Week Hot newz

Ni kisasi leo Kili Stars vs Cranes


Kili na CranesKIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania bara ‘Kilimanjaro Stars’, kinatarajiwa kushuka dimbani leo kuwakabili Uganda ‘The Cranes’ katika mechi ngumu ya robo fainali ya michuano ya Chalenji iliyoanza kutimua vumbi Novemba 27.
Mechi kati ya Stars na Cranes ambao ndio mabingwa watetezi, inafananishwa na fainali kutokana na upinzani wa timu hizo. Itachezwa saa 8:00 mchana kisha kufuatiwa na mchezo mwingine wa hatua hiyo saa 10:00 jioni kati ya wenyeji Kenya ‘Harambee Stars’ na Rwanda.
Akizungumzia mchezo huo, Kocha Mkuu wa Stars, Kim Poulsen, alisema ana imani ya kufanya vema kutokana na ubora wa kikosi chake, hasa baada ya kuwasili kwa nyota wa kimataifa, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu.
Poulsen alisema siku mbili tangu walipotoka kucheza na Burundi, amehakikisha anarekebisha matatizo aliyoyaona katika mchezo huo, hasa safu ya ulinzi ambayo ilionekana kulegalega.
Naye kipa wa Stars, Ivo Mapunda, alisema hakuna timu ambayo wanaihofia katika michuano hiyo, bali cha muhimu ni dakika 90 za uwanjani ndizo zitaamua nani anasonga mbele na nani anafungasha virago.
Alisema ana imani kubwa ya kufanya vema katika mchezo wa leo, huku akiwataka wachezaji wenzake kutulia na kucheza mpira, kwani kuwafunga Uganda kuko pale pale ila cha muhimu Watanzania ni dua zao.
“Unajua hakuna mtu aliyetegemea kama tutafika hapa tulipo sasa, hivyo basi kwanini mbele tushindwe? Uganda ni timu ya kawaida tu kama timu nyingine, nina imani tutashinda,” alisema Mapunda.
Naye Kocha wa Uganda, Milutin Micho aliyewahi kuifundisha Yanga, alisema anauhofia mchezo wa leo, baada ya kuwaona Samatta na Ulimwengu wakiwemo katika kikosi cha Kili Stars.
Micho alisema lolote linaweza kutokea katika mchezo huo, cha muhimu ni kusubiri dakika 90 za mwamuzi uwanjani ila Tanzania ni timu nzuri.
“Mechi hiyo itakuwa ngumu, kwa kuwa nimefuatilia mechi za Tanzania, ni wazuri, lakini vijana wangu pia watapambana ili kuhakikisha wanashinda,” alisema Micho.

Nelson Mandela kuzikwa Desemba 15 siku ya Jumapili


Nelson Rolihlahla MandelaSIKU moja baada ya kifo cha  Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela (95), mazishi yake yanatarajiwa kufanyika wiki moja kuanzia sasa, Desemba 15, siku ya Jumapili.
Mazishi hayo ya kihistoria na ya aina yake, yatafanyika katika kijiji chake cha Qunu, mahala alipopachagua mwenyewe kabla ya kifo chake.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, Mzee Madiba atazikwa katika eneo hilo la Mashariki ya Cape kwa heshima zote.
Zuma alisema mazishi ya kitaifa, ikiwamo utoaji wa heshima za mwisho, yatafanyika jijini Pretoria ambapo baadaye mwili wake utasafirishwa kwenda Mkoa wa Cape Mashariki hadi katika Kijiji cha Qunu ambako ndiko  Mzee Madiba alipozaliwa na kukulia.
Aidha, taarifa hiyo ilieleza kuwa  Mzee Madiba  atazikwa kwa sherehe maalumu za kimila karibu na makaburi ya watoto wake watatu.
Kutokana na msiba huo ulioikumba dunia, wakuu wa nchi mbalimbali duniani, akiwemo Rais wa Marekani, Barack Obama, Oprah Winfrey na Hillary Clinton wanatarajiwa kuhudhuria mazishi hayo mbali ya viongozi wengine kutuma salamu za rambirambi kwa Rais Zuma na kwa familia ya Mzee Madiba.
Viongozi duniani wanena
Miongoni mwa marais waliotuma salamu za rambirambi kwa Rais Zuma na kwa mjane  wa Mzee Madiba, Graca Machel, wanafamilia wote na wananchi wote wa Afrika Kusini ni pamoja na Jakaya Kikwete wa Tanzania ambaye pia ametangaza siku tatu za maombolezo kuanzia jana hadi Desemba 8  na kuagiza bendera kupepea nusu mlingoti kwa siku hizo.
Katibu Mkuu wa  Umoja wa Mataifa,  Ban Kin Moon alisema Mandela alikuwa kielelezo cha  Umoja wa Mataifa  kwani alikuwa mtu wa heshima na mtetezi wa haki za binadamu,  aliyepinga ubaguzi wa rangi na mpigania usawa.
“Kwa niaba ya Umoja wa Mataifa, natoa rambirambi zangu kwa watu wa Afrika Kusini na hasa kwa familia ya Nelson Mandela na wapendwa,” alisema.
Aidha, Moon alieleza kuwa inashangaza, kuona Mandela alitoka kizuizini bila uadui baada ya kifungo cha miaka 27, ambapo nia yake ilikuwa kujenga nchi yake katika misingi bora kwa kutumia akili.
Salamu za Rais Kikwete kwa Zuma
Rais Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Rais Zuma, wanafamilia na wananchi wote wa Afrika Kusini kutokana na kifo cha Mzee Mandela.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mwandishi wa habari wa rais msaidizi, Ikulu Premi Kibanga, Rais Kikwete ametangaza siku tatu za maombolezo kuanzia jana Desemba 6 hadi 8 mwaka huu.
Aidha, Rais Kikwete alisema kuwa katika siku hizo bendera zote zitapepea nusu mlingoti.
Rais Kikwete alisema kuwa msiba huo ni wa bara zima la Afrika na dunia.
“Afrika Kusini, Afrika na dunia kwa ujumla imepoteza mtu mashuhuri na shujaa mkubwa wa karne ya 20 na 21. Tunaelewa machungu waliyonayo wananchi wa Afrika Kusini kwa kupoteza kiongozi shupavu, jasiri, mwanamapinduzi na mstahamilivu,” alisema.
Rais Kikwete alimuelezea Mzee Mandela kuwa ni  kielelezo cha aina yake kwa wanadamu kwa moyo wake wa kusamehe, huruma na upendo uliomuwezesha  kuwaunganisha wananchi wa Afrika Kusini kuwa taifa moja baada ya kipindi kirefu cha mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi.
“Mandela ni mfano bora kwa wanadamu, wa jinsi binadamu muungwana anavyopaswa kuwa. Ni wajibu wa wana Afrika Kusini, Afrika na dunia kwa jumla kuiga mfano wake, hasa moyo wake wa uzalendo, kujitolea hata maisha yake kwa ajili yake na wananchi wenzake.”
Alisema ni muhimu kumuombea kwa Mwenyezi Mungu ailaze roho yake  mahali pema peponi.
Kwa upande wake Mkuu wa Idhaa za Kiafrika katika DW, Claus Stäcker alisema kuwa vyombo vya habari na wanasiasa duniani kote wanaendelea kushindana katika kuonyesha heshima zao kwa Mandela, ambaye yeye mwenyewe hakupenda kuchukuliwa kama Mungu.
Stäcker alisema Mandela hakuwa mtakatifu, hata ingawa hivyo ndivyo vyombo vya habari vinavyomwelezea. Kila kichwa cha habari kinamfanya aonekane kama mtu aliyefanya maajabu na hasa kuonekana kama kuiabudu sanamu.
“Mandela mwenyewe hakupenda kuabudiwa. Alikuwa akikubali tu shingo upande barabara, shule na taasisi kuitwa jina lake, kuruhusu sanamu za shaba na majumba ya makumbusho ya Mandela kujengwa, mtindo ambao bila shaka utaendelea kukua,” alibainisha  Stäcker.
Jijini Dar es Salaam, vilio, simanzi na majonzi  vilitawala katika Ofisi za Ubalozi wa Afrika Kusini uliopo nchini baada ya raia wa mataifa mbalimbali wakiwemo Waafrika Kusini wanaoishi nchini, kufika kwa ajili ya kutoa pole kutokana na kifo cha Mzee Mandela.
Raia hao ambao wengi ni wa kigeni walifika katika ubalozi huo kuanzia majira ya saa moja asubuhi, huku wakibeba mashada ya maua na kuyaweka katika picha kubwa ya Mandela iliyowekwa mbele ya ofisi za kuingilia za ubalozi huo.
Raia wa Canada anayeishi hapa nchini aliyejitambulisha kwa jina moja la Jeff, alisema ameguswa na kifo hicho kutokana na Mzee Mandela kuwa mfano bora kwa jamii hasa katika harakati zake za kupinga ubaguzi wa rangi.
“Nimeamua kuambatana na familia yangu kuja kutoa pole kwa kifo hicho kimetugusa sana kwani tumekuwa tukimuangalia Mandela kama mfano wa kuigwa kwa dunia nzima,” alisema.
Akizungumzia kifo hicho, Balozi wa Afrika Kusini nchini, Thanduyise Henry Chiliza alisema ni huzuni kubwa na majuto kuwajulisha kuwa rais wa zamani na nembo ya kitaifa, Nelson Rolihlahla Mandela, amefariki dunia juzi Desemba 5, mwaka huu, majira ya saa 2:50 usiku akiwa na umri wa miaka 95.
“Ingawa sisi tulijua kwamba siku hii itakuja, lakini hakuna kitu kinachoweza kupunguza hisia zetu na hasara kubwa tuliyopata na ya kudumu kwa kumpoteza kiongozi huyo,” alisema.
Alisema kutokana na msiba huo bendera ya taifa hilo itapepea nusu mlingoti hadi mazishi ya Mzee Mandela yatakapofanyika.
“Kitabu cha maombolezo kimefunguliwa katika ubalozi wetu plot 1338/9, barabara ya Mwaya, Masaki, Dar es Salaam kuanzia Jumatatu hadi Alhamisi saa 3:30 hadi saa 9:30 na Ijumaa saa 3:30 hadi saa 6:30 mchana kasoro siku za sikukuu,” alisema.
Chiliza alisema Serikali ya Afrika Kusini inaendelea na mipango ya mazishi na Waafrika Kusini kila pembe ya dunia watajulishwa suala hilo.
Maisha ya Mandela
Mandela alikuwa mtu aliyezaliwa kuwa kiongozi.
Kama rafiki yake waliyefungwa naye pamoja, Ahmed Kathrada, alivyosema hivi karibuni, Mandela alizaliwa katika familia ya kifalme na ilikuwa kawaida kwake kuwa alizaliwa kuwa kiongozi.
Mandela alijibeba vyema sana alipokuwa kiongozi wa chama cha ANC na kwamba hakuna hata nusu ya imani yake iliwahi kumuondoka miaka yote 27 aliyokuwa gerezani.
Ingawa Mandela alijitaja mwenyewe kuwa kama sehemu tu ya uongozi wa ANC, hapakuwa na shaka kuwa alikuwa kiongozi mkuu wa chama hicho kwa kizazi chake wakati huo nchini Afrika Kusini.
Kwa dunia nzima Mandela alikuwa ishara ya mambo mengi, sio kiongozi tu, lakini mfano wa viongozi ambao dunia inastahili kuwa nao enzi hizo.
Wengi wanamfahamu Mandela kwa kuwa na moyo mwepesi wa kusamehe na wengi wanamkumbuka hivyo kwani baadhi walimshangaa sana miaka ya tisini, aliposema kuwa hana chuki na mtu na kuwa amewasamehe waliomtendea ubaya na hata kumfunga.
Alizaliwa mwaka 1918, katika Rolihlahla Dalibhunga, na kulelewa katika Kijiji cha Mvezo Mashariki mwa Mkoa wa Cape.
Alikuwa na ndugu zake 13 katika familia iliyokuwa na uhusiano wa karibu na familia ya kifalme ya Thembu.
Mandela alienziwa na wengi kwa sababu ya vita aliyopigana dhidi ya utawala wa wazungu.
Baba yake alifariki Mandela akiwa na miaka tisa. Alimtaja baba yake kama mtu mkali mwenye kutaka watu kufuata maadili mema.
Lakini alimsifu sana baba yake kwa kumsisitizia kuwa na maadili mema kwani yeye ndiye alimfanya kuwa mtu mwema maishani.
Ilikua muhimu kwake kupata elimu. Na hivyo akasomea katika shule ya kimethodisti na kisha mwaka 1939 akaenda katika Chuo Kikuu cha Fort Hare.
MAISHA YAKE KWA UFUPI
1943: Alijiunga na chama cha ANC.
1956: Alifunguliwa kesi ya uhaini, lakini baada ya miaka minne ikatupiliwa mbali.
1962: Alikamatwa na kushitakiwa kwa kosa la uchochezi na kufungwa jela miaka mitano.
1964: Alishitakiwa kwa kosa la kuhujumu serikali na kufungwa maisha jela.
1990: Aliachiliwa kutoka gerezani.
1993: Alishinda tuzo ya Amani ya Nobel.
1994: Alichaguliwa kuwa rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini.
1999: Aling’atuka madarakani.
2001: Aligundulika kuwa na saratani ya tezi kibofu.
2004: Alistaafu.
2005: Alitangaza kuwa mwanawe alifariki kwa maradhi ya ukimwi.

Kifo cha Mandela:Dunia waomboleza


Nelson Mandela kuzikwa tarehe 15 Desemba
Raia wa Afrika Kusini wako kwenye maombolezo kwa siku ya pili hii leo wakiwa kwenye mkesha kwa usiku nzima kwa ajili ya kuomboleza mpendwa wao Kiongozi wa zamani wa taifa hilo Nelson Mandela, aliyeaga dunia siku ya Alhamisi akiwa na umri wa miaka 95.
Watu wamekuwa wakikumbuka mema yake , wakicheza na kuimba Mbele ya makazi yake ya zamani mjini Soweto.
Katika mkutano na Waandishi wa habari , Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma aliainisha matukio ya juma zima kwa ajili ya maombolezo ambapo ametangaza kuwa siku ya jumapili siku maalum ya maombi na ibada maalum.
Siku ya Jumanne, itakuwa ni siku ya shughuli maalum za maombolezo ya kitaifa ambapo shughuli hizo zitafanyika katika uwanja wenye uwezo wa kukusanya watu 95,000 ulio nje kidogo ya mji wa Johannesburg.
Raia wa Afrika kusini wakiwa kwenye maombolezo
Mwili wa Mandela utalala Ikulu ya nchi hiyo jijini Pretoria kuanzia siku ya jumatano mpaka siku ya ijumaa.
Mazishi ya Mandela yatafayika jumapili ijayo tarehe 15 kijijini kwake alikokulia,Qunu.
Mandela alitumikia kifungo cha miaka 27 kabla ya kuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini.
Serikali yake iliondoa utawala wa kibaguzi wa watu weupe ambao ulikuwa na sera za kuwagawa watu wenye asili ya weupe na weusi.
Raia wa Afrika Kusini nchi nzima wamekuwa wakisali, wakiimba nyimbo za kupinga ubaguzi wa rangi na kuwasha mishumaa, wakikumbuka maisha ya Kiongozi wao na namna alivyo wavuta kwa mtindo wa maisha yake.

Kesho ni Basetsana na Tanzanite

  1. Kila mmoja wetu anafahamu kwamba Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Rolihlahla Mandela
    amefariki dunia jana December 6, 2013. Rais JM Kikwete pia akatangaza siku 3 za maombolezo kuanzia leo Dec 6 mpaka Dec 8 na bendera ya Tanzania itapepea nusu mlingoti siku zote hizo.
    Lakini kesho jumamosi Dec 7, 2013 ile timu yetu ya Wadada iliyowabugiza Msumbiji bao KUMI BILA uwanja wa Taifa inatakiwa kucheza na wadada wenzao wa Afrika Kusini (Basetsana) kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia kwa wasichana wenye umri chini ya miaka 20 katika Uwanja wa Taifa.

KOMBE LA DUNIA || BRAZIL 2014 MAKUNDI KAMILI.



Makundi yamejulikana , na pia imejulikana nani atamenyana na nani.
Hapana shaka wapenzi wa soka barani Afrika pamoja na kuomboleza kifo cha Nelson Mandela wamekuwa wanafuatilia Droo ya kombe la dunia kufahamu nani wapinzani wa timu tano zinazowakilisha bara hilo.
Cameroon wamejikuta katika kundi gumu la A pamoja na wenyeji Brazil, Mexico na Croatia.
Mabingwa watetezi Uhispania watakuwa katika kundi B pamoja na Netherlands waliokutana nayo fainali kombe lililopita, na timu zingine ni Chile na Australia.
Dua ya Ivory Coast ya kuepuka kundi gumu sana wakati huu inaonekana imesikika, wako katika kundi C pamoja na Colomboa, Japan na Ugiriki.England watakuwa na kibarua kigumu kwenye kundi D ambapo wapinzani wao ni Italia, Uruguay na Costa Rica.
Kwenye kundi E Ufaransa inacheka usiku huu kwani imepangwa pamoja na Uswizi, Ecuador na Honduras.Mabingwa wa Afrika Nigeria wako katika kundi F pamoja na Argentina Iran na Bosnia Harcegovinia, ambayo inashiriki kombe la dunia mara ya kwanza.
Ghana ndiyo inayoonekana kuwa matatizoni miongoni mwa timu za Afrika. Wamejikuta katika kundi G ambapo watapamaba na na Ujerumani, Marekani na Ureno.Timu ya tano ya Afrika Algeria itakuwa kwenye kundi H na wapinzani hapo ni Ubelgji, Korea Kusini na Urusi.



WORLD CUP Afrika Kusini mafanikio ya Mandela


Wanamichezo pia wamemkumbuka Mandela
Wanamichezo mashuhuri, duniani wametoa rambi rambi zao kwa hayati Nelson Mandela, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 95.
Mohamedi Ali
alisema: "Maisha ya Mandela yalikuwa na maana kubwa kwa dunia nzima , kwake mwenyewe, kwa taifa lake na dunia nzima.
Alitufanya sisi kugundua kua ni muhimu kumjali mwenzake na kuwa sisi ni ndugu licha ya rangi zetu.''
Mwanasoka mashuhuri Bofya Pele naye amesema "Mandela alikuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa sana maishani mwake. Ni shujaa wangu.’’
Mwanamasumbwi Bofya Ali aliongeza kusema kua, atamkumbuka Mandela sana kwa kuwa mtu mwenye roho safi na alichukizwa sana na mambo ya ubaguzi wa rangi pamoja chuki na uhasama.
Aliwatia moyo wengine kufikia mambo waliyoyaona kama yasiyowezekana.''
"Bofya Ali amesema kua Mandela alifunza watu umuhimu wa kuwasamehe wenzao, na leo ameweza kuwa huru.’’
Bofya Tiger Woods, naye ambaye ni mchezaji golfu mashuhuri zaidi duniani, alisema daima atamkumbuka Mandela.
Aliyekuwa nahodha wa timu ya Uingereza, Bofya David Beckham alisema kuwa anamlilia sana Mandela na kuwa yuko pamoja na familia yake. ''Tumepoteza mtu muhimu sana na shujaa wetu,’’ Alisema Beckham.
Naye mkuu wa shirikisho la soka duniani FIFA, Bofya Sepp Blatter, amesema kuwa anaomboleza sana na anahisi uchungu mwingi kufuatia kifo cha Mandela.

Nelson Mandela Histori 1918-2013

Miaka ya Mapema

1952

Rolihlahla Mandela, mwanawe chifu, alizaliwa katika kijiji kimoja kiitwacho, Mvezo katika mkoa wa Eastern Cape nchini Afrika Kusini tarehe 18 Julai mwaka 1918. Alikuwa mtu wa kwanza katika familia yake kwenda shule. Mwalimu ambaye hata hangeweza kutaja jina lake vyema, alizoea kumuita Nelson. Alitoroka mjini Johannesburg mwaka 1941 ili kuepuka kulazimishwa kuoa mapema. Alikutana na Walter Sisulu aliyemsaidia kupata kazi katika kampuni ya ya Witkin Sidelsky na Eidelma. Pia alijiunga na chama cha (ANC)


Kesi ya Uhaini

1956

Mandela alifuzu kama wakili na kuanzisha kampuni ya kwanza ya sheria inayomilikiwa na mtu mweusi mwaka 1952 na kuiendesha kwa ushirikiano na Oliver Tambo, na kutoa huduma za kisheria kwa wale ambao walikosa uwakilishi. Akihofiwa kupigwa marufuku na serikali ya ubaguzi wa rangi, ANC ilimtaka Mandela kuhakikisha kuwa chama hicho kinaweza kuendesha harakati zake kimya kimya. Alikamatwa mwaka 1956 na kufunguliwa mashtaka ya uhaini yeye pamoja na wenzake 155. Baada ya kesi yake iliyochukua miaka minne, ilitupiliwa mbali . Mnamo mwaka 1958, Mandela alimuoa Winnie Madikizela.

Huru hatimaye

1990

Jamii ya kimataifa iliiwekea vikwazo zaidi serikali ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini. Vikwazo vya kwanza viliwekwa mwaka 1967.Shinikizo zilizaa matunda na mnamo mwaka 1990, rais FW De Klerk akakiondolea marufuku chama cha ANC. Tarehe 11 Februari, Mandela aliachiliwa baada ya miaka 27 jela. Umati wa watu ulimshangilia huku yeye pamoja na mkewe wakiondoka sehemu ya jela. Katika mkutano wa kwanza wa chama cha ANC mwaka uliofuata, Mandela alichaguliwa kama kiongozi wa chama .Mazungumzo yakaanza ya kuunda serikali ya pamoja ya waafrika weusi na wazungu.

Tuzo ya amani ya Nobel

1993

Mnamo mwaka 1993, Mandela na rais wa nchi hiyo wakati huo, walituzwa tuzo ya amani ya Nobel kwa juhudi za kuleta uthabiti Afrika Kusini. Akikubali tuzo hiyo, Mandela alisema kuwa '' tutafanya kila tuwezalo kuweza kuleta mageuzi duniani.''

Rais mpya

1994

Mnamo mwaka1994,kwa mara ya kwanza katika historia ya Afrika Kusini, watu wa rangi zote walipiga kura katika uchaguzi huru na wa kidemokrasia. Mandela alichaguliwa. Akihutubia umma, katika sherehe ya kuapishwa kwake, tarehe 10 mwezi Mei, mwaka 1994, alisema: "uhuru utawale, Mungu aibariki Afrika!'' Tatizo lake kubwa lilikuwa ukosefu wa nyumba za kutosha kwa watu maskini na mitaa ya mabanda iliendelea kuongezeka.Thabo Mbeki alichukua uongozi wa nchi huku Mandela akiuza sera za nchi hiyo kimataifa.


Akitoka Robbben

1995

Kuadhimisha miaka mitano baada ya kuachiliwa kwake, Nelson Mandela alizuru kisiwa cha Robben mwezi Februari mwaka 1995 alikozuiliwa kwa miaka 18. Ziara yake ilikuwa mwaka 1956 mwezi Februari pamoja na wafungwa wenzake waliowahi kufungwa kisiwani humo na kufanya kazi ngumu. Mapafu ya Mandela yanasemekana kuathirika alipokuwa anafanya kazi katika machimbo ya mawe.

Usiniite''

2004

Thabo Mbeki alichukua mamlaka kutoka kwa Mandela kama kiongozi wa chama tawala ANC na hata kushinda uchaguzi wa mwaka 1999.Mandela alimuoa Graca Machel, mjane wa aliyekuwa rais wa Msumbiji, akiwa na miaka 80. Aligunduliwa kuwa na saratani ya Tezi Kibofu na hivyo kuanza matibabu.Mnamo mwaka 2004, alitangaza kujiuzulu, akisema kuwa anataka maisha ya kimya nyumbani kwake na familia yake. Kwa mzaha aliwaambia wandishi wa habari wasimpigie simu.

Sherehe ya siku ya kuzaliwa kwake

2008

Wanamuziki, waigizaji na wanasiasa waliungana na Mandela katika sherehe kubwa uwanja wa Hyde Park mjini London kusherehekea miaka 90 ya kuzaliwa kwake. Akiongea na wale waliofika, aliwaambia, ''ni wakati kwa kizazi kipya kuchukua uongozi, kibarua kwenu sasa.''

Kuugua

2010

Mandela aliweza kuonekana hadharani mara kadhaa baada ya kustaafu. Ingawa alionekana katika sherehe ya kukamilika kwa dimba la kombe la dunia mwaka 2010 nchini humo. Januari mwaka 2011, alilazwa hospitalini kwa ukaguzi maalum, huku serikali ikiwakumbusha watu kuwa aliwahi kupata matatizo ya kupumua. Alipokea matibabu ya ugonjwa wa mapafu mwaka 2012 na pia mwaka 2013 .

Mtunis:Kufungia Mwaka 2013 na Who`s Bad

Mtayarishaji na Muigizaji wa filamu za kiswahili nchini Tanzania Nice Mohamed ‘Mtunis’pichani amesema kwamba filamu yake ya Who’s Bad itakuwa kazi yake ya kufungia mwaka  2013 kwa kuzima kazi nyingine za filamu zilizoingia pamoja na filamu hiyo ambayo inafanya vizuri sokoni baada ya kuingia mitaani hivi karibuni.

“Kama ambavyo wengi wamenizoea ninapotoa kazi inakuwa ni bora na lazima ikimbize sokoni, sinema yangu ya Who’s Bad itafunga mwaka kama kazi bora nakuwa makini sana katika utengenezaji wa filamu na ndio kilichofanyika katika filamu hiyo wasanii wamekamua sana na kuonyesho uwezo wa hali ya juu,”anasema Nice.

Filamu hiyo imeshirikisha wasanii kama Patcho Mwamba na washiriki wengine wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu, Mtunis amekuwa akifanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo kazi alizofanya ni kama Bar mead, Who’s Bad,Clinic Love na kusambazwa na kampuni ya Steps Entertainment.


 

Mandela hoi Kitandani



Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela
Rais wa kwanza mwaafrika wa Afrika Kusini, Nelson Mandela anaendelea kupambana na ugonjwa akiwa bado kitandani, binti yake Makaziwe Mandela amesema.
Bi Makaziwe ameliambia Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini, SABC kuwa mpinzani huyo wa siasa za ubaguzi wa rangi, "bado yupo nasi, imara, na anatia moyo".
"Hata kwa kukosa neno zuri zaidi... Akiwa bado kitandani anatufundisha somo la subira, upendo, uvumilivu," amesema, Makaziwe.

Special Introductory Fare from Dar es salaam to Morogoro



ONE WAY Tshs 99,000 (all inclusive)
RETURN Tshs 160,000 (all inclusive)

DAILY DEPARTURES

Book now to get the special fare !!

For more information, calls us on 0783 233334

Or Email to auric@auricair.com

"ENJOY THE WORLD OF FLYING - SAFARI"
Photo: Special Introductory Fare from Dar es salaam to Morogoro

ONE WAY  Tshs 99,000 (all inclusive)
RETURN  Tshs 160,000 (all inclusive)

DAILY DEPARTURES

Book now to get the special fare !!

For more information, calls us on 0783 233334

Or Email to auric@auricair.com

"ENJOY THE WORLD OF FLYING - SAFARI"

Mombasa wamsubiri Diamond

Mashabiki wa wapenzi wa mziki kizazi kipya wa jijini Mombasa jumamosi hiii tarehe 7,Desemba,2013 wanamsubiria Diamond Platinium pichani kushoto , ambaya atakae fanya shoo ya kufa mtu katika ukumbi wa Big Tree Hotel. Siku hiyo shoo itakuwa siya kukosa kwa sababu msanii Diamond Platinium kutoka Tanzania atawapa masongi ya ukweli kama `my number one`,`nataka kulewa`,`mbagala` na nyinginezo nyingi hhii si ya kukosa wana Mombasa

Waziri wa Kilimo wa ashinda tuzo ya Forbes


Akinwumi Adesina, waziri wa kilimo Nigeria
Waziri wa Kilimo wa Nigeria Akinwumi Adesina ametangazwa na jarida la Forbes Afrika kuwa mshindi wa mwaka kutokana na mageuzi yake katika sekta ya kilimo.
"Ni mtu ambaye yuko katika mwelekeo wa kuisaidia Afrika kujilisha," amesema mhariri wa Forbes Africa,Chris Bishop.
Bwana Adesina amesema anataka kuwasaidia watu kutajirika kupitia kilimo.

Dr. Migiro ateuliwa kuwa Mbunge!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dokta Asha-Rose Migiro, aliyekuwa Naibu Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa kuwa Mbunge.

Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, Jumanne, Desemba 3, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dokta. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo umeanza Desemba 2, 2013. Dr. Asha-Rose Migiro ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa katika Chama cha Mapinduzi.

'Kura ya Ballon d'Or ngumu ngumu zaidi'

Michel Platini


Rais wa Uefa Michel Platini amesema shughuli ya kuchagua nani kati ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Franck Ribery atatunukiwa Ballon d'Or "ndiyo ngumu zaidi katika historia ya tuzo hiyo."

Katika mahojianio na gazeti la michezo la kila siku Uhispania la AS, mshindi huyo mara tatu wa Ballon d'Or winner kutoka Ufaransa alifanyia mzaha uamuzi wa Fifa wa kusongesha siku ya mwisho ya kupiga kura kwa wiki mbili hadi Novemba 29

Alisema “hili lilifanyika ili kuingiana na Ureno kufika fainali za Kombe la Dunia kupitia mabao matatu ya Ronaldo."
Platini anasema Andres Iniesta au Xavi Hernandez wangemshinda Messi kwa tuzo hiyo ya 2010 baada ya kusaidia Uhispania kushinda Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza kabisa nchini Afrika Kusini.
Mshindi wa Ballon d'Or will atatangazwa Januari 13.

GOtv Cecafa Cup:Tanzania marches to quarters

Tanzania's mainland national team The Kilimanjaro Stars have sealed their place in the quarterfinals of the Cecafa Senior Challenge Cup following their 1-0 victory over Burundi to a match played at the Afraha Stadium in Nakuru. TP Mazembe duo of Mbwana Samatta and Thomas Ulimwengu marked their first appearances in the tournament following their return from club duties.
In form striker Mbwana Samatta connected a well curled cross from Mrisho Ngassa with a solid header to score the only goal of the game in the eighth minute.
With this result, Stars finish with a total of seven points from two wins and a draw as they march on to the quarters.


Line ups:
Kilimanjaro Stars: Ivo Mapunda, Kevin Yondani (c), Erasto Nyoni, Himid Mao, Said Moradi, Frank Domayo, Salum Abubakar 'Sureboy', Mrisho Ngassa, Thomas Ulimwengu, Amri Kiemba, Mbwana Samatta.
Burundi: Arthur Arakaza, Hassan Hakizimana(c), Frederic Nsabiyumva, Rashid Harerimana, Yussuf Ndikumana, Christopher Nduwarugira, Gael Duhayinoavyi, Celestin Habonimana, Shaban Hussein, Jean


Mholanzi Ernie Brandts, aongeza mkataba wa kuinoa Yanga


Kocha wa Yanga, Mholanzi Ernie Brandts, ameongeza mkataba wa kukinoa Kikosi cha Wanajangwani hao baada ya kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja akiwa ndani ya gari lake kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana.

Baada ya mazoezi ya timu hiyo kumalizika kwenye uwanja huo majira ya saa tano asubuhi huku kukinyesha mvua, Brandts aliingia kwenye gari lake akifuatwa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh ambaye naye aliingia kwenye gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser na kukabidhi mkataba kwa kocha huyo.

Bomu laokotwa eneo la Kanisa


Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,John Laswai pichani kushoto.
Bomu limeokotwa karibu na eneo la Kanisa la Huduma ya Maombezi ambalo pia ni eneo la makazi ya watu katika barabara ya Barakuda Kata ya Mazimbu Manispaa ya Morogoro.

Bomu hilo liliokotwa juzi  asubuhi na mtoto ambaye alikuwa akilima bustani jirani na nyumba yao  na baada kuchimbua udongo aliona kitu kizito na kukitoa.

Mmoja mashuuda, Brayton Sospeter, alisema bomu hilo liliokotwa na mtoto huyo na baadaye kulichukua na kwenda kuwaonyesha watoto wenzake waliokuwa wakicheza katika eneo hilo.

Nafasi za kAZI/Natafuta KazI

Mimi ni kijana umri 39 natafuta kazi ya udereva( kuendesha maloli,gari ndogo,kupelaka wanafunzi shuleni n.k) nina leseni class ABDE. Niko jijini Dar es salaam. kwa maelezo zaidi piga simu namba 0783 492623.


Natafuta kazi ya kupeleka watoto wadogo shuleni nina uzoefu wa miaka 10, mimi ni kijana Niko Dar  
es salaam.simu namba 0783 492623 kwa maelezo zaidi.

naishi Nairobi nina uwezo na elimu ya kupiga picha, kushoot Video na kuedit.
 (1) nani uwezo wa kutumia Camera zote Old na za kisasa
( 2)nina sample za kazi kadhaa nilizowai fanya Tanzania,Kenya,Afika kusini na Sweden.
( 3) Nina miaka 40 tayari kusafiri popote saa yoyote. wasiliana  sasa kwa email hii mtumishilinda@gmail.com 

Radio Station Sales Manager

* This job opening has been viewed 156 times « Browse job list
  Bookmark this job About this job
Radio Station Sales Manager

Minimum Requirements
  • Must have radio broadcasting sales experience.
  • 3 years in a similar role.
  • Must have knowledge of the media landscape in Rwanda
  • Must have strong relationships with agencies, media buyers and the government.
  • Must be local citizen fluent in one or two of the national languages.(Kinyarwanda, and French) as well as English

Key Performance Areas

  • Develop and monitor operational sales strategies
  • Maximise Sales revenue through the development and allocation of sales targets and the monitoring of sales performance against the sales targets.
  • Monitor and analyse competitor business in order to identify and exploit new business opportunities and increase market share.
  • Interpret and utilize research results in order to optimise revenue.
  • Establish, manage and maintain positive relationships with all internal stake holders, agencies and clients directly in order to generate income and profits.
Competencies
  • An individual who is driven to achieve objectives and succeed
  • Excellent selling, presentation and negotiation skills
  • Excellent verbal & written communication skills
  • Able to establish and maintain relationships with people at all levels
  • Ability to solve problems
  • Strong business development and planning ability
Deadline for application : 16.12.2013
Email(s) for online applications : jobs@smwcommunications.com

 

Diamond Platinum atangaza nafasi za kazi

Hitmaker wa 'My Number One' Naseeb Abdul aka Diamond Platinum kupitia 'Wasafi Classic Baby' ametangaza nafasi za kazi mbalimbali,graphic designer,Cameraman,editor.

Somo zaidi huu ujumbe wake aliyoupost kwenye instagram. 

Je unaishi Dar-es-Salaam..? Unakipaji, Uwezo na Elimu ya kupiga picha, kushoot Video na kuedit...? NOTE:- 1)Uwe na Uwezo wa kutumia Camera zote Old na za kisasa.... 2)Uwe na sample za kazi kadhaa ulizowai fanya... (kushoot na Kuedit) 3)Quality ni kuanzia 1080 na kuendelea... 4)Age, kuanzia Miaka 20 hadi 35.. 5)M'bunifu, Smart na uwe tayari kusafiri popote saa yoyote... Kama unaamini unasifa hizo wasiliana nasi sasa kwa email hii diamondplatnumz@gmail.com ama kwa namba ya simu +255755700400.... Kumbuka, uwe unaisha Dar-es-Salaam...!

UN: Kutumia ndege zisizo na rubani DRC


 Ndege isizo na rubani ikiwa angani
Majeshi ya Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo yameanza kutumia ndege zisizo na rubani kuchunguza harakati za waasi katika mipaka na Rwanda na Uganda.
Hii ni mara ya kwanza kwa majeshi ya Umoja wa Mataifa kutumia ndege za aina hiyo.
Ndege mbili za kwanza zilirushwa kutoka mji wa mashariki wa Goma ambao mwaka jana ulikaliwa kwa muda mfupi na waaasi wa kundi la M23.
Ndege mbili za kwanza zinaundwa na shirika la Italia la Selex ES

Lady Gaga unveils dolls in her flamboyant likeness


The pop star unveiled life-size dolls in her likeness, dressed in her flamboyant costumes, at a Tokyo event Sunday.

 

A person leaning against the silicon doll's chest can hear Lady Gaga music and messages.

Gaga said she was honored to have replicas of herself. When her friends saw the dolls, "they were so excited to take pictures of me with the dolls and then all of a sudden the dolls took over. And the dolls were the most important thing in the room. And this is a beautiful thing," she said.
Japanese industrial and design companies teamed with her record label to create the Gagadoll, inspired by her new "Artpop" album. They're prototypes not yet available for sale.
At the news conference, the 27-year-old singer made her grand entrance wearing a red plaid jumpsuit and wrapped in coils of the same fabric.
Gaga is participating in a charity auction to benefit the 2011 earthquake and tsunami victims. She's hoping that one of the two Gaga-styled Hello Kitty dolls will raise a lot of money for the cause.
"Artpop" hasn't matched the critical acclaim or sales of her blockbuster "Born This Way" album.
Gaga said she looked forward to returning to Japan with the "Artpop" tour. The concert schedule hasn't been released.

Zanzibar Heroes must go gung ho


Zanzibar Heroes soccer team’s prowess will be tested to the limits as they face hosts Kenya in the final Group A match of the Central and East Africa Football Associations’ Senior Challenge Cup championship to be played at the Afraha Stadium in Nakuru later this evening.

With three points collected after breezing past South Sudan during the tournament’s opener on Wednesday last week, the only option for the Isles team to avoid booking an early flight home is to post a victory or at least to salvage a draw.

The big hurdle that awaits Zanzibar Heroes is to shrug off intimidation from the host nation’s fans who are expected to turn out in big numbers at Nakuru’s Afraha Stadium today.

Unlike the Nyayo Stadium in Nairobi where fans shun CECAFA matches, the atmosphere is expected to change in Nakuru owing to the fact that the centrally-located city will be hosting CECAFA matches for the first time in history.

Harambee Stars, as the Kenyan national soccer team is always known, will for sure embark on attack right from the kick off to demoralize the visiting Zanzibar side.

Winning the match for Kenya is a top priority so as to secure a relatively weak opponent in the scheduled quarter-final matches slated for Mombasa this weekend.

Isles’ Coach Salum Bausi will either be perceived as a hero or villain by home fans in Zanzibar depending on the performance of his boys in today’s crucial encounter.

The teams battled to goalless draw in Kampala last year before Kenya made it to the finals after tense shootout at Namboole Stadium.

However, much has changed in the Isles side that features in this tourney.
Bausi gambled to downplay the inclusion of experienced players in the likes of Nadir Haroub, Hamis Mcha, Nassor Masoud and goalkeeper Mwadini Ali who would have been useful to boost the team’s display during the tournament.

Zanzibar are really up against the high-amplitude tidal wave and have to be resurgent enough to pull a lifeline in the tourney involving twelve teams.

While Zanzibar are up against the hosts, Ethiopia, who also have the same number of points like the hosts, four, are lined up against the Group A’s weakest side South Sudan, already out of contention for the title after conceding two group stage defeats in a row.

South Sudan, who lost their second game to Kenya by a lone goal last Saturday, will be playing the game as a formality while weighing their chances for next year’s Challenge Cup tournament edition.

With identical statistics for both Kenya and Ethiopia, either side stands a chance to finish on top of the Group A standings ahead of the quarter-final clashes. 

Zoleka Mandela tells her story


When hope whispers Zoleka Mandela found the courage to share her emotional journey of childhood, motherhood and healing process of losing two kids and living with breast cancer.

The Mandela’s always have a story to tell, this time we not focusing on our very own icon Nelson Mandela nor his former wife Winnie, it’s the granddaughter who has an anecdote.
The 33 year old has released a book titled ‘When hope whispers’ where she tells it all about her life and battle with drug, alcohol, sex addiction and living with breast cancer.
The book was launched this month and it is now available at Exclusive Books nationwide at a cost of R195.
She wrote the book with the aim to give hope and inspire those who have suffered from substance abuse as well as spread cancer awareness.
Not only does the book aim to inspire she shares her deepest wounds and life regrets of not being a better mother to her children.
“I was the worst parent to my kids and I know that what I’m doing right now is celebrating my kids so that I can at least make them proud one day. (The editing process) was extremely difficult because I hadn’t been truthful to myself and an honest person for a very long time in my life so I always have to remember the reason I wrote this book and remember the promises I’m making.
Sharing her life journey she courageously makes public in the book how drugs took over her parenting life. This all happened during the time when her 13 year old daughter Zenani was killed in a car accident the night of the Fifa world cup concert in 2010.
““I hadn’t seen my daughter for 10 days before her passing, and I hadn’t because I chose to use drugs. That’s obviously a reminder that I chose my addiction over my kids and I have to live with that for the rest of my life.”
The tragedy of losing a child did not end there she lost another baby. Her son Zenawe was born prematurely in 2011 and her wounds were cut deep.
She has now gone from suicidal to survival.
“I’m at a phase in my life right now where I believe that the sacrifices I’m making are to the benefit of others,” Mandela says.

البابا فرنسيس: الميلاد مسيرة لملاقاة الرب




"علينا أن نتحضر للميلاد بالصلاة وأعمال لمحبة والتسبيح، بقلب منفتح يسمح لنا بلقاء الرب الذي يجدد كل شيء" هذا ما قاله قداسة البابا فرنسيس في عظته مترئسًا القداس الإلهي في كابلة بيت القديسة مرتا بالفاتيكان صباح اليوم الاثنين في الأسبوع الأول من زمن المجيء. 
استوحى الأب الأقدس عظته من الإنجيل الذي تقدمه لنا الليتورجية اليوم والذي يخبرنا فيه الإنجيلي متى عن قائد المائة الذي جاء إلى يسوع يتوسل إليه بإيمان كبير أن يشفي عبده. قال البابا: نبدأ اليوم مسيرة جديدة، مسيرة كنيسة نحو الميلاد، نسير للقاء الرب لأن الميلاد ليس مجرد عيد زمني أو ذكرى لشيء جميل، الميلاد هو أكثر من هذا: انه مسيرة لملاقاة الرب، الميلاد لقاء ! ونحن نسير للقاء الرب في قلوبنا وحياتنا، إنه لقاء بالله الحي! انه لقاء إيمان! في إنجيل اليوم يخبرنا القديس متى أن يسوع قد أُعجب بقائد المائة وبإيمانه. جاء قائد المائة للقاء الرب يدفعه إيمانه ولذلك لم يلتقي الرب فقط وإنما شعر أيضًا بفرح الرب الذي التقاه. وهذا هو اللقاء الذي نريده! نحن نريد لقاء الإيمان!
تابع البابا فرنسيس يقول مهم أن نلتقي بالله لكن الأهم يكمن في أن نسمح لله بأن يلتقي بنا! فعندما نلتقيه وحدنا، نكون نحن محور اللقاء ولكن عندما نسمح له أن يلتقي بنا، يدخل عندها إلى قلوبنا ويجددنا! هذا هو المجيء وهذا هو معناه الحقيقي، لان المسيح يجدد كل شيء بمجيئه: يجدد القلب والروح، يجدد الحياة والرجاء والمسيرة! نحن في مسيرة إيمان، كإيمان قائد المائة، للقاء الرب ولكي نسمح له بأن يلتقينا، ولذلك علينا أن نفتح قلوبنا! يجب أن نفتح قلوبنا لنتمكن من لقائه وليقول لنا ما يريده منا والذي غالبًا ما لا يتطابق مع ما أرغب في سماعه! فالرب لديه ما يقوله لي شخصيًا، هو يحدثنا فرديًّا كل بمفرده، لا ككتلة! الرب ينظر إلى كل منا ويلتقيه وجهًا لوجه، وينظر إلينا ويحبنا، وهذا الحب الذي يحمله لنا ليس حبًّا مجرّدًا بل حبًّا ملموسًا! إنه حبٌّ بين شخصين! فالرب ينظر إلينا كأفراد وأشخاص، وعندما نسمح له بأن يلتقينا نحن نسمح له أيضًا بأن يحبنا!
وختم الأب الأقدس عظته بالقول: في مسيرتنا نحو الميلاد ولكي نلتقي بالله نحن بحاجة لنداوم على الصلاة وعلى أعمال المحبة الأخوية، كما وعلينا أن نقترب أكثر من المعوزين وأن نفرح برفع التمجيد والتسبيح للرب!



مشا

Msijirushe mkasahau kukesha!



Desemba Mosi, Mama Kanisa amekianza kipindi cha Majilio, yaani Jumapili ya kwanza ya Majilio. Hiki ni kipindicha subira, matarajio ya ujio wa nafsi ya pili ya Mungu - Yesu Kristo katika maisha yetu ya Kiroho.

Waamini wanakumbushwa kwamba, Ujio wa Yesu Kristo Mkombozi wa dunia unaweza kuangaliwa katika matukio makuu matatu: Katika Fumbo la Umwilisho, Atakapokuja kuwahukumu wazima na wafu na wala Ufalme wake hautakuwa na mwisho na tatu; Yesu anakuja kila siku katika maisha ya mwamini kwa njia: Neno la Mungu, Sakramenti za Kanisa na waamini wanapomwilisha Injili ya Furaha kwa maskini na wote wanaosukumizwa pembezoni mwa Jamii.
Padre Beno Michael Kikudo kutoka Jimbo kuu la Dar es Salaam anatushirikisha tafakari ifuatayo:
Tunapoanza kipindi hiki cha Majiliotunapata mwaliko huu kutoka kwa Mungu:

1. Kufua mapanga yetu, sime na silaha za maangamizi ili ziwe vitu vya amani na maendeleo. Nimwaliko wa kufua hasira yetu ili iwe upendo. Mwenye hasira ana nguvuya kuweza kuua au hata kuharibu kilicho mbele yake. Nguvu hiyo hiyo
ibadilishwe na iwe kitu cha kupenda, kujali, kufariji, kusamehe na
kuinua wengine. Somo la kwanza, (Isaya 2:1-5) ".. watafua mikuki yao
iwe majembe ya plau.." ni kuonesha uwezekano wa kuleta furaha, maendeleo, ustawi kwa nguvu tulizonazo za kiakili na kimwili.

Tudhamirie katika kipindi hiki cha Majilio - familia zetu zisijifunze vita, ugomvi, wala matukano. Nguvu ndogo tuliyonayo tutumie kwa kulima bustani, tufue nguo, tusaidie wagonjwa na wenye shida. Nguvu hii itumike kwa michezo na kukuza vipaji kwa vijana.

2. Maisha yetu ya kiroho daima yawe macho na tayari. Mfano anaotoa Kristo
ni ule wa wakati wa Nuhu - (Mt 24:37-44). Watu walisema, "acha tujirushe", au "ponda mali kufa kwaja.." Waliendelea na maisha yao ya
anasa wasing'amue mpango na mwaliko wa Mungu. Gharika ilipokuja wote wakafa. Kwetu sisi isiwe hivyo. Bali tujiandae kwa kuzivaa silaha za kiroho kwa sala, kulitafakari neno la Mungu, na kuzitumia kila nafasi tukutanapo na mhitaji iwe kama vile tumekutana na Kristo mwenyewe. Kwa maana yeye atatuambia mwisho wa nyakati"nilikuwa na njaa mkanipachakula.."

Msisitizo wa kuwa macho pia anatukumbusha Mtume Paulo katika somo la
pili. Paulo anatukumbusha tusipatwe na siku hiyo ghafla kama mwizi.Tuwe tayari wakati wote (Warumi 13:11-14) Mungu Baba atubariki kila mmoja wetu ili tuanze Majilio hii vizuri na kuweza kujichotea Neema na Baraka tele kutoka kwa Mungu.

GOtv Cecafa Senior Challenge Cup:Uganda, Sudan wafuzu robo fainali


Na Paskal Linda,Kenya
Mabingwa watetezi Uganda na Sudan walikuwa mataifa ya kwanza kukata tiketi za robo fainali kwenye dimba linaloendelea la GOtv Cecafa Senior Challenge Cup baada ya wote kuandikisha ushindi Jumatatu.
Uganda walianza mechi yao dhidi ya Eritrea kwa kumkaribisha nahodha wao Emmanuel Okwi aliyerejea baada ya kupata nafuu kutokana na Malaria yaliomfanya kukosa mechi yao ya ufunguzi dhidi ya Rwanda.
Mshambuliaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Kenya, Gor Mahia, Dan Sserunkuma na Okwi waliunganisha kupatia Uganda uongozi dakika kumi baada ya mechi kuanza.
Hamis Kiiza aliongeza la pili kupitia mkwaju wa penalti baada ya Sserunkuma kufyekwa ndani ya eneo la hatari.
Straika huyo wa Gor aliendelea kuwa nyota wa kikosi chake baada ya kubuni nafasi iliyopelekea Uganda kupata lao la tatu.
Sserunkuma alitimuka wingi ya kushoto kabla ya kutuma pasi iliyofunikwa na Okwi kupatia Uganda uongozi wa 3-0 katika mapumziko.
Serak Beyene na Muner Ahmed walikumbana na mwamba kwenye lango la Uganda pale goli kipa Benjamin Ochan alipokabiliana na mikwaju yao huku Eritrea wakitishia kufunga katika kipindi cha lala salama.
Kwenye mechi ya awali, Sudan walilaza mabingwa wa 2009 Rwanda 1-0 kupitia nyota wao Sala Ibrahim aliyetia kimyani katika dakika ya 29 na kombora kali kutoka hatua 30.
Ibrahim sasa anaongoza orodha ya wafungaji na mabao matatu.
Baada ya kuzoa alama sita kila mmoja, Uganda na Sudan watamenyana Alhamisi ili kutafuta nani ataongoza kundi hilo kwenye mechi za mwisho za makundi.
Rwanda wamebaki na kibarua cha kucharaza Eritrea na watumai kuwa watukuwa miongoni mwa timu zitakazo fuzu kama bora zaidi katika nafasi ya tatu.

Toure ndiye bora zaidi Afrika


Yaya Toure 
Yaya Toure ametangazwa mshindi wa tuzo ya BBC ya mwaka 2013 ya mchezaji bora zaidi wa soka barani Afrika.
Mchezaji huyo wa Ivory Coast, na ambaye pia ni kiungo wa klabu ya Manchester City ya Uingereza, na ambaye jina lake limekuwepo kwa miaka minne iliyopita katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo, aliwashinda Pierre-Emerick Aubameyang, Victor Moses, John Mikel Obi na Jonathan Pitroipa, katika kuibuka mshindi.
Mchezaji huyo ana umri wa miaka 30.
Orodha fupi ya waliowania tuzo hiyo ilitayarishwa na wataalamu 44 wa soka kutoka kote barani Afrika, na wakizingatia hasa maarifa ya mchezaji, kiufundi, ushirikiano na wenzake katika timu, na kwa kucheza mchezo safi na kwa haki.
Kisha, kupitia idadi kubwa kabisa kuandikishwa kwa wapiga kura, mashabiki waliweza kushiriki katika shughuli hiyo katika mtandao, au kupitia ujumbe wa simu ya mkononi.
Mashabiki hao wameamua kwamba Toure ndiye bora zaidi, kwani katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, raia huyo wa Ivory Coast alicheza kwa bidii, kuonyesha mchezo wa kasi, ubunifu, na vile vile kwa kufunga magoli.
Ingawa mwaka 2013 ulikuwa ni wa ufanisi kwa Toure hasa kwa kupata vikombe, hakuweza kuisaidia nchi yake, wala klabu, kupata kombe lolote lile, lakini bado alionyesha kiwango cha hali ya juu katika mchezo.
Baada ya kuvunjika moyo kwa kushindwa kuutetea ubingwa wao wa ligi kuu ya Premier wa mwaka 2012 akiichezea Manchester City, Toure alirudi uwanjani akijizatiti, na kuimarisha mikwaju yake ya free-kick.
Alitumbukiza wavuni bao, kwa mpira wa kupinda, katika siku ya kwanza ya msimu mpya wa ligi kuu ya Premier, wakati timu yake ilipocheza na Newcastle, na akarudia hayo hayo katika mechi iliyofuata wakati Hull walipowatembelea katika uwanja wao wa nyumbani.
Toure amefunga magoli manne ya kupanga kwa makini shambulio, na hayo yakiwa ni kati ya magoli saba kwa jumla aliyoweza kuifungia klabu ya Man City msimu huu.
Kufikia sasa, mwaka huu wa 2013, Toure ametumbukiza wavuni jumla ya magoli 12; ya klabu na vile vile ya nchi yake, na hiyo ni rekodi nzuri sana kwa mchezaji wa kiungo cha kati.
Mbali na ustadi huo katika kumalizia, Toure ni kiongozi bora katika timu, na maarifa yake yameiwezesha City kufikia sasa kuwa katika nafasi ya nne katika ligi kuu ya England.
Aliisaidia kikamilifu nchi yake ya Ivory Coast kufuzu kwa michuano ya Kombe la Dunia ya mwaka ujao itakayofanyika nchini Brazil.
Timu yake ya Tembo, The Elephants ilihitaji kuusahau mwanzo mbovu hapo awali katika kampeni yao ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, na walipoondolewa katika robo fainali na Nigeria, ambao hatimaye waliibuka mabingwa, na Toure akiwapa matumaini ya kufanya vyema baadaye.
Nje ya uwanja, Toure ameongoza vita dhidi ya ubaguzi wa rangi katika soka, hasa baada ya matusi kuelekezwa kwake katika mechi ya ligi ya klabu bingwa dhidi ya CSKA Moscow, mwezi Oktoba, na akionyesha moyo wa uvumilivu na wa kimichezo unaostahili uwanjani.
Tukio kama hilo linaweza kumvunja moyo mchezaji asiyejiamini, lakini Toure ameendelea kuwa mchezaji wa kipekee tangu wakati huo.
Na katika mwaka wa tano baada ya jina lake kupangwa katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo, hatimaye Toure ametajwa kama mshindi wa tuzo ya mchezaji bora zaidi wa soka barani Afrika.

Nafasi za kAZI/Natafuta KazI

Mimi ni kijana umri 39 natafuta kazi ya udereva( kuendesha maloli,gari ndogo,kupelaka wanafunzi shuleni n.k) nina leseni class ABDE. Niko jijini Dar es salaam. kwa maelezo zaidi piga simu namba 0783 492623.


Natafuta kazi ya kupeleka watoto wadogo shuleni nina uzoefu wa miaka 10, mimi ni kijana Niko Dar  
es salaam.simu namba 0783 492623 kwa maelezo zaidi.

naishi Nairobi nina uwezo na elimu ya kupiga picha, kushoot Video na kuedit.
 (1) nani uwezo wa kutumia Camera zote Old na za kisasa
( 2)nina sample za kazi kadhaa nilizowai fanya Tanzania,Kenya,Afika kusini na Sweden.
( 3) Nina miaka 40 tayari kusafiri popote saa yoyote. wasiliana  sasa kwa email hii mtumishilinda@gmail.com 

Radio Station Sales Manager

* This job opening has been viewed 156 times « Browse job list
  Bookmark this job About this job
Radio Station Sales Manager

Minimum Requirements
  • Must have radio broadcasting sales experience.
  • 3 years in a similar role.
  • Must have knowledge of the media landscape in Rwanda
  • Must have strong relationships with agencies, media buyers and the government.
  • Must be local citizen fluent in one or two of the national languages.(Kinyarwanda, and French) as well as English

Key Performance Areas

  • Develop and monitor operational sales strategies
  • Maximise Sales revenue through the development and allocation of sales targets and the monitoring of sales performance against the sales targets.
  • Monitor and analyse competitor business in order to identify and exploit new business opportunities and increase market share.
  • Interpret and utilize research results in order to optimise revenue.
  • Establish, manage and maintain positive relationships with all internal stake holders, agencies and clients directly in order to generate income and profits.
Competencies
  • An individual who is driven to achieve objectives and succeed
  • Excellent selling, presentation and negotiation skills
  • Excellent verbal & written communication skills
  • Able to establish and maintain relationships with people at all levels
  • Ability to solve problems
  • Strong business development and planning ability
Deadline for application : 16.12.2013
Email(s) for online applications : jobs@smwcommunications.com






TANZIA:Askofu John Andrea Simalenga azikwa kwa heshima

Waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda ameongoza mamia ya watu kwenye ibada ya mazishi ya Askofu wa Saba wa Dayosisi ya South West Tanganyika ya

Kanisa la Anglikana Tanzania Mhashamu Askofu John Andrea Simalenga
iliyofanyika Njombe mjini.
Akizungumza na mamia ya waumini na waombolezaji waliohudhuria ibada hiyo ya mazishi Alhamisi, Novemba 28, 2013 Waziri Mkuu alisema Dayosisi hiyo imepoteza mhimili muhimu lakini akawataka wawe na umoja na upendo huku wakiendelea kumtumainia Mungu.

“Mhashamu Baba Askofu Simalenga alisimikwa Julai 6, 2008. Ni miaka
mitano tu ya utumishi kwenu na alikuja wakati ambapo Dayosisi hi ilikuwa imekaa kwa miaka 10 bila ya kuwa na kiongozi. Siku anawekwa wakfu nilikuwepo na ninakumbuka mlimuomba asaidie kuleta mshikamano,” alisema Waziri Mkuu. “Ninawaomba wanadayosisi muwe na upendo na mshikamano mkubwa miongoni mwenu hadi hapo Mungu atakapotupatia kiongozi mwingine. Tumuombe Mungu ili kiongozi huyu ajaye apatikane kwa njia ya amani,” alisisitiza.


Alimwomba mke wa marehemu, Bibi Martha pamoja na watoto wa marehemu
waupokee msiba huo kwa mikono miwili na kuahidi kuwaombea faraja kwa
Mwenyezi Mungu. Waziri Mkuu ambaye alishiriki mazishi hayo kwa niaba ya Serikali, Alitumia fursa hiyo kuwapa pole maaskofu, mapadre, watawa na familia
zikiwa ni salamu maalum kutoka kwa Rais Jakaya Kikwete ambaye alisema
yuko ziarani kwenye mkoa mpya wa Simiyu.

Naye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bibi Anne Makinda ambaye pia ni mbunge wa Njombe Kusini ilipo Dayosisi hiyo akitoa salamu za rambirambi alisema wana Njombe wamepungukiwa na nguvu kwa kuondokewa na Askofu Simalenga. “Alisaidia kuleta umoja hapa kwetu, tumempoteza mtu muhimu sana katika harakati za maendeleo ya wilaya yetu na mkoa kwa ujumla. Alisaidia kuleta umoja na upendo na sisi tuwe na upendo na amani, tuendelee kumuomba Mungu hadi tutakapoletewa msimamizi mwingine.
Katika mahubiri yake kwenye ibada hiyo, Askofu Mkuu wa Kanisa la
Anglikana Tanzania, Mhashamu Jacob Chimeledya aliwataka waumini wote
wamtazame Mungu na wamtegemee Mungu kwa sababu wanampenda lakini yeye ameona ni vema ampunzishe mtumishi wake.
“Sote tunajua kuwa katika kipindi chake, Dayosisi hii ilitulia kabisa Je, tutaruhusu kuondoka anikwake kuzue tena chokochoko? Msiba huu usifike mahali ukaanza kututenganisha na kutoa mwanya wa kuanza kunyoosheana vidole. Tumuombe Mungu atusaidie afute machozi yetu,” alisema.

Askofu John Andrea Simalenga alizaliwa Novemba 30, 1953 na kufariki
Novemba 24, 2013 baada ya kuugua kwa siku mbili. Novemba 22, 2013 alijisikia vibaya na alipopimwa aliikutwa na malaria, kisukari na shinikizo la damu. Alilazwa hospitali ya Kibena, Njombe na kuruhusiwa siku iliyofuata lakini Novemba 24 alizidiwa tena na kuaga dunia. Ameacha mjane na watoto wanne

Fifa: Mashindano kombe la Dunia ni Brazil


sehemu ya uwanja wa Sao Paulo ulioporomoka
Fifa imesema haina mpango wa kuhamisha michuano ya kombe la dunia mwaka 2014 kutoka nchini Brazil ingawa nchi hiyo imepata changamoto katika maandalizi ya michuano hiyo.
Wafanyakazi wawili walipoteza maisha baada ya kuangukiwa na nguzo ambazo ziliharibu uwanja wa Corithians ulio mjini Sao Paulo.
Timu ya taifa ya Brazil inatarajiwa kucheza mechi ya ufunguzi ya Kombe la dunia katika uwanja huo wenye uwezo wa kuwa na watazamaji 65,000.
Vyanzo vya habari vya juu ndani ya Shirikisho hilo vimeendelea kusisitiza kuwa hakuna mbadala kutokana na kutokea kwa ajali hiyo.
Brazil ilikiri kuwa inafanya jitihada za kumaliza ujenzi wa viwanja 12 kwa ajili ya michuano hiyo, sita kati ya hivyo ipo tayari kwa ajili ya michuano ya kombe la shirikisho.
Ajali iliyotokea siku ya jumatano ni ya tatu kusababisha kifo katika viwanja vitakavyopigiwa kipute cha kombe la dunia.Wafanyakazi wengine wawili walipoteza maisha kipindi cha miaka miwili iliyopita.
Uchunguzi umeanza hii leo kubaini chanzo cha ajali mjini Sao Paulo.

Wakala Fifa afichua siri za Juma Kaseja


Aliyekuwa wakala wa nahodha wa zamani wa timu ya soka ya Taifa (Taifa Stars) na Klabu ya Simba,Ismail Balanga
Aliyekuwa wakala wa nahodha wa zamani wa timu ya soka ya Taifa (Taifa Stars) na Klabu ya Simba, Ismail Balanga, ameibuka na kufichua siri nzito iliyomzuia kumuuza Juma Kaseja katika Klabu ya FC Lupopo ya DR Congo mwaka huu.

Wakala huyo ambaye ameibukia katika timu ya Taifa ya Sudan Kusini ambayo inashiriki mashindano ya Kombe la Chalenji  inayoendelea jijini hapa,  alizungumza jijini hapa na kuanikia kila kitu kuhusu sakata hilo.

Balanga ambaye pia ni wakala wa wachezaji anayetambuliwa na Fifa, alisema  kuwa, Watanzania ndiyo waliyompotezea Kaseja nafasi ya kusajiliwa na FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Balanga alisema akiwa katika hatua za mwisho ili Kaseja asaini mkataba wa kuichezea FC Lupopo, alipigiwa simu na mmiliki wa klabu hiyo akimueleza kwamba hawamuhitaji tena kipa huyo ambaye amejiunga na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga kwa sababu anadaiwa kuwa na tabia ya "kuuza" mechi.

Kocha huyo ambaye timu yake ya Sudan Kusini ilipoteza mchezo wake wa kwanza kwa kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Zanzibar (Zanzibar Heroes), alisema soka la Tanzania limejaa siasa hali  ambayo inazidi kuzuia kiwango cha mchezo huo nchini kukua.

"Baada ya Lupopo kukataa kufanya biashara, Kaseja alitakiwa na DC Motema Pembe ya DRC, lakini kuna viongozi wa Simba walipiga simu huko kumsemea maneno mabaya," aliongeza wakala huyo ambaye kabla ya kuachana na harakati za kumsajili Kaseja, alikamatwa kwa kuingia nchini bila ya kibali.

Alisema tabia hiyo ya kusema wachezaji wanahujumu timu, ni mbaya kwa sababu inaondoa hali ya uaminifu wa wachezaji na klabu wanazozichezea.

Kocha huyo aliyesaini mkataba wa miaka miwili ya kuifundisha Sudan Kusini, aliongeza kuwa licha ya 'siasa' hizo, bado hataacha kuwatafutia timu nje ya nchi wachezaji wa Tanzania.

Kwa upande wa Kaseja alipoulizwa , alisema hana muda wa kuzungumzia suala hilo kwa kuwa lilishapita na sasa ni mchezaji wa Yanga.

"Suala la Lupopo ni la muda mrefu na limeshapitwa na wakati na sasa mimi ni mchezaji wa Yanga.

Rushwa inakuwa na pande mbili, mtoaji na mpokeaji mimi sijawahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote na kama kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia nikipokea rushwa ajitokeze athibitishe," alisema Kaseja jana alipopigiwa simu kuzungumzia tuhuma hizo.

GOtv Cecafa Cup:Ibrahim brace inspires Sudan






Salah Ibrahim's brace helped Sudan to a virtuoso performance to crash Eritrea 3-0 in an exciting GOtv Cecafa Cup match played at the Kenyatta Stadium in Machakos.
Sudan begun the match like a house on fire as Salah Ibrahim broke the deadlock with a fine finish in the fifth minute beating Eritrea keeper Abdulrahman from close range.
Ibrahim was on the mark again in the 26th minute scoring the second goal from a tight angle to give Sudan deserved 2-0 lead.
Sudan went into the break leading and upon resumption came back with the same tempo as man of the match Mohannad Tahir put matters beyond Eritrea with a fine finish after school boy blunder by keeper Abdulrahaman.
Sudan's coach Mubarak Suliman praised his players’ efficiency, "we started well in group C and the players were brilliant throughout the entire game and this is positive as we wait for our other opponents in the group," Suliman told.

GOtv Cecafa Senior Challenge:Burundi beat Somalia




Burundi handed Somalia a 2-0 beating in their opening match of the ongoing GOtv Cecafa Senior Challenge Cup on Thursday. Burundi, the more experienced side of the two, kicked off the match on attack, but by the half-hour mark, they were yet to get the ball behind the Somalia keeper.
However, they found their luck five minutes to the break, with the goal coming through Nduwarugira Christophe.
Ten minutes into the second-half Burundi’s Fiston Abdulrazak sent a thundering shot past the Somalia keeper doubling his side’s advantage.
After the match, Abdulrazak was named the man of the match. Speaking of the match, the player said that the day had started out tough but they later relaxed and made a meal of their opponents.
“It was quite a tough match, especially at the start, as we looked to compose ourselves. We managed to solidify our structure towards the end of the first half and we were rewarded for it,” said Abdulrazack.
Of their upcoming match, against Zambia, Abdulrazak said that they will try their best and get out with full points.
“We do not want to fall to easy goals, so we shall be more vigilant in the match, especially because we know that Zambia is very tough side.
After the match Burundi are perched at the top of Group B, after the match between Tanzania and Zambia ended in a 1-1 draw.

Zambia held in Cecafa opener




Zambia kicked off their 2013 Cecafa Cup outing on a modest note following a 1-1 draw with Tanzania on Thursday in an opening Group B match at Machakos. The result ended new Zambia coach Patrice Beaumelle’s three match losing run from as many games in charge since his appointment in October.
Zambia were on the back foot against the Kilimanjaro Stars in the first half as Beaumelle’s side struggled on a waterlogged pitch.
The Cecafa Cup guest side were given a scare in the 23rd minute when Mrisho Ngassa beat Zambia defender Christopher Munthali for pace but the Young Africans striker amazingly fired his shot wide of an open goal.
But Zambia still had a couple of great chances in the midst of Tanzania’s domination to get on the score sheet.
Reynold Kampamba put his Nkana club mate Festus Mbewe through in the 29th minute but the latter tumbled in the area as he tried to control the ball.
Five minutes later, Felix Katongo header from Kampamba cross was saved by the outstanding Ivo Mapunda in goals at point blank range.
Then Zambia then took the lead on 42 minutes when Katongo turned provider for Kampamba who fired in an unstoppable bullet header past the Gor Mahia goalkeeper to see Chipolopolo take a 1-0 halftime lead.
However, Zambia’s lead lasted until three minutes into the second half when defender Said Moradi headed in a corner from Salum Abubakar corner to level scores.
The goal only served to fuel Tanzania as Zambia struggled on the heavy pitch for the reminder of the half before the two sides grinded out the match to share the spoils.
Zambia must now beat Group B leaders Burundi on Sunday in Nairobi to keep their quarterfinal hopes alive.