Week Hot newz

Kesho ni Basetsana na Tanzanite

  1. Kila mmoja wetu anafahamu kwamba Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Rolihlahla Mandela
    amefariki dunia jana December 6, 2013. Rais JM Kikwete pia akatangaza siku 3 za maombolezo kuanzia leo Dec 6 mpaka Dec 8 na bendera ya Tanzania itapepea nusu mlingoti siku zote hizo.
    Lakini kesho jumamosi Dec 7, 2013 ile timu yetu ya Wadada iliyowabugiza Msumbiji bao KUMI BILA uwanja wa Taifa inatakiwa kucheza na wadada wenzao wa Afrika Kusini (Basetsana) kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia kwa wasichana wenye umri chini ya miaka 20 katika Uwanja wa Taifa.

KOMBE LA DUNIA || BRAZIL 2014 MAKUNDI KAMILI.



Makundi yamejulikana , na pia imejulikana nani atamenyana na nani.
Hapana shaka wapenzi wa soka barani Afrika pamoja na kuomboleza kifo cha Nelson Mandela wamekuwa wanafuatilia Droo ya kombe la dunia kufahamu nani wapinzani wa timu tano zinazowakilisha bara hilo.
Cameroon wamejikuta katika kundi gumu la A pamoja na wenyeji Brazil, Mexico na Croatia.
Mabingwa watetezi Uhispania watakuwa katika kundi B pamoja na Netherlands waliokutana nayo fainali kombe lililopita, na timu zingine ni Chile na Australia.
Dua ya Ivory Coast ya kuepuka kundi gumu sana wakati huu inaonekana imesikika, wako katika kundi C pamoja na Colomboa, Japan na Ugiriki.England watakuwa na kibarua kigumu kwenye kundi D ambapo wapinzani wao ni Italia, Uruguay na Costa Rica.
Kwenye kundi E Ufaransa inacheka usiku huu kwani imepangwa pamoja na Uswizi, Ecuador na Honduras.Mabingwa wa Afrika Nigeria wako katika kundi F pamoja na Argentina Iran na Bosnia Harcegovinia, ambayo inashiriki kombe la dunia mara ya kwanza.
Ghana ndiyo inayoonekana kuwa matatizoni miongoni mwa timu za Afrika. Wamejikuta katika kundi G ambapo watapamaba na na Ujerumani, Marekani na Ureno.Timu ya tano ya Afrika Algeria itakuwa kwenye kundi H na wapinzani hapo ni Ubelgji, Korea Kusini na Urusi.



WORLD CUP Afrika Kusini mafanikio ya Mandela


Wanamichezo pia wamemkumbuka Mandela
Wanamichezo mashuhuri, duniani wametoa rambi rambi zao kwa hayati Nelson Mandela, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 95.
Mohamedi Ali
alisema: "Maisha ya Mandela yalikuwa na maana kubwa kwa dunia nzima , kwake mwenyewe, kwa taifa lake na dunia nzima.
Alitufanya sisi kugundua kua ni muhimu kumjali mwenzake na kuwa sisi ni ndugu licha ya rangi zetu.''
Mwanasoka mashuhuri Bofya Pele naye amesema "Mandela alikuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa sana maishani mwake. Ni shujaa wangu.’’
Mwanamasumbwi Bofya Ali aliongeza kusema kua, atamkumbuka Mandela sana kwa kuwa mtu mwenye roho safi na alichukizwa sana na mambo ya ubaguzi wa rangi pamoja chuki na uhasama.
Aliwatia moyo wengine kufikia mambo waliyoyaona kama yasiyowezekana.''
"Bofya Ali amesema kua Mandela alifunza watu umuhimu wa kuwasamehe wenzao, na leo ameweza kuwa huru.’’
Bofya Tiger Woods, naye ambaye ni mchezaji golfu mashuhuri zaidi duniani, alisema daima atamkumbuka Mandela.
Aliyekuwa nahodha wa timu ya Uingereza, Bofya David Beckham alisema kuwa anamlilia sana Mandela na kuwa yuko pamoja na familia yake. ''Tumepoteza mtu muhimu sana na shujaa wetu,’’ Alisema Beckham.
Naye mkuu wa shirikisho la soka duniani FIFA, Bofya Sepp Blatter, amesema kuwa anaomboleza sana na anahisi uchungu mwingi kufuatia kifo cha Mandela.

Nelson Mandela Histori 1918-2013

Miaka ya Mapema

1952

Rolihlahla Mandela, mwanawe chifu, alizaliwa katika kijiji kimoja kiitwacho, Mvezo katika mkoa wa Eastern Cape nchini Afrika Kusini tarehe 18 Julai mwaka 1918. Alikuwa mtu wa kwanza katika familia yake kwenda shule. Mwalimu ambaye hata hangeweza kutaja jina lake vyema, alizoea kumuita Nelson. Alitoroka mjini Johannesburg mwaka 1941 ili kuepuka kulazimishwa kuoa mapema. Alikutana na Walter Sisulu aliyemsaidia kupata kazi katika kampuni ya ya Witkin Sidelsky na Eidelma. Pia alijiunga na chama cha (ANC)


Kesi ya Uhaini

1956

Mandela alifuzu kama wakili na kuanzisha kampuni ya kwanza ya sheria inayomilikiwa na mtu mweusi mwaka 1952 na kuiendesha kwa ushirikiano na Oliver Tambo, na kutoa huduma za kisheria kwa wale ambao walikosa uwakilishi. Akihofiwa kupigwa marufuku na serikali ya ubaguzi wa rangi, ANC ilimtaka Mandela kuhakikisha kuwa chama hicho kinaweza kuendesha harakati zake kimya kimya. Alikamatwa mwaka 1956 na kufunguliwa mashtaka ya uhaini yeye pamoja na wenzake 155. Baada ya kesi yake iliyochukua miaka minne, ilitupiliwa mbali . Mnamo mwaka 1958, Mandela alimuoa Winnie Madikizela.

Huru hatimaye

1990

Jamii ya kimataifa iliiwekea vikwazo zaidi serikali ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini. Vikwazo vya kwanza viliwekwa mwaka 1967.Shinikizo zilizaa matunda na mnamo mwaka 1990, rais FW De Klerk akakiondolea marufuku chama cha ANC. Tarehe 11 Februari, Mandela aliachiliwa baada ya miaka 27 jela. Umati wa watu ulimshangilia huku yeye pamoja na mkewe wakiondoka sehemu ya jela. Katika mkutano wa kwanza wa chama cha ANC mwaka uliofuata, Mandela alichaguliwa kama kiongozi wa chama .Mazungumzo yakaanza ya kuunda serikali ya pamoja ya waafrika weusi na wazungu.

Tuzo ya amani ya Nobel

1993

Mnamo mwaka 1993, Mandela na rais wa nchi hiyo wakati huo, walituzwa tuzo ya amani ya Nobel kwa juhudi za kuleta uthabiti Afrika Kusini. Akikubali tuzo hiyo, Mandela alisema kuwa '' tutafanya kila tuwezalo kuweza kuleta mageuzi duniani.''

Rais mpya

1994

Mnamo mwaka1994,kwa mara ya kwanza katika historia ya Afrika Kusini, watu wa rangi zote walipiga kura katika uchaguzi huru na wa kidemokrasia. Mandela alichaguliwa. Akihutubia umma, katika sherehe ya kuapishwa kwake, tarehe 10 mwezi Mei, mwaka 1994, alisema: "uhuru utawale, Mungu aibariki Afrika!'' Tatizo lake kubwa lilikuwa ukosefu wa nyumba za kutosha kwa watu maskini na mitaa ya mabanda iliendelea kuongezeka.Thabo Mbeki alichukua uongozi wa nchi huku Mandela akiuza sera za nchi hiyo kimataifa.


Akitoka Robbben

1995

Kuadhimisha miaka mitano baada ya kuachiliwa kwake, Nelson Mandela alizuru kisiwa cha Robben mwezi Februari mwaka 1995 alikozuiliwa kwa miaka 18. Ziara yake ilikuwa mwaka 1956 mwezi Februari pamoja na wafungwa wenzake waliowahi kufungwa kisiwani humo na kufanya kazi ngumu. Mapafu ya Mandela yanasemekana kuathirika alipokuwa anafanya kazi katika machimbo ya mawe.

Usiniite''

2004

Thabo Mbeki alichukua mamlaka kutoka kwa Mandela kama kiongozi wa chama tawala ANC na hata kushinda uchaguzi wa mwaka 1999.Mandela alimuoa Graca Machel, mjane wa aliyekuwa rais wa Msumbiji, akiwa na miaka 80. Aligunduliwa kuwa na saratani ya Tezi Kibofu na hivyo kuanza matibabu.Mnamo mwaka 2004, alitangaza kujiuzulu, akisema kuwa anataka maisha ya kimya nyumbani kwake na familia yake. Kwa mzaha aliwaambia wandishi wa habari wasimpigie simu.

Sherehe ya siku ya kuzaliwa kwake

2008

Wanamuziki, waigizaji na wanasiasa waliungana na Mandela katika sherehe kubwa uwanja wa Hyde Park mjini London kusherehekea miaka 90 ya kuzaliwa kwake. Akiongea na wale waliofika, aliwaambia, ''ni wakati kwa kizazi kipya kuchukua uongozi, kibarua kwenu sasa.''

Kuugua

2010

Mandela aliweza kuonekana hadharani mara kadhaa baada ya kustaafu. Ingawa alionekana katika sherehe ya kukamilika kwa dimba la kombe la dunia mwaka 2010 nchini humo. Januari mwaka 2011, alilazwa hospitalini kwa ukaguzi maalum, huku serikali ikiwakumbusha watu kuwa aliwahi kupata matatizo ya kupumua. Alipokea matibabu ya ugonjwa wa mapafu mwaka 2012 na pia mwaka 2013 .

Mtunis:Kufungia Mwaka 2013 na Who`s Bad

Mtayarishaji na Muigizaji wa filamu za kiswahili nchini Tanzania Nice Mohamed ‘Mtunis’pichani amesema kwamba filamu yake ya Who’s Bad itakuwa kazi yake ya kufungia mwaka  2013 kwa kuzima kazi nyingine za filamu zilizoingia pamoja na filamu hiyo ambayo inafanya vizuri sokoni baada ya kuingia mitaani hivi karibuni.

“Kama ambavyo wengi wamenizoea ninapotoa kazi inakuwa ni bora na lazima ikimbize sokoni, sinema yangu ya Who’s Bad itafunga mwaka kama kazi bora nakuwa makini sana katika utengenezaji wa filamu na ndio kilichofanyika katika filamu hiyo wasanii wamekamua sana na kuonyesho uwezo wa hali ya juu,”anasema Nice.

Filamu hiyo imeshirikisha wasanii kama Patcho Mwamba na washiriki wengine wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu, Mtunis amekuwa akifanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo kazi alizofanya ni kama Bar mead, Who’s Bad,Clinic Love na kusambazwa na kampuni ya Steps Entertainment.


 

Mandela hoi Kitandani



Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela
Rais wa kwanza mwaafrika wa Afrika Kusini, Nelson Mandela anaendelea kupambana na ugonjwa akiwa bado kitandani, binti yake Makaziwe Mandela amesema.
Bi Makaziwe ameliambia Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini, SABC kuwa mpinzani huyo wa siasa za ubaguzi wa rangi, "bado yupo nasi, imara, na anatia moyo".
"Hata kwa kukosa neno zuri zaidi... Akiwa bado kitandani anatufundisha somo la subira, upendo, uvumilivu," amesema, Makaziwe.

Special Introductory Fare from Dar es salaam to Morogoro



ONE WAY Tshs 99,000 (all inclusive)
RETURN Tshs 160,000 (all inclusive)

DAILY DEPARTURES

Book now to get the special fare !!

For more information, calls us on 0783 233334

Or Email to auric@auricair.com

"ENJOY THE WORLD OF FLYING - SAFARI"
Photo: Special Introductory Fare from Dar es salaam to Morogoro

ONE WAY  Tshs 99,000 (all inclusive)
RETURN  Tshs 160,000 (all inclusive)

DAILY DEPARTURES

Book now to get the special fare !!

For more information, calls us on 0783 233334

Or Email to auric@auricair.com

"ENJOY THE WORLD OF FLYING - SAFARI"

Mombasa wamsubiri Diamond

Mashabiki wa wapenzi wa mziki kizazi kipya wa jijini Mombasa jumamosi hiii tarehe 7,Desemba,2013 wanamsubiria Diamond Platinium pichani kushoto , ambaya atakae fanya shoo ya kufa mtu katika ukumbi wa Big Tree Hotel. Siku hiyo shoo itakuwa siya kukosa kwa sababu msanii Diamond Platinium kutoka Tanzania atawapa masongi ya ukweli kama `my number one`,`nataka kulewa`,`mbagala` na nyinginezo nyingi hhii si ya kukosa wana Mombasa

Waziri wa Kilimo wa ashinda tuzo ya Forbes


Akinwumi Adesina, waziri wa kilimo Nigeria
Waziri wa Kilimo wa Nigeria Akinwumi Adesina ametangazwa na jarida la Forbes Afrika kuwa mshindi wa mwaka kutokana na mageuzi yake katika sekta ya kilimo.
"Ni mtu ambaye yuko katika mwelekeo wa kuisaidia Afrika kujilisha," amesema mhariri wa Forbes Africa,Chris Bishop.
Bwana Adesina amesema anataka kuwasaidia watu kutajirika kupitia kilimo.

Dr. Migiro ateuliwa kuwa Mbunge!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dokta Asha-Rose Migiro, aliyekuwa Naibu Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa kuwa Mbunge.

Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, Jumanne, Desemba 3, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dokta. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo umeanza Desemba 2, 2013. Dr. Asha-Rose Migiro ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa katika Chama cha Mapinduzi.

'Kura ya Ballon d'Or ngumu ngumu zaidi'

Michel Platini


Rais wa Uefa Michel Platini amesema shughuli ya kuchagua nani kati ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Franck Ribery atatunukiwa Ballon d'Or "ndiyo ngumu zaidi katika historia ya tuzo hiyo."

Katika mahojianio na gazeti la michezo la kila siku Uhispania la AS, mshindi huyo mara tatu wa Ballon d'Or winner kutoka Ufaransa alifanyia mzaha uamuzi wa Fifa wa kusongesha siku ya mwisho ya kupiga kura kwa wiki mbili hadi Novemba 29

Alisema “hili lilifanyika ili kuingiana na Ureno kufika fainali za Kombe la Dunia kupitia mabao matatu ya Ronaldo."
Platini anasema Andres Iniesta au Xavi Hernandez wangemshinda Messi kwa tuzo hiyo ya 2010 baada ya kusaidia Uhispania kushinda Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza kabisa nchini Afrika Kusini.
Mshindi wa Ballon d'Or will atatangazwa Januari 13.

GOtv Cecafa Cup:Tanzania marches to quarters

Tanzania's mainland national team The Kilimanjaro Stars have sealed their place in the quarterfinals of the Cecafa Senior Challenge Cup following their 1-0 victory over Burundi to a match played at the Afraha Stadium in Nakuru. TP Mazembe duo of Mbwana Samatta and Thomas Ulimwengu marked their first appearances in the tournament following their return from club duties.
In form striker Mbwana Samatta connected a well curled cross from Mrisho Ngassa with a solid header to score the only goal of the game in the eighth minute.
With this result, Stars finish with a total of seven points from two wins and a draw as they march on to the quarters.


Line ups:
Kilimanjaro Stars: Ivo Mapunda, Kevin Yondani (c), Erasto Nyoni, Himid Mao, Said Moradi, Frank Domayo, Salum Abubakar 'Sureboy', Mrisho Ngassa, Thomas Ulimwengu, Amri Kiemba, Mbwana Samatta.
Burundi: Arthur Arakaza, Hassan Hakizimana(c), Frederic Nsabiyumva, Rashid Harerimana, Yussuf Ndikumana, Christopher Nduwarugira, Gael Duhayinoavyi, Celestin Habonimana, Shaban Hussein, Jean


Mholanzi Ernie Brandts, aongeza mkataba wa kuinoa Yanga


Kocha wa Yanga, Mholanzi Ernie Brandts, ameongeza mkataba wa kukinoa Kikosi cha Wanajangwani hao baada ya kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja akiwa ndani ya gari lake kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana.

Baada ya mazoezi ya timu hiyo kumalizika kwenye uwanja huo majira ya saa tano asubuhi huku kukinyesha mvua, Brandts aliingia kwenye gari lake akifuatwa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh ambaye naye aliingia kwenye gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser na kukabidhi mkataba kwa kocha huyo.

Bomu laokotwa eneo la Kanisa


Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,John Laswai pichani kushoto.
Bomu limeokotwa karibu na eneo la Kanisa la Huduma ya Maombezi ambalo pia ni eneo la makazi ya watu katika barabara ya Barakuda Kata ya Mazimbu Manispaa ya Morogoro.

Bomu hilo liliokotwa juzi  asubuhi na mtoto ambaye alikuwa akilima bustani jirani na nyumba yao  na baada kuchimbua udongo aliona kitu kizito na kukitoa.

Mmoja mashuuda, Brayton Sospeter, alisema bomu hilo liliokotwa na mtoto huyo na baadaye kulichukua na kwenda kuwaonyesha watoto wenzake waliokuwa wakicheza katika eneo hilo.

Nafasi za kAZI/Natafuta KazI

Mimi ni kijana umri 39 natafuta kazi ya udereva( kuendesha maloli,gari ndogo,kupelaka wanafunzi shuleni n.k) nina leseni class ABDE. Niko jijini Dar es salaam. kwa maelezo zaidi piga simu namba 0783 492623.


Natafuta kazi ya kupeleka watoto wadogo shuleni nina uzoefu wa miaka 10, mimi ni kijana Niko Dar  
es salaam.simu namba 0783 492623 kwa maelezo zaidi.

naishi Nairobi nina uwezo na elimu ya kupiga picha, kushoot Video na kuedit.
 (1) nani uwezo wa kutumia Camera zote Old na za kisasa
( 2)nina sample za kazi kadhaa nilizowai fanya Tanzania,Kenya,Afika kusini na Sweden.
( 3) Nina miaka 40 tayari kusafiri popote saa yoyote. wasiliana  sasa kwa email hii mtumishilinda@gmail.com 

Radio Station Sales Manager

* This job opening has been viewed 156 times « Browse job list
  Bookmark this job About this job
Radio Station Sales Manager

Minimum Requirements
  • Must have radio broadcasting sales experience.
  • 3 years in a similar role.
  • Must have knowledge of the media landscape in Rwanda
  • Must have strong relationships with agencies, media buyers and the government.
  • Must be local citizen fluent in one or two of the national languages.(Kinyarwanda, and French) as well as English

Key Performance Areas

  • Develop and monitor operational sales strategies
  • Maximise Sales revenue through the development and allocation of sales targets and the monitoring of sales performance against the sales targets.
  • Monitor and analyse competitor business in order to identify and exploit new business opportunities and increase market share.
  • Interpret and utilize research results in order to optimise revenue.
  • Establish, manage and maintain positive relationships with all internal stake holders, agencies and clients directly in order to generate income and profits.
Competencies
  • An individual who is driven to achieve objectives and succeed
  • Excellent selling, presentation and negotiation skills
  • Excellent verbal & written communication skills
  • Able to establish and maintain relationships with people at all levels
  • Ability to solve problems
  • Strong business development and planning ability
Deadline for application : 16.12.2013
Email(s) for online applications : jobs@smwcommunications.com

 

Diamond Platinum atangaza nafasi za kazi

Hitmaker wa 'My Number One' Naseeb Abdul aka Diamond Platinum kupitia 'Wasafi Classic Baby' ametangaza nafasi za kazi mbalimbali,graphic designer,Cameraman,editor.

Somo zaidi huu ujumbe wake aliyoupost kwenye instagram. 

Je unaishi Dar-es-Salaam..? Unakipaji, Uwezo na Elimu ya kupiga picha, kushoot Video na kuedit...? NOTE:- 1)Uwe na Uwezo wa kutumia Camera zote Old na za kisasa.... 2)Uwe na sample za kazi kadhaa ulizowai fanya... (kushoot na Kuedit) 3)Quality ni kuanzia 1080 na kuendelea... 4)Age, kuanzia Miaka 20 hadi 35.. 5)M'bunifu, Smart na uwe tayari kusafiri popote saa yoyote... Kama unaamini unasifa hizo wasiliana nasi sasa kwa email hii diamondplatnumz@gmail.com ama kwa namba ya simu +255755700400.... Kumbuka, uwe unaisha Dar-es-Salaam...!

UN: Kutumia ndege zisizo na rubani DRC


 Ndege isizo na rubani ikiwa angani
Majeshi ya Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo yameanza kutumia ndege zisizo na rubani kuchunguza harakati za waasi katika mipaka na Rwanda na Uganda.
Hii ni mara ya kwanza kwa majeshi ya Umoja wa Mataifa kutumia ndege za aina hiyo.
Ndege mbili za kwanza zilirushwa kutoka mji wa mashariki wa Goma ambao mwaka jana ulikaliwa kwa muda mfupi na waaasi wa kundi la M23.
Ndege mbili za kwanza zinaundwa na shirika la Italia la Selex ES

Lady Gaga unveils dolls in her flamboyant likeness


The pop star unveiled life-size dolls in her likeness, dressed in her flamboyant costumes, at a Tokyo event Sunday.

 

A person leaning against the silicon doll's chest can hear Lady Gaga music and messages.

Gaga said she was honored to have replicas of herself. When her friends saw the dolls, "they were so excited to take pictures of me with the dolls and then all of a sudden the dolls took over. And the dolls were the most important thing in the room. And this is a beautiful thing," she said.
Japanese industrial and design companies teamed with her record label to create the Gagadoll, inspired by her new "Artpop" album. They're prototypes not yet available for sale.
At the news conference, the 27-year-old singer made her grand entrance wearing a red plaid jumpsuit and wrapped in coils of the same fabric.
Gaga is participating in a charity auction to benefit the 2011 earthquake and tsunami victims. She's hoping that one of the two Gaga-styled Hello Kitty dolls will raise a lot of money for the cause.
"Artpop" hasn't matched the critical acclaim or sales of her blockbuster "Born This Way" album.
Gaga said she looked forward to returning to Japan with the "Artpop" tour. The concert schedule hasn't been released.

Zanzibar Heroes must go gung ho


Zanzibar Heroes soccer team’s prowess will be tested to the limits as they face hosts Kenya in the final Group A match of the Central and East Africa Football Associations’ Senior Challenge Cup championship to be played at the Afraha Stadium in Nakuru later this evening.

With three points collected after breezing past South Sudan during the tournament’s opener on Wednesday last week, the only option for the Isles team to avoid booking an early flight home is to post a victory or at least to salvage a draw.

The big hurdle that awaits Zanzibar Heroes is to shrug off intimidation from the host nation’s fans who are expected to turn out in big numbers at Nakuru’s Afraha Stadium today.

Unlike the Nyayo Stadium in Nairobi where fans shun CECAFA matches, the atmosphere is expected to change in Nakuru owing to the fact that the centrally-located city will be hosting CECAFA matches for the first time in history.

Harambee Stars, as the Kenyan national soccer team is always known, will for sure embark on attack right from the kick off to demoralize the visiting Zanzibar side.

Winning the match for Kenya is a top priority so as to secure a relatively weak opponent in the scheduled quarter-final matches slated for Mombasa this weekend.

Isles’ Coach Salum Bausi will either be perceived as a hero or villain by home fans in Zanzibar depending on the performance of his boys in today’s crucial encounter.

The teams battled to goalless draw in Kampala last year before Kenya made it to the finals after tense shootout at Namboole Stadium.

However, much has changed in the Isles side that features in this tourney.
Bausi gambled to downplay the inclusion of experienced players in the likes of Nadir Haroub, Hamis Mcha, Nassor Masoud and goalkeeper Mwadini Ali who would have been useful to boost the team’s display during the tournament.

Zanzibar are really up against the high-amplitude tidal wave and have to be resurgent enough to pull a lifeline in the tourney involving twelve teams.

While Zanzibar are up against the hosts, Ethiopia, who also have the same number of points like the hosts, four, are lined up against the Group A’s weakest side South Sudan, already out of contention for the title after conceding two group stage defeats in a row.

South Sudan, who lost their second game to Kenya by a lone goal last Saturday, will be playing the game as a formality while weighing their chances for next year’s Challenge Cup tournament edition.

With identical statistics for both Kenya and Ethiopia, either side stands a chance to finish on top of the Group A standings ahead of the quarter-final clashes. 

Zoleka Mandela tells her story


When hope whispers Zoleka Mandela found the courage to share her emotional journey of childhood, motherhood and healing process of losing two kids and living with breast cancer.

The Mandela’s always have a story to tell, this time we not focusing on our very own icon Nelson Mandela nor his former wife Winnie, it’s the granddaughter who has an anecdote.
The 33 year old has released a book titled ‘When hope whispers’ where she tells it all about her life and battle with drug, alcohol, sex addiction and living with breast cancer.
The book was launched this month and it is now available at Exclusive Books nationwide at a cost of R195.
She wrote the book with the aim to give hope and inspire those who have suffered from substance abuse as well as spread cancer awareness.
Not only does the book aim to inspire she shares her deepest wounds and life regrets of not being a better mother to her children.
“I was the worst parent to my kids and I know that what I’m doing right now is celebrating my kids so that I can at least make them proud one day. (The editing process) was extremely difficult because I hadn’t been truthful to myself and an honest person for a very long time in my life so I always have to remember the reason I wrote this book and remember the promises I’m making.
Sharing her life journey she courageously makes public in the book how drugs took over her parenting life. This all happened during the time when her 13 year old daughter Zenani was killed in a car accident the night of the Fifa world cup concert in 2010.
““I hadn’t seen my daughter for 10 days before her passing, and I hadn’t because I chose to use drugs. That’s obviously a reminder that I chose my addiction over my kids and I have to live with that for the rest of my life.”
The tragedy of losing a child did not end there she lost another baby. Her son Zenawe was born prematurely in 2011 and her wounds were cut deep.
She has now gone from suicidal to survival.
“I’m at a phase in my life right now where I believe that the sacrifices I’m making are to the benefit of others,” Mandela says.

البابا فرنسيس: الميلاد مسيرة لملاقاة الرب




"علينا أن نتحضر للميلاد بالصلاة وأعمال لمحبة والتسبيح، بقلب منفتح يسمح لنا بلقاء الرب الذي يجدد كل شيء" هذا ما قاله قداسة البابا فرنسيس في عظته مترئسًا القداس الإلهي في كابلة بيت القديسة مرتا بالفاتيكان صباح اليوم الاثنين في الأسبوع الأول من زمن المجيء. 
استوحى الأب الأقدس عظته من الإنجيل الذي تقدمه لنا الليتورجية اليوم والذي يخبرنا فيه الإنجيلي متى عن قائد المائة الذي جاء إلى يسوع يتوسل إليه بإيمان كبير أن يشفي عبده. قال البابا: نبدأ اليوم مسيرة جديدة، مسيرة كنيسة نحو الميلاد، نسير للقاء الرب لأن الميلاد ليس مجرد عيد زمني أو ذكرى لشيء جميل، الميلاد هو أكثر من هذا: انه مسيرة لملاقاة الرب، الميلاد لقاء ! ونحن نسير للقاء الرب في قلوبنا وحياتنا، إنه لقاء بالله الحي! انه لقاء إيمان! في إنجيل اليوم يخبرنا القديس متى أن يسوع قد أُعجب بقائد المائة وبإيمانه. جاء قائد المائة للقاء الرب يدفعه إيمانه ولذلك لم يلتقي الرب فقط وإنما شعر أيضًا بفرح الرب الذي التقاه. وهذا هو اللقاء الذي نريده! نحن نريد لقاء الإيمان!
تابع البابا فرنسيس يقول مهم أن نلتقي بالله لكن الأهم يكمن في أن نسمح لله بأن يلتقي بنا! فعندما نلتقيه وحدنا، نكون نحن محور اللقاء ولكن عندما نسمح له أن يلتقي بنا، يدخل عندها إلى قلوبنا ويجددنا! هذا هو المجيء وهذا هو معناه الحقيقي، لان المسيح يجدد كل شيء بمجيئه: يجدد القلب والروح، يجدد الحياة والرجاء والمسيرة! نحن في مسيرة إيمان، كإيمان قائد المائة، للقاء الرب ولكي نسمح له بأن يلتقينا، ولذلك علينا أن نفتح قلوبنا! يجب أن نفتح قلوبنا لنتمكن من لقائه وليقول لنا ما يريده منا والذي غالبًا ما لا يتطابق مع ما أرغب في سماعه! فالرب لديه ما يقوله لي شخصيًا، هو يحدثنا فرديًّا كل بمفرده، لا ككتلة! الرب ينظر إلى كل منا ويلتقيه وجهًا لوجه، وينظر إلينا ويحبنا، وهذا الحب الذي يحمله لنا ليس حبًّا مجرّدًا بل حبًّا ملموسًا! إنه حبٌّ بين شخصين! فالرب ينظر إلينا كأفراد وأشخاص، وعندما نسمح له بأن يلتقينا نحن نسمح له أيضًا بأن يحبنا!
وختم الأب الأقدس عظته بالقول: في مسيرتنا نحو الميلاد ولكي نلتقي بالله نحن بحاجة لنداوم على الصلاة وعلى أعمال المحبة الأخوية، كما وعلينا أن نقترب أكثر من المعوزين وأن نفرح برفع التمجيد والتسبيح للرب!



مشا