Klabu za Ligi ya
Premia zilitumia zaidi ya £155m siku ya mwisho ya kuhama kwa wachezaji
kipindi cha majira ya joto na kufikisha jumla ya pesa zilizotumiwa hadi
rekodi mpya ya £1.165bn.Klabu zilikuwa tayari zimetumia jumla
ya£1.005bn kufikia saa nne mchana Jumatano saa za Afrika Mashariki na
kuvunja rekodi ya mwaka jana ya £870m.
Klabu 13 za ligi hiyo kuu ya England zilivunja rekodi zao sokoni. Hapa chini ni mchoro unaoonesha matumzii ya fedha kwa klabu za Ligi ya Premia kwa miaka 10 iliyopita, Majira ya Joto.
Mchezaji aliyenunuliwa pesa nyingi zaidi ni Paul Pogba
Paul Pogba Amerejea Manchester United
£89m
Pesa ambazo Man Utd wamelipa kumnunua Pogba kutoka Juventus
£1.5m Pesa ambazo Man Utd walimuuza Pogba kwa Juventus 2012
£61.9m Faida ambayo Juventus wamepata
Hapa chini ni orodha ya wachezaji walionunuliwa ghali zaidi na kalbu za Ligi ya Premia msimu wa 2016-17:
Klabu zajitanua kutumia pesa
Klabu zilizovunja rekodi zao binafsi katika ununuzi
Manchester United: Paul Pogba (£89m)
Bournemouth: Jordon Ibe (£15m)
Liverpool: Sadio Mane (£36m)
Sunderland: Didier N'Dong (£13.6m)
Crystal Palace: Christian Benteke (£32m)
Hull: Ryan Mason (£13m)
West Ham: Andre Ayew (£20.5m)
West Brom: Nacer Chadli (£13m)
Leicester: Islam Slimani (£29m)
Watford: Roberto Pereyra (£13m)
Southampton: Sofiane Boufal (£16m)
Burnley: Jeff Hendrick (£10.5m)
Swansea: Borja Baston (£15.5m)
Klabu mbili za Manchester, City na United, zilitumia zaidi ya £150m.
Meneja mpya wa Manchester United, Jose Mourinho, alimnunua Paul Pogba kwa rekodi ya dunia £89m.
Pia walimnunua kiungo wa kati kutoka Armenia Henrikh Mkhitaryanna beki wa Ivory Coast Eric Bailly, wawili hao kwa £30m.
City,
chini ya Pep Guardiola, walinunua kiungo wa kati Leroy Sane kutoka
Schalke kwa £37m kisha wakalipa Everton £47.5m kumchukua beki John
Stones.
Chelsea na mmiliki wao Roman Abramovich, walimpa meneja mpya Antonio Conte nguvu mpya za kutumia pesa.
Alitumia
£120m, ikiwa ni pamoja na £34m kumrejesha beki Mbrazil David Luiz
kutoka Paris St-Germain na £33m kumpata mshambuliaji Mbelgiji Michy
Batshuayi kutoka Marseille.
Waliotawala mitandao ya kijamii
Ni mchezaji yupi aliyezungumziwa sana mitandao ya kijamii?
Ilikuwa ni difenda Mbrazil David Luiz aliyerejea Chelsea kutoka Paris St-Germain.
Kulikuwa
na ujumbe 330,000 katika Twitter kumhusu, akifuatiwa na Jack Wilshere
wa Arsenal, aliyetumwa kwa mkopo Bournemouth. Kulikuwa na ujumbe 108,000
kwenye Twitter kuhusu kiungo huyo wa kati.
Kipa wa Manchester
City Joe Hart, aliyeenda Torino kwa mkopo, saini mpya wa Tottenham
Moussa Sissoko na Samir Nasri wa Arsenal, aliyetumwa Sevilla, ndio
wachezaji wengine waliozungumziwa sana.
NA OSCAR ASSENGA, TANGA-Tanzania.Gazeti Mtanzania.
KATIBU wa Chama cha Watu Wenye Albino Mkoa wa Tanga (TAS), Mahamudu
Salehe, amesema ukosefu wa losheni za kuzuia mionzi ya jua kwa jamii
hiyo kumesababisha vifo vya watu watano vinavyotokana na kansa ya ngozi.
Alisema vifo hivyo vimetokea kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita
mkoani hapa jambo ambalo linapaswa kuchukuliwa hatua stahiki kukabiliana
nalo kwa vitendo ili kuiwezesha jamii hiyo kuweza kutimiza malengo yao.
Salehe aliyasema hayo jana wakati akipokea msaada wa mabati na misumari
kwa ajili ya ukarabati wa ofisi yao kutoka kwa Katibu wa Chama cha
Waganga na Wakunga wa Tiba Asilia mkoani hapa (UWAWATA), Jumaa Lukuwa.
“Lakini pia kukosekana kwa matibabu ya kudumu kwenye wilaya
mbalimbali mkoani Tanga ndiyo chanzo cha vifo vya jamii hiyo kwani
wakati wa uhitaji wake unapochelewa wanaweza kupoteza maisha, hivyo
tunaiomba jamii na Serikali kuangalia namna ya kutusaidia ili
vipatikane,” alisema.
Akizungumzia msaada waliotoa, Lukuwa alisema ni kwa ajili ya
kuiwezesha jamii ya albino kuondokana na changamoto zilizokuwa
zikiwakabili, lakini pia kutoa fursa ya kuweza kufanya shughuli zao kwa
ufanisi.
Alisema licha ya hivyo, lakini pia wamefanya hivyo kuisaidia jamii
hiyo kuweza kutekeleza vema majukumu yao ya kuwaelimisha wananchi juu ya
mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi na wakunga ili hali hiyo iweze
kutokomezwa kwenye jamii.
“Lakini pia tutashirikiana na chama hicho kutoa elimu juu ya dhana
potofu ya ramli kwa kuhakikisha tunaipiga marufuku kwani ndiyo chanzo
pia cha mauaji kwa jamii hiyo,” alisema.
St. Rumon, also known as Ruan, Ronan, and Ruadan, was probably a brother of BishopSt. Tudwal
of Trequier, but nothing else is known of him beyond that he was
probably an Irish missionary and many churches in Devon and Cornwall in
England were named after him. Some authorities believed he is the same
as the St. Ronan (June 1) venerated in Brittany and believed consecrated bishop by St. Patrick, but others believe that he and St. Kea were British monks who founded a monastery at Street Somerset. Feast day is August 30.
Papa Francisko akihutubia kabla ya sala ya Malaika wa Bwana 21.08.2016
(Vatican
Radio) Baba Mtakatifu Francisko Jumapili katika hotuba yake fupi ,
kabla ya sala ya malaika wa Bwana, alisema kuwa maisha si mchezo wa
video au maonyesha ya kuigiza, lakini ni utendaji halisi ambao lengo
lake muhimu ni kufikia wokovu wa milele. Hayo aliyasema wakati
akiwahutubia mahujaji na wageni waliokuwa wamekusanyika katika Uwanja wa
Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican. Maoni ya Papa yalilenga
katika mada ya wokovu wa milele, kama ilivyoelezwa katika Somo kutoka
Injili ya Luka , ambamo Yesu akiwa njiani kuelekea Jerusalem , mtu mmoja
alimwendea na kumwuliza iwapo wokovu ni kwa ajili ya watu wachache tu (
Luka 13:23).
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman
Mbowe, amesema maandamano na mikutano itakayofanyika kuanzia Septemba
mosi, mwaka huu kwa ajili ya kutekeleza operesheni ya Umoja wa Kupinga
Udikteta Tanzania (Ukuta) haina lengo la kumjaribu mtu yeyote bali
inakusudia kupinga ukiukwaji wa misingi ya Katiba na uvunjaji wa sheria
za nchi.
Yesu amekuja ulimwenguni ili kuufunua,
kuutangaza na kuushuhidia ukweli, ambao umekuwa ni sababu ya kugawanyika
kwa walimwengu kwani wanataka kutembea katika giza la dhambi na mauti. -
RV
11/08/2016 16:08
Mitandao ya kijamii:
Ukweli
ni uthibitisho wa kitu chochote au tukio lolote lile kadiri ya uhalisia
wake. Kwa mfano ukweli kuhusiana na maji katika hali ya kimiminika ni
kwamba yanapokutana na mteremko na hakuna kizuizi chochote basi
yatatiririka kuelekea chini. Kwa maneno mengine ukweli unatupeleka
katika kuutafakari ulimwengu huu kadiri ulivyopangwa na kuumbwa na
Mwenyezi Mungu. Hivyo ukweli huo ambao huelezewa kwetu kwa njia ya neno
lake unabaki daima kama ulivyo na kamwe hauwezi ukabadilika kama
asemavyo Mungu kwa kinywa cha Nabii Isaya kwamba: “Majani yakauka, ua
lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele” (Is 40:8).
Msanii wa Bongo Fleva na Nyimbo asili ya Kitanzania Batarokota, kwa
kupitia mitandao ya kijamii leo asubuhi amewashukuru waandishi wa habari njema kwa njia ya
mitandao mbalimbali.Anawashukuru wale wote waliosaidia kutangaza habari
njema kwa njia ya mitandao na wanao endelea kutangaza kila siku,wakati
wa raha, uchungu na magumu ya maisha.
Anamshukuru Mungu kwa kuweza
kusaidiwa katika maisha na utume wao wote bila kubaguliwa wala kutengwa.Alisema hii ni dhamana kubwa ambayo ilikuwa inawajibisha sana, Batarokota anakiri na kusema kwamba, waandishi wamefanya yote kama mtumishi asiye na
faida na ametenda yale aliyopaswa kutenda na kwamba, ataendelea
kusikiliza sauti ya wale ambao wanapenda kuandika injili ya Yesu Kristo.
Batarokota anawashukuru na
kuwapongeza wale wote wanaojisadaka katika uwanja wa mawasiliano ya
jamii; kwa ajili ya huduma kwa jirani zao pamoja na dhamana inayoendana
na wajibu huu.
Mwishoni, Batarokota anawatakia wadau wa mawasiliano ya jamii utume mwema.
Baba
Mtakatifu Francisko mara baada ya maadhimisho ya Ibada ya Misa Takatifu
kwenye Uwanja wa
Huruma ya Mungu, Jimbo kuu la Cracovia Jumapili tarehe
31 Julai 2016 kama sehemu ya maadhimisho ya kufunga rasmi maadhimisho ya
Siku ya XXXI ya Vijana Duniani kwa mwaka 2016, kabla ya kusali Sala ya
Malaika wa Bwana na vijana kutoka sehemu mbali mbali za dunia,
aliwashukuru wadau mbali mbali waliojisadaka kwa ajili ya kuandaa na
hatimaye kufanikisha maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani.
Baraza la Maaskofu Katoliki Panama limepewa dhamana ya kuandaa Siku ya Vijana Duniani kwa mwaka 2019.
Dear Lord! Fill our parents with Thy choicest blessings;
enrich their souls with Thy holy grace;
grant that they may faithfully
and constantly guard that likeness to Thy union with Thy Church,
which Thou didst imprint upon them on their wedding day.
Fill them with Thy spirit of holy fear,
which is the beginning of wisdom;
inspire them to impart it to their children.
May they ever walk in the way of Thy commandments,
and may we their children be their joy on earth
and their crown of glory in heaven.
Finally, Lord God, grant that both our father and mother
may attain to extreme old age
and enjoy continuous health in mind and body.
May they give Thee abundant thanks
because Thou bast bestowed upon them the great gift of parenthood.
Amen.
(Source: Catholic Family Handbook, The by Rev. George A. Kelly, Random House, Inc., New York, 1959.)
Reading 1, Amos 3:1-8; 4:11-121 Listen, Israelites, to this prophecy which Yahweh pronounces against you, against the whole family which I brought up from Egypt: 2 You alone have I intimately known of all the families of earth, that is why I shall punish you for all your wrong-doings. 3 Do two people travel together unless they have agreed to do so? 4 Does the lion roar in the forest if it has no prey? Does the young lion growl in his lair if it has caught nothing? 5 Does a bird fall on the ground in a net unless a trap has been set for it? Will the net spring up from the ground without catching something? 6 Does the trumpet sound in the city without the people being alarmed? Does misfortune come to a city if Yahweh has not caused it? 7 No indeed, LordYahweh does nothing without revealing his secret to his servants the prophets. 8 The lion roars: who is not afraid? LordYahweh has spoken: who will not prophesy? 11 I overturned you as God
overturned Sodom and Gomorrah; you were like a brand snatched from the
blaze and still you would not come back to me -declares Yahweh. 12 So this, Israel, is what I plan to do to you. Because I am going to do this to you, Israel, prepare to meet your God!
Responsorial Psalm, Psalms 5:4-6, 6-7, 8
4 You are not a God who takes pleasure in evil, no sinner can be your guest. 5 Boasters cannot stand their ground under your gaze. You hate evil-doers, 6 liars you destroy; the violent and deceitful Yahweh detests. 7 But, so great is your faithful love, I may come into your house, and before your holy temple bow down in reverence of you. 8 In your saving justice, Yahweh, lead me, because of those who lie in wait for me; make your way plain before me.
Gospel, Matthew 8:23-27
23 Then he got into the boat followed by his disciples. 24 Suddenly a storm broke over the lake, so violent that the boat was being swamped by the waves. But he was asleep. 25 So they went to him and woke him saying, 'Save us, Lord, we are lost!' 26
And he said to them, 'Why are you so frightened, you who have so little
faith?' And then he stood up and rebuked the winds and the sea; and
there was a great calm. 27 They were astounded and said, 'Whatever kind of man is this, that even the winds and the sea obey him?'
The writings of St. Irenaeus entitle him to a high place among the fathers of the Church, for they not only laid the foundations of Christian theology but, by exposing and refuting the errors of the gnostics, they delivered the CatholicFaith from the real danger of the doctrines of those heretics.
He was probably born about the year 125, in one of those maritime provinces of AsiaMinor where the memory of the apostles was still cherished and where Christians were numerous. He was most influenced by St. Polycarp who had known the apostles or their immediate disciples
Many Asian priests and missionaries brought the gospel to the pagan Gauls and founded a local church. To this church of Lyon, Irenaeus came to serve as a priest
under its first bishop, St. Pothinus, an oriental like himself. In the
year 177, Irenaeus was sent to Rome. This mission explains how it was
that he was not called upon to share in the martyrdom of St Pothinus
during the terrible persecution in Lyons. When he returned to Lyons it was to occupy the vacant bishopric. By this time, the persecution was over. It was the spread of gnosticism
in Gaul, and the ravages it was making among the Christians of his
diocese, that inspired him to undertake the task of exposing its errors.
He produced a treatise in five books in which he sets forth fully the
inner doctrines of the various sects, and afterwards contrasts them with
the teaching of the Apostles
and the text of the Holy Scripture. His work, written in Greek but
quickly translated to Latin, was widely circulated and succeeded in
dealing a death-blow to gnosticism. At any rate, from that time onwards, it ceased to offer a serious menace to the Catholic faith.
The date of death of St. Irenaeus is not known, but it is believed to be in the year 202. The bodily remains of St. Irenaeus were buried in a crypt under the altar of what was then called the church of St. John, but was later known by the name of St. Irenaeus himself. This tomb or shrine was destroyed by the Calvinists in 1562, and all trace of his relics seems to have perished.
Baba Mtakatifu Francisko wakati akirejea
kutoka Armenia amepata nafasi ya kuzungumza na kujibu maswali kumi
kutoka kwa waandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara wake.
Baba
Mtakatifu Francisko anawataka wanahabari kuhakikisha kwamba,
wanatekeleza kikamilifu dhamana hii kwani habari njema zinasaidia
mchakato wa maendeleo ya watu: kiroho na kimwili. Baba Mtakatifu
ameyasema haya, Jumapili tarehe 26 Juni 2016 alipokuwa anarejea kutoka
katika hija yake ya kitume nchini Armenia. Akiwa njiani, Baba Mtakatifu
aliweza kujibu maswali kumi kutoka kwa waandishi wa habari ambao
wamekuwa kwenye msafara wake wakati wa hija yake ya kitume nchini
Armenia kuanzia tarehe 24- 26 Juni 2016.
St. Cyril of Alexandria, Bishop and Doctor of the Church (June 27) Cyril was born at Alexandria, Egypt. He was nephew of the patriarch of that city, Theophilus. Cyril received a classical and theological education at Alexandria and was ordained by his uncle. He accompanied Theophilus to Constantinople in 403 and was present at the Synod of the Oak that deposed John Chrysostom, whom he believed guilty of the charges against him. He succeeded his uncle Theophilus as patriarch of Alexandria
on Theophilus' death in 412, but only after a riot between Cyril's
supporters and the followers of his rival Timotheus. Cyril at once began
a series of attacks against the Novatians, whose churches he closed;
the Jews, whom he drove from the city; and governor Orestes, with whom
he disagreed about some of his actions. In 430 Cyril became embroiled
with Nestorius, patriarch of Constantinople, who was preaching that Mary was not the Mother of God since Christ
was Divine and not human, and consequently she should not have the word
theotokos (God-bearer) applied to her. He persuaded Pope Celestine I to
convoke a synod at Rome, which condemned Nestorius, and then did the same at his own synod
in Alexandria. Celestine directed Cyril to depose Nestorius, and in
431, Cyril presided over the third General Council at Ephesus, attended
by some two hundred bishops, which condemned all the tenets of Nestorius
and his followers before the arrival of ArchbishopJohn of Antioch
and forty-two followers who believed Nestorius was innocent. When they
found what had been done, they held a council of their own and deposed
Cyril. Emperor Theodosius II arrested both Cyril and Nestorius but
released Cyril on the arrival of Papal Legates who confirmed the
council's actions against Nestorius and declared Cyril innocent of all
charges. Two years later, Archbishop
John, representing the moderate Antiochene bishops, and Cyril reached
an agreement and joined in the condemnation, and Nestorius was forced
into exile. During the rest of his life, Cyril wrote treatises that
clarified the doctrines of the Trinity and the Incarnation and that
helped prevent Nestorianism and Pelagianism from taking long-term deep
root in the Christian
community. He was the most brilliant theologian of the Alexandrian
tradition. His writings are characterized by accurate thinking, precise
exposition, and great reasoning skills. Among his writings are
commentaries on John, Luke, and the Pentateuch, treatises on dogmatic
theology, and Apologia against Julian the Apostate, and letters and
sermons. He was declared a doctor of the Church by Pope Leo XIII in 1882. His feast day is June 27th.
Mwanamke wa umri wa miaka 72 amejifungua mtoto mvulana katika hospitali moja nchini India.Mwanamke
huyo alipachikwa mimba kupitia njia ya kitaalamu ya IVF ambapo yai la
mwanamke hutolewa kutoka kwenye ovari, kutungishwa mbegu ya kiume na
kisha kurejeshwa kwenye mji wa mimba. Yai hilo linaweza kutolewa kwa
mwanamke mwingine.
Njia hiyo hutumiwa kuwawezesha wanawake tasa kupata watoto.
Daljinder Kaur alijifungua mtoto wake baada ya kupokea matibabu kwa miaka miwili katika hospitali iliyoko jimbo la Haryana.
Matabibu walifanikiwa kumtungisha mimba kupitia IVF mara yao ya tatu.
Mumewe Kaur ana umri wa miaka 79.
Umati wa watu wakimsikiliza Papa Francisco wakati wa sala ya Malkia wa Mbingu
08.05.2016 - REUTERS
Baba
Mtakatifu Francisko, Jumapili akisali sala ya Malkia wa Mbingu,Jumapili
ya saba ya kipindi cha Pasaka, alihimiza Wakristo kumhubiri Kristo,
kila mahali duniani bila woga. Himizo hilo alilitoa mbele ya maelfu ya
mahujaji na wageni waliokusanyika katika Uwanja wa Kanisa Kuu la
Mtakatifu Petro , Jumapili hii ambayo pia Mama Kanisa alikuwa
akiadhimisha Sikukuu ya Kupaa Rabbi, na Siku ya Mama wote .
Akitoa hotuba fupi juu ya siku kuu ya Kupaa Rabbi , Papa alisema,
"awali kabla ya kuwaacha marafiki zake , Yesu alifanya rejea katika kifo
na ufufuko wake , akisema ninyi ni mashahidi wangu. Na kumbe Yesu
anawataja mitume wake waliokuwa mashahidi wakati wa mateso kifo na
ufufuko wake pia wanakuwa mashahidi wake wakati wa kupaaa kwake Kristo"
Mgombea urais wa
chama cha Republican nchini Marekani Ted Cruz ameshinda mchujo wa chama
hicho katika jimbo la Wisconsin, hilo likiwa pigo kubwa kwa Donald
Trump.Katika chama cha Democratic, Bernie Sanders alipata ushindi mkubwa dhidi ya Hillary Clinton anayeongoza kwa wajumbe kwa sasa.
Bw
Trump anaongoza kwa wajumbe na katika kura za maoni chama cha
Republican, lakini kuna wasiwasi kwamba huenda akashindwa kupata wajumbe
wa kumuwezesha kuidhinishwa moja kwa moja kuwa mgombea.
Wapinzani
wa Bw Trump wanatumai kwamba hilo likifanyika basi wanaweza kubadilisha
mambo katika mkutano mkuu wa chama hicho wa kuidhinisha wagombea mwezi
Julai.
Katika mkutano huo, iwapo hakuna mgombea atakayepata zaidi
ya nusu ya wajumbe, ni viongozi wa chama ambao watakuwa na usemi katika
kuamua mgombea.
“Leo ni siku muhimu sana, inatoa ujumbe kwa watu wa Marekani,” Bw Cruz amewaambia wafuasi wa chama hicho Milwaukee.
“Tunashinda kwa sababu tunaunganisha chama cha Republican.”
Bw Cruz huenda asipate wajumbe wa kutosha kumuwezesha kushinda uteuzi moja kwa moja, lakini
viongozi wa chama cha Republican wanamuunga mkono katika juhudi za kumzima Bw Trump.Bw Trump kwa upande wake amesema kwamba ana
matumaini kwamba atafanikiwa licha ya kushindwa Wisconsin na
akamshambulia mpinzani wake."Ted Cruz ni mbaya kushinda
kikaragozi, yeye ni kama kirusi, anatumiwa na viongozi wa chama
kutupokonya uteuzi,” maafisa wa kampeni wa Bw Trump wamesema kupitia
taarifa.
Viongozi wa chama wana wasiwasi kwamba Bw Trump hatakuwa
na nguvu sana katika kukabiliana na mgombea wa Democratic uchaguzini
iwapo ataidhinishwa na pia kwamba anaweza kuathiri wagombea ubunge wa
Republican uchaguzini.
Kura za maoni zinaonesha hapendwi na wanawake, watu wa Hispania na vijana.
Katika
upande wa Democratic, ushindi wa Sanders jimbo la Wisconsin
umemuongezea nguvu kabla ya mchujo muhimu New York na Pennsylvania. Seneta huyo wa Vermont, akiwahutubia wafuasi wake
Wyoming, amesisitiza kwamba kampeni yake inaendelea kushika kasi na
kwamba atabadilisha mambo."Mabadiliko kamili huwa hayafanyiki kutoka juu kwenda chini, huwa yanatoka chini kwenda juu,” amesema.
Bi
Clinton yuko mbele sana kwa wajumbe na wadadisi wengi wa kisiasa
wanasema ana uwezekano mkubwa wa kushinda uteuzi wa chama cha Democratic
licha ya kushindwa majimbo kadha karibuni.
Ingawa Bw Trump alishindwa mchujo huo wa Jumanne Wisconsin, bado ana muda wa kujikwamua.
Rais Dk. John Magufuli anatarajia kuondoka nchini kuelekea
Rwanda, ikiwa ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu aapishwe kuingia
madarakani Novemba 5, mwaka jana.
Taarifa iliyotolewa jana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, ilieleza kuwa katika ziara hiyo
Rais Magufuli na mwenyeji wake Rais Paul Kagame wanatarajia kufungua
daraja la kimataifa la Rusumo na kituo cha pamoja cha ukusanyaji ushuru
mpakani, ambacho ni moja ya miradi muhimu iliyoanzishwa kwa hisani ya
Jumuiya ya Afrika Mashariki.
17 Then the high priest intervened with all his supporters from the party of the Sadducees. Filled with jealousy,
18 they arrested the apostles and had them put in the public gaol.
19 But at night the angel of the Lord opened the prison gates and said as he led them out,
20 'Go and take up position in the Temple, and tell the people all about this new Life.'
21 They did as they were told; they went into the Temple at dawn and began to preach. When the highpriest arrived, he and his supporters convened the Sanhedrin -- this was the full Senate of Israel -- and sent to the gaol for them to be brought.
22 But when the officials arrived at the prison they found they were not inside, so they went back and reported,
23 'We found the gaol securely locked and the warders on duty at the gates, but when we unlocked the door we found no one inside.'
24 When the captain of the Temple and the chief priests heard this news they wondered what could be happening.
25 Then a man arrived with fresh news. 'Look!' he said, 'the men you imprisoned are in the Temple. They are standing there preaching to the people.'
26 The captain went with his men and fetched them -- though not by force, for they were afraid that the people might stone them.
Responsorial Psalm, Psalms 34:2-3, 4-5, 6-7, 8-9
2 I will praise Yahweh from my heart; let the humble hear and rejoice.
3 Proclaim with me the greatness of Yahweh, let us acclaim his name together.
4 I seek Yahweh and he answers me, frees me from all my fears.
5 Fix your gaze on Yahweh and your face will grow bright, you will never hang your head in shame.
6 A pauper calls out and Yahweh hears, saves him from all his troubles.
7 The angel of Yahweh encamps around those who fear him, and rescues them.
8 Taste and see that Yahweh is good. How blessed are those who take refuge in him.
9 Fear Yahweh, you his holy ones; those who fear him lack for nothing.
Gospel, John 3:16-21
16 For this is how God loved the world: he gave his only Son, so that everyone who believes in him may not perish but may have eternal life.
17 For God sent his Son into the world not to judge the world, but so that through him the world might be saved.
18 No one who believes in him will be judged; but whoever does not believe is judged already, because that person does not believe in the Name of God's only Son.
19 And the judgement is this: though the light has come into the world people have preferred darkness to the light because their deeds were evil.
20 And indeed, everybody who does wrong hates the light and avoids it, to prevent his actions from being shown up;
21 but whoever does the truth comes out into the light, so that what he is doing may plainly appear as done in God.'
Baba Mtakatifu Francisko amemtunukia nishani ya heshima ya utumishi uliotukuka Dr. Alberto Gasbarri, aliyekuwa mratibu wa hija za kitume za kipapa na mkurugenzi mkuu wa utawala Radio Vatican. Katika hotuba yake, ya shukrani kwa Dr. Gasbarri, Askofu mkuu Angelo Becciu, katibu mkuu msaidizi wa Vatican amesema kwamba, nishani hii imetolewa na Baba Mtakatifu kwa kutambua ukweli na weledi uliomwilishwa na Dr. Gasbarri katika huduma yake mjini Vatican. Nishani hii ni changamoto ya kusonga mbele ili kuendelea kumwilisha tunu msingi za Kiinjili katika uhalisia wa maisha.
SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutoa agizo la kupunguza mishahara mikubwa ya watendaji wa mashirika ya umma, hatimaye Serikali kupitia Bodi ya Mishahara imeanza kazi ya kufanya marekebisho hayo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Rais Magufuli, kuagiza kushushwa kwa viwango vya mishahara ya viongozi wa mashirika ya umma ambapo wengine hulipwa Sh milioni 36 hadi milioni 40 kwa mwezi.
Akizungumza na MTANZANIA jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki, alisema katika kipindi cha miezi 15 kuanzia sasa mishahara ya watumishi hao itapunguzwa na kuwa yenye uwiyano.