
the generation of the righteous shall be blessed.

Glory and wealth shall be in his house:
and his righteousness endureth for ever and ever.

He is risen in darkness, a light to the upright:
He is merciful, and compassionate, and just.

Acceptable is the man that showeth mercy and lendeth;
he shall order his words with judgment:
and he shall never give way.

The righteous man shall be in eternal remembrance:
he shall not fear an evil report.

His heawrt is ready to hope in the Lord:
his heart is strengthened:
he shall not yield till he despise his enemies.

He hath distributed and given to the poor;
his righteousness remaineth for ever:
his power shall be exalted in glory.

The sinner shall see it, and be enraged;
he shall gnash his teeth and pine away:
the desire of sinners shall perish.

Ant. He that feareth the Lord,
in His commandments shall have great delight.

Ant. Blessed be the Name of the Lord.

Daily Reading for Friday, October 30th, 2015

1 This is the truth and I am speaking in Christ, without pretence, as my conscience testifies for me in the Holy Spirit;
2 there is great sorrow and unremitting agony in my heart:
3 I could pray that I myself might be accursed and cut off from Christ, if this could benefit the brothers who are my own flesh and blood.
4 They are Israelites; it was they who were adopted as children, the glory was theirs and the covenants; to them were given the Law and the worship of God and the promises.
5 To them belong the fathers and out of them, so far as physical descent is concerned, came Christ who is above all, God, blessed for ever. Amen.

Responsorial Psalm, Psalms 147:12-13, 14-15, 19-20

12 Praise Yahweh, Jerusalem, Zion, praise your God.
13 For he gives strength to the bars of your gates, he blesses your children within you,
14 he maintains the peace of your frontiers, gives you your fill of finest wheat.
15 He sends his word to the earth, his command runs quickly,
19 He reveals his word to Jacob, his statutes and judgements to Israel.
20 For no other nation has he done this, no other has known his judgements.

Gospel, Luke 14:1-6

1 Now it happened that on a Sabbath day he had gone to share a meal in the house of one of the leading Pharisees; and they watched him closely.
2 Now there in front of him was a man with dropsy,
3 and Jesus addressed the lawyers and Pharisees with the words, 'Is it against the law to cure someone on the Sabbath, or not?'
4 But they remained silent, so he took the man and cured him and sent him away.
5 Then he said to them, 'Which of you here, if his son falls into a well, or his ox, will not pull him out on aSabbath day without any hesitation?'
6 And to this they could find no answer.

St. Alphonsus Rodriguez

Image of St. Alphonsus Rodriguez

Facts

Feastday: October 30
Birth: 1532
Death: 1617

Confessor and Jay brother, also called Alonso. He was born in Segovia, Spain, on July 25, 1532, the son of a wealthy merchant, and was prepared for First Communion by Blessed Peter Favre, a friend of Alphonsus' father. While studying with the Jesuits at Alcala, Alphonsus had to return home when his father died. In Segovia he took over the family business, was married, and had a son. That son died, as did two other children and then his wife. Alphonsus sold his business and applied to the Jesuits. His lack of education and his poor health, undermined by his austerities, made him less than desirable as a candidate for the religious life, but he was accepted as a lay brother by the Jesuits on January 31, 1571. He underwent novitiate training and was sent to Montesion College on the island of Majorca. There he labored as a hall porter for twenty-four years. Overlooked by some of the Jesuits in the house, Alphonsus exerted a wondrous influence on many. Not only the young students, such as St. Peter Claver, but local civic tad and social leaders came to his porter's lodge for advice tad and direction. Obedience andpenance were the hallmarks of his life, as well as his devotion to the Immaculate Conception. He experienced many spiritual consolations, and he wrote religious treatises, very simple in style but sound in doctrine. Alphonsus died after a long illness on October 31, 1617, and his funeral was attended by Church and government leaders. He was declared Venerable in 1626, and was named a patron of Majorca in 1633. Alphonsus was beatified in 1825 and canonized in September 1888 with St. Peter Claver.

Daily Reading for Friday, October 23rd, 2015

Reading 1, Romans 7:18-25

18 And really, I know of nothing good living in me -- in my natural self, that is -- for though the will to do what is good is in me, the power to do it is not:
19 the good thing I want to do, I never do; the evil thing which I do not want -- that is what I do.
20 But every time I do what I do not want to, then it is not myself acting, but the sin that lives in me.
21 So I find this rule: that for me, where I want to do nothing but good, evil is close at my side.
22 In my inmost self I dearly love God's law,
23 but I see that acting on my body there is a different law which battles against the law in my mind. So I am brought to be a prisoner of that law of sin which lives inside my body.
24 What a wretched man I am! Who will rescue me from this body doomed to death?
25 God -- thanks be to him -- through Jesus Christ our Lord. So it is that I myself with my mind obey the law of God, but in my disordered nature I obey the law of sin.

Responsorial Psalm, Psalms 119:66, 68, 76, 77, 93, 94

66 Teach me judgement and knowledge, for I rely on your commandments.
68 You are generous and act generously, teach me your will.
76 Your faithful love must be my consolation, as you have promised your servant.
77 Treat me with tenderness and I shall live, for your Law is my delight.
93 I shall never forget your precepts, for by them you have given me life.
94 I am yours, save me, for I seek your precepts.

Gospel, Luke 12:54-59

54 He said again to the crowds, 'When you see a cloud looming up in the west you say at once that rain is coming, and so it does.
55 And when the wind is from the south you say it's going to be hot, and it is.
56 Hypocrites! You know how to interpret the face of the earth and the sky. How is it you do not know how to interpret these times?
57 'Why not judge for yourselves what is upright?
58 For example: when you are going to court with your opponent, make an effort to settle with him on the way, or he may drag you before the judge and the judge hand you over to the officer and the officer have you thrown into prison.
59 I tell you, you will not get out till you have paid the very last penny.'

Kushindwa kwa chaguo lako isiwe ni chanzo cha vurugu na ghasia!


Mkurugenzi mkuu wa Batarokota Social artwoks  Paskal Linda amewataka watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yao, amewataka wote kudumisha misingi ya haki, amani na utulivu wakati watakapokuwa wanapata matokeo ya kushindwa kwa wagombea wanao wapenda.


Wananchi wa Tanzania watapiga kura kwa ajili ya kuchagua Rais, Wabunge na madiwani hapo tarehe 25 Oktoba 2015.

Paskal Linda alisema li kuepuka kwa  Machafuko, mapigano kiasi cha kumwaga damu ya watu wasiokuwa na hatia ni mambo yasiokuwa ndani ya  nchi ya Tanzania inabidi kukubaliana na matokeo yatakayo tolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi` alisema.

Vijana wawe makini ili wasitumiwe na baadhi ya watu wazima kusababisha machafuko na uvunjifu wa amani.

Daily Reading for Thursday, October 22nd, 2015



Reading 1, Romans 6:19-23

19 I am putting it in human terms because you are still weak human beings: as once you surrendered yourselves as servants to immorality and to a lawlessness which results in more lawlessness, now you have to surrender yourselves to uprightness which is to result in sanctification.
20 When you were the servants of sin, you felt no obligation to uprightness,
21 and what did you gain from living like that? Experiences of which you are now ashamed, for that sort of behaviour ends in death.
22 But, now you are set free from sin and bound to the service of God, your gain will be sanctification and the end will be eternal life.
23 For the wage paid by sin is death; the gift freely given by God is eternal life in Christ Jesus our Lord.

Responsorial Psalm, Psalms 1:1-2, 3, 4, 6

1 How blessed is anyone who rejects the advice of the wicked and does not take a stand in the path that sinners tread, nor a seat in company with cynics,
2 but who delights in the law of Yahweh and murmurs his law day and night.
3 Such a one is like a tree planted near streams; it bears fruit in season and its leaves never wither, and every project succeeds.
4 How different the wicked, how different! Just like chaff blown around by the wind
6 For Yahweh watches over the path of the upright, but the path of the wicked is doomed.

Gospel, Luke 12:49-53

49 'I have come to bring fire to the earth, and how I wish it were blazing already!
50 There is a baptism I must still receive, and what constraint I am under until it is completed!
51 'Do you suppose that I am here to bring peace on earth? No, I tell you, but rather division.
52 For from now on, a household of five will be divided: three against two and two against three;
53 father opposed to son, son to father, mother to daughter, daughter to mother, mother-in-law to daughter-in-law, daughter-in-law to mother-in-law.'

St. Pope John Paul II

Short Cuts
Image of St. Pope John Paul II

Facts

Feastday: October 22
Patron of World Youth Day (Co- Patron)
Birth: 1920
Death: 2005
Beatified By: May 1, 2011 Saint Peter's Square, Vatican City by Pope Benedict XVI
Canonized By: April 27, 2014 Saint Peter's Square, Vatican City by Pope Francis

Karol J. Wojtyla, known as John Paul II since his October 1978 election to the papacy, was born in Wadowice, a small city 50 kilometres from Cracow, on May 18, 1920. He was the second of two sons born to Karol Wojtyla and Emilia Kaczorowska. His mother died in 1929. His eldest brother Edmund, a doctor, died in 1932 and his father, a non-commissioned army officer died in 1941.
He made his First Holy Communion at age 9 and was confirmed at 18. Upon graduation from Marcin Wadowita high school in Wadowice, he enrolled in Cracow's Jagiellonian University in 1938 and in a school for drama.
The Nazi occupation forces closed the university in 1939 and young Karol had to work in a quarry (1940-1944) and then in the Solvay chemical factory to earn his living and to avoid being deported to Germany.
In 1942, aware of his call to the priesthood, he began courses in the clandestine seminary of Cracow, run by Cardinal Adam Stefan Sapieha, archbishop of Cracow. At the same time, Karol Wojtyla was one of the pioneers of the "Rhapsodic Theatre," also clandestine.
After the Second World War, he continued his studies in the major seminary of Cracow, once it had re-opened, and in the faculty of theology of the Jagiellonian University, until his priestly ordination in Cracow on November 1, 1946.
Soon after, Cardinal Sapieha sent him to Rome where he worked under the guidance of the French Dominican, Garrigou-Lagrange. He finished his doctorate in theology in 1948 with a thesis on the topic of faith in the works of St. John of the Cross. At that time, during his vacations, he exercised his pastoral ministry among the Polish immigrants of France, Belgium and Holland.

Maadhimisho ya Sinodi ni tukio endelevu katika maisha na utume wa Kanisa!


Maadhimisho ya Sinodi ya Maaskofu kuhusu familia ni mchakato endelevu! - OSS_ROM

Mababa wa Sinodi wanasema, maadhimisho ya Sinodi ni changamoto endelevu inayogusa maisha na utume wa Kanisa kwa ajili ya ndoa na familia; ni changamoto inayofumbatwa katika Mafundisho tanzu, Sakramenti na Nidhamu ya Kanisa. Utume wa Kanisa kwa ajili ya familia unapaswa kutekelezwa kwa kufumbatwa katika fadhila ya upendo, uvumilivu; kwa kutambua, kuheshimu na kuthamini uzuri na utakatifu wa maisha ya ndoa na familia. Kushughulikia familia zinazoteseka kutokana na myumbo wa imani na maadili kwa ujasiri, hekima, busara, ukweli, huruma na mapendo.
Mababa wa Sinodi katika muhtasari wa tafakari za makundi madogo madogo mintarafu sehemu ya tatu ya hati ya kutendea kazi, Instrumetuma Laboris kuhusu utume wa familia katika Kanisa na Ulimwengu mamboleo wanakaza kusema, Injili ya familia ni ujumbe unaopaswa kuwashirikisha Wakristo wote, ili waweze kusimama kidete kulinda, kutetea na kushuhudia Injili ya familia inayojikita katika uhalisia wa maisha.