Week Hot newz

Papa Francisko mtu mashuhuri kwa Mwaka 2013

Baba Mtakatifu Francisko ameteuliwa na Gazeti maarufu la TIME kuwa ni mtu mashuhuri kwa Mwaka 2013. Akizungumzia uteuzi huu, Padre Federico Lombardi, msemaji mkuu wa Vatican anabainisha kwamba, Vatican kwa ujumla hakushangazwa na uteuzi huu, kwani kuna vielelezo makini vinavyoonesha mguso na mashiko tangu Baba Mtakatifu Francisko achaguliwe kuliongoza Kanisa Katoliki kama Khalifa wa Mtakatifu Petro.

Nelson Mandela amezikwa kimila



Hayati Mandela alikuwa kipenzi cha dunia nzima
Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela amezikwa katika kijiji cha Qunu mkoa wa Cape Mashariki nchini Afrika Kusini.
Mjane wa Mandela Graca Machel pamoja na Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma walikuwepo katika hafla ya mazishi iliyohudhuriwa na jamaa za karibu wa familia ya Mandela pamoja na viongozi wengine wakuu.
Takriban watu 4,500 ikiwemo wageni wa kimataifa walihudhuria mazishi hayo ambayo yalikuwa ya mchanganyiko wa tamaduni za kale na mambo ya

Safari ya Mandela yaishia Kijiji cha Qunu!


Mandela daima alisema anataka kuzikwa nyumbani alikozaliwa Qunu
Kijiji cha Qunu ambako atazikwa Hayati Nelson Mandela, kinaomboleza kifo cha shujaa aliyetoka katika kijiji hicho Nelson Mandela.
Mazingira hapa ni ya kipekee, mchanganyiko wa nyumba za kisasa na za kitamduni ambazo mfano wake ni mizinga ya Nyuki.

Udugu ni silaha dhidi ya umaskini, rushwa na ufisadi;

Udugu ni msingi na njia ya amani; ndiyo kauli mbiu inayoongoza Maadhimisho ya Siku ya 47 ya Kuombea Amani Duniani, itakayofanyika tarehe Mosi, Januari 2014 sanjari na Maadhimisho ya Siku kuu ya Bikira Maria Mama wa Mungu. Huu ni ujumbe unaochota utajiri wake kutoka katika Maandiko Matakatifu pamoja na mang'amuzi ya mshikamano wa kidugu kati ya watu.

Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya tatu ya Kipindi cha Majilio

Tafakari masomo Dominika, ninafurahi tena kuwa nawe katika safari yetu ya Majilio tukijiandaa kwa ajili ya ujio wa Mwana wa Mungu. Ni wakati huu tunapoimba kwa furaha Masiha wetu njoo, ukatuokoe.
Tuko sasa Dominika ya tatu ya Kipindi cha Majilio ambapo Neno la Mungu linatualika kutambua kwa njia ya imani alama zinazomtambulisha Masiha. Tunapata kutafakari katika Injili juu ya wasiwasi wa Yohane Mbatizaji juu ya Masiha, kiasi kwamba anatuma wafuasi wake tokea gerezani wakamwulize Bwana wakisema, eti wewe ndiye Masiha tuliyemtarajia au tumngojee mwingine?
Yohane Mbatizaji anaingiwa na wasiwasi kwa sababu aliweka matumaini yake katika alama zisizo za kweli! Kwetu sisi yaweza tokea na inatokea mara kadhaa kutumaini katika bwana asiye mwenyewe! Kumbe leo mwaliko ni huo, yaani kuwa makini ili tusianguke katika mtego kama huo!
Mpendwa msikilizaji, alama ambazo zilisadikika na Yohane Mbatizaji na wafuasi wake ni kuwa Masiha ajaye atakuwa hakimu mkali atakayewapatiliza mbali wadhambi. Kinyume chake Masiha hafanyi hilo isipokuwa upendo kwao akitafuta kuwaokoa katika taabu yao hiyo. Mpendwa msikilizaji, kazi na wajibu wetu mkuu, ni kutambua wakati huo tukijiuliza daima, ni alama zipi zinazomtambulisha Masiha ambaye tunaimba kwa furaha tukisema uje kutuokoa!
Ndiyo kusema, alama za kweli tunazipata katika Somo la kwanza toka kitabu cha Nabii Isaya 35:1-6,10 akisema ndipo vipofu na viziwi watakapoona na kusikia, mwenye kupooza atarukaruka tena na bubu kuimba kwa furaha. Mara moja toka katika alama hizi tunagundua kuwa Masiha anakuja kwa ajili ya kuwaondoa walio katika taabu na kuwaweka huru. Taabu kwa kawaida ni tokeo la dhambi, yawezekana dhambi ya mtu binafsi lakini hasa dhambi kwa ujumla.
Mpendwa msikilizaji, katika hili tunaalikwa kuingia katika safari ya toba na uaminifu kwa Injili kama tusomavyo katika Injili ya Marko. 1:15. Katika toba na kuishi Injili tunafikia kwa namna ya pekee kabisa hatua ya kutambua alama zinazomtambulisha Masiha.
Jukumu la kuishi alama hizi linatuweka katika mazingira ya furaha na linatuonesha waziwazi kwamba utawala wa Masiha unaanza kukolea katika maisha yetu.
Mpendwa mwana wa Mungu, inawezekana ikajitokeza kukawa na kuchelewa katika utekelezaji, yaani kuishi toba na hivi tukaweza kukata tamaa, basi Mtume Yakobo anatutia moyo na tumaini akisema, kuweni na subira mpaka Bwana atakapokuja. Katika subira tunataka polepole kutenganisha uovu na ubaya ulio katika jumuiya na katika mtu awaye yote katika ubinafsi wake.
Katika subira Mtume Yakobo anatuonya daima kuachana na tabia ya kuhukumiana maana hakimu mwaminifu ni mmoja yaani Mfalme Masiha. Mtume Yakobo anatuonya katika subira kutambua kuwa safari ya wokovu lazima itazamwe kama mkulima anavyongojea mvua za masika na za vuli.
Mpendwa msikilizaji, kipindi cha Majilio ni kipindi cha neema, ni kipindi cha kupanda ili kujipatia mavuno hapo baadaye, na kwa hakika mavuno ni furaha ya moyo inayokamilishwa katika Yesu Kristu mfufuka ambaye atatufufua siku ya mwisho na kukaa naye katika kiti cha enzi pamoja na Baba mbinguni.
Nikikutakia majilio njema napenda kusema fikiria zaidi kuwalisha maskini na kuwahudumia wagonjwa katika jumuiya yako na jitahidi kuwa adui wa dhambi kila siku ya maisha yako. Mpendwa, hiyo ndiyo namna ya kuishi Majilio ya mwaka huu. Nakukumbusha tena hapo jirani kwako kuna mtoto ambaye amekosa ada ya shule msaidie na mfundishe namna ya kuitumia na zawadi yako kwa hakika ni mbinguni. Tumsifu Yesu Kristo na Bikira Maria.

Tafakari hii imeletwa kwako na Padre Richard Tiganya, C.PP.S.

Teacher handed 3 life sentences for rape

Colonel Jay Naicker said Nkosingiphile Hlekwayo, 50, raped the 11-year-old girl on three occasions in 2009. The court sentenced him on Wednesday.
 

A KwaZulu-Natal school teacher has been handed three life sentences by the Empangeni Regional Court for the rape of an 11-year-old pupil, police said on Friday.
Colonel Jay Naicker said Nkosingiphile Hlekwayo, 50, raped the 11-year-old girl on three occasions in 2009. The court sentenced him on Wednesday.
"The victim reported the matter to her parents and a case was opened at the Empangeni police station," he said.
"The Empangeni family, child protection and sexual offences unit took over the investigation that led to the arrest of the accused on the same day that the offence was reported."
He said Hlekwayo's family allegedly approached the girl's family and promised to pay them or give them cattle if they withdrew the case.
"The victim's parents refused to do so and they... allegedly received death threats. The victim was taken to a place of safety until the case was finalised."
Provincial police commissioner, Lt-Gen Mmamonnye Ngobeni welcomed the sentence and expressed her confidence in the judicial system.

Robin van Persie hatachezea Manchester United kipindi hiki

Robin van Persie 




Robin van Persie hatachezea Manchester United kipindi hiki cha mechi nyingi baada ya kupata jeraha la paja ambalo litamuweka nje mwezi mmoja, meneja David Moyes alisema Ijumaa.
"Robin Van Persie atakuwa nje mwezi mmoja. Alipata jeraha kwenye paja akipiga kona ambayo ilizaa goli (dhidi ya Shakhtar Donetsk on Tuesday)," Moyes aliambia kikao cha wanahabari kabla ya mechi yao ya Jumapili Aston Villa.
Mholanzi huyo, ambaye amefunga mabao saba katika mechi 11 za Ligi ya Premia msimu huu, alirejea baada ya kuuguza jeraha la mtoki wikendi iliyopita wakati wa

Arsenal ya lala kwa Man City 6-3

a
Man City
Manchester City, wametoa ujumbe mkali kwa mahasimu wao kwenye ligi ya Premier Arsenal baada ya kuwacharaza mabao sita kwa matatu.
Upande wa Manuel Pellegrini uliwacharaza Arsenal na kuziba pengo la pointi tatu.
Arsenal walilalamika wakitaka kupewa penalty moja ingawa kwa kweli Man City walikuwa wamejiandaa vilivyo dhidi ya Arsenal, huu ulikuwa kama upepo kwao.

Safari ya Mandela mwisho Kijiji cha Qunu


Jeneza la Mandela
Mwili wa hayati Nelson Mandela umepelekwa katika mkoa wa Eastern Cape kwa safari ya mwisho kabla ya kuzikwa siku ya Jumapili kijijini Qunu.
Idadi kubwa ya watu walifurika barabara angalau kumtupia jicho shujaa wao na kutoa heshima zao za mwisho.
Mandela aliyefariki tarehe 5/12/2013 atafanyiwa maziko ya kitaifa siku ya Jumapili tarehe 15/12/2013,

Jumuiya ya Kimataifa inaomboleza Kifo cha Tata Madiba!

Viongozi wa Jumuiya ya Kimataifa pamoja na wananchi wa Afrika ya Kusini wameanza kutoa heshima zao za mwisho kwa Tata Madiba kwa sala kutoka kwa viongozi mbali mbali wa kidini nchini Afrika ya Kusini. Mvua iliyokuwa inanyeesha imewazuia wananchi wa kawaida kufika uwanjani ili kutoa heshima zao za mwisho kwa Mzee Nelson Mandela, lakini mvua ni kielelezo cha baraka kwa makabila mengi Barani Afrika.

Siku ya pili heshima mwili wa Mandela


Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandela
Waombolezaji nchini Afrika Kusini wanaingia siku ya pili katika zoezi la kutoa heshima za mwisho kwenye mwili wa Rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela.
Maelfu ya watu wamejipanga kwenye mistari wakisubiri kutoa heshima zao za mwisho kwenye mwili huo uliolazwa katika ikulu kwenye jengo la Muungano mjini Pretoria.

Madiba, kwa heri! Umekuwa ni daraja la upatanisho!


Mwili wa Marehemu Nelson Mandela, Siku ya Jumatano tarehe 11 Desemba 2013 umewasili mjini Pretoria ambako utakaa kwa muda wa siku tatu, ili kutoa nafasi kwa wananchi wa Afrika ya Kusini kutoka heshima zao za mwisho. Magari ya Polisi yaliusindikiza Mwili wa Tata Madiba kutoka kwenye Hospitali ya Kijeshi.

Wezi wavunja nyumba ya Askofu Tutu!


Desmond Tutu
Wezi wamevunja na kuingia nyumbani kwa Askofu mstaafu Desmond Tutu
Polisi wamesema wizi huo ulifanyika wakati bwana Tutu akiwa katika ibada ya Nelson Mandela Mjini Johannesberg.
Inaarifiwa Tutu aliibiwa vitu vyake wakati akiwa anahudhuria ibada maalum ya kumuaga Hayati Nelson Mandela siku ya Jumanne.
Aidha wameelezea kuwa uvamizi ulifanyika nyumbani kwake mjini Cape Town Ahamisi jioni baada ya kutoa hotuba katika ibada ya Mandela siku hiyo.
Ibada hiyo ilifanyika katika uwanja wa FNB mtaani Soweto.
Wizi na uvamizi wa nyumba za watu ni jambo la kawaida nchini Afrika Kusini ambako visa vya uhalifu viko juu sana.

Heshima za mwisho kwa mwili wa Mandela


Mwili wa Mandela ukisindikizwa na polisi Afrika Kusini
Viongozi mbali mbali pamoja na raia wa Afrika Kusini wanaendelea kutoa heshma za mwisho kwenye mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini Marehemu Nelson Mandela ambao umelazwa kwenye ikulu ya Afrika Kusini mji Mkuu wa Pretoria, ambapo utalala hapo kwa siku tatu.
Mwili ulichukuliwa katika msafara kutoka chumba cha maiti cha hosptali hadi kwenye jengo la Muungano.
Msafara wenye jeneza la Marehemu uliondoka mjini katika Hosptali ya jeshi muda mfupi siku ya jumatano. Jeneza lilibebwa kwenye gari maalum na kufunikwa bendera ya Afrika Kusini.
Wananchi walijipanga kando kando ya barabara lilipopitishwa jeneza kama ishara ya kutoa heshma za mwisho kwa mwili wa marehemu.
Msafara ulipita katika mitaa huku baadhi ya raia wakikimbia pembeni kwenye mstari wa askari wa

Kili Stars yafa, lakini kiwango


Picha kushoto ni Mshambuliaji wa Tanzania Bara, Mbwana Samata akiwatoka mabeki wa Kenya, Joackins Atudo (kulia) na Aboud Omar kwenye Uwanja wa Nyayo jana. Kili Stars ililala 1-0.

Licha ya timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kumiliki mpira kwa dakika zote 90, imeshindwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya jana kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya (Harambee Stars).

Drogba, Eboue salute to Madiba sparks row

ANKARA - Turkey's sports minister lashed out on Monday at moves by the football authorities to punish two top Ivorian club players for paying homage to Nelson Mandela.
 
Emmanuel Eboue

Didier Drogba and Emmanuel Eboue have been threatened with disciplinary action by the Turkish Football Federation for violating a ban on wearing political slogans on T-shirts, triggering outrage on Twitter.
Turkish Sports Minister Suat Kilic called on the federation to review its decision against the two star players with Istanbul giants Galatasaray.
"I don't find it a healthy choice in terms of Turkey's image abroad and the two footballers' [freedom of] expression," he said.
Drogba removed his club shirt after a match at the weekend against SB Elazigspor to reveal a T-shirt that read "Thank You Madiba", using Mandela's clan name.
Teammate Eboue also honoured the South African anti-apartheid hero who died on Thursday with a T-shirt that said "Rest in Peace Nelson Mandela".

Obama scripts world farewell


"It is hard to eulogise any man... How much harder to do so for a giant of history, who moved a nation toward justice, and in the process moved billions around the world," Obama began, in a speech that placed Mandela in the pantheon of Mahatma Gandhi and Martin Luther King.


US President Barack Obama summed up the awed respect Nelson Mandela inspired around the world at a rain-drenched memorial in Soweto on Tuesday that hinted at the tension straining South African politics after his death last week.
"It is hard to eulogise any man... How much harder to do so for a giant of history, who moved a nation toward justice, and in the process moved billions around the world," Obama began, in a speech that placed Mandela in the pantheon of Mahatma Gandhi and Martin Luther King.

Mlango wa Bwana daima ni wazi na kutupatia tumaini



Hatupaswi kuhofia ukombozi wa Bwana , badala yake , ni kujiweka tayari kwa ajili ya ujio wake. Ni kuufungua mlango wa moyo na kumpokea kwa matumaini. Papa alieleza katika homilia yake wakati wa Ibada ya Misa, mapema asubuhi Jumanne, katika Kanisa dogo la Mtaktifu Marta hapa Vatican.

Papa alitafakari maneno ya somo la kwanza, kutoka Kitabu cha Nabii Isaya, ambamo Nabii Isaya anasema, "farijikeni enyi watu wangu, Bwana, yu karibu na watu wake, kuwatuliza ,na kuwapa amani". Papa ameeleza kazi hii ya kufariji, ina uwezo wa kubadili yote. Bwana, kweli ana uwezo wa kuviumba vyote upya .

Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela





Maria Nyerere pichani ambaye ni mke wa aliyekuwa rais wa kwanza nchini Tanzania Mwalimu Nyerere, amesema Nelson Mandela ataendelea kukumbukwa kwa moyo wake wa kusamehe na kumtaja kwamba alikuwa ni zawadi ya dunia katika kuleta upendo na maridhiano.
Uhusiano kati ya familia ya Mwalimu Nyerere na ile ya Mzee Nelson Mandela umekuwa ni wa karibu kiasi kwamba familia yake inajiandaa kwenda kuhudhuria katika mazishi yatakayofanyika tarehe 15 mwezi huu.

Mandela the secret weapon in 1995 final


For South Africans, winning the 1995 Rugby World Cup final marked the emergence of the "Rainbow Nation" -- for New Zealanders, it was the day Nelson Mandela single-handedly outpsyched the mighty All Blacks.

 
Former President Nelson Mandela congratulates South African rugby team'

The Jonah Lomu-inspired New Zealanders were red-hot favourites going into the decider, breezing through the group stages and humiliating England in the semi-finals.
In contrast, the Springboks scraped through on the back of an unconvincing 19-15 semi-final win over France, raising fears they would be blown away in the final at Johannesburg's Ellis Park.
Then Mandela, in one of the most audacious political gambles of his career, appeared before the mostly white crowd of 62,000 wearing a Springbok jersey to shake the players' hands before kick-off.