Week Hot newz

Tarehe 24 Novemba 2013 Papa kukabidhi Waraka wa "Furaha ya Injili"

Baba Mtakatifu Francisko katika kilele cha Maadhimisho ya Mwaka wa Imani sanjari na Siku kuu ya Yesu Kristo Mfalme wa Ulimwengu anatarajiwa kuwakabidhi waamini Waraka Mpya wa Kichungaji, "Evangelii Gaudium" Yaani "Furaha ya Injili" kama alama ya kudumu ya Maadhimisho ya Mwaka wa Imani. Ibada ya Misa inatarajiwa kuanza saa 4:30 kwa saa za Ulaya.

Hayo yamesemwa na Askofu mkuu Rino Fisichella, Rais wa Baraza la Kipapa la Uhamasishaji wa Uinjilishaji mpya alipokuwa anazungumza na vyombo vya habari mjini Vatican siku ya Jumatatu, tarehe 18 Novemba 2013. Mkutano huu umehudhuriwa pia na viongozi waandamizi kutoka Baraza hili.

Ufoo Saro: Niliokoka kufa kutokana na miujiza ya Mungu

Mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro akisoma somo kwenye biblia wakati wa ibada maalumu ya shukrani kwenye Kanisa la (KKKT ) Usharika wa Kibamba nje kidogo ya Jiji la Dare Salaam jana. Picha na Sanjito Msafiri.


Baba Mtakatifu atoa dawa ya maisha ya kiroho



Jumapili iliyopita tarehe 17 Novemba 2013 wakati wa Sala ya Malaika wa Bwana, kwenye Uwanja wa Kanisa kuu la Mtakatifu Petro, waamini na mahujaji waliokusanyika ili kuungana na Baba Mtakatifu Francisko kwa Tafakari na Sala ya Mchana, walipewa tiba ya maisha ya kiroho, itakayowasaidia katika kumwilisha mafanikio ya Mwaka wa Imani.

Yatakayojiri wakati wa kufunga Mwaka wa Imani:

Mama Kanisa anajiandaa kufunga rasmi Mwaka wa Imani, uliotangazwa na kuzinduliwa na Baba Mtakatifu mstaafu Benedikto wa kumi na sita na kuendelezwa kwa ari na moyo mkuu na Papa Francisko hapo tarehe 24 Novemba 2013, wakati wa Sherehe ya Kristo Mfalme. Ibada hii inatarajiwa kuongozwa na Baba Mtakatifu Francisko, kuanzia saa 4:00 asubuhi kwa saa za Ulaya. Maadhimisho ya kufunga Mwaka wa Imani yataanza rasmi kwa

Blessing of a New House


Translated by Most Reverend J. H. Schlarman Bishop of Peoria

Mandela hoi awezi kuongea!

Picha ya kale ya Nelson Mandela na Winnie kabla ya kuachana
Mke wa zamani wa Nelson Mandela, amesema rais huyo wa zamani awezi kuzungumza, lakini anatumia uso kuwasiliana na watu.
Winnie Madikizela-Mandela alieleza kuwa Bwana Mandela, mwenye umri wa miaka 95, ni mgonjwa kweli kweli ,lakini alikanusha tetesi kuwa mashini ndio inamsaidia kupumua.
Mwezi wa Septemba Bwana Mandela alirudi nyumbani baada ya kulazwa hospitali mjini Pretoria kwa karibu miezi mitatu akitibiwa ugonjwa wa mapafu.
Serikali ya Afrika Kusini imesema hali yake bado ni ya kutia wasi-wasi na wakati mwengine hubadilika.

Samatta wawania tuzo Mchezaji bora wa Afrika

Mbwana Samatta  na Victor Wanyama (kulia) 
Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limetangaza majina ya wachezaji wa kiafrika watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2013 na Mchezaji bora wa Afrika anayechezea vilabu vya ndani ya Afrika mwaka 2013.
Katika majina hayo yapo majina mawili ya wachezaji wanaotoka Afrika Mashariki ambao ni Victor Wanyama raia wa Kenya anachezea

GARAMA ZA MATIBABU KUWA JUU: Bacteria sugu ni tishio kubwa


Dawa za antibiotics zinazouzwa Afghanistan
Tume ya wataalamu wa afya imeonya kuwa aina sugu ya vidudu vya bacteria ni moja kati ya tishio kubwa kabisa katika matibabu.
Katika taarifa iliyoandikwa kwenye jarida la kisayansi, The Lancet, wataalamu wanatoa wito mataifa yashirikiane ili kupambana na tishio hilo.

Taasisi ya Kiislamu yachangia damu salama

TAASISI ya Bilal Muslim Mission of Tanzania imewashauri Watanzania kujitolea damu salama ili kuokoa maisha ya wengi wanaohitaji damu hospitalini.
Ombi hilo limetolewa juzi na Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Sibtain Meghji, alipozungumza wakati wa utoaji damu salama, tukio lililofadhiliwa na taasisi hiyo jijini Mwanza.

NDOA: habithi katika Uislamu

Mzee wa miaka 80 alirudi nyumbani kutoka msikitini, akabisha mlango wa nyumba yake lakini hakufunguliwa, akasimama kwa mda mpaka akazirai na kuanguka chini, Mke wake akaona mume wake amechelewa, akafunguwa mlango kwenda kumtafuta, akampata amezirai mbele ya mlango, akamwagia maji mpaka akapata fahamu, mke akamuomba msamaha mume wake kwa kuchelewa kumfungulia mlango kwa kuwa hakusikia mlango ukibishwa na akaona yeye ndie sababu ya mumewe kuzirai..
Mume akamwambia mke wake sikuzirai kwa sababu hiyo bali niliposimama mbele ya mlango wangu na nikaona umefungwa, nikawa nafikiria jee kama ningekuwa nimesimama mbele ya Mlango wa Allah subhanahu wata'ala na Allah subhanahu wata'ala hakunifungulia ningekuwaje?
Katika ile hali ya kufikiria hivyo nikajipata sina fahamu;);););)

St. Hugh of Lincoln

St. Hugh of Lincoln
Hugh of Lincoln was the son of William, Lord of Avalon. He was born at Avalon Castle in Burgundy and was raised and educated at a convent at Villard-Benoit after his mother died when he was eight. He was professed at fifteen, ordained a deacon at nineteen, and was made prior of a monastery at Saint-Maxim. While visiting the Grande Chartreuse with his prior in 1160. It was then he decided to become a Carthusian there and was ordained. After ten years, he was named procurator and in 1175 became Abbot of the first Carthusian monastery in England. This had been built by King Henry II as part of his penance for the murder of Thomas Becket.
His reputation for holiness and sanctity spread all over England and attracted many to the monastery. He admonished Henry for keeping Sees vacant to enrich the royal coffers. Income from the vacant Sees went to the royal treasury. He was then named bishop of the eighteen year old vacant See of Lincoln in 1186 - a post he accepted only when ordered to do so by the

Vijana mnapaswa kuwa ni Wamissionari wa Injili, kila siku na kila mahali!

Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii, kwa namna ya pekee, leo anapenda kuwaalika vijana kuwa ni Wamissionari wa Injili, kila siku na kila sehemu.

Itakumbukwa kwamba, Baba Mtakatifu Francisko amechagua tema zitakazoongoza Maadhimisho ya Siku ya za Vijana Duniani kwa kipindi cha Miaka mitatu,

Tujiepushe kula ovyo kujilinda dhidi ya kisukari

DUNIA leo inaadhimisha Siku ya Kisukari. Ni ukweli usiokuwa na chembe ya shaka kuwa katika miaka ya karibuni ugonjwa wa kisukari umekuwa tishio miongoni mwa mataifa mengi kwani wakati zamani ulionekana kuwaathiri zaidi watu walioishi miaka mingi, sasa hata vijana wadogo na watoto wanaathiriwa na ugonjwa huo.

Vatican: Papa Francis hayuko hatarini


MAKAO Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, yamekanusha vikali uvumi ulioenea kwamba Baba Mtakatifu, Francis, yuko hatarini kwa kuwa kundi la kimafia linamuwinda kumfanyia uhalifu kwa kile kilichoelezwa kuhusu uamuzi wake wa kufanya mageuzi katika kanisa hilo.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari wa Vatican, Frederico Kardinali Lombard, alikiambia kituo cha habari cha ABC kwamba hakuna sababu za wazi zinazoweza kuwafanya kuwa na wasiwasi.

Moro wazitaka neema Tamasha la Krismasi

Wakizungumza kwa nyakati tofauti juzi na jana, wadau hao wameelezea kufurahia kufikiwa na tamasha hilo la kimataifa ambalo litapambwa na waimbaji wa ndani na nje ya Tanzania.
Kwa upande wake, Matata Ndizi, kati ya wadau wakubwa wa muziki wa Injili, alisema angependa kumuona muimbaji Edson Mwasabwite katika tamasha hilo.

Roho yenye udadisi mwingi huwa na mwelekeo wa kujitenga na Mungu- Papa .



(Vatican Radio) Roho ya udadisi mwingi, huzaa hali kutatanikiwa na ghasia na fujo ya kujiweka mbali na Roho wa hekima , ambaye huleta amani, alieleza Papa Francis katika homilia yake wakati wa Misa Alhamisi asubuhi katika kanisa dogo la Mtakatifu Marta .

Papa alitoa homilia yake kwa kutafakari masomo ya siku , ambamo somo la kwanza, lilieleza, hali ya kiroho kwa mwanamme na mwanamke, Wakristo wa kweli , wanaoishi katika hekima ya Roho Mtakatifu. Na hekima hii inayowafanya wasonge mbele kwa busara , utakatifu na dhamira safi.

Tafakari ya neno la Mungu, Jumapili ya 33 ya Kipindi cha Mwaka C wa Kanisa

Tunaendelea kama kawaida katika kipindi chetu, tafakari masomo Dominika, na leo tunatafakari masomo Dominika ya 33 ya mwaka C wa Kanisa.

Tayari tunaelekea kumaliza mwaka wa Kanisa, yaani tukiijongea Dominika ijayo iliyo Dominika ya mwisho ambapo tutasherehekea Sikukuu ya Yesu Kristo Mfalme wa ulimwengu. Masomo yote matatu yanachukua sehemu ya tafakari juu ya mwisho wa dunia, ambayo hasa ndiyo tabia ya Dominika zote za mwisho wa mwaka wa Kanisa. Tabia hii kwa kifupi twaiona katika somo la pili ambapo inaonekana katika jumuiya ya kwanza ya kikristu na hasa kati ya Wakristo wa Thesalonike watu walianza kuacha kufanya kazi wakitarajia ujio wa pili wa Bwana kuwa karibu.

Katika hilo Mtakatifu Paulo anawaonya akiwaambia yakuwa yampasa kila mmoja kufanya kazi, uvivu unaojilaza katika subira ya ujio wa Bwana haukubariki. Katika hili tunaweza kuona pia thamani ya kazi katika maisha ya mwanadamu. Kazi iwayo yote iwe ya mikono au ya kiakili au ya kiroho ni ya maana mbele ya Mungu, aliyesema mkaitiishe nchi.

Mpendwa msikilizaji, kama nilivyokwisha dokeza yakuwa masomo yetu, yatupa hali itakavyokuwa wakati wa mapambazuko ya uzima wa milele, tunakutana na hali hiyo katika lugha inayotisha na pengine yaweza kumfanya mtu aogope, na hasa katika ile hali ya kutarajia maneno ya faraja na huruma. Hata hivyo hali hii ya kutisha ina maana yake na baadaye itawekwa sawa na Mungu mwenyewe. Tunajua hilo kwa sababu kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu hata kama ni zito na kali lakini huwekewa mafuta na kugeuka kuwa Neno na tangazo la matumaini kwa mpokeaji aliyeshiba imani!

Mpendwa msikilizaji, kwa sababu hiyo basi yafaa kutenganisha kati ya maneno au lugha itumikayo na ujumbe ambao Mungu apenda kutupatia. Lugha inayojitokeza katika masomo ya Dominika za mwisho za mwaka ni lugha ya kiufunuo, lugha ambayo tunakutana nayo daima katika kitabu cha Ufunuo. Ni wa namna hiyo basi kila mmoja wetu awe makini katika kupembua ujumbe wa Neno la Mungu, asije akaangukia katika shimo la upotoshaji wa Habari Njema.

Mpendwa msikilizaji, tunasema hili kwa sababu ulimwengu wa leo ambao umejaa fitina, ujangili pamoja na ughaidi unaweza kumfanya mtu badala ya kujenga matumaini na kusonga mbele katika kutafuta amani, basi akaona hakuna haja kwa maana ni mikasa tu ndiyo inayotuzunguka! Kuna baadhi ya wenzetu ambao pasipo kutafakari na kuchekesha vema huibuka na mahubiri vitisho kuhusu mwisho wa dunia na huwajengea watu imani ogopeshi ambayo haizaliwi toka upendo wa Kristu msalabani bali katika vionjo vya watu, imani inayosisitiza hukumu badala ya upendo wa Mungu kwa wanadamu.

Mpendwa mwana wa Mungu, tazama upendo wa Mungu pale msalabani, u-wazi anapomwambia yule mwizi tangu leo utakuwa pamoja nami mbinguni! Bwana hapendi tumwogope bali tumpende, kwa maana hakuna atakayepatilizwa kumbuka anasema “walakini hautapotea hata unywele mmoja wa vichwa vyenu! Inatosha tu pasipo kuogopa kusubiri na katika subira hiyo basi tutaziponyesha nafsi zetu. Upendo wa Mungu haurudi nyuma, jicho alilomtazama Zakayo ndilo hilohilo jicho la milele ambalo atatutazama nasi katika nyakati za mwisho na sasa. Katika hii basi Mungu anatudai kutumaini daima kama ambavyo yeye ni tumaini la kweli.

Kwa nini jambo hili? Jambo hili linakuja katika tafakari kwa maana katika maisha yetu kuna kishawishi kikubwa cha kuacha njia ya Bwana, njia nyembamba, njia ya maisha na kufuata njia pana, njia ya kupoteza, njia ya kifo wakati wa taabu na shida katika maisha yetu ya kila siku. Kumbukeni daima njia ya wokovu ni ndefu, ni siri ya Mungu ambayo hufunuliwa kwa kila mmoja wetu katika tumaini la kweli. Ndiyo kusema nabii Malaki anasema kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawazukia lenye kuponya katika mbawa zake. Kumbe siri ya Mungu tunaigundua katika kulicha jina lake na kutumaini wokovu pasipo kusita.

Mpendwa mwana wa Mungu, wanaolicha jina la Mungu ni wale ambao kila siku ya maisha yao hutekeleza nyajibu zao katika familia na mahali pa kazi kwa upendo usiodai faida bali unaolala na kujisimika katika matumaini na upole wa moyo. Katika kujenga tumaini basi ni rahisi yatakapojitokeza matukio ya kutisha tunayoyasikia katika Injili, mwamini kusima na kusonga mbele katika subira pasipo woga na kulicha jina la Bwana.

Hili lina maana ya kwamba tusihangaike kutafuta namna ya ajabu ya kuishi ukristu wetu bali namna ya kawaida iliyojaa mapendo thamini kwa ndugu na jirani kama alivyofanya Msamaria mwema. Tukitenda kile cha kawaida kama Mtakatifu Thereza wa Mtoto Yesu, basi tutakuwa na uhakika wa kujipatia njia nyembamba hata katika mateso tunayokumbana nayo kila siku ya maisha yetu.

Basi mpendwa, tunapoelekea kufunga mwaka wa Kanisa tunaalikwa kuwa na kitu cha kuweka mbele ya Mungu kama tiketi yetu ya kuonana naye, na hivi basi usisahau kabisa yakwamba tumaini lako na imani yako tendaji inayojenga familia ya Mungu ndizo tiketi mwafaka kwa ajili ya sherehe hiyo.

Mpendwa msikilizaji, Baba Mtakatifu Francisko katika barua yake ya Kitume Mwanga wa Imani , anatufundisha kuwa mwanga wa imani unadai kuwekwa katika huduma ya sheria ya haki, na amani, mwanga huo unakuwa ni uwezo unaoongeza nguvu katika mahusiano ya binadamu, na katika kuboresha maisha ya pamoja na mshikamano wa kijamii. Imani inafanya sisi kufahamu usanifu wa mahusiano kati ya binadamu kwa sababu imani huzingatia msingi ya adilifu katika muono wa sheria za Mungu. Na hivyo imani inakuwa huduma kwa manufaa ya wote.


Mpendwa, imani ni zawadi ambayo inadai kutunzwa pia ili isipotee na haipaswi pia kutunzwa tu katika moyo wetu bali lazima ijitokeze nje ili kuweza kushirikisha wengine tumaini la kweli na upendo wa Mungu kwa ajili ya wote. Imani huimarisha wengine na hivi tukaweza sote kuwa tayari kuisubiria siku ya mwisho kwa furaha.

Nikutakie furaha na tumaini la kweli katika Mungu Mkuu, mpaji wa mapaji na zawadi zote za mbinguni. Tumsifu Yesu Kristo.
Tafakari hii imeletwa kwako na Pd Richard Tiganya, C.PP.S.

St. Albert the Great

St. Albert the Great
St. Albert the Great
Feastday: November 15
Patron of Scientists

Albert the Great was one of the Church's greatest intellects. He studied at the University of Padua and later taught at Hildesheim, Freiburg-im-Breisgau, Regensburg, and Strasbourg. He then taught at the University of Paris, where he received his doctorate in 1245. He was among the first and greatest of the natural scientists, gaining a reputation for expertise in biology, chemistry, physics, astronomy, geography, metaphysics, and mathematics. He was also very learned in biblical studies and theology.

Daily Reading for Friday, November 15th, 2013


Reading 1, Wisdom 13:1-9

1 Yes, naturally stupid are all who are unaware of God, and who, from good things seen, have not been able to discover Him-who-is, or, by studying the works, have not recognised the Artificer.
2 Fire, however, or wind, or the swift air, the sphere of the stars, impetuous water, heaven's lamps, are what they have held to be the gods who govern the world.
3 If, charmed by their beauty, they have taken these for gods, let them know how much the Master of these excels them, since he was the very source of beauty that created them.
4 And if they have been impressed by their power and energy, let them deduce from these how much mightier is he that has formed them,
5 since through the grandeur and beauty of the creatures we may, by analogy, contemplate their Author.
6 Small blame, however, attaches to them, for perhaps they go astray only in their search for God and their eagerness to find him;
7 familiar with his works, they investigate them and fall victim to appearances, seeing so much beauty.
8 But even so, they have no excuse:
9 if they are capable of acquiring enough knowledge to be able to investigate the world, how have they been so slow to find its Master?

Responsorial Psalm, Psalms 19:2-3, 4-5

2 day discourses of it to day, night to night hands on the knowledge.
3 No utterance at all, no speech, not a sound to be heard,
4 but from the entire earth the design stands out, this message reaches the whole world. High above, he pitched a tent for the sun,
5 who comes forth from his pavilion like a bridegroom, delights like a champion in the course to be run.

Gospel, Luke 17:26-37

26 'As it was in Noah's day, so will it also be in the days of the Son of man.
27 People were eating and drinking, marrying wives and husbands, right up to the day Noah went into the ark, and the Flood came and destroyed them all.
28 It will be the same as it was in Lot's day: people were eating and drinking, buying and selling, planting and building,
29 but the day Lot left Sodom, it rained fire and brimstone from heaven and it destroyed them all.
30 It will be the same when the day comes for the Son of man to be revealed.
31 'When that Day comes, no one on the housetop, with his possessions in the house, must come down to collect them, nor must anyone in the fields turn back.
32 Remember Lot's wife.
33 Anyone who tries to preserve his life will lose it; and anyone who loses it will keep it safe.
34 I tell you, on that night, when two are in one bed, one will be taken, the other left;
35 when two women are grinding corn together, one will be taken, the other left.'
36
37 The disciples spoke up and asked, 'Where, Lord?' He said, 'Where the body is, there too will the vultures gather.'

Meno ya tembo: Maafisa TRA na Bandari mbaroni...


Meno ya tembo yaliyokamatwa
POLISI nchini Tanzania wamesema shehena ya meno ya tembo yaliyokamatwa katika bandari ya Zanzibar ni sawa na tembo mia tatu na watano, yakiwa na thamani ya karibu shilingini bilioni nane, sawa na karibu dola milioni tano za Kimarekani.
Watu wawili wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na meno hayo, huku maafisa wawili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, na mmoja wa Mamlaka ya Bandari pia wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo.