The Prayer Thank You God!
Dear Loving and Compassionate God,
Giver of all gifts,
we pray especially today for the mercy and love You give
us.
Open our hearts and minds to You.
Give us the grace to accept your mercy.
As we live each day,
we pray for those less fortunate,
especially those who are hurting,
and whose wounds need to be healed.
Help us become involved in ways that show them how deeply
we care.
Give us the personal courage to listen to their concerns
and help them find the solutions to which they are
entitled.
as Your children and our brothers and sisters.
Amen.
Week Hot newz
-
Tunaendelea kama kawaida katika kipindi chetu, tafakari masomo Dominika, na leo tunatafakari masomo Dominika ya 33 ya mwaka C wa Kanisa...
-
Teach me, Lord Jesus, to be generous: to serve You as You deserve; to give, not counting the cost; to fight, not heeding the wound...
-
Uchunguzi wa mwili wa Askofu Józef Wesolowski, umekamilika na matokeo kwamba amekufa kifo cha kawaida. Kuf...
-
Baraza la Kipapa la Elimu Katoliki limezindua tovuti yake inayotoa habari muhimu kuhusu mchango wa Kanisa Katoliki katika sekta ya elimu ...
-
Reading 1, James 2:14-24, 26 14 How does it help, my brothers, when som...
-
Zaidi ya wadau elfu mbili na mia mbili wa Uinjilishaji nchini Argentina, kwa muda wa siku tatu, kuanzia tarehe 10 hadi tarehe 12 Oktob...
Daily Reading for Friday, September 25th, 2015
Reading 1, Haggai 1:15--2:9
1 In the second year of King Darius, on the first day of the sixth month, the word of Yahweh was addressed through the prophet Haggai to Zerubbabel son of Shealtiel governor of Judah and to Joshua son of Jehozadak the high priest as follows,2 'Yahweh Sabaoth says this, "This people says: The time has not yet come to rebuild the Temple of Yahweh." '
3 (And the word of Yahweh was addressed through the prophet Haggai, as follows,)
4 'Is this a time for you to live in your panelled houses, when this House lies in ruins?
5 So now, Yahweh Sabaoth says this, "Think carefully about your behaviour.
6 You have sown much and harvested little; you eat but never have enough, drink but never have your fill, put on clothes but feel no warmth. The wage-earner gets his wages only to put them in a bag with a hole in it."
7 Yahweh Sabaoth says this, "Think carefully about your behaviour.
8 Go up into the hills, fetch timber and rebuild the House; and I shall take pleasure in it and manifest my glory there -- Yahweh says.
9 The abundance you expected proved to be little. When you brought the harvest in, I blasted it. And why? - Yahweh Sabaoth declares. Because while my House lies in ruins, each of you is busy with his own house.
15 This was on the twenty-fourth day of the sixth month. In the second year of King Darius,
Responsorial Psalm, Psalms 43:1, 2, 3, 4
1 Judge me, God, defend my cause against a people who have no faithful love; from those who are treacherous and unjust, rescue me.2 For you are the God of my strength; why abandon me? Why must I go around in mourning, harrassed by the enemy?
3 Send out your light and your truth; they shall be my guide, to lead me to your holy mountain to the place where you dwell.
4 Then I shall go to the altar of God, to the God of my joy. I will rejoice and praise you on the harp, O God, my God.
Gospel, Luke 9:18-22
18 Now it happened that he was praying alone, and his disciples came to him and he put this question to them, 'Who do the crowds say I am?'19 And they answered, 'Some say John the Baptist; others Elijah; others again one of the ancient prophets come back to life.'
20 'But you,' he said to them, 'who do you say I am?' It was Peter who spoke up. 'The Christ of God,' he said.
21 But he gave them strict orders and charged them not to say this to anyone.
22 He said, 'The Son of man is destined to suffer grievously, to be rejected by the elders and chief priests and scribes and to be put to death, and to be raised up on the third day.'
Papa Francisko yuko Marekani

Papa akipokewa na Rais Obama mara baada ya kutua katika uwanja wa Kijeshi wa Marekani akitokea Cuba - EPA
Akipita katika anga za nchi, kwa njia ya telegramu alipeleka salaam zake za matashi mema kwa wakuu wa nchi akianzia Rais Raul Castro Ruz, akisema “wakati naondoka katika taifa pendwa la Cuba, napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwako wewe na watu wote wa Cuba kwa mapokezi mazuri mliyonipatia. Nami nawaombea Baraka za Mwenyezi Mungu, kwenu nyote na ninawahakikishia maombi yangu kwa ajili ya amani na ustawi wenu nyote”.
Prayer of the Day for Saturday, September 12, 2015
Family Blessing at a Gathering
Father in Heaven,
We praise You for giving us Your Son
To be our Saviour and Lord.
Bless us all as we gather here today, (tonight)
And let us live happily in Your love.
Hear our prayer, loving Father,
For we ask this in Jesus' Name.
Amen.
We praise You for giving us Your Son
To be our Saviour and Lord.
Bless us all as we gather here today, (tonight)
And let us live happily in Your love.
Hear our prayer, loving Father,
For we ask this in Jesus' Name.
Amen.
Daily Reading for Saturday, September 12th, 2015
Reading 1, First Timothy 1:15-17
15 Here is a saying that you can rely on and nobody should doubt: that Christ Jesus came into the world to save sinners. I myself am the greatest of them;16 and if mercy has been shown to me, it is because Jesus Christ meant to make me the leading example of his inexhaustible patience for all the other people who were later to trust in him for eternal life.
17 To the eternal King, the undying, invisible and only God, be honour and glory for ever and ever. Amen.
Responsorial Psalm, Psalms 113:1-2, 3-4, 5, 6-7
1 Alleluia! Praise, servants of Yahweh, praise the name of Yahweh.2 Blessed be the name of Yahweh, henceforth and for ever.
3 From the rising of the sun to its setting, praised be the name of Yahweh!
4 Supreme over all nations is Yahweh, supreme over the heavens his glory.
5 Who is like Yahweh our God? His throne is set on high,
6 but he stoops to look down on heaven and earth.
7 He raises the poor from the dust, he lifts the needy from the dunghill,
Gospel, Luke 6:43-49
43 'There is no sound tree that produces rotten fruit, nor again a rotten tree that produces sound fruit.44 Every tree can be told by its own fruit: people do not pick figs from thorns, nor gather grapes from brambles.
45 Good people draw what is good from the store of goodness in their hearts; bad people draw what is bad from the store of badness. For the words of the mouth flow out of what fills the heart.
46 'Why do you call me, "Lord, Lord" and not do what I say?
47 'Everyone who comes to me and listens to my words and acts on them -- I will show you what such a person is like.
48 Such a person is like the man who, when he built a house, dug, and dug deep, and laid the foundations on rock; when the river was in flood it bore down on that house but could not shake it, it was so well built.
49 But someone who listens and does nothing is like the man who built a house on soil, with no foundations; as soon as the river bore down on it, it collapsed; and what a ruin that house became!'
St. Ailbhe
Short Cuts
Bishop and preacher, one of the saints whose life has been woven into the myths and legends of Ireland. He was a known disciple
of St. Patrick, and is called Albeus in some records. What is known
about Ailbhe is that he was a missionary in Ireland, perhaps sponsored
by King Aengus of Munster. He was also the first bishop
of Emily in Munster, Ireland. Legends and traditions abound about his
life. One claims that he was left in the woods as an infant and suckled
by a wolf. This legend is prompted in part by Ailbhe's later life. An
old she-wolf came to Ailbhe for protection from a hunting party, resting
her head upon his breast. He is supposed to have been baptized by a priest in northern Ireland, possibly in a British settlement. The so called Acts
of Ailbhe are filled with traditions that are not reliable. Ailbhe was
noted for his charity and kindness, as well as his eloquent sermons. He
is beloved in Ireland.
Hakuna mbadiliko katika sheria msingi ya ndoa.

Profesa katika Sheria za Kanisa katika Chuo Kikuu cha Kipapa ya Gregorian cha Papa Rome, Padre James J. Conn, SJ, akizungumzia marekebisho hayo ameiambia Redio Vatican kwamba, kuna mabadiliko maalum matatu , hasa katika uharakisha wa kushughulikia kesi za wanaondoa wanaotaka kubatilisha ndoa; kuondolewa kwa haja ya mahakama kutoa hukumu mara mbili kwa tukio na kisha tena kupelekwa katika mahakama ya rufaa, kwa maana kwamba, inatosha kuzingatia maamuzi yaliyotolewa na mahakama kwa mara ya kwanza, iwapo yanayoona kwamba , kuna ushahidi wa kutosha kwa ndoa kutanguliwa, na wahusika wanaweza kufunga ndoa ndoa mpya kwa mujibu wa sheria Kanisa (au katika kupokea miungano ya ndoa ilifungwa kwa sheria za kiraia , wakati huo huo kutambuliwa na Kanisa).
Pia kuanzishwa kwa uwezekano wa kesi kusikilizwa na hakimu mwenye uzoefu mara moja, kama hatua ya kupunguza mzigo wa wingi wa kesi katika mahakama za majimbo, ambako watu wenye ujuzi ni wachache); Na uundaji wa kueleka mchakato wa kesi katika baadhi ya kesi , kutolewa maamuzi moja kwa moja na Askofu mahalia, kwa kesi ambazo zina ushahidi wa kutosha kutolewa hukumu ya kubatishwa na pande zote mbili zinaamini muungano wao ulikuwa batili. Katika mchakato huu hasa unaonyesha dhamira Papa Francisco kugawana madaraka na Maaskofu wa majimbo duniani kote.
Prof Conn, SJ, aliendelea kufafanua kwamba - kinyume na uvumi uliotolewa na baadhi ya vyombo vya hata katika vyombo vya Kanisa, mabadiliko yamefanyika katika misingi ya uelewa wa Kanisa la asili na muundo wa kimsingi wa ndoa, na hivyo hakuna mabadiliko kaika Madhumuni msingi na wigo wa mfumo wa Kanisa mahakama. Na wala hakuna mabadiliko katika mafundisho ya Kanisa juu ya kutengua ndoa, alisema Prof. Conn, SJ. Na kwamba, nayaraka mpya za mabadiliko hazibadilishi kanuni zinazofuatwa na Mahakimu katika kubatilisha ndoa na wala hazibadili uhalali wa ndoa, hivyo, ndoa kubatilishwa linabaki ni jambo linalohitaji uwepo wa ushahidi wa kutosha .
Daily Reading for Friday, September 11th, 2015
Reading 1, First Timothy 1:1-2, 12-14
1 Paul, apostle of Christ Jesus appointed by the command of God our Saviour and of Christ Jesus our hope,2 to Timothy, true child of mine in the faith. Grace, mercy and peace from God the Father and from Christ Jesus our Lord.
12 I thank Christ Jesus our Lord, who has given me strength. By calling me into his service he has judged me trustworthy,
13 even though I used to be a blasphemer and a persecutor and contemptuous. Mercy, however, was shown me, because while I lacked faith I acted in ignorance;
14 but the grace of our Lord filled me with faith and with the love that is in Christ Jesus.
Responsorial Psalm, Psalms 16:1-2, 5, 7-8, 11
1 [In a quiet voice Of David] Protect me, O God, in you is my refuge.2 To Yahweh I say, 'You are my Lord, my happiness is in none
5 My birthright, my cup is Yahweh; you, you alone, hold my lot secure.
7 I bless Yahweh who is my counsellor, even at night my heart instructs me.
8 I keep Yahweh before me always, for with him at my right hand, nothing can shake me.
11 You will teach me the path of life, unbounded joy in your presence, at your right hand delight for ever.
Gospel, Luke 6:39-42
39 He also told them a parable, 'Can one blind person guide another? Surely both will fall into a pit?40 Disciple is not superior to teacher; but fully trained disciple will be like teacher.
41 Why do you observe the splinter in your brother's eye and never notice the great log in your own?
42 How can you say to your brother, "Brother, let me take out that splinter in your eye," when you cannot see the great log in your own? Hypocrite! Take the log out of your own eye first, and then you will see clearly enough to take out the splinter in your brother's eyes.
Tanzania imezindua mradi wa Ujenzi wa kituo cha magonjwa ya moyo

Chumba cha cha upasuaji - ANSA
Serikali imezindua mradi wa ujenzi wa kituo cha ubora wa sayansi ya magonjwa na mishipa ya moyo nchini Tanzania kitakachokuwa na uwezo wa kutoa huduma za kitabibu na kitafiti kwenye magonjwa hayo kwa nchi zote za ukanda wa Afrika mashariki.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam Septemba 10, Mkurugenzi wa Elimu ya juu nchini, Profesa Sylivia Temu, alisema mradi huo unaotekelezwa na serikali kwa ushirikiano na Benki ya Maendeleo Afrika, ni mojawapo ya miradi minne ya afya inayotekelezwa kwenye ukanda wa Afrika Mashariki ikilenga kutatua changamoto mbalimbali za kiafya.
Vile alisema kila nchi ya Afrika inayo miradi ya aina yake kwenye sekta hiyo muhimu , na kwa upande wa Tanzania wamejikita katika kukabiliana na magonjwa ya moyo , mradi huo utakuwa chini ya uangalizi wa Chuo kukuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (Muhas), ambao utakwenda sambamba na ujenzi wa Kampasi mpya ya Chuo Kikuu hicho , kilichoko eneo la Mlonganzila jijini Dar Es Salaaam.
Profesa Temu akiongea pia kwa niaba ya Waziri wa Elimu a Mafunzo ya Ufundi Dk Shukuru Kawamba ,aliongeza kwamba mradi huo utasaidia kupunguza vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo nchini, na kupunguz gharama zinazolikabili taifa kwa sasa kutokana na kusafirisha nje idadi kubwa ya wagonjwa wa moyo kupata matibabu.
Lakini pia kupitia kituo hiki kitakacho kuwa kikubwa kabisa hapa Afrika Mashariki, wanatarajia kwamba tafiti nyingi za masuala ya kiafya hasa kwenye eneo hili la magonjwa ya moyo zitakuwa zikifanyika nchini Tanzania na pia kupitia Muhas, watazalisha wataalam wengi wa magonjwa hayo kwa manufaa ya vyuo vingine ndani na nje ya nchi, aliongeza.
Kwa upande wa Makamu Mkuu wa Muhas, Profesa Ephata Kaaya, alisema chuo chake kimejipanga kutekeleza mradi huo mkubwa utakaotekelezwa kwa awamu mbili, awamu ya kwanza utahusisha mafunzo pamoja na maandalizi ya vifaa huku awamu ya pili ikuhusisha ujenzi kamili wa kituo hicho alisema.
Meneja Miradi ya Jamii kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika, Hamis Simba, alizitaja baadhi ya sababu zilizosababisha benki hiyo kufadhili mradi ho kuwa ni pamoja na kuvutiwa na mikakati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki kwa ujumla katika kukabiliana na magonjwa ya moyo.
Na Shirika la Utafiti wa Magongwa na Tiba barani Afrika (Amref), limezindua zahanati zilizofanyiwa ukarabati kupitia mradi wa Afya ya uzazi ni haki ya vijana tuitetee' katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam Tanzania
Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Amref, Meneja wa Mradi huo na mtaalamu wa afya ya uzazi na afya ya watoto, Dk. Beatus Sambili, alisema mradi huo ulianzishwa kwa ajili ya kuwakusanya vijana na kuwapatia elimu juu ya namna ya kupambana na magonjwa ya ngono, maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, matumizi ya dawa za kulevya na mimba za utotoni.
Mbali na uzinduzi wa zahanati hizo, pia Amref imekabidhi vifaa mbalimbali vitakavyotumiwa na zahanati hizo.Baadhi ya vifaa hivyo ni viti, benchi la kukalia wagonjwa lililotengenezwa kwa plastiki, televisheni, deki, ving'amuzi, meza za ofisini na mbao za matangazo. Aidha, alisema mradi huo ulianzishwa kwa kuzilenga Manispaa za Kinondoni na Ilala kwa Jiji la Dar es Salaam na Manispaa ya Iringa kwa Nyanda za Juu Kusini.
Alizitaja Zahanati zilizonufaika na huduma hiyo kuwa ni Kiwalani, Vingunguti, Mongo la Ndege na kituo na Pugu Kajiungeni. Wakizungumzia mradi huo, Waganga Wafadhili wa Zahanati zilizofanyiwa ukarabati na Amref, walisema watatumia fursa hiyo kupambana na changamoto zilizokuwa zikiwakabili katika utoaji wa elimu na huduma mbalimbali kwa vijana kutokana na upungufu wa vifaa.
St. Paphnutius
Short Cuts
The holy confessor Paphnutius was an Egyptian who, after having spent several years in the desert under the direction of the great St. Antony, was made bishop in the Upper Thebaid. He was one of those confessors who under the Emperor Maximinus lost the right eye, were hamstrung in one leg, and were afterwards sent to work in the mines. Peace being restored to the Church, Paphnutius returned to his flock, bearing all the rest of his life the glorious marks of his sufferings for the name of his Crucified Master. He was one of the most zealous in defending the Catholic faith against the Arian heresy and for his holiness. As one who had confessed the Faith before persecutors and under torments, he was an outstanding figure of the first General Council of the Church, held at Nicaea in the year 325. Paphnutius, a man who had observed the strictest continence all his life, is said to have distinguished himself at the Council by his opposition to clerical celibacy. Paphnutius said that it was enough to conform to the ancient tradition of the Church, which forbade the clergy marrying after their ordination. To this day it is the law of the Eastern Churches, whether Catholic or dissident, that married men may receive all Holy Orders below the episcopate, and continue to live freely with their wives. St. Paphnutius is sometimes called "the Great" to distinguish him from other saints of the same name; the year of his death is not known. His feast day is September 11.
Facts
The holy confessor Paphnutius was an Egyptian who, after having spent several years in the desert under the direction of the great St. Antony, was made bishop in the Upper Thebaid. He was one of those confessors who under the Emperor Maximinus lost the right eye, were hamstrung in one leg, and were afterwards sent to work in the mines. Peace being restored to the Church, Paphnutius returned to his flock, bearing all the rest of his life the glorious marks of his sufferings for the name of his Crucified Master. He was one of the most zealous in defending the Catholic faith against the Arian heresy and for his holiness. As one who had confessed the Faith before persecutors and under torments, he was an outstanding figure of the first General Council of the Church, held at Nicaea in the year 325. Paphnutius, a man who had observed the strictest continence all his life, is said to have distinguished himself at the Council by his opposition to clerical celibacy. Paphnutius said that it was enough to conform to the ancient tradition of the Church, which forbade the clergy marrying after their ordination. To this day it is the law of the Eastern Churches, whether Catholic or dissident, that married men may receive all Holy Orders below the episcopate, and continue to live freely with their wives. St. Paphnutius is sometimes called "the Great" to distinguish him from other saints of the same name; the year of his death is not known. His feast day is September 11.
Papa akutana na Waziri Mkuu wa Kuwait

Papa Francisko akimpokea Waziri Mkuu Kuwait Sheik Jaber Mubarak Al-Hamad Al Sabah - ANSA
(Vatican Radio) Jumatano, Septemba 10, 2015, Papa Francis alimpokea na kuzungumza nae , Waziri Mkuu wa Kuwait, Sheikh Jaber Mubarak Al-Hamad Al-Sabah.
Katika mazungumzo yao ya kirafiki , waligusia mandhari mbalimbali ya maslahi kwa pande zote ikiwemo michango chanya ya kihistoria ya Wakristo wachache miongoni mwa jamii Kuwait. Na pia walilenga umuhimu wa elimu katika kukuza utamaduni wa kuheshimiana, mshikamano na ujenzi wa amani kati ya watu tofauti na wenye dini tofauti.
Baada ya Kukutana na Papa, Waziri Mkuu Sheikh Jaber na ujumbe wake alikutana na Katibu wa Nchi wa Vatican, Kardinali Pietro Parolin,akiwa amefuatana Askofu Mkuu Paulo Ghallager , Mkuu wa Idara ya mahusiano ya nchi za nje wa Vatican. Lengo la kukutana kwao ilikuwa kutia saini katika Mkataba wa Maridhiano kati Sekretarieti ya Nchi ya Vatican na Wizara ya Mambo ya Nje ya Nchi ya Kuwait . Utiaji huo wa saini, ulifanywa na Askofu Mkuu Paulo Gallagher na Waziri Sheikh Sabah Khalid Al-Hamad Al-Sabah, Naibu Waziri katika waziri wa Mambo ya Nje, Kuwait.
Taarifa inataja kuwa Mkataba huo, unawezesha utendaji thabiti zaidi kwa pande zote mbili, kuimarishwa zaidi na kuwa na mahusiano thabiti baina ya nchi, katika kushirikiana , kuheshimiana, kujenga amani na utulivu wa kikanda na kimataifa.
Waangalizi wa ndani na mwenendo wa uchaguzi mkuu

Mwanaharakati, Martina Kabisama.
Katika kipindi cha uchaguzi, vyombo mbalimbali zikiwamo asasi mbalimbali za kiraia hufanya kazi ya uangalizi wa mwenendo wa uchaguzi.
Mbali na asasi za ndani, lakini pia waangalizi wa nje, nao hufanya kazi hiyo.
Yapo mambo mbalimbali ambayo huangalia katika uchaguzi, ambayo kwa
namna moja ama nyingine mwisho wa siku wanapaswa kuwaambia wananchi
nini ambacho wamegundua katika uchaguzi husika.
Yapo mambo mbalibali ya kuangalia katika uchaguzi, lakini mojawapo
ni namna vyombo husika vinavyosimamia uchaguzi vinavyofanya kazi yake.
Mojawapo ni pamoja na kuangalia endapo vyombo hivyo vinatenda haki
kwa kila mwanasiasa au chama chochote cha siasa ambacho kimepata sifa ya
kushiriki katika uchaguzi.
Kadhalika, kama wananchi nao kwa upande wao wanapata haki yao ya
kushiriki katika mchakato mzima wa upatikanaji viongozi wao kwa uhuru.
Kuangalia vyombo vya usalama navyo kwa upande wake kama vinatimiza
wajibu wake ipasavyo upande wa usalama, kwa kuhakikisha wanapewa
ulinzi, bila kujali ni mwanasiasa marufu ama siyo maarufu, ni chama
kikubwa au siyo kikubwa.
Nyingine ni kuhakikisha watu katika makundi mbalimbali wanapewa
nafasi na fursa nzuri ya kushirikishwa katika mchakato wote wa uchaguzi
kuanzia kujiandikisha, kushiriki katika kampeni kwa kupata fursa ya
kusikiliza sera kwa wagombea na vyama mbalimbali na kupiga kura.
Hapa ni pamoja na makundi ya watu wenye ulemavu wa aina zote.
Kazi hii pamoja na wadau wengine, pia inapaswa kufanywa na vyombo
vingine kama Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), vyombo vya usalama, na
Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.
Miongozni mwa wadau ambao wamepewa mamlaka ya kuangalia mwenendo wa
uchaguzi mwaka huu ni pamoja na Muungano wa waangalizi wa uchaguzi
nchini (Cemot), ambao wameeleza kujipanua zaidi katika aina yao ya
uangalizi.
Katika kufamikisha kazi yao hiyo, na kwa kuhakikisha wanaifanya kwa
ufanisi, wameamua kuandaa ofisi maalum ambayo itakuwa kituo cha kutoa
na kupokea taarifa mbalimbali za kile kinachoendelea katika uchaguzi.
Ofisi hiyo itajikita katika kukusanya taarifa mbalimbali kutoka
kwa waangalizi wake ambao wamewatawanya nchi nzima pamoja na kwa
wananchi wenyewe ambao watapata fursa ya kutoa taarifa ya jambo lolote
ambalo watabaini haliendi sawa au vinginevyo.
Mwenyekiti Mwenza wa Muungano wa asasi hizo, Martina Kabisama,
anasema kituo hicho kitakuwa kinafanya kazi kwa kutoa taarifa kwa
mtindo wa kisasa wa teknolojia ya habari (Teknohama) na kwamba tayari
wameandaa vifaa maalum vya kufanyia kazi hiyo.
Mbali na hilo, pia wameandaa wataalam wa kuchambua masuala
yatakayokuwa yanajitokeza katika uchaguzi na pia kitawapa fursa wananchi
kwenda kupata taarifa mbalimbali watakazohitaji.
Kabisama anasema waangalizi wa ndani zaidi ya 10,000 wamesambazwa
katika maeneo mbalimbali nchi nzima kwa ajili ya kuhakikisha
wanakusanya taarifa za kila kinachofanyika katika uchaguzi huo.
Pamoja na mambo mengine, anasema tathmini ya uchaguzi imeanza tangu
mchakato wa kuandikisha wapiga kura kupitia mfumo wa kielektroniki wa
Biometric Voters Registration (BVR).
Anasema wanafanya hivyo kwa maslahi ya taifa na Watanzania ili
kuhakikisha kila mtu anashiriki katika uchaguzi pasipo kubaguliwa.
“Nchi hii ni ya Watanzania wote, hakuna mtu mwenye hati miliki ya
taifa hili na ndiyo maana tumeomba na tumepewa nafasi ya kufuatilia
uchaguzi kama ambavyo tumekuwa tukifanya miaka mingine,” anasema na
kuongeza:
“Lengo ni kuhakikisha haki inatendeka na kila mtu anashiriki katika
kuchagua kiongozi ambaye anaamini atamletea maendeleo na pia kila chama
na mwanasiasa apewe haki yake Kikatiba.”
Balozi wa Dernmark nchini, Einar Jensen, anasema hiki ni kipindi
muhimu kwa Tanzania na inatakiwa kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa
amani ukiwa huru na haki.
“Ili uchaguzi ufanyika kwa amani, kitu kinachotakiwa kuzingatiwa ni
kuhakikisha unakuwa huru na haki, hayo yote yanatakiwa kuanzia katika
kundikishwa kwa kila mtu mwenye haki ya kuandikishwa kupiga kura
ahakikishe amepata haki hiyo, haya yote yakizingatiwa ni lazima mvuke
salama,” anasema.
CHANZO:
NIPASHE
Prayer of the Day for Thursday, September 10, 2015
Prayer in Time of Anger
Lord Jesus, there is anger in my heart and I cannot root it out.
I know that I should calm down and offer the hurt and disappointment to You
but my emotion is running away with me.
Help me to overcome this weakness and give me peace of heart as well as mind.
Let me learn from this experience and grow into a better human being. Amen.
I know that I should calm down and offer the hurt and disappointment to You
but my emotion is running away with me.
Help me to overcome this weakness and give me peace of heart as well as mind.
Let me learn from this experience and grow into a better human being. Amen.
Daily Reading for Thursday, September 10th, 2015
Reading 1, Colossians 3:12-17
12 As the chosen of God, then, the holy people whom he loves, you are to be clothed in heartfelt compassion, in generosity and humility, gentleness and patience.13 Bear with one another; forgive each other if one of you has a complaint against another. The Lord has forgiven you; now you must do the same.
14 Over all these clothes, put on love, the perfect bond.
15 And may the peace of Christ reign in your hearts, because it is for this that you were called together in one body. Always be thankful.
16 Let the Word of Christ, in all its richness, find a home with you. Teach each other, and advise each other, in all wisdom. With gratitude in your hearts sing psalms and hymns and inspired songs to God;
17 and whatever you say or do, let it be in the name of the Lord Jesus, in thanksgiving to God the Father through him.
Responsorial Psalm, Psalms 150:1-2, 3-4, 5-6
1 Alleluia! Praise God in his holy place, praise him in the heavenly vault of his power,2 praise him for his mighty deeds, praise him for all his greatness.
3 Praise him with fanfare of trumpet, praise him with harp and lyre,
4 praise him with tambourines and dancing, praise him with strings and pipes,
5 praise him with the clamour of cymbals, praise him with triumphant cymbals,
6 Let everything that breathes praise Yahweh. Alleluia!
Gospel, Luke 6:27-38
27 'But I say this to you who are listening: Love your enemies, do good to those who hate you,28 bless those who curse you, pray for those who treat you badly.
29 To anyone who slaps you on one cheek, present the other cheek as well; to anyone who takes your cloak from you, do not refuse your tunic.
30 Give to everyone who asks you, and do not ask for your property back from someone who takes it.
31 Treat others as you would like people to treat you.
32 If you love those who love you, what credit can you expect? Even sinners love those who love them.
33 And if you do good to those who do good to you, what credit can you expect? For even sinners do that much.
34 And if you lend to those from whom you hope to get money back, what credit can you expect? Even sinners lend to sinners to get back the same amount.
35 Instead, love your enemies and do good to them, and lend without any hope of return. You will have a great reward, and you will be children of the Most High, for he himself is kind to the ungrateful and the wicked.
36 'Be compassionate just as your Father is compassionate.
37 Do not judge, and you will not be judged; do not condemn, and you will not be condemned; forgive, and you will be forgiven.
38 Give, and there will be gifts for you: a full measure, pressed down, shaken together, and overflowing, will be poured into your lap; because the standard you use will be the standard used for you.'
St. Salvius of Albi
St. Salvius of Albi
Short Cuts
Facts
Kateksi ya Papa yahimiza :familia na makanisa lazima kuwa wazi,

Papa Francisko akisalimia mmoja wa wagonjwa waliofika kusikiliza katekesi yake - OSS_ROM
(Vatican Radio) Papa Francisko katika Katekesi yake ya Jumatano ameendelea kuzungumzia juu ya familia, akipeleka mawazo yake juu ya uhusiano uliopo kati ya kati ya familia na jumuiya ya Kikristo.
Papa Francisko amebainisha kuwa dhamana kati ya familia na jumuiya ya kikristo, ni dhamana asilia kwa sababu, Kanisa ni familia ya kiroho, na familia ni Kanisa kidogo. Kanisa, ni nyumba ya walio amini katika Yesu kama chanzo cha udugu na mshikamano kati ya watu wote. Matukio makubwa ya nguvu kidunia yaliyoandikwa katika vitabu vya historia, yamebaki hivyo katika vitabu , lakini historia ya upendo wa binadamu, imeandikwa moja kwa moja kwenye moyo wa Mungu, na kwamba ni utendaji unaobaki kuwepo milele yote. Na hii ndiyo maana alisisitiza Papa, kwa nini familia ni muhimu sana.
Aliendelea kuyatazama maisha ya Yesu mwenyewe kwamba, baada ya kuishi kwa miaka thelathini ndani ya familia, Nazareti, aliwakusanyika jamii waliokuwa wamemzunguka, na kuunda Kanisa. Na familia hii, Papa amesema, si familia iliyofungwa na mipaka ya kimadhehebu au itikadi lakini familia yenye kukaribisha wote, kama ilivyokuwa kwa familia ya Yesu, haikuwa tu ya mitume , lakini pia waliwakaribisha wenye njaa na kiu, wageni na wateswa, wenye dhambi na Mafarisayo.
Kwa sababu hii, Papa Francis amesema kuwa linakuwa ni jambo muhimu kwa ajili ya kuimarisha mapatano kati ya familia na jumuiya ya Kikristo. Aliendelea kusema kwa kuitazama familia katika mapana ya mkusanyiko wa familia nyingi pamoja chini ya jina Parokia, na kusema kwamba, familia na Parokia, yanakuwa ni maeneo mawili, jumuiya ya upendo inayotembea katika barabara ambayo , chanzo chake na mwisho ni Mungu mwenyewe. "Baba Mtakatifu amesema, waamini wa Kristo wanahitaji kupata uelewa na ujasiri wa kufanya upya ahadi yao ya imani na ukarimu. Hivyo ni kwa njia ya neema ya Mungu, jamii na parokia, zinaweza kuwa uwezo wa kukamilisha "muujiza" wa kuchagiza udugu zaidi kama ilivyokuwa kwa kanisa la mwanzo duniani.
Papa Francisko Mwezi Novemba kutembelea Africa

Anyolo Askofu, wa Jimbo la Homabay, pia anasema , ziara ya Papa ni ziara ya kichungaji, na hivyo Kanisa litashirikiana na Serikali ya Kenya, katika maandalizi na ufanikishaji.Askofu Anyolo ameeleza na kuomba sala za waamini na msaada wa kihali kwa ajili ya kufanikisha ziara ya Papa nchini Kenya.
Maaskofu wa Kenya katika ziara yao akitume ya kila baada ya miaka mitano katika Ofisi za Idara ya Curia ya Roma na Kiti Kitakatifu , waliyoifanya hapo 13-17th, Aprili, 2015, walitoa mwaliko kwa Baba Mtakatifu alitembelee taifa la Kenya.
Katika ziara hii ya kwanza kwa Papa Francisco kuzuru bara la Afrika, pia atatembelea Uganda na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Papa Francisko asema Wakristo wanaendelea kuteseka kimyakimya

Papa kwa uchungu, amewatia moyo Wakristo akisema, ndugu zangu wapendwa kwa hakika hakuna Ukristo usioandamana na mateso. Na alieleza na kukumbusha juu ya Heri” Heri yenu ninyi watu wakiwatukana , wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu juu yangu ,furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni”. Leo hii hilo linatokea mbele ya dunia na viongozi wameshindwa kusitisha uovu huo. Wakristo wanapita katika kipindi kigumu cha njia ya mateso , kama ilivyokuwa kwa Kristo mwenyewe.
Papa alieleza na kukumbuka Madhulumu haya kwa Wakristo, Taifa la Armenia likiwa moja ya Mataifa ambako Wakristo wengi waliipita njia hii ya mateso. Taifa la kwanza kuongokea Ukristo. Papa alieleza na kuwakumbuka pia Wakristo wa Libya, Misri, Iraki wanaochinjwa kama kuku kwa kuitangaza Injili ya Kristo.
Papa amesali ili Bwana leo hii aweze kutufanya sisi sote kusikia ndani ya mwili wake Kanisa, upendo mkuu kwa ajili ya wafia dini wa wakati wetu na pia katika kuwa tayari kufa kifo dini. Na kwamba , hakuna Mkristo mwenye kujua hatima ya maisha yake mbele ya uso huu wa madhulumu. Na hivyo ni vyema kuiomba neema ya Bwana ili kama hili litatokea siku moja , tuwe na ushupavu wa kutoa ushahidi wetu kama wafia dini wengine walivyotuonyesha. Na hasa Wakristo wa Armenia.
Papa Francisko awali alitoa barua kwa Patriaki mpya wa Cicilia ya Armenia, ambayo ni tahafifu mpya kwa ajili ya ushirikiano na Makanisa ya Mashariki, barua ya tarehe 25 Julai 2015. Aidha taarifa za awali zinaeleza, kabla ya Ibada ya Misa , viongozi hawa wawili, walipata nafasi ya kubadilishana zawadi, tukio linalotajwa kuwa ni ishara ya wazi ya umoja wa kikanisa unaoridhiwa na Baba Mtakatifu Francisko na Mwenye Heri Gregorio Pietro Ghabroyan , Patriaki wa Cecilia ya Armenia. Imetajwa hizi ni hisia wazi na ukweli hai wenye kuhamasishwa na Upendo wa Kikristo.
Sin
The Seven Deadly Sins
We should not be satisfied merely to keep the commandments of God,
but should always be ready to do good deeds, even when they are not
commanded. The commandments of God state the minimum requirements for
salvation. They should be kept not merely according to the letter, but
also according to the spirit, which obliges us to strive for greater
perfection.
Actual sin is any willful thought, desire, word, action or ommission forbidden by the law of God.
Actual sin is any willful thought, desire, word, action or ommission forbidden by the law of God.
PRIDE
Unrestrained appreciation of our own worth.GREED
Immoderate desire for earthly goods.LUST
Hankering for impure pleasures.ANGER
Inordinate desire for revenge.GLUTTONY
Unrestrained use of food and drink.ENVY
Sorrow over another's good fortune.SLOTH
Laxity in keeping the Faith and the practice of virtue, due to the effort involved.THE FOUR SINS CRYING TO HEAVEN FOR VENGEANCE
- Willful murder (including abortion)
- The sin of Sodom.
- Oppression of the poor.
- Defrauding laborers of their wages.
THE SIX SINS AGAINST THE HOLY SPIRIT
- Presumption of God's mercy.
- Despair.
- Impugning the known truth.
- Envy at another's spiritual good.
- Obstinacy in sin.
- Final impenitence.
NINE WAYS OF BEING ACCESSORY TO ANOTHER'S SIN
- By counsel.
- By command.
- By consent.
- By provocation.
- By praise or flattery.
- By concealment.
- By partaking.
- By silence.
- By defense of the ill done
Parent's Prayer
All praise to You, Lord Jesus,
Lover of children:
Bless our family,
And help us to lead our children to You.
Give us light and strength,
And courage when our task is difficult.
Let Your Spirit fill us with love and peace,
So that we may help our children to love You.
All glory and praise are Yours, Lord Jesus,
For ever and ever.
Amen.
Lover of children:
Bless our family,
And help us to lead our children to You.
Give us light and strength,
And courage when our task is difficult.
Let Your Spirit fill us with love and peace,
So that we may help our children to love You.
All glory and praise are Yours, Lord Jesus,
For ever and ever.
Amen.
Daily Reading for Wednesday, September 9th, 2015
Reading 1, Colossians 3:1-11
1 Since you have been raised up to be with Christ, you must look for the things that are above, where Christ is, sitting at God's right hand.2 Let your thoughts be on things above, not on the things that are on the earth,
3 because you have died, and now the life you have is hidden with Christ in God.
4 But when Christ is revealed -- and he is your life-you, too, will be revealed with him in glory.
5 That is why you must kill everything in you that is earthly: sexual vice, impurity, uncontrolled passion, evil desires and especially greed, which is the same thing as worshipping a false god;
6 it is precisely these things which draw God's retribution upon those who resist.
7 And these things made up your way of life when you were living among such people,
8 but now you also must give up all these things: human anger, hot temper, malice, abusive language and dirty talk;
9 and do not lie to each other. You have stripped off your old behaviour with your old self,
10 and you have put on a new self which will progress towards true knowledge the more it is renewed in the image of its Creator;
11 and in that image there is no room for distinction between Greek and Jew, between the circumcised and uncircumcised, or between barbarian and Scythian, slave and free. There is only Christ: he is everything and he is in everything.
Responsorial Psalm, Psalms 145:2-3, 10-11, 12-13
2 Day after day I shall bless you, I shall praise your name for ever and ever.3 Great is Yahweh and worthy of all praise, his greatness beyond all reckoning.
10 All your creatures shall thank you, Yahweh, and your faithful shall bless you.
11 They shall speak of the glory of your kingship and tell of your might,
12 making known your mighty deeds to the children of Adam, the glory and majesty of your kingship.
13 Your kingship is a kingship for ever, your reign lasts from age to age. Yahweh is trustworthy in all his words, and upright in all his deeds.
Gospel, Luke 6:20-26
20 Then fixing his eyes on his disciples he said: How blessed are you who are poor: the kingdom of God is yours.21 Blessed are you who are hungry now: you shall have your fill. Blessed are you who are weeping now: you shall laugh.
22 'Blessed are you when people hate you, drive you out, abuse you, denounce your name as criminal, on account of the Son of man.
23 Rejoice when that day comes and dance for joy, look!-your reward will be great in heaven. This was the way their ancestors treated the prophets.
24 But alas for you who are rich: you are having your consolation now.
25 Alas for you who have plenty to eat now: you shall go hungry. Alas for you who are laughing now: you shall mourn and weep.
26 'Alas for you when everyone speaks well of you! This was the way their ancestors treated the false prophets.
St. Peter Claver
Short Cuts
St. Peter Claver was born at Verdu, Catalonia, Spain, in 1580, of impoverished parents descended from ancient and distinguished families. He studied at the Jesuit college of Barcelona, entered the Jesuit novitiate at Tarragona in 1602 and took his final vows on August 8th, 1604. While studying philosophy at Majorca, the young religious was influenced by St. Alphonsus Rodriguez to go to the Indies and save "millions of perishing souls."
In 1610, he landed at Cartagena (modern Colombia), the principle slave market of the New World, where a thousand slaves were landed every month. After his ordination in 1616, he dedicated himself by special vow to the service of the Negro slaves-a work that was to last for thirty-three years. He labored unceasingly for the salvation of the African slaves and the abolition of the Negro slave trade, and the love he lavished on them was something that transcended the natural order.
Boarding the slave ships as they entered the harbor, he would hurry to the revolting inferno of the hold, and offer whatever poor refreshments he could afford; he would care for the sick and dying, and instruct the slaves through Negro catechists before administering the Sacraments. Through his efforts three hundred thousand souls entered the Church. Furthermore, he did not lose sight of his converts when they left the ships, but followed them to the plantations to which they were sent, encouraged them to live as Christians, and prevailed on their masters to treat them humanely. He died in 1654.
St. Peter Claver was born at Verdu, Catalonia, Spain, in 1580, of impoverished parents descended from ancient and distinguished families. He studied at the Jesuit college of Barcelona, entered the Jesuit novitiate at Tarragona in 1602 and took his final vows on August 8th, 1604. While studying philosophy at Majorca, the young religious was influenced by St. Alphonsus Rodriguez to go to the Indies and save "millions of perishing souls."
In 1610, he landed at Cartagena (modern Colombia), the principle slave market of the New World, where a thousand slaves were landed every month. After his ordination in 1616, he dedicated himself by special vow to the service of the Negro slaves-a work that was to last for thirty-three years. He labored unceasingly for the salvation of the African slaves and the abolition of the Negro slave trade, and the love he lavished on them was something that transcended the natural order.
Boarding the slave ships as they entered the harbor, he would hurry to the revolting inferno of the hold, and offer whatever poor refreshments he could afford; he would care for the sick and dying, and instruct the slaves through Negro catechists before administering the Sacraments. Through his efforts three hundred thousand souls entered the Church. Furthermore, he did not lose sight of his converts when they left the ships, but followed them to the plantations to which they were sent, encouraged them to live as Christians, and prevailed on their masters to treat them humanely. He died in 1654.
Daily Reading for Tuesday, September 8th, 2015
Reading 1, Micah 5:1-4
1 But you (Bethlehem) Ephrathah, the least of the clans of Judah, from you will come for me a future ruler of Israel whose origins go back to the distant past, to the days of old.2 Hence Yahweh will abandon them only until she who is in labour gives birth, and then those who survive of his race will be reunited to the Israelites.
3 He will take his stand and he will shepherd them with the power of Yahweh, with the majesty of the name of his God, and they will be secure, for his greatness will extend henceforth to the most distant parts of the country.
4 He himself will be peace! Should the Assyrian invade our country, should he set foot in our land, we shall raise seven shepherds against him, eight leaders of men;
Responsorial Psalm, Psalms 13:6, 6
Gospel, Matthew 1:1-16, 18-23
1 Roll of the genealogy of Jesus Christ, son of David, son of Abraham:2 Abraham fathered Isaac, Isaac fathered Jacob, Jacob fathered Judah and his brothers,
3 Judah fathered Perez and Zerah, whose mother was Tamar, Perez fathered Hezron, Hezron fathered Ram,
4 Ram fathered Amminadab, Amminadab fathered Nahshon, Nahshon fathered Salmon,
5 Salmon fathered Boaz, whose mother was Rahab, Boaz fathered Obed, whose mother was Ruth, Obed fathered Jesse;
6 and Jesse fathered King David. David fathered Solomon, whose mother had been Uriah's wife,
7 Solomon fathered Rehoboam, Rehoboam fathered Abijah, Abijah fathered Asa,
8 Asa fathered Jehoshaphat, Jehoshaphat fathered Joram, Joram fathered Uzziah,
9 Uzziah fathered Jotham, Jotham fathered Ahaz, Ahaz fathered Hezekiah,
10 Hezekiah fathered Manasseh, Manasseh fathered Amon, Amon fathered Josiah;
11 and Josiah fathered Jechoniah and his brothers. Then the deportation to Babylon took place.
12 After the deportation to Babylon: Jechoniah fathered Shealtiel, Shealtiel fathered Zerubbabel,
13 Zerubbabel fathered Abiud, Abiud fathered Eliakim, Eliakim fathered Azor,
14 Azor fathered Zadok, Zadok fathered Achim, Achim fathered Eliud,
15 Eliud fathered Eleazar, Eleazar fathered Matthan, Matthan fathered Jacob;
16 and Jacob fathered Joseph the husband of Mary; of her was born Jesus who is called Christ.
18 This is how Jesus Christ came to be born. His mother Mary was betrothed to Joseph; but before they came to live together she was found to be with child through the Holy Spirit.
19 Her husband Joseph, being an upright man and wanting to spare her disgrace, decided to divorce her informally.
20 He had made up his mind to do this when suddenly the angel of the Lord appeared to him in a dream and said, 'Joseph son of David, do not be afraid to take Mary home as your wife, because she has conceived what is in her by the Holy Spirit.
21 She will give birth to a son and you must name him Jesus, because he is the one who is to save his people from their sins.'
22 Now all this took place to fulfil what the Lord had spoken through the prophet:
23 Look! the virgin is with child and will give birth to a son whom they will call Immanuel, a name which means 'God-is-with-us'.
St. Adrian
Short Cuts
According to legend Adrian was a pagan
officer at the imperial court of Nicomedia. Impressed by the courage of
a group of Christians who were being tortured, he declared himself a Christian
and was imprisoned with them and suffered excruciating tortures before
he was put to death. His young wife, Natalia, who was present at his
death, comforted him in his agony, recovered one of his severed hands,
and took it to Argyropolis near Constantinople, where she fled to escape
the importunities of an imperial official of Nicomedia who wanted to marry her. She died there peacefully on December 1. Adrian is the patron of soldiers and butchers.
Prayer of the Day for Tuesday, September 8, 2015
A Prayer for Grandparents.
Today, it seems That grandparents Have either too little Use or too much; Either we are shunted aside To do nothing, Or we are called upon To do everything.
Help me to know Just where my duties lie In my particular situation And to carry them out as best I can.
Take care of my family, My children, and their children. Inspire them all To follow your Grandson And lead truly Christian lives.
Keep all of us In your loving care, Never let us turn away from Jesus, And help us in the end To receive the joy Of entering into your Grandsons� Glorious presence forever.
Good St. Ann pray for us grandparents.
Amen.
Daily Reading for Monday, September 7th, 2015
Reading 1, Colossians 1:24--2:3
24 It makes me happy to be suffering for you now, and in my own body to make up all the hardships that still have to be undergone by Christ for the sake of his body, the Church,25 of which I was made a servant with the responsibility towards you that God gave to me, that of completing God's message,
26 the message which was a mystery hidden for generations and centuries and has now been revealed to his holy people.
27 It was God's purpose to reveal to them how rich is the glory of this mystery among the gentiles; it is Christ among you, your hope of glory:
28 this is the Christ we are proclaiming, admonishing and instructing everyone in all wisdom, to make everyone perfect in Christ.
29 And it is for this reason that I labour, striving with his energy which works in me mightily.
1 I want you to know, then, what a struggle I am having on your behalf and on behalf of those in Laodicea, and on behalf of so many others who have never seen me face to face.
2 It is all to bind them together in love and to encourage their resolution until they are rich in the assurance of their complete understanding and have knowledge of the mystery of God
3 in which all the jewels of wisdom and knowledge are hidden.
Responsorial Psalm, Psalms 62:6-7, 9
6 He alone is my rock, my safety, my stronghold, so that I stand unwavering.7 In God is my safety and my glory, the rock of my strength. In God is my refuge;
9 Ordinary people are a mere puff of wind, important people a delusion; set both on the scales together, and they are lighter than a puff of wind.
Gospel, Luke 6:6-11
6 Now on another Sabbath he went into the synagogue and began to teach, and a man was present, and his right hand was withered.7 The scribes and the Pharisees were watching him to see if he would cure somebody on the Sabbath, hoping to find something to charge him with.
8 But he knew their thoughts; and he said to the man with the withered hand, 'Get up and stand out in the middle!' And he came forward and stood there.
9 Then Jesus said to them, 'I put it to you: is it permitted on the Sabbath to do good, or to do evil; to save life, or to destroy it?'
10 Then he looked round at them all and said to the man, 'Stretch out your hand.' He did so, and his hand was restored.
11 But they were furious and began to discuss the best way of dealing with Jesus.
St. Cloud
Short Cuts
On the death of Clovis, King of the Franks, in the year 511
his kingdom was divided between his four sons, of whom the second was
Clodomir. Thirteen years later he was killed fighting against his
cousin, Gondomar, leaving three sons to share his dominions. The
youngest of these sons of Clodomir was St. Clodoald, a name more
familiar to English people under its French form
of Cloud from the town of Saint-Cloud near Versailles. When Cloud was
eight years old, his uncle Childebert plotted with his brother, to get
rid of the boys and divide their kingdom. The eldest boy, Theodoald was
stabbed to death. The second, Gunther fled in terror, but was caught and
also killed. Cloud escaped and was taken for safety into Provence or
elsewhere.
Childebert and his brother Clotaire shared the fruits of their crime, and Cloud made no attempt to recover his kingdom when he came of age. He put himself under the discipline of St. Severinus, a recluse who lived near Paris, and he afterwards went to Nogent on the Seine and had his heritage where is now Saint-Cloud. St. Cloud was indefatigable in instructing the people of the neighboring country, and ended his days at Nogent about the year 560 when he was some thirty-six years old. St. Cloud's feast day is September 7th.
Childebert and his brother Clotaire shared the fruits of their crime, and Cloud made no attempt to recover his kingdom when he came of age. He put himself under the discipline of St. Severinus, a recluse who lived near Paris, and he afterwards went to Nogent on the Seine and had his heritage where is now Saint-Cloud. St. Cloud was indefatigable in instructing the people of the neighboring country, and ended his days at Nogent about the year 560 when he was some thirty-six years old. St. Cloud's feast day is September 7th.
Farijianeni ninyi kwa ninyi kwa maneno na matendo mema, wala siyo porojo

Papa Francis katika adhimisho la misa - ANSA
Tarehe 1 Septemba Baba mtakatifu Francis ameanza maadhimisho ya misa ya kila Siku katika Kanisa dogo la Mtakatifu Marta mjini Vatican baada ya kusitisha karibia kwa kipindi cha miezi miwili.
katika mahubiri yake amegusia juu nguvu ya mkristo anaiyopata kutoka kwa Yesu mwenyewe, kwasababu matumaini ya kukutana na Yesu mwishoni inakufanya utie juhudi kati ya wakristo wenyewe kwa wenyewe katika kufarijiana kwa maneno mema na matendo , na wala siyo porojo zisizo faa .
Aliyasema hayo akichambua jumuiya ya kale ya Watesalonike katika somo la liturjia ya siku ambapo Mtakatifu Paulo alikuwa akiwaelekeza kutokana na mahangaiko ya maswali mengi juu ya ujio wa Yesu, hadi kufikia kukaa bila kazi, na mtakatifu Paulo akawahasa yakuwa asiyefanya kazi na hasile
Mtakatifu Paulo anaeleza ya kuwa siku ya Bwana itakuja kwa ghafla , kama vile mwizi,pia anaongeza Yesu atakuja kuleta wokovu kwa yule anaye mwamini; kwahiyo alitoa wito wa kufarijiana mmoja kwa mwingine.Papa aliongeza , hiyo ndiyo faraja ambayo inaleta matumaini.
Aidha aliendelea ; huo ndiyo ushauri wa kufarijiana, mmoja kwa mwingine, Vilevile papa aliuliza maswali; je wote tunafanya hivyo kusubiri ujio wa Bwana ambaye atakuja kukutana nasi? au ni kuongelea juu ya mambo mengi na hata ya teolojia , mambo ya kanisa, ya mapadre ya watawa , ya munsinyo na yote hayo , je Ndiyo faraja ya matumaini yetu?
Papa alikazia , farijianeni katika Jumuiya na katika maparokia, lakini je ujio wa Bwana unaongelewa katika maparokia na katika jumuiya zetu au ni kupiga porojo za hiki na kile kwaajili ya kupitisha wakati?
Papa alikumbusha kiitikio cha zaburi "nina uhakika wa kuuona wema wa Bwana katika nchi ya walio hai. Je una uhakika wa kutafakari wema wa Bwana?
Lakini upo Mmano wa kuigwa wa Ayubu pamoja na matukio yake aliyoyapata , yeye aliweza kutamka ya kuwa "ninatambua ya kuwa Mungu yu hai, nitamwona, na kwa macho yangu haya nitamwona".
Papa alisema ni ndiyo hakika Yeye atakuja kuhukumu , na tunapokwenda kwenye Kanisa la makumbusho la Sistina upo mchoro mzuri sana wa hukumu ya mwisho ni wa kweli , lakini je tunafikiria juu ya ujio wake ambapo atatukuja, na sisi tutamwona kwa macho yetu , tutamkubatia daima. Ndiyo matumaini ya Mtume Paulo anayotuleza kufarijiana kwa matendo mema , na kwa manufaa ya kila mmoja
Alimalizia akisema ,tuombe neema hii ya kwamba mbegu iliyo pandwa mioyoni mwetu ikue na hatimaye ipate kukutana na Yeye
Teknolojia hii pia izingatie viwango vya ubora
Katika kuimarisha mahusiano ya kimataifa, kuimarika kwa uchumi wa nchi, uwekezaji na rasilimali za nchi nk. vyote kwa umoja wake ni biashara, hakuna ajenda itakayozungumzika karne hii kama haina maslahi ya kibiashara.
Wengine hudhani biashara inaweza kuanzishwa tu kiholela bila kuweka vigezo vinavyozingatia ubora wa bidhaa husika, wakati mwingine kutokana na unyeti wa teknolojia mpya, wachache huchukulia kama ni fursa ya kuingiza teknolojia hiyo sokoni bila kuangalia kama inakidhi viwango vya ubora.
Katika hatua za kuimarisha bidhaa zinazokubalika, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wiki hii lilitangaza uwepo wa vipande vya umemejua ambavyo havina ubora kwa soko la ndani, na TBS tayari limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini wanaponunua vifaa vya kutengenezea mfumo huo wa umemejua.
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Umma cha TBS, Roida Andusamile alisema kumepatikana taarifa za uchunguzi wa maabara uliofanywa kwa sampuli zaidi ya 10 za vipande vya umemejua ambavyo alisema vilichukuliwa vikiwa tayari madukani vikiuzwa.
Roida alisema iligundulika kuwa sampuli zote za vipande vya umemejua vilivyochukuliwa baada ya kupimwa havikuwa katika ubora unaokubalika kisheria.
Hilo ni tatizo kubwa, linahitaji mamlaka nyingine zisaidiane na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kupitia bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa kwa teknolojia mpya ya kisayansi ili kuthibitisha kuwa ni salama na zinakuwa katika ubora unaokubalika.
Zipo hasara kubwa mbili zinazoweza kutokea katika utumiaji wa bidhaa hafifu kama hivyo vipande husika vya umemejua, kwanza hitilafu ya umeme unaozalishwa na vipande hivyo unaweza kuathiri mfumo wa umeme unaozalishwa, na pili ni hasara ya fedha kwa kununua vipande hivyo visivyo na ubora.
Teknolojia ya kuzalisha umeme kutumia vipande vya umemejua imekua kwa haraka katika kipindi cha uhaba mkubwa wa umeme ambao ulisababisha kuwepo kwa mgawo wa umeme nchini.
Baadhi ya watu wakaamua kutumia njia mbadala ya kupata umeme, matokeo yake ni kubuni na kutengeneza vipande vya umemejua visivyo na ubora katika soko la ndani.
Hata hivyo TBS iligundua uwepo wa vipande hivyo baada ya kupewa malalamiko na watumiaji wa umemejua wakaamua kushirikiana na Taasisi ya Nishati Jadidifu (TAREA).
Baada ya kupata taarifa hizo, Roida Andusamile alisema maofisa wa wao pamoja na TAREA walishirikiana pamoja na kufanya manunuzi maalum kwenye maduka mbalimbali ya vifaa hivyo yaliyoko Kariakoo.
Roida anasema manunuzi waliyafaya kwenye mitaa ya Msimbazi na Kongo pamoja na eneo la Keko-Mwanga na kupata sampuli ambazo baada ya kuzipima wakagundua ziko chini ya viwango vya ubora.
Roida alisisitiza kuwa hata wataalam waliofanya kazi ya kuvipima vipande hivyo, waligundua uwepo wa kasoro nyingi ambazo zilisababisha vifaa hivyo viwekwe katika kundi la bidhaa zilizo chini ya viwango vya ubora.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti Ubora cha TBS, Ashura Kilewela alitaja maduka ambako vifaa hivyo vilinunuliwa kuwa ni Keoali Power &Equipment Co Limited, Regal Solar Limited na duka la Nishati Electronics Limited.
Kilewela alisema walichukua hatua zaidi kwa kuzuia vipande 1,321 vya umemejua visiuzwe kutoka dula la Regal Solar, na pia vipande 164 kutoka duka la Nishati Electronics kutokana na kutiliwa shaka ya ubora wake, na baadaye ilithibitika kuwa vipande hivyo ni kweli vilikuwa havina ubora.
Tunaamini kuwa jitihada za kutambua bidhaa ‘feki’ zinazoingia sokoni zitategemea ushirikiano kutoka kwa walaji watakaotoa taarifa kwa mamlaka husika kama TBS ili wao waweze kuchukua hatua stahiki.
Katika kadhia hiyo, Katibu Mtendaji wa TAREA, Mathew Matimbwi alisema kulikuwepo na kasoro nyingine katika vipande hivyo ambazo ni seli za vipande hivyo kuwa na rangi mbili badala ya moja na pia hazikuandikwa nchi zilikotengenezwa.
Maoni: 0715-047304 au owdenkyambile@gmail.com
CHANZO:
NIPASHE JUMAPILI
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)