Week Hot newz

‘Magufuli ni injini ya mabadiliko Tanzania’

INGAWA baadhi ya wanasiasa wanatumia neno mabadiliko kama kaulimbiu katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Magufuli anaonekana kuwa ndio injini ya mabadiliko ya kweli.

Katika mikutano yote ya Kampeni za kusaka kura za urais, Magufuli anahubiri mabadiliko na kusisitiza nia yake ya kuwa na Tanzania mpya.
Magufuli anataka Tanzania ya viwanda; itakayotokomeza umasikini kwa kutengeneza ajira kutoka asilimia tisa hadi asilimia 40. Hataki kuongoza serikali ambayo inakamua wazalishaji wadogo, kwa kuwatoza ushuru na kodi anazozitaja kuwa ni za hovyo. Anataka kuongoza mabadiliko ambayo yatawezesha mama lishe, wamachinga , wakulima, waendesha pikipiki za abiria maarufu kama bodaboda, kufanya shughuli zao bila kubughudhiwa.

Ni mgombea ambaye amekuwa akijinadi kwa kutumia kaulimbiu ya ‘Magufuli kwa Mabadiliko’. Katika mikutano ya kampeni kwenye maeneo mbalimbali nchini, amekuwa akiweka bayana anavyochukia ufisadi na mafisadi. Amekuwa akitaja msimamo wake pia namna anavyochukia uzembe na watumishi wazembe , wakiwemo wala rushwa wanaonyonya watu wanyonge.

Magufuli anasema wazi kuwa hana hofu ya kunyimwa kura na kundi hilo la watu.
Isitoshe, anaamini mafisadi na wazembe wanamchukia kwa msimamo wake. Hata hivyo, anaamini, wapo watu wazuri ambao ndiyo wengi ; wanaopenda kupata serikali adilifu na yenye viongozi waadilifu waweze kutendewa haki na kunufaika na matunda ya nchi yao. “Baraza langu la mawaziri litakuwa dogo na lenye watu waadilifu…,” anasema Magufuli.
Ameahidi kuboresha kilimo na kwa kuhakikisha anaongeza thamani ya mazao mbalimbali hatimaye wakulima wanufaike kwa bei nzuri itakayowawezesha kumudu mahitaji yao. “Sizungumzi uongo wala kuwapamba kwa kutaka kura…kazi ya kwanza ya serikali yangu itakuwa kusimamia bei ya tumbaku… kuna makato mengi na wanunuzi wengi wanaringa,” ni kauli aliyoitoa wilayani Sikonge katika mkoa wa Tabora.
Akiwa mkoani Kagera, Magufuli alieleza azma yake ya kuboresha zao la kahawa na kueleza kuwa hakubaliani na hatua ya wananchi kuuza mazao nje ya nchi kwa kuwa kitendo hicho kinadidimiza uchumi wa ndani na kuimarisha wa nchi jirani. Anasema endapo ataingia madarakani atapunguza kodi zilizowekwa kwenye zao la kahawa ambazo zinatajwa idadi yake inafikia 26. Vile vile anaona ujenzi wa viwanda vya kusindika kahawa, ni suluhu nyingine ambayo itawezesha zao hilo kupanda bei.
Pamoja na masuala mengine, anaahidi serikali yake itatoa elimu bure kuanzia Darasa la Kwanza hadi Kidato cha Nne. Kwa ujumla, yako mambo mengi mapya ambayo Magufuli na CCM kwa ujumla, wanaamini yatapatikana katika uongozi wa serikali awamu ya tano. Pamoja na mikakati hiyo, Magufuli anakiri awamu zilizopita chini ya marais wanne, zimefanya kazi nzuri inayomwezesha kuendeleza juhudi za kuwaletea maendeleo makubwa Watanzania.
Miongoni mwa mafanikio ya awamu zilizopita , ni pamoja na kuweka msingi imara wa amani na usalama wa nchi.

Ujenzi wa barabara, usambazaji huduma ya umeme, ujenzi wa zahanati, ni maeneo mengine ambayo mgombea urais huyo wa CCM amekuwa akikiri kwamba umekwenda vizuri kiasi cha kumwekea msingi mzuri wa kuleta mabadiliko makubwa zaidi chini ya serikali yake.
Wakati Magufuli na chama chake wakiamini katika falsafa hiyo ya mabadiliko wapo wanasiasa wanaobeza mabadiliko hayo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, anasema mabadiliko ndani ya CCM yaliendelea na hatua ya kupeleka chama kwa wananchi. Kupitia Sekretarieti ya CCM, ikiongozwa na Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, aliyeteuliwa mwaka 2012 kuiongoza, alianza ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya chama.
Katika ziara hiyo iliyodumu miezi 28 kabla ya kuhitimishwa Julai mwaka huu , alibaini mambo yanayokera wananchi kwa ajili ya kuyafanyia kazi. Nape anaweka wazi kwamba, katika kuzungukia nchi nzima, walibaini miongoni mwa kero za wananchi ni rushwa, urasimu serikalini pamoja na dhuluma. Akiwa kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais, Mjini Iringa hivi karibuni, Nape anakiri kwamba, wapo watu wachache walitumia CCM vibaya kutokana na kuiba na kukimbilia kujificha kwenye chama.
“Chama chetu kikaanza kunyooshewa vidole…tukazunguka, tulipomaliza, tukaenda Dodoma tukasema tutafute mtu atakayeleta mabadiliko ya kweli kwenye utendaji wa serikali,” anasema Nape. Kwa mujibu wa Nape, katika orodha ya wagombea, hawakuona mwingine bali Magufuli. “Mabadiliko tunayoyataka ndani ya serikali, mabadiliko tunayoyataka ndani ya CCM, tutayapata kwa Magufuli. Magufuli ni chachu ya mabadiliko tunayoyataka,” Nape anasisitiza.
Baadhi ya wanasiasa wakongwe, wakiwamo Mawaziri wakuu wastaafu, John Malecela na Jaji Joseph Warioba, wanakiri Magufuli ndiye mtu sahihi wa kuleta mabadiliko nchini. Malecela ana imani kwamba CCM aliyoiacha Mwalimu Julius Nyerere bado iko imara na itaendelea kuimarika chini ya uongozi wa Magufuli. Kwa upande wake, Jaji Warioba anasema nchi ina kila sababu ya kumchagua Magufuli kwa kuwa ni mzalendo, anayehubiri amani muda mwingi.
“Wengine wanaona kama ni utani,” anasema Jaji Warioba mjini Dodoma hivi karibuni na kusisitiza kuwa anaamini Magufuli ataunganisha na kuimarisha umoja wa nchi. Jambo lingine linalomshawishi Jaji Warioba kuona Magufuli anafaa na ni chachu ya mabadiliko, ni kutokana na uadilifu na msimamo wake dhidi ya ufisadi. Jaji Warioba anasema, kipindi hiki panahitajika mtu mwadilifu kutokana na ufisadi kuwa tatizo kubwa nchini. “Magufuli ndiye mwenye uwezo huo,” Jaji Warioba anasisitiza.
Katika kudhihirisha nia na msimamo wake wa kuwezesha mabadiliko hayo, Magufuli katika mikutano yake, ameweka bayana kwamba hatakuwa na mchezo na wazembe, wala rushwa na mafisadi. Chini ya falsafa yake ya mabadiliko, Magufuli anachosisitiza ni kazi. Anaunga msimamo wa CCM kupitia kwa Katibu Mkuu wake, Kinana ambaye baada ya kutembelea nchi nzima, alitoa karipio kwa viongozi wa chama na serikali, akiwataka waachane na kasumba ya kukaa maofisini, badala yake waende kwa wananchi wajue matatizo yao na wayafanyie kazi.
“Mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya tokeni ofisini, achanane na tai, viyoyozi nendeni mkakae na watu wa vijijini hao ndiyo wanaowalipa mishahara,” ni kauli aliyoitoa Kinana mjini Mwanza wakati akihitimisha ziara yake nchi nzima. Katika hotuba yake ya kuhitimisha ziara, Kinana aliweka bayana kwamba lengo ni kuhakikisha CCM inarudi kwenye misingi yake, aliyoiacha Mwalimu Nyerere.
Akionesha namna ambavyo Magufuli ni tunda la mabadiliko ndani ya chama, Nape anasisitiza katika kuhakikisha CCM inarudi kwenye misingi hiyo, tangu awali waliweka msimamo wa kuepuka wagombea wanaonunua uongozi. Hata kabla ya kura ya maoni, Nape akiwa kwenye mkutano wa mwisho mjini Mwanza, aliweka wazi kwamba chama hakikuwa tayari kukubali kupitisha mtu anayenunua uongozi.
Kwa ujumla, hoja iliyopo ni kwamba, pamoja na chama kupitisha mtu anayetarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika nchi, pia chenyewe kimejizatiti kuridhia mageuzi hayo kwa namna tofauti. Njia mojawapo ambayo imeshawekwa bayana, ni CCM kubadilisha mfumo kwa kutoruhusu Waziri Mkuu kuwa mwenyekiti wa wabunge wake katika Bunge ili kuepusha utamaduni uliokuwa umejengeka wa kupitisha kila kinacholetwa na serikali bungeni.

Elizabeth Josiah na Moses Josiah - Ukitaka

JESUS Film Swahili, Kenya- Neema ya Bwana Yesu na iwe pamoja nanyi nyote...

Rushwa imeshindikana nchini?



Mkurugenzi wa Takukuru, Edward Hoseah.
Ninapenda  sana Takukuru ifanikiwe katika kutokomeza rushwa nchini. Lakini nina uhakika kuwa, haitafanikiwa na nina sababu za kwa nini nasema hivyo.
 
Rushwa sio suala la kupeana fedha chini ya meza, kwa msingi usio wa halali, na kwa mtu asiyestahili; kupeana huduma kwa upendeleo au kwa kutaka kulipwa kitu fulani kwanza; au hutoa huduma kwa misingi ya udugu, familia, mapenzi, ukabila, dini. Lakini rushwa ni matokeo, sio chanzo cha matatizo. 
 
Kama rushwa ni mtoto wa chanzo fulani, basi madhara yanayotokana na rushwa ni mjukuu wa chanzo ambazo TAKUKURU wanatakiwa kukimaizi na kukishughulikia. Lakini kama mnaweza!
 
Niliwahi kuandika kuwa, Rushwa ni mtazamo- a frame! Mtazamo huu umejenga fikra za kiitikadi na kujikita katika fikra za wananchi kiasi kwamba, hatuoni namna ingine ya kuishi ila hiyo ya kutoa rushwa. 
 
Na TAKUKURU wanapokuja na mtazamo kinzani- challenger frame,  kuwa rushwa ni jinai, ni makosa, wanakuta sisi tuko tayari tumeshajikita katika utamaduni wa kutoa rushwa. 
 
Ni sehemu ya maisha, ni mazoea- practice. Na kwa kweli hatuoni kuwa binadamu anaweza kuishi bila kutoa au kupewa rushwa. Na mazoea haya yana msingi wa kihistoria katika uchumi na siasa.
 
Kuna wakati nchi hii, ilikuwa na uchumi mzuri sana. Wakati ule tulisema dola moja ilikuwa sawa na shilingi tano; dala! Noti ya shilingi ishirini ilikuwa ikiitwa pauni; pauni moja ilikuwa sawa na shilingi ishirini. 
 
Nchi hii ilikuwa bora katika uzalishaji wa bidhaa za walaji kutoka viwandani na mashambani. Nchi ilikuwa na viwanda na ajira kwa sisi tuliokuwa tunamaliza masomo haikuwa shida. Nchi ilikuwa na wanasiasa ambao kazi yao ilikuwa ni kufikiria namna gani viwanda, kilimo na huduma vitoe ajira kwa wananchi. 
 
Nakumbuka wakati ambao nikiwa likizo ya masomo niliweza kupata kazi ya muda viwandani. Nakumbuka tulipokuwa tunamaliza masomo yetu tulikuwa tukijaza fomu za kuomba kupelekwa kwenye ajira mbalimbali- CEL Form. Ikaja kufa. Viwanda vilikufa, kilimo kilikufa na sekta ya huduma ikafifia. Nchi ikaharibu uchumi wa viwanda vyake kwa kuruhusu soko lifanye kazi yake. Wanasiasa waliona kuwa kazi ya kufikiri juu ya uchumi sio yao tena bali ya IMF, WB na nchi wahisani. 
 
Sisi sio wa kufikiri tena bali kufikiriwa. Wanasiasa hawakukaa na hawakai kutafuta majibu ya matatizo yetu, bali kuandika bajeti ambayo wafadhili watajiridhisha kuwa tunafaa kukopeshwa au kupewa msaada; kufanya maandiko ya miradi kwa ajili ya ufadhili. 
 
Fedha ikawa inaingia serikalini. Wanasiasa badala ya kufikiria kuziongeza kwa kufanya uwekezaji wa kiserikali- public sector investment, wakaona sasa aliye mjanja na mwenye meno awahi hizo fedha. 
 
Wakakimbilia kununua hisa kwenye viwanda, mashirika, na kununua mapande ya ardhi na kuyalimbikiza. Fedha zilizoingia serikali hazikuwa tena kwa ajili ya kuzizungusha kama mtaji bali kugawana kwa wale wanaojua zilipo na namna ya kuzichota. 
 
Na ajira ikawa sasa kwa undugu, urafiki, mapenzi, ukabila. Ndio tunasikia hayo ya watoto wa vigogo BOT. 
 
Wanasiasa wakaona siasa ndio sekta pekee ya kuiwekea fedha za kutosha- lakini sekta za afya, elimu uzalishaji wa kilimo na viwanda na huduma, hakuna. Nchi ikaanza kushindwa kusafirisha bidhaa nje; tukaanza kuwa waagizaji; ajira na uzalishaji vikapungua, tukaambiwa tuwe wajasirimali kwa ajili ya soko ambalo limejaa bidhaa za nje tayari. 
 
Aidha viongozi wamekuwa sasa ndio wanaolindana sasa. Wote ni wale wale. Kama hakuna utashi wa kisiasa wa kupigana na rushwa kwa maana ya (i) kutooneana aibu, (2) kutafuta majibu ya kuuokoa uchumi unaodorara, (3) kusaidia taasisi za kupambana na rushwa- polisi, Usalama wa Taifa na TAKUKURU, kufanya kazi kwa meno halisi badala ya kutumia ya bandia, mnawezaje kuiondoa rushwa. 
 
Sitaki kuwa mtu mwenye kejeli- cynical, kuhusiana na hili. Huu ndio ukweli niuonao, na niuonavyo. Hatuwezi kupambana na rushwa, nasubiri siku rais aseme sasa imetosha na rushwa ni adui wa haki. 
 
Na atakayesema, uchumi na ukue, atakayesema sasa imetosha. Hayupo na hatapatikana kama wale wanaotoa rushwa ndio wanaoweza kupitishwa kuwa rais Oktoba 2015.

Macho yameona mengi album mpya hivi karibuni sokoni

Wanamuziki mahiri wa nyimbo za injili nchini Tanzania Elizabeth Josiah na Moses Josiah ambao wanatamba sana na video ya `Ukitaka `kwa muda mrefu kwa nyimbo hii ya  injili inayokonga nyoyo za wapenzi wa nyimbo za injili Afrika Mashariki, hivi karibuni wanatarajia kuachia album yao mpya kabisa inayokwenda kwa jina Macho yameona mengi ikiwa katika mfumo wa DVD uzinduzi utakaofanyika jijini Mwanza  mwezi Desemba 2015 albamu hii ina  nyimbo nane ambazo ni wewe ni Mungu, Tazama, Ruadha inmitelona, Bwana wa Mabwana, Mwambie Yesu, Galilaya, yeye ndio na Mambo yameona mengi ambayo ndio imechukua jina la album. 


Albamu hii ya Macho yameona mengi inerekodiwa katika studio za EX2 Studio iliyo maeneo ya Mecco jijini Mwanza nchini Tanzania. Na albamu hii ilikamilika mwaka 2014 na kuwa tiyari ila matatizo anayoyapata Mwanamziki Moses Josiah ni kupata wasambazaji ili iweze kuwafikia wapenzi mziki wa injili na anaomba watu wenye kuitaji huduma yake ya kuinjirisha wawasiliane nae kwa facebook.com/Moses Josiah kama mdau wa muziki wa injili habari ndio hiyo,,,waweza jiongeza na kuhudhuria uzinduzi huo bila kukosa na Mungu akubariki.

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf
Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf
Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Afrika ya kusini ambaye amekuwa akipambana na majaribu mbalimbali kila kukicha, mwanakaka Lundi Tyamara ameachia album mpya ya muziki wa injili iitwayo Lundi & Friends wiki hii bila wasimamizi wa kazi zake kujua suala hilo hivyo kuleta mkanganyiko.

Mwanakaka huyo ambaye ameshauza mamilioni ya kopi ya kazi zake miaka ya nyuma ameachia album mpya siku ya jumanne wiki hii bila kampuni ya Zuz'Muz Music ambayo imeingia naye mkataba kujua suala hilo ingawa kampuni ndiyo imeachia album hiyo sokoni. Akizungumza na Tonight chombo cha habari nchini humo bwana Tshepo Ndzimande amekitaka chombo hicho kutangaza uwepo wa album mpya ya Lundi ingawa hawakupenda namna album hiyo ilivyoandaliwa kwakuwa imefanywa nje ya mkataba wao.
Ndzimande amesema ingawa album hiyo imefanywa nje ya kampuni yao imerekodiwa vizuri sana hata wanamuziki ambao Lundi amewashirikisha wamefanya kazi nzuri na kuongeza kwamba walipata habari kwamba Lundi anarekodi album mpya kupitia The Jaziel brothers ambaye aliwapigia simu kuwataarifu kwamba ameshirikishwa kwenye wimbo na Lundi na kutaka kusikia mawazo yao. Ndzimande amesema ameshangazwa na kitendo hicho cha Lundi kwakuwa walisaini mkataba naye wakurekodi album nne chini ya kampuni hiyo ambapo mpaka sasa amerekodi album moja tu na kushangazwa kwenda kurekodi album mpya kinyemela bila wao kuwa na taarifa.
Aidha bwana Ndzimande amesema alidhani mwimbaji huyo amejifunza kosa lake kama hilo alilowahi kufanya awali kwakurekodi nje ya mkataba kitu ambacho kingemletea matatizo makubwa lakini inaonekana hajajifunza na sasa amerudia tena na kutoa onyo kwa watu walioshiriki katika kumrekodi na kufanikisha album hiyo kwakuwa wanajua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria kwakuwa wanajua mwanamuziki huyo yupo chini ya kampuni kisheria.
Kwa upande wake Lundi alipopigiwa simu na waandishi wa Tonight kuhusiana na taarifa hizo amesema hajarekodi au kutoa album mpya yeyote na alipoambiwa suala la Ndzimande kisheria mwanamuziki huyo alisema hataki kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo. Aidha kuonyesha amefanya kweli kitendo hicho kupitia ukurasa wake wa Facebook mwanakaka huyo amemwita bwana Tshepo Ndzimande kama mwizi wa kazi zake na kuwataka mashabiki wake kutomsikiliza kwani hajatoa album yeyote ila anatarajiwa kutoa album mpya iitwayo "The New Testament"hivi karibuni na kuomba maombi yao.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/02/kutoka-south-lundi-matatani-tena-na.html#sthash.lzu6h8VM.dpuf

Daily Reading for Tuesday, October 6th, 2015

Reading 1, Jonah 3:1-10 1 The word of Yahweh was addressed to Jonah a second time.
2 'Up!' he said, 'Go to Nineveh, the great city, and preach to it as I shall tell you.'
3 Jonah set out and went to Nineveh in obedience to the word of Yahweh. Now Nineveh was a city great beyond compare; to cross it took three days.
4 Jonah began by going a day's journey into the city and then proclaimed, 'Only forty days more and Nineveh will be overthrown.'
5 And the people of Nineveh believed in God; they proclaimed a fast and put on sackcloth, from the greatest to the least.
6 When the news reached the king of Nineveh, he rose from his throne, took off his robe, put on sackcloth and sat down in ashes.
7 He then had it proclaimed throughout Nineveh, by decree of the king and his nobles, as follows: 'No person or animal, herd or flock, may eat anything; they may not graze, they may not drink any water.
8 All must put on sackcloth and call on God with all their might; and let everyone renounce his evil ways and violent behaviour.
9 Who knows? Perhaps God will change his mind and relent and renounce his burning wrath, so that we shall not perish.'
10 God saw their efforts to renounce their evil ways. And God relented about the disaster which he had threatened to bring on them, and did not bring it.

Responsorial Psalm, Psalms 130:1-2, 3-4, 7-8

1 [Song of Ascents] From the depths I call to you, Yahweh:
2 Lord, hear my cry. Listen attentively to the sound of my pleading!
3 If you kept a record of our sins, Lord, who could stand their ground?
4 But with you is forgiveness, that you may be revered.
7 let Israel hope in Yahweh. For with Yahweh is faithful love, with him generous ransom;
8 and he will ransom Israel from all its sins.

Gospel, Luke 10:38-42

38 In the course of their journey he came to a village, and a woman named Martha welcomed him into her house.
39 She had a sister called Mary, who sat down at the Lord's feet and listened to him speaking.
40 Now Martha, who was distracted with all the serving, came to him and said, 'Lord, do you not care that my sister is leaving me to do the serving all by myself? Please tell her to help me.'
41 But the Lord answered, 'Martha, Martha,' he said, 'you worry and fret about so many things,
42 and yet few are needed, indeed only one. It is Mary who has chosen the better part, and it is not to be taken from her.'

Prayer of the Day for Tuesday, October 6, 2015

Prayer for Expectant Mothers #2 O Good Saint Anne,
who had the incomparable privilege of bringing into the
world
Her who was to become the Mother of God,
I come to place myself
under your special care.

I confide myself to you,
together with the child I am carrying.
Thousands of children owe you,
Glorious Mother of Mary,
the life of the body and the grace of baptism.
Hence I wish, in my turn,
to place my whole confidence in you.
Make me keep in mind the precautions I need to take
so as not to endanger in any way the health,
good qualities or the eternal salvation
of the child whose very existence
God has placed in my care.

Obtain for me
the virtues you did teach Her who was to be the Mother of
God,
so that I may afterwards
instil and develop them
in the heart of my child.

O Good Saint Anne,
protect me today and forever.
I know that you will not refuse your intercession
to a mother who invokes you with confidence.

Amen

St. Bruno

Short Cuts
Image of St. Bruno

Facts

Feastday: October 6

Bruno was born in Cologne of the prominent Hartenfaust family. He studied at the Cathedral school at Rheims, and on his return to Cologne about 1055, was ordained and became a Canon at St. Cunibert's. He returned to Rheims in 1056 as professor of theology, became head of the school the following year, and remained there until 1074, when he was appointed chancellor of Rheims by its archbishop, Manasses. Bruno was forced to flee Rheims when he and several other priests denounced Manasses in 1076 as unfit for the office of Papal Legate. Bruno later returned to Cologne but went back to Rheims in 1080 when Manasses was deposed, and though the people of Rheims wanted to make Bruno archbishop, he decided to pursue an eremitical life. He became a hermit under Abbot St. Robert of Molesmes (who later founded Citeaux) but then moved on to Grenoble with six companions in 1084. They were assigned a place for their hermitages in a desolate, mountainous, alpine area called La Grande Chartreuse, by Bishop St. Hugh of Grenoble, whose confessor Bruno became. They built an oratory and individual cells, roughly followed the rule of St. Benedict, and thus began the Carthusian Order. They embraced a life of poverty, manual work, prayer, and transcribing manuscripts, though as yet they had no written rule. The fame of the group and their founder spread, and in 1090, Bruno was brought to Rome, against his wishes, by Pope Urban II (whom he had taught at Rheims) as Papal Adviser in the reformation of the clergy. Bruno persuaded Urban to allow him to resume his eremitical state, founded St. Mary's at La Torre in Calabria, declined the Pope's offer of the archbishopric of Reggio, became a close friend of Count Robert of Sicily, and remained there until his death on October 6. He wrote several commentaries on the psalms and on St. Paul's epistles. He was never formally canonized because of the Carthusians' aversion to public honors but Pope Leo X granted the Carthusians permission to celebrate his feast in 1514, and his name was placed on the Roman calendar in 1623. His feast day is October 6

Papa Francis:Kila mmoja anaye Malaika wake mlinzi!

Ni lazima kugeuka watoto wadogo , maana ndiyo walio wakubwa katika ufalme mbingu. - AFP

Vatican Radio: Mungu alimpatia kila mmoja mwenzake wa kumsindikiza, ambaye ni malaika kwa ajili ya kushauri na kulinda na pia Malaika ni wa kusikilizwa kwa makini.  Papa Francis aliyasema hayo katika mahubiri yake  Ijumaa 2 Oktoba  katika Kanisa la Mtakatifu Marta Vatican ambapo, Kanisa likiwa linafanya kumbukumbu ya malaika walinzi.Papa alisema ya kwamba, ukitaka kutambua baba ambaye anapenda na pia  anafunika , anaonekana katika kurasa za kwanza za Biblia ambamo Mungu alipowafukuza Adamu na Eva katika bustani ya Eden lakini hakuwaacha peke yao na kuwaambia  fanyeni mnavyotaka.

Papa Francis anataja sala ya Zaburi ambayo inaonyesha ya kwamba malaika daima walivyo walinzi katika kila aina ya jambo lolote la binadamu na mbinguni. Bwana alimpatia Kila mmoja mwenza anaye muongoza  na daima yupo nasi  na hali halisi ya kweli,  kama balozi wa Mungu kwetu sisi.Na Mungu anatushauri kuwa makini na kugundua uwepo wake , hata kama sisi tukiwaza kutenda ukatili na kufikiri tuko peke yetu si kweli , kwa maana yupo malaika .

Ni lazima kumsikiliza kwa makini sauti yake kwasababu anatushauri . Papa alisema, mara kwa amara tunapoijiwa na mawazo ya kufanya jambo fulani au kujisikia usifanye  ni lazima kusikiliza na wala siyo kuwa wakaidi. Aliongeza  ya kwamba Malaika  walinzi wanatutetea daima na zaidi juu  ya ubaya, na kubainisha pia  mara nyingi tunafikiria kwamba tunaweza kuficha  mambo mengi , na mambo mabaya ambayo mwisho wake lakini  hayo yote yatajitokeza kwenye mwanga.
Malaika yupo kutushuauri na kutufunika ni kama vile ambavyo anagefanya rafiki yetu ambaye mara nyingi hatumwoni lakini tunamsikia , ni rafiki ambaye siku moja atakuwa na sisi katika furaha ya milele huko mbinguni.
 Rafiki huyo lakini anahitaji usikivu , msindikizaji huyo ni wa kuheshimu na kusikilizwa  katika safari yetu anaitwa usikivu kwa makini.Kila Mkristo anapaswa kuwa makini katika usikivu  wa roho mtakatifu, Na usikivu wa roho mtakatifu  unaanza pale kwenye usikivu wa ushauri wa huyo mwenza wetu katika safari. Ili kuwa wasikivu , papa anaelekeza ni lazima kugeuka watoto wadogo, ambao Yesu mwenyewe alisema ndiyo walio wakubwa katika ufalme wa Baba yake.
Na hivyo papa alimalizia akisema ya kwamaba Malaika walinzi ni wenza wa safari ambao wanatufundisha unyenyekevu, kama vile watoto wanavyotakiwa kusikilizwa. Na tuombe neema ya Bwanan ya kuwa wasikivu , wa kusikiliza sauti ya huyo mwenza wetu  , na balozi wa Mungu aliye karibu nasi kwa jina lake, na sisi tunapata msaada kutoka kwake.

Watanzania dumisheni haki na amani ili kufanikisha uchaguzi mkuu 2015


 

Watanzania wanapoendelea na kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaoratajiwa kufanyika hapo tarehe 25 Oktoba 2015 wametakiwa kujenga na kudumisha amani, utulivu na maridhiano, ili kutoa nafasi kwa wagombea nafasi mbali mbali za uongozi kuweza kunadi sera na vipaumbele vyao. Changamoto hii imetolewa hivi karibuni na mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Galawa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake hivi karibuni na mwakilishi kutoka Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma wakati wa kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya miaka 200 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Wamissionari wa Damu Azizi ya Yesu na kumbu kumbu ya takribani miaka 50 ya uwepo wa Wamissionari hao nchini Tanzania.

Mkuu wa mkoa wa Dodoma kwa namna ya pekee amewapongeza Wamissionari wa Damu Azizi ya Yesu, Kanda ya Tanzania kuwa kweli ni wadau wakuu wa maendeleo kwa mikoa ya Kanda ya kati. Huko wamekuwa mstari wa mbele katika huduma kwa wagonjwa na maskini; elimu kwa watoto na vijana, huduma ya maji pamoja na kukoleza mchakato wa maendeleo endelevu ya watanzania: kiroho na kimwili. Sherehe hizi zilihudhuriwa na umati mkubwa wa Familia ya Mungu kutoka ndani na nje ya Tanzania.
Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S.
Dodoma, Tanzania.

Moses Josiah aibuka na Macho yameona mengi!

Pichani kutoka kushoto Msanii wa bongo fleva na nyimbo asili ya Kitanzania Batarokota akiwa na mwanamziki wa nyimbo za injili Moses Josiah 

Malkia wa muziki wa gospel nchini bibie Rose Muhando hatimaye amemaliza kurekodi album yake mpya ya sauti pamoja na kurekodi nyimbo mbili kwenye video huko nchini Afrika ya kusini chini ya kampuni ya Sony Music Entertainment ya Afrika ya kusini.

Kwa mujibu wa taarifa alizotoa mwimbaji huyo hii leo amesema amekamilisha nyimbo tatu zilizokuwa zimebakia katika kukamilisha album hiyo ya sauti ambayo hata hivyo hajaitaja jina. Mwimbaji huyo ambaye aliingia mkataba na kampuni hiyo ya kimataifa mapema mwaka jana, tayari amepata mafanikio makubwa kwenye medani ya muziki wa injili nchini tokea atoe album yake ya kwanza ya ''Mteule uwe Macho'' hadi yasasa ya ''Utamu wa Yesu''.

Hapana shaka kwamba album mpya itakuwa na kiwango kikubwa zaidi cha usikivu si kwenye sauti tu pia muziki wake utakuwa umerekodiwa kwenye viwango vikubwa kitu ambacho kitalifanya jina la Kristo lizidi kutangazwa si Tanzania tu bali maeneo mbalimbali duniani. Kila la kheri Rose Muhando.
- See more at: http://www.gospelkitaa.co.tz/2012/08/rose-muhando-akamilisha-album-mpya.html#sthash.kcdnx4hg.dpuf
MWANAMZIKI wa nyimbo za Injili hapa nchini Moses Josiah anayetamba sana Afrika Mashariki na Kati nyimbo zake kama  `Ruadha inmitelona` iliyoimba kwa kijaruo ,hivi karibuni ameibuka albamu mpya inayoitwa `macho yameona mengi.
Mwimbaji Elizabeth Josiah

Akizungumza na Batarokota Online kutoka jijini Mwanza, Nchini Tanzania Mwanamziki Moses Josiah alisema ` nimekamilisha albamu yangu yenye nyimbo nane ambazo ni wewe ni Mungu, Tazama, Ruadha inmitelona,Bwana wa Mabwana,Mwambie Yesu,Galilaya, yeye ndio na Mambo yameona mengi ambayo ndio imechukua jina la album katika kuandaa albamu hii nimeshirikiana na  Mwimbaji Elizabeth Josiah` alisema Moses Josiah

Albamu hii ya Macho yameona mengi inerekodiwa katika studio za EX2 Studio iliyo maeneo ya Mecco jijini Mwanza nchini Tanzania. Na albamu hii ilikamilika mwaka 2014 na kuwa tiyari ila matatizo anayoyapata Mwanamziki Moses Josiah ni kupata wasambazaji ili iweze kuwafikia wapenzi mziki wa injili na anaomba watu wenye kuitaji huduma yake ya kuinjirisha wawasiliane nae kwa facebook.com/Moses Josiah
 Pichani kutoka kushoto Msanii wa bongo fleva na nyimbo asili ya Kitanzania Batarokota akiwa na mwanamziki wa nyimbo za injili Moses Josiah

Usajili leseni kwa mtandao utaboresha uchumi



Kwa kipindi kirefu, wafanyabiashara wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa wa kupata leseni za kufanyia biashara kutokana na urasimu na ukiritimba uliojidhihirisha kutoka kwa mamlaka husika.

Mfumo mpya wa kutumia usajili wa leseni za biashara kwa kutunia mtandao, ambao ulizinduliwa na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Rais Jakaya Kikwete, jijini Dar es Salaam juzi, utawawezesha wafanyabiashara kupata leseni za biashara kwa haraka zaidi katika maeneo yao na kukamilisha malipo ya ada kwa njia ya mtandao.

Huo ni mfumo mpya wa usajili wa wafanyabiashara kwa njia ya mtandao, ambao unalenga kuondoa urasimu na kuboresha mazingira ya kibiashara kwa Watanzania.

Kutokana na mfumo huo, inatarajiwa kuwa utapunguza pia msongamano wa wafanyabiashara wanaoenda kujiandikisha ili kupata leseni na kuzilipia katika taasisi husika.

Idadi kubwa ya wananchi hujipatia riziki zao kutokana na kufanya biashara, wakati huo huo Serikali nayo hutoza kodi kwa kila biashara inayofanywa, na sehemu kubwa ya mapato ya serikali hutokana na kodi mbalimbali zikiwemo za wafanyabiashara.

Ni dhahiri kwamba kutokana na uzinduzi huo, mfumo huu sasa umewarahizishia usajili wafanyabiashara, na wengi wao wataamua kujisajili kisheria ili kuepukana na kufanya biashara bila kusajiliwa suala ambalo ni kinyume na sheria za nchi.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), Frank Kanyusi, alisema mfumo huo pia utapunguza vitendo vya rushwa vinavyowahusisha wafanyabiashara na watendaji wa Brela.

Kwa mfumo huu, tunaamini kuwa urasimu utakaokuwa umepungua utawezesha TRA na TIC kutopata usumbufu wa kumfuata mfanyabiashara tena, badala yake mfanyabiashara atalipa stahiki zote kwa mara moja na wao wataweza kugawana.

Wakati wa uzinduzi wa mfumo huo, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alisema TNBC ilifanya mkutano ili kujadili utekelezaji wa maazimio ya kuwashirikisha wananchi kwenye mambo ya kiuchumi, kuboresha mazingira ya biashara na kuangalia namna ya kukuza utalii.
Balozi Sefue alisema mkutano huo ulizingatia namna ya kuunganisha taasisi zote zinazohudumia wafanyabiashara ili kuwaondolea usumbufu wa aina yoyote.

Ni imani yetu kuwa hatua hizo, za kuwaondolea usumbufu wafanyabiashara kupata leseni zao bila urasimu, itakuwa chachu kubwa kwa walengwa wengine kujisajili kwa wingi na kufanya biashara kwa uhuru bila kukwepa kwepa mamlaka husika kama ilivyokuwa huko nyuma.

Ni dhahiri kwamba ili serikali itekeleze kwa ufanisi malengo na mipango ya maendeleo, ni lazima ikusanye kodi kutoka vyanzo mbalimbali, wafanyabiashara ni wadau wakubwa wa kuiwezesha serikali kiuchumi kupitia kodi zao.

Tunaipongeza serikali kwa hatua hiyo muhimu ya maboresho ya  uchumi na maendeleo ya wafanyabiashara nchini, tunaamini kuwa kutakuwepo na mwitikio mkubwa kwa wafanyabiashara kujisajili na kufanya malipo yao kwa njia ya dijitali badala ya usumbufu wa kufuatilia huko Brela.

Katibu Mkuu wa TNBC, Raymond Mbilinyi pia alisema yapo mafanikio makubwa ambayo yatarahisisha mazingira ya kufanya biashara nchini, aliyataja kuwa ni pamoja na kitengo cha kushughulikia uwekezaji wa wazawa.

Mbilinyi alisema kitengo hicho kinatarajiwa kuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, ambapo eneo jingine alisema ni namna ya kuainisha sheria ili iwe rahisi kwa mfanyabiashara kujua ni ipi itamsaidia kufanya biashara kwa faida.

Mfumo huu wa usajili wa kampuni kwa kutumia mtandao umebuniwa na kutengenezwa na vijana wa Tanzania kwa kutumia mapato ya ndani.

Tunaamini taasisi nyingine nchini zitafuata mfano wa ubunifu uliofanywa na vijana hao waliotumia rasilimali za ndani badala ya kutegemea misaada ya wahisani wa kutoka nje.
 
CHANZO: NIPASHE JANA JUMAPILI

Daily Reading for Monday, October 5th, 2015

Reading 1, Jonah 1:1--2:1, 11 1 The word of Yahweh was addressed to Jonah son of Amittai:
2 'Up!' he said, 'Go to Nineveh, the great city, and proclaim to them that their wickedness has forced itself upon me.'
3 Jonah set about running away from Yahweh, and going to Tarshish. He went down to Jaffa and found a ship bound for Tarshish; he paid his fare and boarded it, to go with them to Tarshish, to get away from Yahweh.
4 But Yahweh threw a hurricane at the sea, and there was such a great storm at sea that the ship threatened to break up.
5 The sailors took fright, and each of them called on his own god, and to lighten the ship they threw the cargo overboard. Jonah, however, had gone below, had lain down in the hold and was fast asleep,
6 when the boatswain went up to him and said, 'What do you mean by sleeping? Get up! Call on your god! Perhaps he will spare us a thought and not leave us to die.'
7 Then they said to each other, 'Come on, let us draw lots to find out who is to blame for bringing us this bad luck.' So they cast lots, and the lot pointed to Jonah.
8 Then they said to him, 'Tell us, what is your business? Where do you come from? What is your country? What is your nationality?'
9 He replied, 'I am a Hebrew, and I worship Yahweh, God of Heaven, who made both sea and dry land.'
10 The sailors were seized with terror at this and said, 'Why ever did you do this?' since they knew that he was trying to escape from Yahweh, because he had told them so.
11 They then said, 'What are we to do with you, to make the sea calm down for us?' For the sea was growing rougher and rougher.
12 He replied, 'Take me and throw me into the sea, and then it will calm down for you. I know it is my fault that this great storm has struck you.'
13 The sailors rowed hard in an effort to reach the shore, but in vain, since the sea was growing rougher and rougher.
14 So at last they called on Yahweh and said, 'O, Yahweh, do not let us perish for the sake of this man's life, and do not hold us responsible for causing an innocent man's death; for you, Yahweh, have acted as you saw fit.'
15 And taking hold of Jonah they threw him into the sea; and the sea stopped raging.
16 At this, the men were seized with dread of Yahweh; they offered a sacrifice to Yahweh and made vows to him.
1 Now Yahweh ordained that a great fish should swallow Jonah; and Jonah remained in the belly of the fish for three days and three nights.
11 Yahweh spoke to the fish, which then vomited Jonah onto the dry land.

Responsorial Psalm, Psalms 2:2, 3, 4, 5, 8

2 Kings of the earth take up position, princes plot together against Yahweh and his anointed,
3 'Now let us break their fetters! Now let us throw off their bonds!'
4 He who is enthroned in the heavens laughs, Yahweh makes a mockery of them,
5 then in his anger rebukes them, in his rage he strikes them with terror.
8 Ask of me, and I shall give you the nations as your birthright, the whole wide world as your possession.

Gospel, Luke 10:25-37

25 And now a lawyer stood up and, to test him, asked, 'Master, what must I do to inherit eternal life?'
26 He said to him, 'What is written in the Law? What is your reading of it?'
27 He replied, 'You must love the Lord your God with all your heart, with all your soul, with all your strength, and with all your mind, and your neighbour as yourself.'
28 Jesus said to him, 'You have answered right, do this and life is yours.'
29 But the man was anxious to justify himself and said to Jesus, 'And who is my neighbour?'
30 In answer Jesus said, 'A man was once on his way down from Jerusalem to Jericho and fell into the hands of bandits; they stripped him, beat him and then made off, leaving him half dead.
31 Now a priest happened to be travelling down the same road, but when he saw the man, he passed by on the other side.
32 In the same way a Levite who came to the place saw him, and passed by on the other side.
33 But a Samaritan traveller who came on him was moved with compassion when he saw him.
34 He went up to him and bandaged his wounds, pouring oil and wine on them. He then lifted him onto his own mount and took him to an inn and looked after him.
35 Next day, he took out two denarii and handed them to the innkeeper and said, "Look after him, and on my way back I will make good any extra expense you have."
36 Which of these three, do you think, proved himself a neighbour to the man who fell into the bandits' hands?'
37 He replied, 'The one who showed pity towards him.' Jesus said to him, 'Go, and do the same yourself.'

Prayer of the Day for Monday, October 5, 2015

Canticle of Brother Sun and Sister Moon of St. Francis of Assisi Most High, all-powerful, all-good Lord, All praise is Yours, all glory, all honour and all blessings.

To you alone, Most High, do they belong, and no mortal lips are worthy to pronounce Your Name.

Praised be You my Lord with all Your creatures,
especially Sir Brother Sun,
Who is the day through whom You give us light.
And he is beautiful and radiant with great splendour,
Of You Most High, he bears the likeness.

Praised be You, my Lord, through Sister Moon and the stars,
In the heavens you have made them bright, precious and fair.

Praised be You, my Lord, through Brothers Wind and Air,
And fair and stormy, all weather's moods,
by which You cherish all that You have made.

Praised be You my Lord through Sister Water,
So useful, humble, precious and pure.

Praised be You my Lord through Brother Fire,
through whom You light the night and he is beautiful and playful and robust and strong.

Praised be You my Lord through our Sister,
Mother Earth
who sustains and governs us,
producing varied fruits with coloured flowers and herbs.
Praise be You my Lord through those who grant pardon for love of You and bear sickness and trial.

Blessed are those who endure in peace, By You Most High, they will be crowned.

Praised be You, my Lord through Sister Death,
from whom no-one living can escape. Woe to those who die in mortal sin! Blessed are they She finds doing Your Will.

No second death can do them harm. Praise and bless my Lord and give Him thanks,
And serve Him with great humility.

St. Faustina Kowalska

Short Cuts
Image of St. Faustina Kowalska

Facts

Feastday: October 5
Birth: 1905
Death: 1938
Beatified By: Pope John Paul II
Canonized By: Pope John Paul II

Saint Faustina was born Helena Kowalska in a small village west of Lodz, Poland on August 25, 1905. She was the third of ten children. When she was almost twenty, she entered the Congregation of the Sisters of Our Lady of Mercy, whose members devote themselves to the care and education of troubled young women. The following year she received her religious habit and was given the name Sister Maria Faustina, to which she added, "of the Most Blessed Sacrament", as was permitted by her congregation's custom. In the 1930's, Sister Faustina received from the Lord a message of mercy that she was told to spread throughout the world. She was asked to become the apostle and secretary of God's mercy, a model of how to be merciful to others, and an instrument for reemphasizing God's plan of mercy for the world. It was not a glamorous prospect.
Her entire life, in imitation of Christ's, was to be a sacrifice - a life lived for others. At the Divine Lord's request, she willingly offered her personal sufferings in union with Him to atone for the sins of others; in her daily life she was to become a doer of mercy, bringing joy and peace to others, and by writing about God's mercy, she was to encourage others to trust in Him and thus prepare the world for His coming again. Her special devotion to Mary Immaculate and to the sacraments of Eucharist and Reconciliation gave her the strength to bear all her sufferings as an offering to God on behalf of the Church and those in special need, especially great sinners and the dying.
She wrote and suffered in secret, with only her spiritual director and some of her superiors aware that anything special was taking place in her life. After her death from tuberculosis in 1938, even her closest associates were amazed as they began to discover what great sufferings and deep mystical experiences had been given to this Sister of theirs, who had always been so cheerful and humble. She had taken deeply into her heart, God's gospel command to "be merciful even as your heavenly Father is merciful" as well as her confessor's directive that she should act in such a way that everyone who came in contact with her would go away joyful. The message of mercy that Sister Faustina received is now being spread throughout the world; her diary, Divine Mercy in my Soul, has become the handbook for devotion to the Divine Mercy.

Homilia ya Papa katika ufunguzi wa Sinodi ya Kawaida ya Maaskofu

Papa Francis na Mababa wa Sinodi wakiwa katika adhimisho la ufunguzi wa Sinodi - AP
Jumapili  Oktoba 4 , 2015 Papa Francis alifungua Sinodi ya Familia kwa Ibada ya misa takatifu katika Basilika ya Mtakatifu Petro.Katika Homelia yake alisema:Tukipendana , Mungu hukaa ndani yetu na pendo lake limekamilika ndani yatu. Baba mtakatifu ameanza akisema maneno ya Mungu katika Domenica hiyo utafikiri ilichaguliwa kwa lengo la ufunguzi wa Sinodi  ya Maaskofu aliyoifungua yeye rasmi.
Baba Mtakatifu alielezea juu ya upweke wa Adamu kwenye Bustani ya Eden, baada ya kupewa madaraka ya viumbe wengine, lakini bado alijisikia upekwe” nimtafutie wa kumsaidia anayefanana naye.(Mw 2,20) Baba mtakatifu aliorodhesha baadhi ya mambo yanayoletwa na upweke akisema kwamba, Katika dunia ya leo bado upweke ni tatizo kubwa linalowasumbua wanaume na wanawake, ukifikiria wazee wanao achwa na watoto wao , wajane wote, na watu wengine wanaume na wanawake wanaotengana katika ndoa zao, ni watu wengi wanaojisikia upweke, hawatambuliwi na wala kusikilizwa, kama vile, wahamiaji  na wakimbizi waliokimbia vita na mateso, vijana wengi waathirika wa utamuduni wa kutumia hovyo, na kutupa hovyo, na pia utamaduni  wa ubaguzi.
Leo watu wanaishi katika utandawazi , wengi wanaonekana  wanaishi katika nyumba za kifahali na kwenye magorofa marefu  lakini ndani ya nyumba zao hakuna joto la familia.Wanayo mipango mingi lakini hawana muda wa kuonja kile walichopata ,bado kuna haina nyingi za mambo ya anasa, lakini daima ndani ya roho zao ni utupu, mambo ya kijifurahisha ni mengi lakini ueondo ni mdogo , huru ni mwingi, lakini kujitegemea ni kidogo, bado kuna ongezeko kubwa la watu wanaojisikia upweke, lakini hata hivyo bado kuna hata wale wanaozidi kuwa wabinafsi na ufitina, wakifanya vurugu ya kujiaharibu, na pia kuwa watumwa na wa anasa , na pia wa Mungu fedha.Leo hii bado tunaishi kwa namna flani kama vile uzoefu wa Adamu, ambapo upweke una nguvu  sana , familia ikiwa ni picha , kwasababu bado hakuna uvumilivu wa kuendeleza upendo imara na kizazi cha upendo, kama walivyokuwa wametoa ahadi “katika afya  na magonjwa, katka utajiri  na katika umasikini, katika wema na ubaya.”
Upendo wa kudumu, mwaminifu , wenye uangalifu na imara na wenye rutuba, unazidi kudhiakiwa na kuonekana umepitwa na wakati,kwani inaonekana kwamba jamii zaidi ya kisasa ndiyo iliyo na asilimia kubwa ya kuwa na watoto wachache, na asilimia kubwa ya utoaji wa mimba , ya  talaka , kujiua na uchafuzi wa mazingira na kijamii.Pia zinaonyesha kuwa Mungu ameumba binadamu kuishi katika huzuni au kuwa peke yake, lakini kwa furaha, kwa kushiriki safari yake na mtu mwingine kwamba ni nyongeza; uzoefu uzoefu wa ajabu wa upendo: yaani, kwa kupenda na kupendwa; na kuona upendo wake uzazi katika watoto, kama zaburi anasema leo (sawa na Zaburi 128).
UPENDO KATI YA MWANAUME NA MWANAMKE: Maneno hayo yanaonyesha kwamba ni  jinsi gani moyo wa mtu unapata furaha  kama wa yule mtu anayemfanana na kwenda sambamba nayempenda na pia kumtoa katika upweke. Vilvile inaonyesha ya kamaba Mungu hakuumba  binadamu aishi kwa huzuni  au aishi peke yak , bali kwaajili ya furaha , kushirikiana njia ya maisha  na mtu mwengine amabayo ni nyongeza, wali waishi uzoefu wa upendo wa ajabu  yaani kupenda na kupenswa:  na kuona upendo wake katka matunda ya watoto, ilivyokuwa katika  zaburi (Zab 128)
Na hiyo ndiyo ndoto za Mungu kwa kiumbe wake , kuona ya kwamba  unakamilika muungano wa uependo kati ya mume na mke, yaani furaha katika njia ya kawaida , na kutoa uzazi kwa pande zote mbili: na hayo ni sawasa na mfano wa muhtasari wa injili ya Yesu iliyosomwa kwa maneno haya,"Tangu mwanzo wa uumbaji (Mungu) aliwaumba mume na mke: kwasababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana mume na mke nao watakuwa mwili mmoja Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja " (Marko 10.6-8; Mwa 1:27; 2:24).
Papa aliendelea kusema : mbele ya swali aliloulizwa la kikejeli , pengine lilikuwa mtego kufanya aonekane hasiyefaha katika  umati uliokuwa ukimfuata, na ya kwamba hao walikuwa wanafanya talaka  kana kwamba haifahamiki vizuri katika torati, Lakini Yesu aliwajibu ukweli ambao  hawakutegemea; akiwarudisha juu ya asili ya uumbaji , ili kutufundisha  ya kwamba Mungu anabariki upendo wa kibinadamu, kwani ni yeye anayeunganisha mioyo ya mume na mke wanaopendana na kuwaunganisha katika umoja usiogawanyika. Kwa maana hiyo lengo la maisha ya ndoa siyo tu kuishi pamoja milele, bali ni kupendana  milele! Na hivyo basi Yesu anathibitisha  utaratibu wa awali na mahali unapotokea.
FAMILIA: Binadamu basi asitenganishe alichokiuganisha Mungu, (Marko 10.9). Papa aliwashauri waumini wote kuondokana na aina za ubinafsi , na pia sheria ambazo zinaficha ubinafsi mdogomdogo na hofu ambayo inaambatana na wanandoa , pia ya jinsia ya kibinadamu katika mpango wa Mungu. Papa anasema kwa hayo yote ni kwa nji ya mwanga wa kifo cha Yesu msalabani , utaweza kuelewaka upendo wa bure wa wanandoa hata kufa.Kwa Mungu ndoa siyo kipeo cha hali nzuri cha ujana , bali ni ndoto amabayo viumbe wake wataondokana na upweke ki ukweli kuna ofu katika mioyo ya binadamu  ya kujongea katika mpango huo

Daily Reading for Thursday, October 1st, 2015


Reading 1, Nehemiah 8:1-4, 5-6, 7-12

1 all the people gathered as one man in the square in front of the Water Gate, and asked the scribe Ezra to bring the Book of the Law of Moses which Yahweh had prescribed for Israel.
2 Accordingly, on the first day of the seventh month, the priest Ezra brought the Law before the assembly, consisting of men, women and all those old enough to understand.
3 In the square in front of the Water Gate, in the presence of the men and women, and of those old enough to understand, he read from the book from dawn till noon; all the people listened attentively to the Book of the Law.
4 The scribe Ezra stood on a wooden dais erected for the purpose; beside him stood, on his right, Mattithiah, Shema, Anaiah, Uriah, Hilkiah and Maaseiah; on his left, Pedaiah, Mishael, Malchijah, Hashum, Hashbaddanah, Zechariah, and Meshullam.
5 In full view of all the people -- since he stood higher than them all -- Ezra opened the book; and when he opened it, all the people stood up.
6 Then Ezra blessed Yahweh, the great God, and all the people raised their hands and answered, 'Amen! Amen!'; then they bowed down and, face to the ground, prostrated themselves before Yahweh.
7 And Jeshua, Bani, Sherebiah, Jamin, Akkub, Shabbethai, Hodiah, Maaseiah, Kelita, Azariah, Jozabab, Hanan, Pelaiah, who were Levites, explained the Law to the people, while the people all kept their places.
8 Ezra read from the book of the Law of God, translating and giving the sense; so the reading was understood.
9 Then His Excellency Nehemiah and the priest-scribe Ezra and the Levites who were instructing the people said to all the people, 'Today is sacred to Yahweh your God. Do not be mournful, do not weep.' For the people were all in tears as they listened to the words of the Law.
10 He then said, 'You may go; eat what is rich, drink what is sweet and send a helping to the man who has nothing prepared. For today is sacred to our Lord. Do not be sad: the joy of Yahweh is your stronghold.'
11 And the Levites calmed all the people down, saying, 'Keep quiet; this is a sacred day. Do not be sad.'
12 Then all the people went off to eat and drink and give helpings away and enjoy themselves to the full, since they had understood the meaning of what had been proclaimed to them.

Responsorial Psalm, Psalms 19:8, 9, 10, 11

8 The precepts of Yahweh are honest, joy for the heart; the commandment of Yahweh is pure, light for the eyes.
9 The fear of Yahweh is pure, lasting for ever; the judgements of Yahweh are true, upright, every one,
10 more desirable than gold, even than the finest gold; his words are sweeter than honey, that drips from the comb.
11 Thus your servant is formed by them; observing them brings great reward.

Gospel, Luke 10:1-12

1 After this the Lord appointed seventy-two others and sent them out ahead of him in pairs, to all the towns and places he himself would be visiting.
2 And he said to them, 'The harvest is rich but the labourers are few, so ask the Lord of the harvest to send labourers to do his harvesting.
3 Start off now, but look, I am sending you out like lambs among wolves.
4 Take no purse with you, no haversack, no sandals. Salute no one on the road.
5 Whatever house you enter, let your first words be, "Peace to this house!"
6 And if a man of peace lives there, your peace will go and rest on him; if not, it will come back to you.
7 Stay in the same house, taking what food and drink they have to offer, for the labourer deserves his wages; do not move from house to house.
8 Whenever you go into a town where they make you welcome, eat what is put before you.
9 Cure those in it who are sick, and say, "The kingdom of God is very near to you."
10 But whenever you enter a town and they do not make you welcome, go out into its streets and say,
11 "We wipe off the very dust of your town that clings to our feet, and leave it with you. Yet be sure of this: the kingdom of God is very near."
12 I tell you, on the great Day it will be more bearable for Sodom than for that town.

Prayer of the Day for Thursday, October 1, 2015

A Prayer to Saint Therese De Lisieux for Guidance Govern by all Thy Wisdom, O Lord,
so that my soul may always be serving Thee as Thou dost
Will,
and not as I may choose.
Do not punish me, I beseech Thee,
by granting that which I wish
or ask if it offended Thy Love,
which would always live in me.
Let me die to myself,
so that I may love Thee.
Let me live to Thee,
Who art in Thyself,
the True Life.

Dear St. Therese,
guide me in your Little Way,
so that I may ascend to the heights and happiness of
Heaven.

St. Therese of Lisieux

Short Cuts
Image of St. Therese of Lisieux

Facts

Feastday: October 1
Patron of the Missions
Birth: 1873
Death: 1897

Generations of Catholics have admired this young saint, called her the "Little Flower", and found in her short life more inspiration for own lives than in volumes by theologians.
Yet Therese died when she was 24, after having lived as cloistered Carmelite for less than ten years. She never went on missions, never founded a religious order, never performed great works. The only book of hers, published after her death, was an brief edited version of her journal called "Story of a Soul." (Collections of her letters and restored versions of her journals have been published recently.) But within 28 years of her death, the public demand was so great that she was canonized.
Over the years, some modern Catholics have turned away from her because they associate her with over- sentimentalized piety and yet the message she has for us is still as compelling and simple as it was almost a century ago.
Therese was born in France in 1873, the pampered daughter of a mother who had wanted to be a saint and a father who had wanted to be monk. The two had gotten married but determined they would be celibate until a priest told them that was not how God wanted a marriage to work! They must have followed his advice very well because they had nine children. The five children who lived were all daughters who were close all their lives.
Tragedy and loss came quickly to Therese when her mother died of breast cancer when she was four and a half years old. Her sixteen year old sister Pauline became her second mother -- which made the second loss even worse when Pauline entered the Carmelite convent five years later. A few months later, Therese became so ill with a fever that people thought she was dying.
The worst part of it for Therese was all the people sitting around her bed staring at her like, she said, "a string of onions." When Therese saw her sisters praying to statue of Mary in her room, Therese also prayed. She saw Mary smile at her and suddenly she was cured. She tried to keep the grace of the cure secret but people found out and badgered her with questions about what Mary was wearing, what she looked like. When she refused to give in to their curiosity, they passed the story that she had made the whole thing up.
Without realizing it, by the time she was eleven years old she had developed the habit of mental prayer. She would find a place between her bed and the wall and in that solitude think about God, life, eternity.